Nashukuru unavyozidi kutufahamisha!. Maisha Amerika!.
@ShallyKaim-v4h7 ай бұрын
Shukran,,,, kka,,,,
@nassorohassan36307 ай бұрын
shukran sana father
@MfizoCrypto7 ай бұрын
Kazi ni kazi hakuna excuses kwenye maisha , la msingi usiibe.
@farhannahomary55057 ай бұрын
Kweli kabisa
@howardbillionaire7 ай бұрын
tuko hapa kujua before tuombe hizo green card
@elogevyizigiro11577 ай бұрын
Asante
@OmaryMkengemba-xz1hk7 ай бұрын
Kaka unatugea elimu sana ambayo ata atulipii mchawi bando to
@DorcusLoy7 ай бұрын
EBM ni ofisi za dar sky city mo
@homeandaway28117 ай бұрын
Kwanini umeweka makaburi boss 😅 unatutisha
@maulidally70987 ай бұрын
Sasa kiongozi unatuhadithia tu tupeni njia ya kupata kazi na njia ya kufika huko.
@MisanaMasatu-zz4xr7 ай бұрын
Bro ukiwa na pesa njia zipo kama 500k za kufik huko, ila kama huna pesa bc njia hzo hutaziona. Tafuta pesa kwanza
@svt37 ай бұрын
@maulidally7098; na kila mara anavyo waambia njia kinacho itajika ni pesa zako tu na utandawazi umerahisisha mambo wala sio lazima hata uambiwe, fanyeni utafiti karne hii kila kitu kiko wazi
@TinaMane7 ай бұрын
Tupe majina ya uhakika wa agents ambao watatusaidia kufika uko. Maokoto yapo tutalipa
@abdallahnassor29457 ай бұрын
@@TinaManeDnyota Dula Star Au Bambad
@CalebLema-zx4ig7 ай бұрын
Bambad@@abdallahnassor2945
@jumahamad22277 ай бұрын
Saf sanaaaaa kaka
@hamsikrasheedi17967 ай бұрын
nimesha experience kaz za usiku ilinitesa sana kwenye kupata usingizi asubuh ina umiza sana
@EssauLucas7 ай бұрын
Lalamchana fanyakazi usku
@MoiseNgiruwonsanga7 ай бұрын
Naishi rochester ny nfanya kazi amazon night shift unaongey ukweli kbsa
@maulidally70987 ай бұрын
Mm jamn nimeongea na mtuma hii video sio watu wengine
@KibwayaMsouth7 ай бұрын
EBM tunakupata mzee ila napenda kujua zile kazi zetu za kupiga magari rangi huko u s a nako zipo au?
@YuscoZahir4 ай бұрын
Hi
@DorcusLoy7 ай бұрын
JamN waambie ofisini wapokee simu tunafika ofisini hawapo tunataka kuaaply community college sorrry waambie watupigy tuliye acha namb
@ezrakiduko61357 ай бұрын
mwaka huyu kwa uwezo wa mungu nitaomba green card
@YuscoZahir4 ай бұрын
Za sahz ndugu
@danfordgabriel83047 ай бұрын
Nakufuatilia nipo night shift sasa hivi, night shift zinachosha sana