June 18, 2021 Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba akichangia mapendekezo katika hotuba ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22
Пікірлер: 111
@fredyjames43273 жыл бұрын
Mzee unajua maisha halisi ya mtanzania mitano tena
@abdulmajidy54963 жыл бұрын
Leo naomben like zenu namimi
@zainabwage46583 жыл бұрын
Good point ukoseag wewe big up mbunge
@jacksonjoel67243 жыл бұрын
CBE's ni vyuo vya watafuta ajira serikalini. Sio vyuo vya watu kujifunza kufanya biashara. Big up Mh. Kishimba.
@omarialfaaruuq66433 жыл бұрын
Mm nipo bagamoyo lakini mbunge wangu anaeniwakilisha bungeni mh jumanne Kishimba
@carolinakayet41493 жыл бұрын
Hongera sana Baba kwa hoja zako Mungu awabariki
@bashirimkilindi-ww7if Жыл бұрын
Mh, kishimba uko vizuri mno? Sijui Kama wabunge wakuerewa.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@abdulazizahmed4783 жыл бұрын
Honorable kishimba my favorite Mp
@drhammo57093 жыл бұрын
Tunamuombea mwenyezi mungu ampe maisha marefu one day awe rais wa nchi
@nitumesokoni31643 жыл бұрын
Itakuwa ngumu rafiki yangu. Katiba inalazimisha mgombea urais awe na digrii. Huyu jiniasi kaishia darasa la saba
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Mtu anateuliwa , kuliko kuja na mikakati chanya, anaanza kukomalia machinga, 🧐🧐🧐🧐🧐, Wabunge wote tumuunge mkono kishimba kwa mawazo hayo.-💪💪💪
@ericrukamba68023 жыл бұрын
Huyu Mweshimiwa nampenda sana, anaongea vitu vya maana sana kuliko wasomi, inabidi waheshimiwa wajifunze kutoka kwake namna ya kuchangua.
@mwinyikadhi28703 жыл бұрын
Hii nchi ya ajabu Sana Hili swala la wamachinga mbona hayati Jpm alilimakiza..mbona siasa na wamachinga haziishi jamani
@ludobudege16623 жыл бұрын
Hongera sana kishimba nondo zako zaukweli sana
@dominicksamwel75783 жыл бұрын
Bunge wangu👏👏👏
@emanuelmaro84713 жыл бұрын
Kanywe chai kwa Shishi Food nitakulipia, 😁😁
@economistshillajr.13173 жыл бұрын
Mzee Kishimba ni Genius sana kwenye mambo mbalimbali hasa biashara, uwekezaji n.k Serikali iwatumie hawa Wazee
@yothamthomasmgolozi18093 жыл бұрын
Wendo mzarendo mitano tena
@Joekwid960 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuweka Baba, wenye akili watakuelewa. Binafsi naona unastahili kuwa Raisi wetu.
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
God bless you hon MP
@paulinamassay51223 жыл бұрын
Duh!!! Mzee we unawaelewa Sana watu wa hali chini koliko kawaida, tuteteeeeee baba.
@kitindifredy94363 жыл бұрын
Asante sana kwa hoja zakitaft
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Mzee mungu akusimamie sana tunakuombea.
@oscarsagara88133 жыл бұрын
K'shimba anawakusha mara nyingi wanaoitwa wasomi kutunga na kuamua kwa kutumia elimu utashi na siyo nadharia dhahania lakini hawaelewi.Ndio tunakataa watu wasifuge ng'ombe wengi ila wafuge ng'ombe wachache kwamba wataleta mafao kwao ,wakati huo huo wakianza kusema mafanikio ya mifugo watahesabu wote hata hao wanaosema hawana tija.Nadhani wanakua wanakimbia tatizo baadala ya kutatua,watu walime marisho kama wenzetu wanavo fanya...nusu ya wasomi walioaminiwa wanaamini sana vyeti vyao na mabosi wao kuliko uwezo asili waliojaliwa na Mungu...ndio maana tunampa wakili atuamue kwa kosa tunalolijua...
@carolinakayet41493 жыл бұрын
Umenena kweli tupu
@lansonmlehele72483 жыл бұрын
Your very Bright jumanne kishimba
@pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын
Jamani hoja hizi hazihitaji mjadala zinahitaji kupitishwa za kishimba msukuma gwajima ziko vizuri sana
@RioIpo3 жыл бұрын
Mie nipo Zenji lakini mbunge wangu ni Jumanne Kishimba
@davidmagundu22853 жыл бұрын
Aisee tuko pamoja mi mwenyewe niko Morogoro lakini mbunge wangu ni J.4 Kishimba.
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
Mungu akubariki kishimba kweli anaesema machinga atoke hajui pia akumbuke ipo siku atatoka
@typeywatengwa20463 жыл бұрын
Ww ndo Raisi wetu ajae,na WANANCHI Tunataka mtu kama ww,unastahili kuitwa BABA WA TAIFA kwa ss
@mshumbusideogratias95673 жыл бұрын
CBE inatoa feki orginal wanatoa wamachinga
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Kishimba anajua maisha ya chini na ya juu kwani ameyaishi yote. Wengine hawana uchungu kwani hawajui shida .na hawajawai kuiishi. Nchi itambue mlipa Kodi makubwa ni mlaji wa Mwisho. Ambao wengi ni wenye maisha duni na wanatafuta riziki pia kwa mbinde. Eee Mwenyezi Mungu tubariki Watoto wa Tz
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
Kishimba upo vizuri hao wanaosema machinga watoke hawajui maisha na hali za watu wa chini kahama oyeeeee
Kishimba ww ni mbunge unaakili sana na mungu atakujaalia
@alanusrespicius17963 жыл бұрын
Tatizo wabunge wengi ni wakoloni weusi. Hususani mbunge anayejiita Zungu. Huyo jamaa ni mkoloni mweusi. Anapendekeza tulipe kodi ya simu wakati pesa zilizopo zinaibiwa tu. Wizara ya pesa wamehujumu pesa za nchi hadi leo hakuna kauri yoyote ila mnawaza kuendelea kutukamua.
@annahpsimon11563 жыл бұрын
Yan wewe Baba Mungu akuweke🙏🏿
@ayubumoha63133 жыл бұрын
Mzee anajuwa matatizo ya watanzania
@geopolitics943 жыл бұрын
Mbunge makini sana huyu 🇹🇿 ❤️
@feruzinangwalanya53153 жыл бұрын
Kishimba ni noma
@naqillogistic58623 жыл бұрын
Huyu mzee anajitambuwa sana mungu azidi kumtunza na kumupa afya
@ericklibaba11983 жыл бұрын
Huyu Kishamba mtu makini Sana kwenye hoja zake...
@drhammo57093 жыл бұрын
Huyu mzee natamani nionane nae live (ananipa mfano wa kiongozi mzalendo
@samweliomahe5893 жыл бұрын
Njoo kahama anaongea na Kila mtu ndugu
@sabinawambura60293 жыл бұрын
Professor
@marthamarashi19133 жыл бұрын
Hongela. sana.
@michaelsamson96633 жыл бұрын
Unatema madini mzee ongela sana Kuna vijana wengine niwa sanii wamebweteka umo
@thieryniyonkuru50233 жыл бұрын
Hao wateule kinachowabughudhi ni kipii??? Hebu Prof kishimba ajibiwe🤣🤣🤣🤣🤣 Nikiwa USA 🇺🇸 huyo ndiye Mbunge wangu 100%
@aishachambo32933 жыл бұрын
😂😂😂
@johnjackson43633 жыл бұрын
Wasomi wajifunze kupitia huyu mzee. Wasomi wanasoma vitabu vilivyotungwa na wazungu hawajui maisha halisi
@welcometoeat1653 жыл бұрын
Kikubwa mwaka 025 nakupa kura yangu! Hata usipogombea URAIS
@husnahassan21243 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zaitunirashidi55323 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@dominikishilali59803 жыл бұрын
Uyu angekuwa laisi tanzania mngeinyoi sana mana kapiga eseba mpka mishahala wapu wana lipwa siku mbili mshala mtu hana
@petermwanyondo53703 жыл бұрын
Ujawai kosea mzee
@bashirmrisho84913 жыл бұрын
Dah...umemaliza mzee j4
@saulikinahi67033 жыл бұрын
Very bright mind🗞️
@godwinhaule61003 жыл бұрын
Wnaotaka kuongezwa posho mnawaona viti vitupuuuuu Kama mashabiki wa Simba pumbavuu kabisa hongera kishimba kwa kuwawakilisha wananchi wako
@christopherkanyalakc89413 жыл бұрын
We kidume
@matildamtumishi85162 жыл бұрын
Viongozi ni viburi hawasikirizi wala hawajali sijui tutafanyanye kwakweli ulieumba watu hawa utusaidie.
@khamisali59782 жыл бұрын
big up mzee
@noelimafwele6023 жыл бұрын
Akili kubwa kishimba anaongelea uhalisia wa maisha halisi kabisa ya binadamu wa chini wenye kipato Cha kawaida
@godlovemrosso59733 жыл бұрын
Baba yangu kishimba nakupenda sana kwenye hoja zako mm napenda kuziita hoja tukufu ila kwenye hili je wenye maduka makubwa ndo watoke wawaache machinga kwenye miji mikubwa je watapata wapi mali?
@ahmadmpinzire56493 жыл бұрын
Hao machinga ni mawakala wa maduka makubwa,maan wenye maduka makubwa hawawezi kunuka jasho kwny jua na kubembeleza wateja mpaka kununua,machinga wachukua kwa maduka makubwa kwa mali kauli af waingia mstari wa mbele kutafuta cha juu,ndio maan weny maduka makubwa wako kimya wajua jinsi wanavyonufaika.
@j_gh8123 жыл бұрын
Wamachinga elfu tano tu wakilipia viparata vya magufuli vya shilingi elfu ishirini kwa mwaka..Ni sawa na shilingi trillioni moja serikali imepata mapato hayo kutoka kwa wamachinga..hayati Magufuli alikua na akili ya ziada Sana..kweli baba ulisema tutakukumbuka.....
@absalimlufyagile49743 жыл бұрын
Kweli kachimba wewe mfano wa kuigwa ukumbuke ukitumbuliwa unaludi hukuhuku
@ramlazuber60383 жыл бұрын
Nimeliaaaaaa sanaaaàaa..
@jaymalebo21593 жыл бұрын
Honorable presedent 2025👏
@irakozejclaude78693 жыл бұрын
Wanapewa vyeo wenye elimu wakati maarifa ndio kichwa kwenye maendeleo ya inchi
@simonjonas14573 жыл бұрын
We unajua mpka unaboa mzee
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Mbona unapotosha...hakuna mtu aliyesema anatoa wamachinga....na serikali haijatamka kuwatoa...wamesema wanataka kuweka utaratibu mzuri...Mimi nashangaa kuona wabunge wa vijijini wanazungumzia machinga wa kariakoo...haiwezekani kuachia Hali Kama ile...kariakoo imejaa ndani ya miaka miwili hijayo itakuwa balaa maana kila mtu atakuwa machinga...serikali lazima ijena jibu ata ikiwezekana ata kununua maeneo kariakoo na ilala kujenga masoko makubwa ya wazi ya gorofa kusiwe na vizimba....tusijifanye tuna huruma na Hawa vijana kwa manufaa yetu kisiasa...tuumize vichwa ili kuwasaidia sio kuwaacha ili tupate kura zao...mkuu wa mkoa endelea na mpango wako
@pendomakali41153 жыл бұрын
Wewe sio wao,wewe unajitosheleza,ndio maana unatoa idea za abunuwasi,khaaaa
@fadhilikawambwa15863 жыл бұрын
POINT TUPU.ANASTAHILI UPROFESA
@josephbaraka84512 жыл бұрын
Mzee kishimba ama hakika unaongea vitu vyenye maono ndani yake MUNGU akuweke siku moja uwe rais wetu nchi inaitaji watu fct kama hawa ila wanao fikiria nje ya box watajibeba
@yohanamichael28583 жыл бұрын
tumbo likijaa watu husahau asili yao
@yonakatoto40673 жыл бұрын
Rais mtarajiwa.
@rahmarahma9203 жыл бұрын
Wewe ni mzalendo wakweli
@mekumeku24842 жыл бұрын
Huyu jamaa anawaza mbali asee...
@miriamsaidi10473 жыл бұрын
Mh kanywe Soda kwa mangi
@blueeyes59523 жыл бұрын
Uyu ndio Muzalendo na mkweli kuwa kiongozi kura yangu utapata siku zote. Hawaa mafisadi matajiri yanawaza yana waza wanaweza kuwa matajiri bila maskini????? Ndugai fukuza wote wa bunge wenye akila za umalaya za kunyanyaza maskini, je mnasahau kama tz ni ya mukulima na mfugaji?? Machinga waleo njo wakulima je hawa ruhusa ya kufurahia nchi yao???
@hilalkhalfan14523 жыл бұрын
Tuna ndege saivi wewee😂😂. Tanzania ya ndege hii
@mndambokilavo25023 жыл бұрын
Mimi ningeshauri serikali iunde kitengo cha wamachinga kama ewura ambacho kitatizima matatizo ya wachinga na changamoto zao kwa sababu ukiwasaidia wamachinga umesaidia kundi kubwa pili wamachinga wote watambuliwe kisheria hili TISS wanaweza maana ukisema kuna usajili wa wamachinga dar nzima watakuja, tatu kuwe na ufuatiliaji wa wamachinga kwa mfano wamachinga wanunue simu zile ndogo za 25,000 ambazo zitakuwa na namba maalum ambayo EMEI yake itakuwa kwenye database ya TRA na TRA washirikiane na mitandao ya simu, Hiyo simu itafanya wauze vitu vyao online kama vile MPESA, nne kuna mtu alifanya kitu kizuri sana pale soko la kariakoo nje alijenga viduka vidogo vidogo vizuri ambavyo wamachinga wanafanyia biashara kwa nin visingejegwa huku pembeni ya barabara vikawa kama urembo lakin watu wanapata ajira
@sospetermigera6853 жыл бұрын
Mzee huyu ana akili hatari ,huyu mimi ndo mbunge wangu bora kwa sasa .
@MAFUNDISHO13 жыл бұрын
PROF. kishimba namkubali sana aisee
@zariadunia63283 жыл бұрын
Hivi hili la kuwatoa machinga limetokea wapi au kwa sababu walimpenda Sana magufuli mpaka wakaingia airport na mtu anayelisemea Sana ni makala hivi hawajui umuhimu was machinga ngoja tuwaache tuone
@benedictojanuary49303 жыл бұрын
Huyu Kishimba si awe hata Raisi maana ana IQ kubwa sana ya kifikra. Kishimba Bonge LA kiongozi
@kajugaa45373 жыл бұрын
Matajiri wengi wafanya biashara na wengi walianza kama machinga kweli umachinga ni chuo kabisa
@lazarosteven72863 жыл бұрын
Ujawahi kosea mbunge wangu
@ramadhanmohamed64333 жыл бұрын
Unastahili upewe nafasi ya uwaziri wa tamisemi , ama wizara ya fedha
@computersales-tz3 жыл бұрын
Nyundo
@mwinyikadhi28703 жыл бұрын
Halafu na mpenda kiahimba hanaga Mambo mengi..sijuinkupongeza Sana Mara hivi yeye anajielekeza kwenye mada moja kwa moja
@mungaSapo10 ай бұрын
Poa sana
@chifupromise95753 жыл бұрын
💯👍👍👍👍
@MrMachume3 жыл бұрын
Huyu ndiye anatufaa kuleee mbeleni..
@emanuelmaro84713 жыл бұрын
Kwani viongozi vinawauma Nini,? Waache watu wafanye kazi
@salimkinyashi5623 жыл бұрын
Mzee kishimba umetisha sanaa we mzee una madini mdomoni mwako wewe ni mgodi unaotembea unaitaji mlinzi mzee mzeee.
@salimkinyashi5623 жыл бұрын
Mitano tena kishimba.
@calistgwaydamuy88133 жыл бұрын
Dahhhhh, Hadi raha watu wa kahama mitano tena
@jeffreywilliams11713 жыл бұрын
Hichi ni kichwa, je serikali inayafanyia kazi mawazo yake? Huyu hana chuki na yoyote, please apewe kitengo hasa kwenye biashara na uwekezeji kama itawapendeza wakubwa.pia mh kumbuka kuandaa kitabu ili alama zako zibaki.
@josephlutatina94163 жыл бұрын
Huyu mzee apewe uwaziri hata Kama Hana degree
@HeddySonBrownjr3 жыл бұрын
Huyu fother anapatikana wap?
@vitarismujuni68893 жыл бұрын
Khm,shy Tz
@hemedmselem48893 жыл бұрын
Yani machinga waendelee kublock barabara na kuchafua mandhari ya majiji Ndio kigezo cha uchumi hiko ? Duniani hakuna wafanya biashara kwenye barabara bwana huu ni uchafu tu Dunia yote inao machinga lakini wanatengewa maeneo yao kwa utaratibu mzuri wa kimazingira Huu ni uchafu tulonao tao tz Wakajifunze hata hapo rwanda kwa rafiki wa hayati wetu Waone kafanyaje kuhusu machinga