Kishki Awavaa Machawa wa Masharifu Feki na Amtaja Sharifu Feki Aliyemtukana Mtume Hadharani

  Рет қаралды 1,920

Ustadh Shafii Online Tv

Ustadh Shafii Online Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 52
@sultanmikoi
@sultanmikoi 3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi Sheikh Kishki...usimuogope yeyote hawana Kheri yeyote wanapotosha Ummah
@rashidiiddi2433
@rashidiiddi2433 3 ай бұрын
Shekh kishk tukopamoja walahukopekeako Allah akujalie maisha marefu inshaallah
@SarhaSaid
@SarhaSaid 3 ай бұрын
ALLAH amzidishie shekhe wetu Kishki
@ntendindaaasab7405
@ntendindaaasab7405 3 ай бұрын
MashaAllah Kaz nzur akh wafkishie
@abdallahazizi999
@abdallahazizi999 3 ай бұрын
Naomba Mwenyezi Mungu akupe nguvu kwakuipiganiya dini ya Allah Nikopamoja nawewe ni Abdou Marecani
@JamalManzi
@JamalManzi 3 ай бұрын
Nachompendea mm Shkh Kishki huwa habadiliki kwa kuiga watu, cku zote anasimama ktk ukweli wa mafundisho ya dini, hawa ndio maulamaa wa kweli wa Allah, Basi Allah azidi kukupa umri mrefu shekh ili watu wazidi kuvuna ilmu inshallah
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 ай бұрын
@@JamalManzi amekosea sana kumzalisha muislamu mwenzake wakati yeye kukosolewa hakubali kukosolewa
@JamalManzi
@JamalManzi 3 ай бұрын
@AbdullahOmar-be4wy Mmh sidhani, maana Shkh Kishki ni msikivu sana na mnyenyekevu hata kwa maamuma
@HalfanHemedi-r8z
@HalfanHemedi-r8z 3 ай бұрын
​@@AbdullahOmar-be4wysema kweli japokua chungu ujumbe umefika kazi kwao waache hau waendelee kwaviburi kazi kwao wako wenhi
@SarhaSaid
@SarhaSaid 3 ай бұрын
​@@AbdullahOmar-be4wyMuongo ww
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 ай бұрын
@@HalfanHemedi-r8z kasome dini kwanza nikuulize wewe hivi mfano ww unajiuza mimi ndio shekhe nikae msikitini nikuseme kwa sababu sema ukweli japo chungu au nije nikufuate tuzungumze ndugu yangu Halfan nizungumze kwa heshima na ww bila kukuita Malaya au lugha mbaya ipi njia mzuri kwako ww
@PasserbyMan-ju8ky
@PasserbyMan-ju8ky 3 ай бұрын
Allah akulipe sheikh kishki
@MochammdHadija-pn7nn
@MochammdHadija-pn7nn 3 ай бұрын
Mashaallah tabarak Allah Allah akuhifadhi
@salisali3738
@salisali3738 3 ай бұрын
ووواااااووو شتقناليك مرحبا بك
@ShabaniMussa-f8j
@ShabaniMussa-f8j 2 ай бұрын
Safi sana sheee
@mussaally7484
@mussaally7484 3 ай бұрын
Swadackta.
@AllyKipende
@AllyKipende 3 ай бұрын
Nimeoenda hii video post ya shekh shafi, yaani dini yetu ni kamili kabisa, nasisi tumekuwa umma bora kwa kukatazana mabaya na kuamlishana mema, kwahiyo haitakiwi kumuogopa yoyote anapofanya maovu katika dini yetu. Allah ambariki shekh shafi na shekh kishki katika hili. Endeleeni kusema kwa yoyote anaeleta ushirikina katika waislamu
@alidingongo443
@alidingongo443 3 ай бұрын
Sheikh shafi uko wapi
@SmithSalumu
@SmithSalumu 3 ай бұрын
Allah akuzudishiye kila la kheri sheikh wangu ? Nurdin kishk
@HamadSaid-m8g
@HamadSaid-m8g 3 ай бұрын
Allah akulipe sheikh
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 ай бұрын
Naaaaam swadakta, stara za kina mama zinaondoka. Kutokana hawa masharif feki. Allahu Akbar Mwenye awadharilishe fi dunia wal akher.
@djumasuleimanisuleimani2724
@djumasuleimanisuleimani2724 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@FadhilaMwema
@FadhilaMwema 3 ай бұрын
Naona shekhe unapiga kwenye mshono
@DhaharaniJongo-gt2un
@DhaharaniJongo-gt2un 3 ай бұрын
Uislam ni dini ya haki kishk tupo pamoja na wewe
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 2 ай бұрын
Kweli kabisa shekh wetu waambie hao NI SHARIFU FEKII HUYU ANAKAZI YA KUWATAPELI WATU
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 ай бұрын
Dili na imani yko
@Zafarmohamedy
@Zafarmohamedy 2 ай бұрын
🤔🤔
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 3 ай бұрын
Waislam tuko wengi tunakuunga mkono kwa kuokowa UMMA
@Zafarmohamedy
@Zafarmohamedy 2 ай бұрын
Sawa sawa eet walii wa shaitwaan 😂
@FariduJuma
@FariduJuma 3 ай бұрын
Ukoswadkta shekhekishik
@ramadhaniswami6152
@ramadhaniswami6152 3 ай бұрын
watu siku hizi wanawaza kutafutia tumbo tu hakuna mkalifu chini ya jua wote njaa zinatusumbua
@AmoIslamicTv
@AmoIslamicTv 3 ай бұрын
Sheikh Kishki yupo kwa ajili ya Kutetea Uislamu na sio kwa ajili ya Pesa kama Kuma Masheikh wengine. Kiukweli Kishki anauchungu juu ya wapotodhaji katika dini
@FadhilaMwema
@FadhilaMwema 3 ай бұрын
Shekh shafi mbona uko kimya kwenye uozo huu au na wewe uko pamoja na masharifu
@ramadhaniswami6152
@ramadhaniswami6152 3 ай бұрын
mtume hakufaya upako wala mafuta .alifundisha kutenda mema na kuacha mabaya. shida ya waislam wa leo hawasomi imani yao. kazi ubishi simba na yanga tu .kunaimani yao vichwa maji
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 ай бұрын
Shida una chuki zidi ya imani nyingine
@joezeno8
@joezeno8 3 ай бұрын
Afadhali na nyie waislamu, baadhi yenu kama Sheikh Kishki anawakemea Masheikh, Masharif na Madokta FEKI, sisi Wakristo hakuna Kiongozi anaye Wakemea hawa wanaojiita Mitume na Manabii! Sulle anajiita Doctor hata Sekondari hakumaliza, Mazinge PROFESOR, Mwaipopo anajiita Sheikh, Firdaus Sharif 😂
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 3 ай бұрын
Lakini lazima wakemewe si vizuri wanavyofanya
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 ай бұрын
Kishki jifunze kulingania bado unahitaji kujifunza hivi huyo unayemsema kabla hujamsema yupo dar na ww upo dar uliwahi kumfuata ukazungumza nae km muislamu mwenzako uislamu hauja fundisha kumvunjia heshima mtu hivi wewe angelikufanyia km unavyofanya wewe ungekubali mbona ww ukikosolewa hukubali uislamu haujafundisha hivi
@abdulrahmanmaiga9386
@abdulrahmanmaiga9386 3 ай бұрын
Alichokisema ni haki au sio haki vip mtu afatwe faragha na wakati aliyasema hadharani
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 3 ай бұрын
@abdulrahmanmaiga9386 bc firauni alikuwa anatangaaza hadharani na anajulikana tena anatisha kwa nn Allah alimwambia Mussa nenda kazungumze nae maneno laini sembuse waislamu kwa waislamu sio kila haki inasema na sio kila ukweli unasemwa na sio pahali unasemwa huu ndio uislamu umetufundisha
@HalfanHemedi-r8z
@HalfanHemedi-r8z 3 ай бұрын
Acha kutetea ujinga tatizo wako wengi watafuatwa wangap
@AbdullahOmar-be4wy
@AbdullahOmar-be4wy 2 ай бұрын
@@HalfanHemedi-r8z kaangale kzbin.info/www/bejne/eYjUd2SumNKbiassi=MwJOpGToNLw27QIe
@HamisiNyanga-s1j
@HamisiNyanga-s1j 2 ай бұрын
Kishki amesema hadhalani na kwa faida yetu sisi tusiojuwa kuhusu haya mambo lau kama angemfata faragha badi sisi tusingepata faida na tungeenda kwa masharifu wengine fake nakuendelea kumkosea ALLAHA
@ramadhaniswami6152
@ramadhaniswami6152 3 ай бұрын
ivi maana ya shalifu ni nini mi sielewagi hilo
@Zafarmohamedy
@Zafarmohamedy 2 ай бұрын
Doh 😅
@JamalManzi
@JamalManzi 3 ай бұрын
Nachompendea mm Shkh Kishki huwa habadiliki kwa kuiga watu, cku zote anasimama ktk ukweli wa mafundisho ya dini, hawa ndio maulamaa wa kweli wa Allah, Basi Allah azidi kukupa umri mrefu shekh ili watu wazidi kuvuna ilmu inshallah
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
USTADH SHAFII AMLIPUA MWAMPOSA NA UONGO MAFUTA YAKE
12:56
KALELA ONLINE TV
Рет қаралды 21 М.
SHEIKH: KESEDE( MAZINGE WA KONGO); AWALIZA WAUMINI KWA KISA  HIKI....
14:44
KIFO CHA MUHAMMAD IDDI CHAMUIBUA USTADH SHAFII KUKUMBUSHA HAYA-NA USIA WA MAREHEM
14:15
WAINJILISTI Waukwaa mkenge kwa Waislamu. Ust. shafi Shomari
26:32
OBA Online tv
Рет қаралды 10 М.
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19