Mimi nilidhani somo la Democrasia na Uzalendo lianze kufundishwa kuanzia ngazi ya shule za msingi, kwa kumaanisha. Ni Kazi sana kumuelewesha MTU aliyekomaa akakuelewa, tukianza na watoto itatusaidia. Watu wanakazi ya kupinga Kila jambo lisemwalo na viongozi, liwe Nzuri wanapinga Tu!
@cheobaking18614 жыл бұрын
Duuuhhhh zito we htr umebadilika tena hahahhaha kweli kunavinyonga w2
@tobokingeleja95554 жыл бұрын
Huyu jamaa mnafiki sana
@johnathanas82053 жыл бұрын
Genius uyo ww
@MakoyeAman7 жыл бұрын
hahahahahahaahahahahhaa Zitto bwana>> na huyo ndo zitto wa ACT ambayo watanzania tunaamini ni chama cha ukombozi>>>> #kaufyataMkia
@alinanusweedward37616 жыл бұрын
ulitaka aikosoe serikali
@michanomichano49317 жыл бұрын
yuda yuda yudaaasssss
@daktar_kapaku_natural5294 жыл бұрын
Hilo ndio tatzo lako zitto umekua nimtu usie na msimamo wewe ndio msaliti wetu unakula kote kote dhambi yako itakutafuna
@janethmrishi53703 жыл бұрын
Umeonaeeee mbaya uyooooi anamtafuna rais wetu chini kwa chini uzuri watanzania tumeisha mjua ccm oyeeeeeee
@mnayahika88907 жыл бұрын
Kweliiiiiiii
@edsonmwaibanje1297 жыл бұрын
On point
@jesusnetworkministry4 жыл бұрын
Siasa bwana hahhahahahahah
@selemaninkiko57147 жыл бұрын
Kweli tunataka maendeleo....
@gapablessgadison68632 жыл бұрын
Nakuomba zito urudi bungeni maana unasema kwa hekima zote
@radhiasalum8337 жыл бұрын
rahaaaa
@fatumamaiga84963 жыл бұрын
Unatembea na unafiki wako we Ni hatari sana
@manyweletheboss60537 жыл бұрын
kigoma unga bei gani watu wanashindia pipi kutwa mzima
@selemaninkiko57147 жыл бұрын
Manywele Theboss kigoma ya wap hyo wanashindia pipi
@janethmrishi53703 жыл бұрын
Labda wew ndy unashindia pipi sisi tunakula kutwa Mara tatu ukiwa mvivu kweli utashindia pipi
Hu yo ndy uzarendo tunao utaka penye mazuri sifia ,,japo unamabaya yako
@petershuma18966 жыл бұрын
Saida kslor
@ccmmbweawajangwani35054 жыл бұрын
Mnafki
@stevenseleli14107 жыл бұрын
Afrika bora wazungu wangeendelea kututawala tu tungekuwa mbali..
@merrysabina77987 жыл бұрын
yuda tu mbona hiyo haitishi huyo ni mnafki
@daudimaguha94477 жыл бұрын
unajua ni vigumu, sana africa kuhusu democras, watu wanaona fahari mpinzani ambaye anapinga tu,naona coment nacheka wanataka upinzani wa akina, lema africa inahitaji utawala,
@safari200917 жыл бұрын
Wataelewa tu siku moja Rais anamaanisha nini, Badala ya kupima maendeleo, watu wanapimanisha vyama. Democrasia haiko hivyo.
@stanleyshedrack23867 жыл бұрын
Shobo tupu
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Tuelewe maana ya siasa hawaeleweki
@lutusammid5717 жыл бұрын
yuda escariot
@emmydzoo87294 жыл бұрын
Hata ujipendekeze hupati kura yang
@purryselestine40006 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂magu anatamani amtie risasi zitto
@racheldauson94715 жыл бұрын
Hahaha kumbe na ww umeliona hilo
@kpetres28723 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@halimambwego82877 жыл бұрын
AYO umebinya leo si kawaida yako kulikoni jembe langu mtu wangu wa nguvu
@davidmtwigu49967 жыл бұрын
yuda iskariote upo umekonda mbyaa au sio mbunge
@happyfaniabatromeo80103 жыл бұрын
Maendeleo ya kigoma yanaletwa na chama Cha CCM
@saidkipara32963 жыл бұрын
Nyoo ata wengne hatukijui
@tripple_jonline57417 жыл бұрын
zitto kabwe the best good leader magufuli mfikilie na zito kumpa uongoz
@ahmedmtani94285 жыл бұрын
yuuuuuuuuda hiyo!!
@simonmajigop58907 жыл бұрын
ACT kwishenei hamna chenu tenaaa
@mmungalubunga44044 жыл бұрын
Hapo sio bunge lazima aongey hivyo awezi kumzalilisha rais mbele ya uma
@khatibumwalimu5914 жыл бұрын
Kigeugeu mtoto wewe ila wewe ni muislamu itakugarimu tu kwa unafiki wako, utavuna ulicho panda
@ghtnimzee24177 жыл бұрын
Njaaaaaa
@godfreymbwambo44607 жыл бұрын
KAMA NJAA YA MBOWE ALIVYOLIKARIBISHA FISADI LOWASSA CHADEMA KUUA UPINZANI. "NILITAKA KUSIMAMISHA MRADI WA RICHMOND/DOWANS LIKINI NILIPATA AMRI KUTOKA NGAZI ZA JUU KUENDELEA NA MRADI" vs " MRADI WA RICHMOND/DOWANS ULIKUWA MZURI KIASI CHA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI( HILLARY CLINTON) KUJA KUZINDUA MRADI," FISADI LOWASSA.
@ghtnimzee24177 жыл бұрын
Mwenyekiti alishaondoka, he will be the next to. Go.
@godfreymbwambo44607 жыл бұрын
NA BADO WATALITEUA TENA KUGOMBEA URAISI HALAFU LITASHINDWA KWA % KUBWA ZAIDI KULIKO LILIVYOSHINDWA 2015. BAADAYE WATATIA AKILI KWAMBA BABA WA TAIFA , MWL. NYERERE ALIKUWA SAHIHI KULIKATAA KUGOMBEYA URAISI!! HAHAHAHAHHAHA!!!!!