Nchi yetu ilikuwa imeenda sehemu mbaya sana tena sana kuambiana mtu msaliti,mchochezi nk hakika mungu fundi na pia mungu anaipenda tanzania
@romanamassawe8143 ай бұрын
Huyu mgogo mliyemuita speaker ni mgogo kweli kweli
@albashakluninshaah37274 жыл бұрын
Zito kafanya kosa kubwa sana hafai hata kulanae chakula pamoja hii ni kwa mawazo yangu. Ila ushauri wangu kwa wanasiasa na viongozi wakubwa vipenzi vyetu muliopo madarakani nawaomba tusiwatolee Mifano hasa viongozi wa Nchi zingine ambao bado wapo madarakani kanakwamba ni viongozi wasiofaa hasa katika vyombo vya habari na penginepo. Kwasababu wasaliti na watoasiri katika Nchi yetu bado tunao wengi waliojificha. Hii baadae italeta chuki baina ya Nchi yetu na Nchi Zao. Mwenyenzi Mungu ibaraki Tanzania na Afrika. Mwenyenzi Mungu Umlinde Mh. Rais wetu kipenzi Magufuri awe na Afya njema na imara na viongozi wote na wananchi wote wenye nia nzuri na Nchi yetu Mwenyenzi Mungu awalinde na awape Afya njema. Tanzania oyeeeeeeee, Africa oyeeeeee. Mimi ninayestahili kusamehewa. Ahsante
@frediricknandonde16904 жыл бұрын
Nilikua napitia comment za watanzania kuhusu swala la zitto lakini huelewa ni mdogo sana inatakiwa kujua kitu hiki uwe na akili nyingi sana .mfano mdogo tu hile ndege moja hela zake ingetosha kutatua tatizo hili na nimepiga hesabu inabaki chenji kama milioni 112 sasa nawashangaa watanzania wenzangu mnaongea ovyo ovyo yaani mpaka nawaonea huruma kusahua kitu kwa haraka
@ibrahimbakar6224 жыл бұрын
Hizo pesa hata kama zitapatikana zitatumika bara tu ni safi Mh. Zitto
@masaimmbea13744 жыл бұрын
Naona ni bora wasaliti wanao toka nje kuliko wasaliti mliopo hapo ndani nampenda sanaa raisi magufuli ila nawachukia sanaaa wabunge wa wa ccm kwa sababu hawatetei nchi wanatetea chakula chao
@eaglecrown38724 жыл бұрын
kweli kabisa ni umalaya tena sio wa kitoto limekubuhu
@zaitunimrisho10624 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi nanyi mna kazi nzito mnoo
@ramamongi34794 жыл бұрын
Uuu umalaya Malaya utatufanya na sisi tusiwe na amani tukazunguka zunguka kama Malaya malaya ataruhusu mabebelu wapate mwanga mkubwa kupitia yeye
@thomasraiton77604 жыл бұрын
Tatizo sio zito ila wakikopa mwananchi atazisikia tu, ila atazilipa kwa njia yoyote hata kama zimeyeyushwa na upepo wa kisulisuli.
@davidmgombele50344 жыл бұрын
Hahahahaaaaa %%%%%%&
@lukongejoshua91134 жыл бұрын
Kweli kabisa
@yahayasalum29434 жыл бұрын
Majukwaani tunahubiri msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Tukiambiwa ukweli, anayetuambia ni adui yetu mkubwa. Hatutakii mema. Ametumwa kutuangamiza.
@kyomamabifi54994 жыл бұрын
Zito yupo sahihi kabisa tz inahela san tu mnalilia vya mikopo wakat tz ina madin ambayo ni tanzanait iweje mnalilua kamkopo
@michaelmwaluko28824 жыл бұрын
Zito kiboko uko vzr
@AleX-sc8xp4 жыл бұрын
Duuu Kweli mambo mazito yana Zitto😁😁
@nyaticarriersllc307511 ай бұрын
Speaker ovyo sana, ndio yalikukuta
@titoruhanyula30024 жыл бұрын
No no no no no nasema no mnalilia vya nje nawakati vya ndan mmexhindwa kuvilinda wapi alipo lugola? Kod za wananchi izo macikin haohaooooo yann zitto?
@gwakisaphilipo70004 жыл бұрын
Tito Ruhanyula ccm vilaza
@fadhliaweso70964 жыл бұрын
Serikali inapesa kwann mnatolea macho kamkopo..,"unajenga ghorofa alafu unaomba ada ya mtoto",,🤔🤔🇹🇿
@senimashauri47964 жыл бұрын
Zitto kabwe alianza kusaliti chama chake cha chadema na sass amefikia hatua ya kusaliti taifa, huyu tukimuacha badae ataisalit dunia
@arexmerck23244 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@nuhumabondo91014 жыл бұрын
Kaa kando hujuii kitu usiogee tuu.... Ss ni matajiri hatuhitaji kusaidiwa
@omaniallybakari23724 жыл бұрын
@@nuhumabondo9101 acha uhanisi wewe kukopa sio kwamba wewe ni maskn jitambue jarbu kakaa na matajil ujue maden yao na utajili wao na uwaulize kwann nyinyi ni matajili mnakopa
@godmanmlokozi45194 жыл бұрын
@@omaniallybakari2372 unaipenda siasa lakn umegubikwa na ujinga hujui chochote
@masagapaul50394 жыл бұрын
Mhe mollel unajitambua braza
@mozaummy3274 жыл бұрын
Nyinyi mnasema pesa mnazo sasa mbona mlia 😂😂😂😂👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩👩❤️💋👩
@richardshija52094 жыл бұрын
Moza kwani wewe. Upo Nchi gani?
@kyomamabifi54994 жыл бұрын
😂😂😂😂😂zitakuwa zimeisha
@msamajames76634 жыл бұрын
Yaan mtu mmoja tu anawatoa jasho duuh
@hindisaidi50974 жыл бұрын
Naiona Tanzania ya kuvamiwa. Hawa wahalifu wanaaza kupata sapoti huko ya kutuangamiza.kikulacho kiko nguoni.si muda mrefu tutashuhudia uhalifu na uasi mkubwa.bahati mbaya wako wasio na elimu na wale wasomi wa chuo div.0 hushangiria. Mh!.MUNGU ATUSAIDIE
@abdullmohdy52784 жыл бұрын
Huyu aly kesi anaumwa na ni mnafik mkubwa mungu akuongeze usiushirikishe uislam na ukauchafua buree huo ni ujinga na ushenz @alykesi
Huyu bulembo ni mjinga kabisa unasemaje mtu auawe !!
@user-ig5yn4zp2uАй бұрын
Sijawahi kukuelewa moleri
@mussamassawe76244 жыл бұрын
Wabunge jaman benk ya dunia hawawez ku2nyima mkopo kwa aajili ya zitto,mnakiri zitto anaweza kuiishawish benk ya dunia,fatilien vizur kisheria!....na mhoji benki kuu ya dunia ni kwa sababu gan wamepinga mkopo usitoke na m2patie majibu wananchi tujue!...
@godrickmigella94514 жыл бұрын
Zitto the great
@mariammobeto55124 жыл бұрын
Ivi Tanzania imekosa nin lbda mpka mtgemee mikopo ndo m2mie akili Tanzania ina kila ki2 so Zotto kafanya jmbo la msingii
@richardshija52094 жыл бұрын
Hutupo kwaajili tusomeshe wazazi,tunasomesha Taifa la kesho.
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Naww lijulikane hovyo kabisa mara unasema serikali inahela kwani kuwa na hela unazuwiwakukopa? Mara unasema lamda kazushiwa yani mitatano imemzushia alivyokufa anaongea BBC KILIKUA KIVULI CHke? Upumbavu kutetea ujinga kama Huna CHAKUSEMA siku zingine unaweza KUKaa Kimya unajishusha sifa kusimama na kuongea visivyoeleweka kutetea ujinga
@makongwacleofa10794 жыл бұрын
zito kabwe ni malayamalaya wa siasa
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
KWELI WABUNGE WENYE MAONO WAPO WACHACHE ,MH JPM ANGEWATUMIA KULIKO WALE WA MAKOFI TU.
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Kivipi ndugu nieleweshe
@comrade834 жыл бұрын
Mimi ninachokijua ukoma ukiutimibia aibu utakukata mikono zitto kabwe hafai kuwa kiongozi wa Taifa hili Nashauli apewe adhabu Kali sana
@erickmasawe14994 жыл бұрын
Helimu zetu ndogo kila kitu tuna fanya ushabiki ssa hamsikilizi hoja nyee na ushabiki haya twende hivohivo /
@salumcosto72314 жыл бұрын
Daaah!! Kazi ipo
@cunada7124 жыл бұрын
Hamna tajiri ambaye hakopi
@calvinkitaly93764 жыл бұрын
Jualikani nimekuelewa
@trinitynorberth50684 жыл бұрын
vijana tunapnda kufata mkumbo babala ya kufkilia kiundan kiukwel zito kakosea sana awajibishwe kisheri
@mamaally61344 жыл бұрын
ni kweli tunakuunga mkono mm mwananchi
@faudhiathomas36164 жыл бұрын
Jualikali ni noma sana
@methodamani55774 жыл бұрын
Faudhia Thomas jua Mali bangi tu hamna kitu
@samanyaswai62724 жыл бұрын
Wapiga makofi kumbukeni hii ni 2020 Kitaeleweka Tuu Hoja za Upinzani huwa Siyo hoja
@marianamfomii11664 жыл бұрын
Hongera sana mh zito nchi ina pesa mkopo wa nini
@stevenmaselo52204 жыл бұрын
Huyo Malaya hana mtoto mkubwa ndio maana haoni umuhimu wa msaada mzuri huo afungiwe kupeleka kiherehere chake nje
@khadijakhafidh14234 жыл бұрын
Kwakeli huyo zito mpotoshaji na akifanya kitu hafikiri vizuri
@musajumamusajuma85444 жыл бұрын
Mmh niatar sana
@gilbertvicent42294 жыл бұрын
MSICHONGANISHE WATU,USIINGIZE DINI KWENYE MASLAH YENU...UISLAM UMERUHUSU POMBE HIZO MNAZOPANGIA BEI BUNGENI? UNARUHUSU UNYANYASAJI UNAOFANYWA DHID YA WANACHI?ACHENI KUUPOTOSHA UMMA
@fadhliaweso70964 жыл бұрын
Nimekuelewa serikali Haina dini Haina chama..Ila mmh hii ya leo😲😱
@wamalaibrahim18444 жыл бұрын
zito usituhalibie nchi Mimi nimubongo aliozalia inje so jilekebishe ikia Tanzania ni nchi yako
@phelisiwedondolo62964 жыл бұрын
Ziti malayamalaya
@florianlasway6014 жыл бұрын
Kwan zito aliongea nn BBC mbon upinzan unabisha akat ushahd upo.zitto.!pole sana na kipimo unachopimia watu ndo utajakikuta huko mbele ya haki.
@dramachatta38514 жыл бұрын
Zito ni mngese tu
@edsoniminani70614 жыл бұрын
Dahh siasa noma saanaa et Silinde na Lijualikali tayari Ni Wana CCM
@yeremiahnathan63074 жыл бұрын
Uwingi wa wabunge wa ccm ni chanzo cha kuleta ujing Tanzania nlimxikia katibu mwenezi wa ccm akixema popote alipo mbunge wa ccm axibuguziwe na mtu awe anafanya mazuri au mabaya axibuguziwe na mtu na akaxema wamekubaliana na kamati kuu xaxa ni nchi gan hii
@abdullmsuya14894 жыл бұрын
Yaani spika unavyoonekana unavyoongea tu kama kunajambo unataka kuliladhimisha hapo nakuomba achana na hii issue bungeni iachie serikali lakini pia ongeeni kwa hoja sio ushabiki na uzandiki
@odethaerick62444 жыл бұрын
Ww mh Mabula umewahi kufika kigoma ww ukakutana na rami na uhuru umepatiakana lini ww
@lauriangervas13924 жыл бұрын
Watanzania inabid tujitambue
@allykutenga28624 жыл бұрын
Nyie mnaznguwa wa2 2uuu na mtihani ulokuwepo TZ wajinga wng,,ila jamn hawa wanalilia hela kwa maslahi yao tu hawana lolote wakitoka hapo laki3 tatu kwa kila mfuko..
@philiposam57624 жыл бұрын
Malaya Malaya wa kisiasa
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Haya zito umeskia hufai kabisa,msaliti
@allysudi44294 жыл бұрын
Matumizi ya pesa iyo ni muhimu sana ila mikopo nayo ni mabaya sana hatuwezi kuendelea kama nchi imejaa na mikopo maana tutafanya kazi na mwisho wa siku tutaishia kulipa madeni na kuendelea kuwanufahisha wao sasa cha msingi ni kupambana kupata iyo pesa kwenye mfuko wa serikali na naamini iyo pesa ipo bila shaka maana kwa sasa inchi yetu ipo makini sana kwenye swala la ukusanyaji wa mapato na hao wabunge wanaong'ang'ania huyo mkopo ndo haohao tutaskia mmoja kuchukua mia na mwingine mia mbili na tatizo litakuwa palepale so tujitahidi kujenga maendeleo ya taifa hili kwa kutumia pesa pesa yetu ukizngatia kwa sasa tunaumia hali ni mbaya ili taifa liende sasa ujenzi wa madarasa tu mnataka kukimbilia mikopo...!??!!
@valentinamgeni19484 жыл бұрын
Waabunge kueni makini ktk maneno yenu mnaongea maneno ya hatari na taifa mnaenda kulivunja vipandevipande
@edsoniminani70614 жыл бұрын
Zitto ni mupumbafu kabisaa
@georgekawa56704 жыл бұрын
Me nashangaa wabunge wetu km zito kaandika barua kuomba kusitisha mkopo na nyie si muandike yenu kupinga hoja zake y mnamshindwa?
@mozaummy3274 жыл бұрын
Maslahi yenu sio taifa
@samwelmwaipopo14554 жыл бұрын
Zito alizaliwa familia ya wenye Visa chuki na wivu kwa waliofanikiwa
@jamesmasome3594 жыл бұрын
Liju likali pumba kweli kweli
@fadhliaweso70964 жыл бұрын
Ww mbunge mweupe serikali Haina dini ..uisilam unakujaje
@kaidrisa27114 жыл бұрын
YAANI KUMBE NYIE WABUNGE WAPUMBAVU SANA YAANI MAMBO YENU UNAZI UNAZI
@kasianimwangamila32134 жыл бұрын
Jaman jaman kikumbwa amani itawale tanzania na haki pia
@sirvergans45424 жыл бұрын
Kichwa kimoja kime wazidi akili mimi nilishaish nao hadi getto na wajua vizuri kwa kujiongeza ni hatari sana
@mdoman27944 жыл бұрын
Sasa lazima mkopo kwa hatuna vitega uchumi
@Raysam-ki1rc4 жыл бұрын
Mnakaaa mnajadili pesa za mikopo hamjadili mtu anaeenda nje ya nchi na kuenda kufunga mikataba bila bunge kupenda halafu hilibula ta tanzania kama jina jipya la tanganyika
@mwalimumohamedi40074 жыл бұрын
Uko juu
@jospinabraison5244 жыл бұрын
😭😭😭
@mamaally61344 жыл бұрын
mchapeni tu huyo zito
@denishamka86574 жыл бұрын
Ndio maana alifukuzwa chadema
@amiabillity46094 жыл бұрын
niruhusieni mm nimnyooshe zitto pumbav xn
@nyanzafrank67264 жыл бұрын
wewe ndo mpumbavu umenyosha wangapi
@amiabillity46094 жыл бұрын
@@nyanzafrank6726 mkundu wako
@kingyehoshafatitvbornerys24964 жыл бұрын
@@nyanzafrank6726 🤣🤣🤣🤣
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Mimi Nashangaa sana waha wapinzani sijui wanataka kutetea zitto Mnataka serikali isbitishe nawakati yeye mwenyewe kakiri kwenye TV ya kubwa BBC? mnataka usibitisho gani?
@josephzakaria44624 жыл бұрын
Watoto wa upinzani ni kina Nani? Tuna tatizo Kubwa kama Taifa kwa baadhi ya wawakilishi wetu
@theodorycharles63844 жыл бұрын
Mmmh tananzania hii jaman simnasema serikali yenu inapesa sana nahaihitaji mikopo kutokea popote sasavp leohii
@allykutenga28624 жыл бұрын
Theodory Charles;Serikali imechoka kama cc wananchi,,na huyu vp nakumbuka kama alikuwa chadema au nae kashavuta mkwanja mrefu..
@htvtanzania34834 жыл бұрын
We msenge tyuuu
@J4UPro4 жыл бұрын
Theodory Charles wewe kwani ni wanchi gan
@jovitusngonge81904 жыл бұрын
Saw saw uyo msaliti
@jumambonde53614 жыл бұрын
Nchi yetu inaitaji wazalendo
@barakagaby76154 жыл бұрын
He!! jamani hv si mlisema tunajitosheleza kwa fedha zetu za ndan na hatuhitaji mikopo sasa mbona mnapanic? au mmesahau kauli za muheshimiwa raisi? tanzania bana, mwanzo waliposema hatuwezi kuendesha miradi kwa fedha zetu mliwapinga tena kwa hali ya juu ss leo hiyo mikopo mnaitaka ya nini?
@georgemassebu20834 жыл бұрын
Mtu anaitwa "lijua likali" hata akiongea unamuona ni kama wale watu hua wanabishana ovyo kwenye vijiwe
@mboyjoseph25224 жыл бұрын
Zitto baba lao nice mubunge wangu zitto I love u
@unsfinityjr27484 жыл бұрын
Mamimba
@mussamassawe76244 жыл бұрын
Dah,ama kweli!.....mheshimiwa anadili na zitto!...pambana!...
@magangashilogile4 жыл бұрын
tuuze ndege zetu tupate hela
@asfiwekibona32744 жыл бұрын
Limewagusa
@mozaummy3274 жыл бұрын
Muuwe kama utaewza mwanga wewe
@zakariambughi34934 жыл бұрын
hapo kunajambo chini ya kapeti
@sebastianngimba66294 жыл бұрын
sasa mkopo wanini wakati mmesema tunajitosheleza.aa jamaniiiiiiii
@monicachoga58784 жыл бұрын
Pumbavu sana wewe huna akili
@salumcosto72314 жыл бұрын
Miaka 14 akitiwa mimba fukuza shule
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Msaliti huyo wakat jimboni kwake Kuna shida ya elimu
@jordanfromyt28614 жыл бұрын
Duh Tz bunge lenu ni tulivu kuliko zenginezo
@nazarethmwakipembe3246 Жыл бұрын
Mh
@atuganilemwakipesile49794 жыл бұрын
Zito ujielewi kabisa,upo upo tu.
@ombenimshana91624 жыл бұрын
Nchi inahela 😴
@elishastephano14314 жыл бұрын
mimi natoka kigoma mjini huyo zito hatufai
@m.mmarckus62984 жыл бұрын
Uchaguzi unakuja anagalieni
@robertfrank12074 жыл бұрын
Zito yupo saii kwakuwa humu ndani hamna sehemu ya kusikilizwa. Ubabe mtupu
@jessydaktari52094 жыл бұрын
He is selfish 😢😢
@hemediswaibu51994 жыл бұрын
Uko vizur jualikari
@robertfrank12074 жыл бұрын
Mnaomba ela za kampeni nyie ccm. Acheni uongo ndio maana zito ameshitukia.