Рет қаралды 531
Kwenye mada hii" Kuvumilia: Coping with Uncertainties in Contemporary, Post-Belt and Road Initiative (BRI) Mombasa", mtafiti Kadara Swaleh wa Leibniz-Zentrum Moderner Orient anazungumzia jinsi jamii ya watu wa Mombasa inavyotumia falsafa ya Kiswahili ya KUVUMILIA kukabiliana na madhara ya mradi wa reli (SGR), ambao ni sehemu ya mradi mkubwa wa usafiri na usafirishaji wa China (BRI).