Nimesikiliza zaidi ya mara kumi lkn bado nahc nahtaji kusikiliza zaidi hongera sana sana msomaji umenibariki sana. Ubarikiwe zaidi ya nilivyobarikiwa.
@ema4968 Жыл бұрын
Hongera sana kaka mapungufu kidogo sana mfano mara nyingi limetumika neno mbona waniudhi
@ibrahimwario953Ай бұрын
Paulo ako na hata vijana sasa na shangaa sana ukiwa mwalim unatufunza akuoa ajabu
@EmmanuelMwangesile-gb8iq8 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana mnatukumbusha vitu vingi mungu akuongezee maarifa umenibariki
@togetherchristiansmedia34373 жыл бұрын
Thanks
@samuelbahizire761 Жыл бұрын
Asante sana naipenda kazi yenu
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Kumbe huja soma historiya. Paulo ni mrumi
@madetetv6576 Жыл бұрын
Paulo ni myahudi ndugu fatilia vizuri vyanzo vyako vya history
@barakaelisha42792 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana nasomo lako unatujuza vingi
@EM24TV2 жыл бұрын
Ameni sana, ubarikiwe mnoo
@baltazarynyambita55353 жыл бұрын
Bwana Yesu awabariki Sana mzidi kuchambua jamani
@amosmpeko5283 Жыл бұрын
Amen
@augustinosamweli8293 Жыл бұрын
Vizuri sana🥰
@MussaMweta-fz1gv11 ай бұрын
Ameni
@bedelmasilya3053 жыл бұрын
Thanks about thé video
@EM24TV3 жыл бұрын
Thanks and welcome back
@michaelelia70583 жыл бұрын
Safi sanaa
@EM24TV3 жыл бұрын
Asante sana ndugu. Barikiwa mnoo
@daudaloyce-km4id Жыл бұрын
Kazi nzuri sana kaka
@EM24TV Жыл бұрын
Ameni
@paulootieno22352 жыл бұрын
Bwana anatenda
@vonickalfred259710 ай бұрын
Good
@EM24TV10 ай бұрын
Ameni
@peterm.kishoa7192 жыл бұрын
Uka sawa ksbisa
@EM24TV2 жыл бұрын
Asante sana. Karibu tena na tena.
@luwissimonje34222 жыл бұрын
Mtume Paulo alikuwa na watoto ? Au aliowa
@EM24TV2 жыл бұрын
Hakuna maelezo yanayo jitosheleza kuhusu kuwa na mtoto au kuoa, taarifa zake ziliandikwa baada yeye kuokoka, kwaivo maisha yake ya kale hakuna mahali yaliandikwa kwaivo hatuna ushahidi wowote kuhusu hilo.
@danielernest84183 жыл бұрын
Saf
@EM24TV3 жыл бұрын
Asante sana
@heripaulo1008 Жыл бұрын
Alioa na alikuwa na watoto saba pia huwezi kufanya kazi sunheadilini Bila mke na ndo maana walimtumia kwenye kukamata watu ila alipoa za kazi aliacha familia yake Jerusalem kwa alikaa koritho miaka sita efeso miaka mitatu kwa hakuna aliona mke wake maana hakuwa naye muda huo ndio maana akasema ni heri kukaa kama yy alivyokuwa
@chrisonbwanasua4007 Жыл бұрын
Mke wake nawa toto wake wali uwawa. Kisha kuanza kazi ya bwana yesu
@kawambwajunior94432 жыл бұрын
Hakun mtume anaeitwa Paul
@saitotisapiyo94462 жыл бұрын
Wasilamu mko na shida sana. Ukona andiko kwa Quran Paulo si mtume
@simaraphaellucas84693 жыл бұрын
Jina Avith limeandikwa ktk kitabu gani? Kwenye bibilia
@EM24TV3 жыл бұрын
Asante kwa swali lako @Simaraphael Lucus, tutakurejerea na jibu la swali lako. Barikiwa sana
Kasome tena nyinyi ndiyo munasoma nyaraka za Paulo vibya 2 petro 3:15-16
@gracejohn12883 жыл бұрын
Kazi yenu ni njema sana. Lkn wakorintho 1 :3: 14 je inamaana wanawake wafunge vichwa vyao au inamaana gani hii
@EM24TV3 жыл бұрын
Asante sana Kwa Pongezi, Ubarikiwe mnoo, kwa habari ya wanawake kufunga vilemba vichwa vyao tutaileta hivi karibuni.
@hamisimfaumenamwewe1933 жыл бұрын
Wanawake hawatakiwi kuwa vichwa wazi. Wanatakiwa wafunike kichwa chote! Soma 1 Wacorinto 11:5,6) Pia vazi la mwanamke mwema mcha Mungu, ni vazi la Stara"Hijabu" vazi la Sheria vazi la Heshima vazi la Ucha Mungu. Soma 1 Timotheo 2:9,10) Mavazi mafupi yakubana ya mpasuo au suruali zakubana, hayo ukivaa wakati wakutoka out, maandiko yanasema wewe ni kahaba. Epuka na mavazi hayo hayafai. Soma Mithali 7:10,11) Kama una swali lingine uliza Dada yangu nitakusaidia.
@emanuelyupinna61333 жыл бұрын
Kuna.vifuno.viwili.nywele.ndefu.au.kitambaa
@emanuelyupinna61333 жыл бұрын
Amina
@saitotisapiyo94462 жыл бұрын
Soma 15 hapo hapo.
@kipingudominiki68043 жыл бұрын
Pup PP
@EM24TV3 жыл бұрын
Asante sana na Ubarikiwe
@jumajaffary96983 жыл бұрын
Uongo mtupu, Aliwauwa wakristo? Ukristo umeanzishwa na nani?
@rosemiriamngara213 жыл бұрын
Unajua unachokiandika kweli??
@piuslyimo4863 жыл бұрын
Ujitambui
@piuslyimo4863 жыл бұрын
We juma si lazima kukoment Kama huna vitu vya msingi
@mwamvitamhongole93203 жыл бұрын
Ipo siku inakuja utajua tu...usiongeee usicho kijua
@jacksonnzai15933 жыл бұрын
Umeanzishwa na Mungu punde alipomleta Yesu mwanawe mzao was kwanza.