Kwanini mtume Paulo hakuoa? Simulizi ya maisha ya Paulo, Mtume na mwandishi wa kwanza wa Agano jipya

  Рет қаралды 60,079

EM24 TV

EM24 TV

3 жыл бұрын

#simulizizabiblia #mtumepaulo

Пікірлер: 56
@chiwaligojoseph8529
@chiwaligojoseph8529 3 жыл бұрын
Nimesikiliza zaidi ya mara kumi lkn bado nahc nahtaji kusikiliza zaidi hongera sana sana msomaji umenibariki sana. Ubarikiwe zaidi ya nilivyobarikiwa.
@ema4968
@ema4968 Жыл бұрын
Hongera sana kaka mapungufu kidogo sana mfano mara nyingi limetumika neno mbona waniudhi
@ibrahimwario953
@ibrahimwario953 Ай бұрын
Paulo ako na hata vijana sasa na shangaa sana ukiwa mwalim unatufunza akuoa ajabu
@EmmanuelMwangesile-gb8iq
@EmmanuelMwangesile-gb8iq 8 ай бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana mnatukumbusha vitu vingi mungu akuongezee maarifa umenibariki
@togetherchristiansmedia3437
@togetherchristiansmedia3437 3 жыл бұрын
Thanks
@samuelbahizire761
@samuelbahizire761 Жыл бұрын
Asante sana naipenda kazi yenu
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Kumbe huja soma historiya. Paulo ni mrumi
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
Paulo ni myahudi ndugu fatilia vizuri vyanzo vyako vya history
@barakaelisha4279
@barakaelisha4279 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana nasomo lako unatujuza vingi
@EM24TV
@EM24TV 2 жыл бұрын
Ameni sana, ubarikiwe mnoo
@baltazarynyambita5535
@baltazarynyambita5535 3 жыл бұрын
Bwana Yesu awabariki Sana mzidi kuchambua jamani
@amosmpeko5283
@amosmpeko5283 Жыл бұрын
Amen
@augustinosamweli8293
@augustinosamweli8293 Жыл бұрын
Vizuri sana🥰
@MussaMweta-fz1gv
@MussaMweta-fz1gv 11 ай бұрын
Ameni
@bedelmasilya305
@bedelmasilya305 3 жыл бұрын
Thanks about thé video
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Thanks and welcome back
@michaelelia7058
@michaelelia7058 3 жыл бұрын
Safi sanaa
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Asante sana ndugu. Barikiwa mnoo
@daudaloyce-km4id
@daudaloyce-km4id Жыл бұрын
Kazi nzuri sana kaka
@EM24TV
@EM24TV Жыл бұрын
Ameni
@paulootieno2235
@paulootieno2235 2 жыл бұрын
Bwana anatenda
@vonickalfred2597
@vonickalfred2597 10 ай бұрын
Good
@EM24TV
@EM24TV 10 ай бұрын
Ameni
@peterm.kishoa719
@peterm.kishoa719 2 жыл бұрын
Uka sawa ksbisa
@EM24TV
@EM24TV 2 жыл бұрын
Asante sana. Karibu tena na tena.
@luwissimonje3422
@luwissimonje3422 2 жыл бұрын
Mtume Paulo alikuwa na watoto ? Au aliowa
@EM24TV
@EM24TV 2 жыл бұрын
Hakuna maelezo yanayo jitosheleza kuhusu kuwa na mtoto au kuoa, taarifa zake ziliandikwa baada yeye kuokoka, kwaivo maisha yake ya kale hakuna mahali yaliandikwa kwaivo hatuna ushahidi wowote kuhusu hilo.
@danielernest8418
@danielernest8418 3 жыл бұрын
Saf
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Asante sana
@heripaulo1008
@heripaulo1008 Жыл бұрын
Alioa na alikuwa na watoto saba pia huwezi kufanya kazi sunheadilini Bila mke na ndo maana walimtumia kwenye kukamata watu ila alipoa za kazi aliacha familia yake Jerusalem kwa alikaa koritho miaka sita efeso miaka mitatu kwa hakuna aliona mke wake maana hakuwa naye muda huo ndio maana akasema ni heri kukaa kama yy alivyokuwa
@chrisonbwanasua4007
@chrisonbwanasua4007 Жыл бұрын
Mke wake nawa toto wake wali uwawa. Kisha kuanza kazi ya bwana yesu
@kawambwajunior9443
@kawambwajunior9443 2 жыл бұрын
Hakun mtume anaeitwa Paul
@saitotisapiyo9446
@saitotisapiyo9446 2 жыл бұрын
Wasilamu mko na shida sana. Ukona andiko kwa Quran Paulo si mtume
@simaraphaellucas8469
@simaraphaellucas8469 3 жыл бұрын
Jina Avith limeandikwa ktk kitabu gani? Kwenye bibilia
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Asante kwa swali lako @Simaraphael Lucus, tutakurejerea na jibu la swali lako. Barikiwa sana
@lileoh3893
@lileoh3893 2 жыл бұрын
Unauhakika acheni ujinga mbona anasema. Injili hiyo mliiamini bule wakolinto wakwanza 15
@saitotisapiyo9446
@saitotisapiyo9446 2 жыл бұрын
Kasome tena nyinyi ndiyo munasoma nyaraka za Paulo vibya 2 petro 3:15-16
@gracejohn1288
@gracejohn1288 3 жыл бұрын
Kazi yenu ni njema sana. Lkn wakorintho 1 :3: 14 je inamaana wanawake wafunge vichwa vyao au inamaana gani hii
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Asante sana Kwa Pongezi, Ubarikiwe mnoo, kwa habari ya wanawake kufunga vilemba vichwa vyao tutaileta hivi karibuni.
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 жыл бұрын
Wanawake hawatakiwi kuwa vichwa wazi. Wanatakiwa wafunike kichwa chote! Soma 1 Wacorinto 11:5,6) Pia vazi la mwanamke mwema mcha Mungu, ni vazi la Stara"Hijabu" vazi la Sheria vazi la Heshima vazi la Ucha Mungu. Soma 1 Timotheo 2:9,10) Mavazi mafupi yakubana ya mpasuo au suruali zakubana, hayo ukivaa wakati wakutoka out, maandiko yanasema wewe ni kahaba. Epuka na mavazi hayo hayafai. Soma Mithali 7:10,11) Kama una swali lingine uliza Dada yangu nitakusaidia.
@emanuelyupinna6133
@emanuelyupinna6133 3 жыл бұрын
Kuna.vifuno.viwili.nywele.ndefu.au.kitambaa
@emanuelyupinna6133
@emanuelyupinna6133 3 жыл бұрын
Amina
@saitotisapiyo9446
@saitotisapiyo9446 2 жыл бұрын
Soma 15 hapo hapo.
@kipingudominiki6804
@kipingudominiki6804 3 жыл бұрын
Pup PP
@EM24TV
@EM24TV 3 жыл бұрын
Asante sana na Ubarikiwe
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 3 жыл бұрын
Uongo mtupu, Aliwauwa wakristo? Ukristo umeanzishwa na nani?
@rosemiriamngara21
@rosemiriamngara21 3 жыл бұрын
Unajua unachokiandika kweli??
@piuslyimo486
@piuslyimo486 3 жыл бұрын
Ujitambui
@piuslyimo486
@piuslyimo486 3 жыл бұрын
We juma si lazima kukoment Kama huna vitu vya msingi
@mwamvitamhongole9320
@mwamvitamhongole9320 3 жыл бұрын
Ipo siku inakuja utajua tu...usiongeee usicho kijua
@jacksonnzai1593
@jacksonnzai1593 3 жыл бұрын
Umeanzishwa na Mungu punde alipomleta Yesu mwanawe mzao was kwanza.
@safaribicocero4916
@safaribicocero4916 2 жыл бұрын
Amen
@EM24TV
@EM24TV 2 жыл бұрын
Ameni Ameni
Maisha na vifo vya mitume wa yesu
13:28
Shane Tv
Рет қаралды 4,6 М.
UKATILI WA MTUME PAULO AMBAO WAKRISTO WENGI HAWAFAHAMU.
11:06
Cas Digital.
Рет қаралды 1,3 М.
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA MWANAMKE NI NANI.  [ 1 ]
45:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 424 М.
Waraka wa 1 wa Paulo Mtume kwa Wakorintho ~ Sura ya 1 Hadi ya 16
59:36
KISA CHA MFALME SULEIMAN NA WAKE ZAKE 700 NA MAKAHABA 300
11:10
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 101 М.
HISTORIA YA MJI WA EFESO & MTUME PAULO.
19:26
MARANATHA ONLINE TV.
Рет қаралды 14 М.