Рет қаралды 4,076
Hii ni Simulizi Fupi Sana ya Maisha ya MTUME PAULO. Wakati huo akifahamika Kwa Jina la Sauli.
Sikiliza na Utafahamu ni jinsi Gani Mungu wetu alivyo Mtimilifu katika Kazi zake. Yeye Mungu uchagua Nani awe Nani na Kwa wakati Gani.
Paulo aliyekuwa Mfarisayo Katili alobadilika Hadi Kuwa Nguzo mojawapo ya Ukristo Duniani. Yapo Mengi Sana Ambayo hata humu hayajasimuliwa.
#Mungu ni Mwema Kila wakati.
#Kila Wakati Mungu ni Mwema.