Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf Жыл бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
@ElizabethNyambura-jr8ey10 күн бұрын
Mbona Leo sioni nguo za lukamba
@hamisahamisa589610 ай бұрын
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
@abdillahrashidnassor79738 ай бұрын
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis95799 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil3859 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@hamisahamisa589610 ай бұрын
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@AshuraSalum-d6q9 ай бұрын
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421 Жыл бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642 Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
@melanialeonard40312 ай бұрын
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
@ElizabethNyambura-jr8ey10 күн бұрын
😂😂😂😂
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior Жыл бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620 Жыл бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840 Жыл бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@hasani565 Жыл бұрын
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
@faithfaith-zr6gz11 ай бұрын
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
@sarahmcharo154810 ай бұрын
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
@rosemarykipesha424210 ай бұрын
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
@Yolanda-n3x9 ай бұрын
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology1857 ай бұрын
We una magari mangapi?
@MwarafiaAbdi Жыл бұрын
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@NancyBrayan-wi2lr10 ай бұрын
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@msolekaonlinemedia7 ай бұрын
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
@kerryestomic809911 ай бұрын
Mwanamke ndo Ana hela hapo
@cdeleo9336 Жыл бұрын
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@Yolanda-n3x9 ай бұрын
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@upendommbaga70709 ай бұрын
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
@pilimwanza8117 Жыл бұрын
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@aminaomary55678 ай бұрын
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@SelinaMdoe-jv1pu10 ай бұрын
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
@everlyne859511 ай бұрын
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
@SuraiyaAli-c6t Жыл бұрын
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
@hamisahamisa589610 ай бұрын
Kweli huyu dada mja mzito
@jamilajamila45729 ай бұрын
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@Ginna-i3v8 ай бұрын
Nyumba ina furniture 10 sijui
@priscajohn6090 Жыл бұрын
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@ShekhaAzizi-yb1ow7 ай бұрын
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@MwanaishaShattry10 ай бұрын
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@Mb0g0z Жыл бұрын
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Aaaaaaniiiii
@dottomsuya65979 ай бұрын
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
@fawzalbusayid723211 ай бұрын
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@akiraaudreille604311 ай бұрын
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@neemasabarabridalissa833610 ай бұрын
Hiyo pesa ni bora ajenge
@5Multpurpose Жыл бұрын
Hana akiri uyo😅😅😅😂
@adamkisheta843910 ай бұрын
Daaah imbomboo ngafuuu
@ndrwdotts4347 Жыл бұрын
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
@ummukulthummohd5403 Жыл бұрын
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor873210 ай бұрын
Kituko 😂😂
@happynelson11369 ай бұрын
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@AishaFerous-jp8oq10 ай бұрын
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka9 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@upendojames5378 Жыл бұрын
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892 Жыл бұрын
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
@babiddi8620 Жыл бұрын
Hahaha
@RacherBakari-qh2gx Жыл бұрын
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
@WlkmkeissBriana8 ай бұрын
Nimechek na uyo dada
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@deboramartin8111 Жыл бұрын
Wigi mweeee 😂
@zahra526711 ай бұрын
Mzee wa kulelewa
@Kharua-pw8fw8 ай бұрын
Wasenge hao
@roqayaro94399 ай бұрын
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363 Жыл бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496 Жыл бұрын
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@husnazahorohusna3905 Жыл бұрын
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@Manswabu Жыл бұрын
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
@maryrich Жыл бұрын
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
@tausimohammed428611 ай бұрын
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
@ashminaabdulla894611 ай бұрын
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@rayaali75517 ай бұрын
HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻♀️🙆🏻♀️🙆🏻♀️
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
@ikramalmas7039 Жыл бұрын
Hizo nywele sasa
@hidayadaymiss4386 Жыл бұрын
Mm nilijua jumbo Lao!!!
@ngwaleseif858610 ай бұрын
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@IreneMwenda-nl2hu Жыл бұрын
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642 Жыл бұрын
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
@angelmaige-yc5gb11 ай бұрын
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako