LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

  Рет қаралды 77,143

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi #showbizz

Пікірлер: 263
@lisauroble31
@lisauroble31 7 ай бұрын
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
@tikaeddie7284
@tikaeddie7284 Жыл бұрын
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 Жыл бұрын
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf Жыл бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
@ElizabethNyambura-jr8ey
@ElizabethNyambura-jr8ey 10 күн бұрын
Mbona Leo sioni nguo za lukamba
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 10 ай бұрын
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 8 ай бұрын
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 9 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil385
@salmabasil385 9 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 10 ай бұрын
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@AshuraSalum-d6q
@AshuraSalum-d6q 9 ай бұрын
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421
@modycombo7421 Жыл бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 2 ай бұрын
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
@ElizabethNyambura-jr8ey
@ElizabethNyambura-jr8ey 10 күн бұрын
😂😂😂😂
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior
@Ndiminijunior Жыл бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620
@babiddi8620 Жыл бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840
@joycechaz2840 Жыл бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@hasani565
@hasani565 Жыл бұрын
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 11 ай бұрын
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 10 ай бұрын
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 10 ай бұрын
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
@Yolanda-n3x
@Yolanda-n3x 9 ай бұрын
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology185
@mypsychology185 7 ай бұрын
We una magari mangapi?
@MwarafiaAbdi
@MwarafiaAbdi Жыл бұрын
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 10 ай бұрын
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@msolekaonlinemedia
@msolekaonlinemedia 7 ай бұрын
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
@kerryestomic8099
@kerryestomic8099 11 ай бұрын
Mwanamke ndo Ana hela hapo
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Жыл бұрын
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@Yolanda-n3x
@Yolanda-n3x 9 ай бұрын
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@upendommbaga7070
@upendommbaga7070 9 ай бұрын
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 Жыл бұрын
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
@salmanassor8732
@salmanassor8732 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@adamkisheta8439
@adamkisheta8439 10 ай бұрын
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
@FestinaMlelwa
@FestinaMlelwa Жыл бұрын
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
@Lulualshagri
@Lulualshagri Жыл бұрын
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
😂😂😂
@MariamSalim-wd3nz
@MariamSalim-wd3nz Жыл бұрын
Hehehee kwakweli
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 Жыл бұрын
Hahahah jamni
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 ай бұрын
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
@SimbaJumanne
@SimbaJumanne 8 ай бұрын
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 Жыл бұрын
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
@Lululemon55
@Lululemon55 Жыл бұрын
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
@CleoadyHaji
@CleoadyHaji Жыл бұрын
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
@rayahamisi118
@rayahamisi118 9 ай бұрын
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
@aishamossile6336
@aishamossile6336 Жыл бұрын
Demu ana kiherehere
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 6 ай бұрын
Dada amekauka km mimi😂😂
@NuruKilembuka
@NuruKilembuka 7 ай бұрын
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 11 ай бұрын
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
@hashymharun9337
@hashymharun9337 10 ай бұрын
Muongo mamaee🤣🤣
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 11 ай бұрын
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
@Mina.15
@Mina.15 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu Жыл бұрын
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kweli
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 Жыл бұрын
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
@zahra5267
@zahra5267 11 ай бұрын
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 10 ай бұрын
kama akili zao tu ahhaha
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 8 ай бұрын
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
@Tumahinisaf
@Tumahinisaf 9 ай бұрын
Mbona kama imesimama😂😊
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Жыл бұрын
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
@FaridaNdege-cc4dm
@FaridaNdege-cc4dm Жыл бұрын
Ndy
@nasraniko-mr2lv
@nasraniko-mr2lv Жыл бұрын
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
@emeranceekondo3865
@emeranceekondo3865 Жыл бұрын
Jesca wa jaraha
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 10 ай бұрын
😂😂😂
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Жыл бұрын
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
@Lulualshagri
@Lulualshagri Жыл бұрын
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Hahaaa😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Wooyii
@ZaynabMohamed-c3e
@ZaynabMohamed-c3e Жыл бұрын
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 Жыл бұрын
​@@ZaynabMohamed-c3etulijua wanadanganya kumbe kweli
@chany9950
@chany9950 Жыл бұрын
Ona kafriji jmn😂
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj Жыл бұрын
watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.
@khamisbk8569
@khamisbk8569 Жыл бұрын
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
@mrsawadh5716
@mrsawadh5716 Жыл бұрын
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin9841
@sarahedwin9841 Жыл бұрын
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
😂😂😂
@sarapy3163
@sarapy3163 11 ай бұрын
😂😂
@Lulualshagri
@Lulualshagri Жыл бұрын
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
@sumecute2513
@sumecute2513 Жыл бұрын
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
@agriparose3942
@agriparose3942 Жыл бұрын
Mwajuma ndala ndefu
@christinatemba
@christinatemba Жыл бұрын
Good life❤
@khamisbk8569
@khamisbk8569 Жыл бұрын
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@aminaomary5567
@aminaomary5567 8 ай бұрын
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 10 ай бұрын
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
@everlyne8595
@everlyne8595 11 ай бұрын
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
@SuraiyaAli-c6t
@SuraiyaAli-c6t Жыл бұрын
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 10 ай бұрын
Kweli huyu dada mja mzito
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 9 ай бұрын
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@Ginna-i3v
@Ginna-i3v 8 ай бұрын
Nyumba ina furniture 10 sijui
@priscajohn6090
@priscajohn6090 Жыл бұрын
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@ShekhaAzizi-yb1ow
@ShekhaAzizi-yb1ow 7 ай бұрын
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 10 ай бұрын
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@Mb0g0z
@Mb0g0z Жыл бұрын
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
@consomahanga9269
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Aaaaaaniiiii
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 9 ай бұрын
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 11 ай бұрын
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@akiraaudreille6043
@akiraaudreille6043 11 ай бұрын
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@neemasabarabridalissa8336
@neemasabarabridalissa8336 10 ай бұрын
Hiyo pesa ni bora ajenge
@5Multpurpose
@5Multpurpose Жыл бұрын
Hana akiri uyo😅😅😅😂
@adamkisheta8439
@adamkisheta8439 10 ай бұрын
Daaah imbomboo ngafuuu
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 Жыл бұрын
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 Жыл бұрын
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor8732
@salmanassor8732 10 ай бұрын
Kituko 😂😂
@happynelson1136
@happynelson1136 9 ай бұрын
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@AishaFerous-jp8oq
@AishaFerous-jp8oq 10 ай бұрын
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka
@mariammpamka 9 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@upendojames5378
@upendojames5378 Жыл бұрын
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 Жыл бұрын
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
@babiddi8620
@babiddi8620 Жыл бұрын
Hahaha
@RacherBakari-qh2gx
@RacherBakari-qh2gx Жыл бұрын
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
@WlkmkeissBriana
@WlkmkeissBriana 8 ай бұрын
Nimechek na uyo dada
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Жыл бұрын
Wigi mweeee 😂
@zahra5267
@zahra5267 11 ай бұрын
Mzee wa kulelewa
@Kharua-pw8fw
@Kharua-pw8fw 8 ай бұрын
Wasenge hao
@roqayaro9439
@roqayaro9439 9 ай бұрын
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363
@rehemakimambo5363 Жыл бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496
@modestajamada3496 Жыл бұрын
​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@husnazahorohusna3905
@husnazahorohusna3905 Жыл бұрын
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@Manswabu
@Manswabu Жыл бұрын
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
@maryrich
@maryrich Жыл бұрын
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
@tausimohammed4286
@tausimohammed4286 11 ай бұрын
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 11 ай бұрын
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@rayaali7551
@rayaali7551 7 ай бұрын
HUYU MKEEE AUU MKEKAA ? MAANA HUVYO ALIVYO JILETA HAPO KULETA HUYO JUICE MHH. YAANA KAMA KAJA HAPO KUJIUZA YAARABY ATUSITIR. NA MIKAHANA HAWA. HIVYO KUJILETA MBELE YA MWANAUME UTUPU NAMNA HIVYO. NA MBELE YA MUMEOO AATI MUME NA MKE 🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️🙆🏻‍♀️
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 Жыл бұрын
Lukamba anapenda kuokota okota nae kah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
Banae dah huyu vimbi labda hanaueezo wakutongoza warembo
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
😂😂😂
@amriyalibent5900
@amriyalibent5900 Жыл бұрын
Uozo
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Kwakwer kbaya kdada 😂😂
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 10 ай бұрын
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh Жыл бұрын
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
@samihamansour1893
@samihamansour1893 6 ай бұрын
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 Жыл бұрын
Hizo nywele sasa
@hidayadaymiss4386
@hidayadaymiss4386 Жыл бұрын
Mm nilijua jumbo Lao!!!
@ngwaleseif8586
@ngwaleseif8586 10 ай бұрын
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@IreneMwenda-nl2hu
@IreneMwenda-nl2hu Жыл бұрын
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
@angelmaige-yc5gb
@angelmaige-yc5gb 11 ай бұрын
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
@ruu6592
@ruu6592 10 ай бұрын
Kakodisha kwa mda gani😮
MAISHA YA ASHA BARAKA NYUMBANI KWAKE/AMETUTEMBEZA NYUMBA NZIMA
38:21
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 33 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,9 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,8 МЛН
GOROFA LA CHINO WANAMAN SIO MCHEZO /HADI STUDIO YA MZIKI NDANI
31:03
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 33 МЛН