MAISHA YA ASHA BARAKA NYUMBANI KWAKE/AMETUTEMBEZA NYUMBA NZIMA

  Рет қаралды 60,133

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 64
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
Mama yangu kipenzi nakupenda toka hata SIJAANZA KUSHIKA SMARTPHONE ❤ HATIMAYE SAIVI NAMILIK SMARTPHONE
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
Hongera sana 😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
@@salomewandya7257 Asante San kwa kweli kitambo icho
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 11 ай бұрын
Mamaa na Asha Baraka Iron Lady Malkia wa Nguvu Mungu Akupe Maisha Marefu Sauti Nzuri Sanaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
Hongera sana mama wa nguvu ❤❤nimejifunza vitu vingi sn kwako😘😘🙏
@chidiomari.65
@chidiomari.65 10 ай бұрын
Mengi ya kujifunza aisee,Mungu ampe Maisha marefu Mama tetu
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 10 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 11 ай бұрын
Mnaishi wa 2? Au wa 3 sasa
@edwintouches
@edwintouches 11 ай бұрын
Your cameraman should learn about the use of ND filters. Your outdoors videos look bad!
@congoboymbeyas2440
@congoboymbeyas2440 10 ай бұрын
M'bembe m'bondo kutoka congo 🇨🇩 wote na mama mondi sema walizaliwa kigoma
@naimamohamed2216
@naimamohamed2216 10 ай бұрын
Jamani aanze kutubu Kwa mungu Sasa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 9 ай бұрын
Azeek mama asha❤❤❤sana 🎉
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 11 ай бұрын
Uko vizuri mama
@Kabeya410
@Kabeya410 10 ай бұрын
Dada wa mjini kitambo Bima mjanja wa mjini ana kaka zake uingereza 😅
@lulurubby2235
@lulurubby2235 10 ай бұрын
Vjti vya bar seating room mweeh alitumzwa nini
@iskitogo
@iskitogo 10 ай бұрын
Wanaishi wawili tu, yeye na mwanae Imani...baba mwenye nyumba je? Waandishi mbona hamjauliza hilo swali?
@saidipara4134
@saidipara4134 5 ай бұрын
Huyu mama nakuelewa na namkubali sana.anauvumilivu sana.kuna kipindi twanga iliyumba kichiz.lakini nakumbuka alija akasema tutaenda nayo hivyo hivyo.
@RachelJames-zo2ng
@RachelJames-zo2ng 11 ай бұрын
hii nyumba nakumbuka marehem kanumba aliwahi kuigizia,,
@ElenaJackison
@ElenaJackison 11 ай бұрын
Katika mov gani
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 10 ай бұрын
Movi gani kaigiza
@ntimifrancis9004
@ntimifrancis9004 9 ай бұрын
Siku nyingine mtangazaji vaa suruali
@aziza9093
@aziza9093 10 ай бұрын
Alikuwa Mzur mashallah
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
Kweli maisha ni kupambana
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 ай бұрын
NINGESHANGAA,,KAMA ANGEKUWA HANA NYUMBA.
@fatmachikambo8780
@fatmachikambo8780 11 ай бұрын
Kama uliona movie ya Kanumba na Jennifer na Patrick inaitwa This is It ile nyumba waloektia ni ya Asha Baraka
@hassansalum2572
@hassansalum2572 10 ай бұрын
Kikushangaze Nini na kawaida tuu
@SuzanMoshi-m1s
@SuzanMoshi-m1s 11 ай бұрын
Aseeh huyu mazaa katisha pazur kwel nyumban kwake
@abou.salimu1795
@abou.salimu1795 8 ай бұрын
wanaishi 2 yeye na mwanae imani, huyo dada wa kaz hajahesabiwa
@muzneali4747
@muzneali4747 11 ай бұрын
JAMANI HAYO MASWALI YENU SIO MAZURI MENGINE YANAHATARISHA MAISHA YA WATU WANAOISHI KATIKA HIZO NYUMBA
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 10 ай бұрын
Wanaishi 2 na mdada wa kazi je? Sio watatu kweli?
@AzaShamba
@AzaShamba 11 ай бұрын
Superwoman❤Ila nahic anapata tabu akiongea cjui kifua😢mashalaah angela damas jaman mweupeeee cjui kapotelea wapi Sasa nimzee
@Lulualshagri
@Lulualshagri 11 ай бұрын
Ndio sauti yake kama halima mdee
@jahsjjsj583
@jahsjjsj583 10 ай бұрын
Mashaallah , micikici 😂😂😂
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 11 ай бұрын
Boss wangu.Almento's fast food.kinondoni.I miss you.na mitusi yako.
@JennyJma
@JennyJma 9 ай бұрын
Kumbe anamitusi 🤣
@Kabeya410
@Kabeya410 10 ай бұрын
Mtangazaji huna Adabu kwanza unaenda kazini kumuhoji mtu umevaa kipensi upuuzi mtupu vaa kiheshima ukitaka kuvaa kipensi nenda beach au upo uwani kwenu yaani hovyo kabisa kenge maji
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
Nakupa maua yako mama yangu bi asha baraka
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 11 ай бұрын
Hongera mama😍😍😍🇪🇭🇪🇭
@UpendoTonny
@UpendoTonny 10 ай бұрын
HUYU NDO IRON LADY WA TZ ANA PESA ANA MIRADI SIO MUUZA PAPA
@DorotheaClemence
@DorotheaClemence 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@marymanoni5536
@marymanoni5536 11 ай бұрын
Ongera mazingira mazuri
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 11 ай бұрын
maa shaa Allah😍
@kagirasta1476
@kagirasta1476 11 ай бұрын
Huyu mama kashika hela kitambo sana
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 11 ай бұрын
Naanaakili sikm wengine
@salomewandya7257
@salomewandya7257 11 ай бұрын
Saaana na bado anapambana 👌👌😍
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 11 ай бұрын
Nakukubali Asha baraka nakatangu Uko Bila mwangaikaji wewe
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 11 ай бұрын
Yaduniani umefuzu,sijui akhera ,siri minalah
@Azza-o8c
@Azza-o8c 11 ай бұрын
Maranyingi mwenye kufuzu ya Dunia huwa anaharibu ya akhera Kwanza
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 11 ай бұрын
Kwahiyo Asha Baraka na Zamaradi Mketema Ni ndugu.???
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 11 ай бұрын
Apana Zamaradi ni mnyarwanda. Asha na mama Dangote njo ndugu . Wabembe wakutoka Kigoma
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
​@@adijaniyonkuru9731Asante dear kumbe Zama mnyarwanda ❤
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 11 ай бұрын
​@@adijaniyonkuru9731mtanzania unyarwanda ndo nini wanyarwanda wako Kigali huko mbona wangoni hamuwaiti wasauz africa
@AsendeNyota
@AsendeNyota 11 ай бұрын
❤❤❤❤ you 👩 mom
@estasiashiringa1038
@estasiashiringa1038 10 ай бұрын
Friday🎬
@annayambayamba8614
@annayambayamba8614 11 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 11 ай бұрын
Saleh we mbea duuh 😂😂😂
@fredrickmaziku1952
@fredrickmaziku1952 11 ай бұрын
mama mpe ukuu wa wilaya pls
@bainolatino3412
@bainolatino3412 11 ай бұрын
Kwann asikupe wewe
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 11 ай бұрын
Elimu yake ipoje? Ukuu wa wilaya walau uwe na bachelor ya kitu fulani
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 10 ай бұрын
​@@israelkisaila8401ukuu wa wilaya haiitaji elimu!
@subirajohn728
@subirajohn728 11 ай бұрын
❤️❤️❤️
@saudaaddey7402
@saudaaddey7402 10 ай бұрын
Maswali ya huyu mtangazaji sijayapenda hivi unauliza ajee kama nyumbani kwako una ishi na nani, mnakaa wangapi, umehamia lin, umejenga lini. Inakuwa kama sensa au TASAF kama vile unataka kuleta msaada wa kaya au kusaidia kuweka dirisha chandarua au kuchumbia Maswali ya namna hiyo tuna takiwa tuwe makini kuyajibu maana unaweza kuletewa uharifu bila wewe mwenyewe kujua.
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Salehe naomba mtembelee na Denzel trainer
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 11 ай бұрын
Ma
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,1 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 105 МЛН
AJENGA NYUMBA YA KISASA MADALE BAADA YA KULIPWA FIDIA YA BONDE LA MSIMBAZI
6:41
Msimbazi Basin Project (Bonde la Msimbazi)
Рет қаралды 1,3 М.
GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU
30:13
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,1 МЛН