Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 64
@ukhutfatumah115411 ай бұрын
Mama yangu kipenzi nakupenda toka hata SIJAANZA KUSHIKA SMARTPHONE ❤ HATIMAYE SAIVI NAMILIK SMARTPHONE
@salomewandya725711 ай бұрын
Hongera sana 😂😂😂
@ukhutfatumah115410 ай бұрын
@@salomewandya7257 Asante San kwa kweli kitambo icho
@joycemuhoja472911 ай бұрын
Mamaa na Asha Baraka Iron Lady Malkia wa Nguvu Mungu Akupe Maisha Marefu Sauti Nzuri Sanaa
@salomewandya725711 ай бұрын
Hongera sana mama wa nguvu ❤❤nimejifunza vitu vingi sn kwako😘😘🙏
@chidiomari.6510 ай бұрын
Mengi ya kujifunza aisee,Mungu ampe Maisha marefu Mama tetu
@kamikazisalma520910 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@marselinarweyemamu403411 ай бұрын
Mnaishi wa 2? Au wa 3 sasa
@edwintouches11 ай бұрын
Your cameraman should learn about the use of ND filters. Your outdoors videos look bad!
@congoboymbeyas244010 ай бұрын
M'bembe m'bondo kutoka congo 🇨🇩 wote na mama mondi sema walizaliwa kigoma
@naimamohamed221610 ай бұрын
Jamani aanze kutubu Kwa mungu Sasa
@baimarrajahbuayan62379 ай бұрын
Azeek mama asha❤❤❤sana 🎉
@mariamibrahim673811 ай бұрын
Uko vizuri mama
@Kabeya41010 ай бұрын
Dada wa mjini kitambo Bima mjanja wa mjini ana kaka zake uingereza 😅
@lulurubby223510 ай бұрын
Vjti vya bar seating room mweeh alitumzwa nini
@iskitogo10 ай бұрын
Wanaishi wawili tu, yeye na mwanae Imani...baba mwenye nyumba je? Waandishi mbona hamjauliza hilo swali?
@saidipara41345 ай бұрын
Huyu mama nakuelewa na namkubali sana.anauvumilivu sana.kuna kipindi twanga iliyumba kichiz.lakini nakumbuka alija akasema tutaenda nayo hivyo hivyo.
@RachelJames-zo2ng11 ай бұрын
hii nyumba nakumbuka marehem kanumba aliwahi kuigizia,,
@ElenaJackison11 ай бұрын
Katika mov gani
@SafiyaJ-yw2vt10 ай бұрын
Movi gani kaigiza
@ntimifrancis90049 ай бұрын
Siku nyingine mtangazaji vaa suruali
@aziza909310 ай бұрын
Alikuwa Mzur mashallah
@salomewandya725711 ай бұрын
Kweli maisha ni kupambana
@hassanbakari452511 ай бұрын
NINGESHANGAA,,KAMA ANGEKUWA HANA NYUMBA.
@fatmachikambo878011 ай бұрын
Kama uliona movie ya Kanumba na Jennifer na Patrick inaitwa This is It ile nyumba waloektia ni ya Asha Baraka
@hassansalum257210 ай бұрын
Kikushangaze Nini na kawaida tuu
@SuzanMoshi-m1s11 ай бұрын
Aseeh huyu mazaa katisha pazur kwel nyumban kwake
@abou.salimu17958 ай бұрын
wanaishi 2 yeye na mwanae imani, huyo dada wa kaz hajahesabiwa
@muzneali474711 ай бұрын
JAMANI HAYO MASWALI YENU SIO MAZURI MENGINE YANAHATARISHA MAISHA YA WATU WANAOISHI KATIKA HIZO NYUMBA
@stamillusatila908410 ай бұрын
Wanaishi 2 na mdada wa kazi je? Sio watatu kweli?
@AzaShamba11 ай бұрын
Superwoman❤Ila nahic anapata tabu akiongea cjui kifua😢mashalaah angela damas jaman mweupeeee cjui kapotelea wapi Sasa nimzee
@Lulualshagri11 ай бұрын
Ndio sauti yake kama halima mdee
@jahsjjsj58310 ай бұрын
Mashaallah , micikici 😂😂😂
@jareengeorge547811 ай бұрын
Boss wangu.Almento's fast food.kinondoni.I miss you.na mitusi yako.
@JennyJma9 ай бұрын
Kumbe anamitusi 🤣
@Kabeya41010 ай бұрын
Mtangazaji huna Adabu kwanza unaenda kazini kumuhoji mtu umevaa kipensi upuuzi mtupu vaa kiheshima ukitaka kuvaa kipensi nenda beach au upo uwani kwenu yaani hovyo kabisa kenge maji
@ukhutfatumah115411 ай бұрын
Nakupa maua yako mama yangu bi asha baraka
@ayshamahariq666511 ай бұрын
Hongera mama😍😍😍🇪🇭🇪🇭
@UpendoTonny10 ай бұрын
HUYU NDO IRON LADY WA TZ ANA PESA ANA MIRADI SIO MUUZA PAPA
@DorotheaClemence8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@marymanoni553611 ай бұрын
Ongera mazingira mazuri
@ayshamahariq666511 ай бұрын
maa shaa Allah😍
@kagirasta147611 ай бұрын
Huyu mama kashika hela kitambo sana
@m.mmarckus629811 ай бұрын
Naanaakili sikm wengine
@salomewandya725711 ай бұрын
Saaana na bado anapambana 👌👌😍
@anjelinakasembe84511 ай бұрын
Nakukubali Asha baraka nakatangu Uko Bila mwangaikaji wewe
@zaidasalumualute643711 ай бұрын
Yaduniani umefuzu,sijui akhera ,siri minalah
@Azza-o8c11 ай бұрын
Maranyingi mwenye kufuzu ya Dunia huwa anaharibu ya akhera Kwanza
@twiseghekisilu884511 ай бұрын
Kwahiyo Asha Baraka na Zamaradi Mketema Ni ndugu.???
@adijaniyonkuru973111 ай бұрын
Apana Zamaradi ni mnyarwanda. Asha na mama Dangote njo ndugu . Wabembe wakutoka Kigoma
@@adijaniyonkuru9731mtanzania unyarwanda ndo nini wanyarwanda wako Kigali huko mbona wangoni hamuwaiti wasauz africa
@AsendeNyota11 ай бұрын
❤❤❤❤ you 👩 mom
@estasiashiringa103810 ай бұрын
Friday🎬
@annayambayamba861411 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@glorianikiza394011 ай бұрын
Saleh we mbea duuh 😂😂😂
@fredrickmaziku195211 ай бұрын
mama mpe ukuu wa wilaya pls
@bainolatino341211 ай бұрын
Kwann asikupe wewe
@israelkisaila840111 ай бұрын
Elimu yake ipoje? Ukuu wa wilaya walau uwe na bachelor ya kitu fulani
@johnmichaellukindo2110 ай бұрын
@@israelkisaila8401ukuu wa wilaya haiitaji elimu!
@subirajohn72811 ай бұрын
❤️❤️❤️
@saudaaddey740210 ай бұрын
Maswali ya huyu mtangazaji sijayapenda hivi unauliza ajee kama nyumbani kwako una ishi na nani, mnakaa wangapi, umehamia lin, umejenga lini. Inakuwa kama sensa au TASAF kama vile unataka kuleta msaada wa kaya au kusaidia kuweka dirisha chandarua au kuchumbia Maswali ya namna hiyo tuna takiwa tuwe makini kuyajibu maana unaweza kuletewa uharifu bila wewe mwenyewe kujua.