MAISHA YA SHETTA NA BINTI YAKE QAILLAH UTAPENDA WAKIWA NYUMBANI KWAO

  Рет қаралды 155,526

ZamaradiTV

ZamaradiTV

10 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 198
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 10 ай бұрын
Mwanaume anajua kulea watoto wake ata mwanamke aingii ndani am so proud of you Shetta yaani unajua kulea mshenzi wewe uko karibu sanaa na wanao yaani umeweza unajua unajua unajua mpaka unakera❤
@Dk.Shombo
@Dk.Shombo 6 ай бұрын
mbona mshenzi
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 6 ай бұрын
Huu jamaa ni msani ila watoto anawalea mazingira ya dini watoto wanajistiri mtoto anajua muda wa ibada MashaAllah nimefurahi kweli
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Mashaallah Kayra anajistiri jamani ALLAH Akulinde mtoto mzuri
@Official_Evara
@Official_Evara 6 ай бұрын
Qaillah is very composed for her age. She's so mature for her age. Big up bro❤
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 4 ай бұрын
Napenda baba hanae penda watto wake na kulea kama we shetta wanaume wengi wanajua kumbwaga mbegu tu na jukum la kulea rinabaki kwa mma peke wanajifanya wao wanaume hawawezi kulea lkn sio kweri we umeweza hongera my brother,,na wanaume wengine wakuige aisee ❤❤❤❤
@allysudi4429
@allysudi4429 10 ай бұрын
Unajua kuna wasanii wana pesa ila wanaweza kucontroll hanasa tu hawawez kuorganize watoto wao japokuwa wana nguvu ya fame na money inabidi wajifunze kwako mwanangu nahis hao binti zako n mama tofauti lakin umetumia effort ya kiume kuonganisha binti zako na kulea vizur na kwa muonekano tu inaonyesha jinsi gani watoto walivyo na furaha kwa baba yao. Safi mzee unastahili kwel kurun izo ngo's za ukatili wa watoto. Big up men
@najmarsaid4435
@najmarsaid4435 10 ай бұрын
Hao watoto ni mama mmoja na baba mmoja wala sio tofauti
@halimamvungi1
@halimamvungi1 10 ай бұрын
Hili la Binti wa mama tofauti umelipata wapi, hao watoto ni wababa mmoja na mama mmoja
@momobakari9680
@momobakari9680 10 ай бұрын
​@@halimamvungi1😂😂😂
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 10 ай бұрын
@@halimamvungi1 😂😂😂😂
@happylynguya3464
@happylynguya3464 9 ай бұрын
Ni nyumba yake mwenyewe au??😴😴😴 make daaaah..
@rukyahassansuleiman5977
@rukyahassansuleiman5977 7 ай бұрын
Ongera sn sheta wewe ni baba bora una mapenzi na wtt wk adi raha ❤👏👏🙏
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 10 ай бұрын
Mashallah yaaan mbaka nimependa hii family ubarikiwe SNA shetta wewe ni baba wa kuigwa wallah
@salimshamis7580
@salimshamis7580 6 ай бұрын
Life kweli inachange Mzee shetta nikikumbuka enzi ya hakuna kulala pale Ilala dahh!!.. tunagonga story kiboya boya saizi Mzee life limenoga. Big up sana mzee.
@kimzymamy6594
@kimzymamy6594 10 ай бұрын
Mashallah mungu ambariki shetaa na kizazi chake yni wakarimu balaa❤❤❤😍🙏
@user-km6mw8yz3q
@user-km6mw8yz3q 10 ай бұрын
Daaah hiii family ♥️ Dua San aiseee
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 7 ай бұрын
Qayla ni kiongozi haswa all the best toto❤
@hassanyunus4634
@hassanyunus4634 7 ай бұрын
Mbona bro naona hapa hujatenda haki, wale wanyonge unawa enjoy sana but Kwa chetta ume shindwa kumtembeza Kwa nyumba yake, tunge penda kuona bedroom yake kama unavyo tuonyesha za wengine
@daimavlog
@daimavlog 10 ай бұрын
Nimependa malezi ya watoto jamani hadi raha
@VictoriaAidan-qe6qk
@VictoriaAidan-qe6qk 8 ай бұрын
Nimependa maisha ya shetta big up broo
@muna1165
@muna1165 10 ай бұрын
MASHALLAH HONGERA SANA KAKA
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 10 ай бұрын
Mashallah kaila ni mrembo
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 10 ай бұрын
Mashaa allah❤❤❤❤🎉
@boanerguebayisenge266
@boanerguebayisenge266 7 ай бұрын
Be Blessed 🙏🏽
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 7 ай бұрын
Wonderful family
@khadijahamisi6558
@khadijahamisi6558 10 ай бұрын
Mashaallah jamanii nice family❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍
@AbdallahMohamed-wz8lc
@AbdallahMohamed-wz8lc 6 ай бұрын
Safi sana Shetta kwa hii organization yako! Hili tatizo linazidi kuwa kubwa! Awareness ni muhimu
@alidyaya4512
@alidyaya4512 9 ай бұрын
Leo umekuwa mpole aupo kene geto la BAGA😂
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 10 ай бұрын
Yani mie muda wote namuangalia huyo last born ananichekesha tu yani hatulii ☺☺☺
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 10 ай бұрын
Maisha ya wenzetu jamani😂😂😂😂😂
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 7 ай бұрын
😂😂😂😂yaan acha tu
@ledetourzanzibar1433
@ledetourzanzibar1433 9 ай бұрын
Never give up sheta bro
@filbertagrey4078
@filbertagrey4078 10 ай бұрын
Nice family
@bennamush4616
@bennamush4616 8 ай бұрын
Salehe mbona hapo huchunguzi mpka chumbani Kama kwa wengine 🤣🤣🤣
@saidtembele3070
@saidtembele3070 7 ай бұрын
Ye mwenyewe hana amani si kaingia ushuani 😂😂😂
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 6 ай бұрын
Maashaalah ❤❤🎉
@user-br3si2jf4t
@user-br3si2jf4t 10 ай бұрын
Nimependa. Malezi. Yako. Broo.
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 10 ай бұрын
The little girl is Daddy’s. She is real sweet. Good family❤
@leaherasto929
@leaherasto929 5 ай бұрын
Big up Sheta
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 6 ай бұрын
Mungu awabariki sana wew ni zaidi ya baba bora
@Kidotii
@Kidotii 6 ай бұрын
Shettq Salute! Malezi 100%😊
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Nimeshangaa🙏🙏🏼🙏
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 10 ай бұрын
Mashalah,,sheta anampenda Sana wanae,,hususan kayra,,,ila karya karembo mashalah,, mungu akubariki Sana awabariki wote as family
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 6 ай бұрын
Kumbe ni Karya na qaira? 😮
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Mpore ana akiri sana
@husseinjuma8282
@husseinjuma8282 7 ай бұрын
inamaana hamjaona kwamba qaila anadrive naumri wake na sio kesi😂
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 5 ай бұрын
Tutafute hela😂
@EmJesho
@EmJesho 10 ай бұрын
Salehe niaje mtangazaji Hongera
@halmashenyange3735
@halmashenyange3735 6 ай бұрын
Good family ❤
@user-yh9jx1kd6q
@user-yh9jx1kd6q 6 ай бұрын
Upo vzr Sana mdogo wangu
@user-cr8iq8be5k
@user-cr8iq8be5k 6 ай бұрын
Big up bro unaweza kulea watoto
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 7 ай бұрын
Hujatuonyesha nyumba😊
@santielpascal9777
@santielpascal9777 10 ай бұрын
@estermuganda9298
@estermuganda9298 9 ай бұрын
Ila walimwengu mna maneno jamani😀
@EmJesho
@EmJesho 10 ай бұрын
Shetta hongera ila umepotea kwenye game
@user-no1ow9ti1p
@user-no1ow9ti1p 10 ай бұрын
MASHALLAH
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 10 ай бұрын
Kwani Salehe umetoka bona tv?
@user-lu3vl6vf4e
@user-lu3vl6vf4e 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-sw1yi3zw4b
@user-sw1yi3zw4b 10 ай бұрын
Hivi vipindi vizuri huwaga havidumu 😢
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 ай бұрын
Ira kweri
@NenosuccessEliya
@NenosuccessEliya 6 ай бұрын
Baba mzuri kwa watoto kiukweli we ni mfano wa kuigwa
@gracemabula418
@gracemabula418 6 ай бұрын
🔥
@starsketingclub257
@starsketingclub257 10 ай бұрын
Had rah
@happymfiomy4673
@happymfiomy4673 10 ай бұрын
Camera yenu haina quality ya kutosha
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 7 ай бұрын
😂😂nayy huy mdg watu wapo kwny story ya KZbin yy ana anasema Monday yann ten
@adamsilumbe8356
@adamsilumbe8356 10 ай бұрын
Shetta namuwazia kushika ngazi ya juu ya uongozi serikalini, tena ngazi ya mkoa. Kama sio mkuu wa wilaya, basi atakua katibu au mkurugenzi serikalini.
@Miminamwanangu
@Miminamwanangu 10 ай бұрын
Llll
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Dua lako liwe la kheri kwake
@yunusabeid74
@yunusabeid74 9 ай бұрын
Na izo tattoo je?
@SophiaChmpaya
@SophiaChmpaya 6 ай бұрын
Hatimae kwa bint yake kyaila imetimia
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 6 ай бұрын
Amiin❤
@yamusahmasoud9107
@yamusahmasoud9107 8 ай бұрын
maisha on Camera tutazima Camera kawaida ytu
@user-eq9bw1oj3q
@user-eq9bw1oj3q 2 ай бұрын
Hongera kwa malezi Bora
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj 10 ай бұрын
Kay hongerakwakujistiri
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 9 ай бұрын
Very important person to know😂
@sf2tv
@sf2tv 9 ай бұрын
Nakubali
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Kingreza kizuri sana
@deboranicoraus4866
@deboranicoraus4866 10 ай бұрын
Mependa alivyo walea wanae mbk raha wana adabu sana😘
@carlykyle887
@carlykyle887 7 ай бұрын
Saleh kamuogopa shettah ...mbona hawaja zunguka nyumba 😂😂
@hassanyunus4634
@hassanyunus4634 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa anaonea wanyonge
@bravoh1705
@bravoh1705 6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@agnestemu8382
@agnestemu8382 7 ай бұрын
Mama ao yupogi wapi
@leaherasto929
@leaherasto929 5 ай бұрын
Qayra anaendesha gari waoo
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 10 ай бұрын
Dah bonge la jumba Masha Allah
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 10 ай бұрын
Lake
@readtanzania2023
@readtanzania2023 10 ай бұрын
Apartment
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Analipia hapo
@RAMATZ-gh2mm
@RAMATZ-gh2mm 5 ай бұрын
Th​@@user-vv1te9fu8q
@FreddyWamanya
@FreddyWamanya Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@happinessjustine2521
@happinessjustine2521 9 ай бұрын
Yn huyu kila anakoenda linataka kula 2 liroho km nn asa Apo mbn hujamkagua ad chumbani km Baga na b 🌟
@SalehSaleh-dz8bn
@SalehSaleh-dz8bn 10 ай бұрын
Amin yan
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Siami ni nyumba inazidi ya kond boy harafu hanamaringo❤❤❤🙏🏼🙏🙏🏼
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 7 ай бұрын
Umerogw ww na bibi yko mzaa mom sio bure jibu nikubaleze vzr😂😂
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 ай бұрын
@@SululuZungu-kx8ws nikome we Kuma😃😃
@allahisone6386
@allahisone6386 7 ай бұрын
​ KHADIJA MBONA MATUSI TENA?
@MwanahamisMussa
@MwanahamisMussa 7 ай бұрын
Sasa konde hapa ameingiaje
@khadjamhozya
@khadjamhozya 7 ай бұрын
@@MwanahamisMussa wewe Kuma nikome Nina uwezo wakumutamka yeyote naye mtaka kwenye koment
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 10 ай бұрын
Mama yao yuko wapi jamn😢
@irakoze3762
@irakoze3762 7 ай бұрын
Ameachika kitambo
@user-zo9ti2xe1z
@user-zo9ti2xe1z 10 ай бұрын
uko sw kizazi
@RhodaLudigija
@RhodaLudigija 9 ай бұрын
Mama yao yuko wap?
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp 10 ай бұрын
Mziki au madawa🧐
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 10 ай бұрын
Lima ndizi ndugu yangu😂😂😂😂
@Zuenatupa
@Zuenatupa 3 ай бұрын
Salehe anaonekana Anaheshima sana
@user-kr9so2em8c
@user-kr9so2em8c 7 ай бұрын
Sana broo
@MarthaMakashi
@MarthaMakashi 6 ай бұрын
I wish nipate baba bora kwa wanangu kama huyu😢
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 5 ай бұрын
InshaAllah
@WlkmkeissBriana
@WlkmkeissBriana 5 ай бұрын
Mbona hujatembenzwa apo kwa shetta
@charlesgeorge2855
@charlesgeorge2855 9 ай бұрын
Nimewaza tu hiv Shetta na Hashim Ibwe nan mrefu
@user-ml9yi5sd6o
@user-ml9yi5sd6o 9 ай бұрын
Kwani shetta na Hashim Ibwe ni ndugu au
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Acha ushamba Fara wewe
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 6 ай бұрын
😅😅 nimeipenda ila hapo kwenye kulala mtoto ametoka super market anadriv hapna
@victoriamongi2434
@victoriamongi2434 4 ай бұрын
😂😂😂qla nikweli ana drive mwaya
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 6 ай бұрын
Amelala na jeans
@user-oc5fe9vx1p
@user-oc5fe9vx1p 10 ай бұрын
Qamrah km kawaida 😂😂😂😂😂
@user-lz8tw5pj8n
@user-lz8tw5pj8n 2 ай бұрын
Mama wap
@saidtembele3070
@saidtembele3070 7 ай бұрын
Salehe ukiingia ushuani unakuwa mpole huna mbwembwe za kuingia ingia na kutoka
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 7 ай бұрын
Shetta mwanao Kawa mzungu aisee watoto wetu tunawapoteza akienda Kijijini kwako uku kwamabibi zako ataongea nn nawao wanajua kilugha TU ebu tupunguze uu uzungu
@kingkendrickk
@kingkendrickk 6 ай бұрын
Rudiana na mkeo mlee watoto hao
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Sikutegemea🙏🏼🙏🙏🏼
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 10 ай бұрын
HIYO DISIKAVARI ATAZEEKA NAYO
@ibrahimngulungu
@ibrahimngulungu 10 ай бұрын
Mpe yako bro😊😅😅
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 10 ай бұрын
@@ibrahimngulungu mbn km unaufokea ukweli 😀
@RhodaLudigija
@RhodaLudigija 9 ай бұрын
Hakukuelewa
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 4 ай бұрын
Hapo kwenye maji
@fatumashebila910
@fatumashebila910 10 ай бұрын
Maji au soda😅😅
@mahiyusuf5772
@mahiyusuf5772 8 ай бұрын
Alitaka soda huyu lakini mwenye nyumba kasema leteni maji😅😅
@Zaburi-
@Zaburi- 5 ай бұрын
​@@mahiyusuf5772😂😂😂 daah nimecheka kinoma
@Bmsecret
@Bmsecret 10 ай бұрын
Kiukweli jamaa kataka soda lkn haya tu ila kamaindi sana
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 4 ай бұрын
😂😂😂umewaza kama mm
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 7 ай бұрын
Mbona haujatuonesha ndani kote, sijaenjoy 😢
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 6 ай бұрын
Ili ieweje
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 10 ай бұрын
Eti camra ndio ameona km kamnong'oneza babaake eti naomba maji 😂😂😂utoto bwana raha sana
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 6 ай бұрын
Yani for the first time kuona mwanaume kama sheta mpaka nimekupenda wallahy... Masha kaila amekuwa masha Allah na amevaa kistara wallahy
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 10 ай бұрын
Nyumba zakupanga namin hii sio nyumba yake yotee upandee mwingine kuna mpangaji hapo😂😂 baba Qaillah
@daimavlog
@daimavlog 10 ай бұрын
Shida iko wapi?
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 10 ай бұрын
Zinauzwa izo anaweza nunua
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 10 ай бұрын
😮 duh wanadam et naamin
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw 9 ай бұрын
wacha wivu ww
@agnessima5032
@agnessima5032 8 ай бұрын
​@@lifeinmiddleeast8179 yaani watu wana mawazo hasi sana...nashindwa kuwaelewa kabisa.
@user-le5jz2xu1o
@user-le5jz2xu1o 3 ай бұрын
Sheta akil nyingi
@javaludizi1855
@javaludizi1855 10 ай бұрын
saleh soolut
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 6 ай бұрын
Swaleh sio kawaida yako kuhoji hivyo mbona apo kwa shetta kama una aibu flani sio kama ilivyokua kwa amissi bss na bi star kulikoni
@fatmahchambo2037
@fatmahchambo2037 6 ай бұрын
😂😂😂😂
@JamilaHassan-xl4sn
@JamilaHassan-xl4sn 6 ай бұрын
😅😂😂
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 10 ай бұрын
Kumbe ndo maana jamaa anamchukia #shetta. Sababu ana maendeleo na aliyapata kabla yake. Yeye ni mgonjwa wa maendeleo ya wengine! Anataka atajike yeye tu!
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 9 ай бұрын
Uko sahihi kabisa
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 103 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,8 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
#TheGoldenBoy #Kazim Behind The Scene Dubbing Recording Session
1:42
GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU
30:13
IT IS TIME!! || COME WITH US TO THE DELIVERY ROOM
32:26
THE PEEKAYS
Рет қаралды 8 М.
ЕНЕШКА 2 СЕЗОН | 3-бөлім | АНГЛИЯҒА КЕТЕМІН!
28:02
Джеки Чан лишил наследства всех своих детей! Что акажете?
0:41
Симуляция: МАТРИЦА МИРА
Рет қаралды 8 МЛН
腹黑小天使把黑天使整惨了#short #angel #clown
0:20
Super Beauty team
Рет қаралды 42 МЛН
Ты же девочка 2 👧🏻🤣😋 #comedy
0:26
Fast Family LIFE
Рет қаралды 480 М.