Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 198
@nellymtambo843210 ай бұрын
Mwanaume anajua kulea watoto wake ata mwanamke aingii ndani am so proud of you Shetta yaani unajua kulea mshenzi wewe uko karibu sanaa na wanao yaani umeweza unajua unajua unajua mpaka unakera❤
@Dk.Shombo6 ай бұрын
mbona mshenzi
@husseinrashidi58286 ай бұрын
Huu jamaa ni msani ila watoto anawalea mazingira ya dini watoto wanajistiri mtoto anajua muda wa ibada MashaAllah nimefurahi kweli
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Mashaallah Kayra anajistiri jamani ALLAH Akulinde mtoto mzuri
@Official_Evara6 ай бұрын
Qaillah is very composed for her age. She's so mature for her age. Big up bro❤
@user-mi7cd8ch1b4 ай бұрын
Napenda baba hanae penda watto wake na kulea kama we shetta wanaume wengi wanajua kumbwaga mbegu tu na jukum la kulea rinabaki kwa mma peke wanajifanya wao wanaume hawawezi kulea lkn sio kweri we umeweza hongera my brother,,na wanaume wengine wakuige aisee ❤❤❤❤
@allysudi442910 ай бұрын
Unajua kuna wasanii wana pesa ila wanaweza kucontroll hanasa tu hawawez kuorganize watoto wao japokuwa wana nguvu ya fame na money inabidi wajifunze kwako mwanangu nahis hao binti zako n mama tofauti lakin umetumia effort ya kiume kuonganisha binti zako na kulea vizur na kwa muonekano tu inaonyesha jinsi gani watoto walivyo na furaha kwa baba yao. Safi mzee unastahili kwel kurun izo ngo's za ukatili wa watoto. Big up men
@najmarsaid443510 ай бұрын
Hao watoto ni mama mmoja na baba mmoja wala sio tofauti
@halimamvungi110 ай бұрын
Hili la Binti wa mama tofauti umelipata wapi, hao watoto ni wababa mmoja na mama mmoja
@momobakari968010 ай бұрын
@@halimamvungi1😂😂😂
@officialbntrasool522310 ай бұрын
@@halimamvungi1 😂😂😂😂
@happylynguya34649 ай бұрын
Ni nyumba yake mwenyewe au??😴😴😴 make daaaah..
@rukyahassansuleiman59777 ай бұрын
Ongera sn sheta wewe ni baba bora una mapenzi na wtt wk adi raha ❤👏👏🙏
@ukhutfatumah115410 ай бұрын
Mashallah yaaan mbaka nimependa hii family ubarikiwe SNA shetta wewe ni baba wa kuigwa wallah
@salimshamis75806 ай бұрын
Life kweli inachange Mzee shetta nikikumbuka enzi ya hakuna kulala pale Ilala dahh!!.. tunagonga story kiboya boya saizi Mzee life limenoga. Big up sana mzee.
@kimzymamy659410 ай бұрын
Mashallah mungu ambariki shetaa na kizazi chake yni wakarimu balaa❤❤❤😍🙏
@user-km6mw8yz3q10 ай бұрын
Daaah hiii family ♥️ Dua San aiseee
@zakiakondo28497 ай бұрын
Qayla ni kiongozi haswa all the best toto❤
@hassanyunus46347 ай бұрын
Mbona bro naona hapa hujatenda haki, wale wanyonge unawa enjoy sana but Kwa chetta ume shindwa kumtembeza Kwa nyumba yake, tunge penda kuona bedroom yake kama unavyo tuonyesha za wengine
@daimavlog10 ай бұрын
Nimependa malezi ya watoto jamani hadi raha
@VictoriaAidan-qe6qk8 ай бұрын
Nimependa maisha ya shetta big up broo
@muna116510 ай бұрын
MASHALLAH HONGERA SANA KAKA
@DijaMriri-wc4qd10 ай бұрын
Mashallah kaila ni mrembo
@salhamrishoi494310 ай бұрын
Mashaa allah❤❤❤❤🎉
@boanerguebayisenge2667 ай бұрын
Be Blessed 🙏🏽
@shabanimwinyikhery11747 ай бұрын
Wonderful family
@khadijahamisi655810 ай бұрын
Mashaallah jamanii nice family❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍
@AbdallahMohamed-wz8lc6 ай бұрын
Safi sana Shetta kwa hii organization yako! Hili tatizo linazidi kuwa kubwa! Awareness ni muhimu
@alidyaya45129 ай бұрын
Leo umekuwa mpole aupo kene geto la BAGA😂
@Chakol123-k7s10 ай бұрын
Yani mie muda wote namuangalia huyo last born ananichekesha tu yani hatulii ☺☺☺
@DijaMriri-wc4qd10 ай бұрын
Maisha ya wenzetu jamani😂😂😂😂😂
@beautyibrahim84287 ай бұрын
😂😂😂😂yaan acha tu
@ledetourzanzibar14339 ай бұрын
Never give up sheta bro
@filbertagrey407810 ай бұрын
Nice family
@bennamush46168 ай бұрын
Salehe mbona hapo huchunguzi mpka chumbani Kama kwa wengine 🤣🤣🤣
@saidtembele30707 ай бұрын
Ye mwenyewe hana amani si kaingia ushuani 😂😂😂
@saumusulaiman47426 ай бұрын
Maashaalah ❤❤🎉
@user-br3si2jf4t10 ай бұрын
Nimependa. Malezi. Yako. Broo.
@lucykristensen714510 ай бұрын
The little girl is Daddy’s. She is real sweet. Good family❤
@leaherasto9295 ай бұрын
Big up Sheta
@RayyanRayyan-rt9cg6 ай бұрын
Mungu awabariki sana wew ni zaidi ya baba bora
@Kidotii6 ай бұрын
Shettq Salute! Malezi 100%😊
@khadjamhozya8 ай бұрын
Nimeshangaa🙏🙏🏼🙏
@jamilaathumani548110 ай бұрын
Mashalah,,sheta anampenda Sana wanae,,hususan kayra,,,ila karya karembo mashalah,, mungu akubariki Sana awabariki wote as family
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
Kumbe ni Karya na qaira? 😮
@khadjamhozya8 ай бұрын
Mpore ana akiri sana
@husseinjuma82827 ай бұрын
inamaana hamjaona kwamba qaila anadrive naumri wake na sio kesi😂
@letisiamakonda38735 ай бұрын
Tutafute hela😂
@EmJesho10 ай бұрын
Salehe niaje mtangazaji Hongera
@halmashenyange37356 ай бұрын
Good family ❤
@user-yh9jx1kd6q6 ай бұрын
Upo vzr Sana mdogo wangu
@user-cr8iq8be5k6 ай бұрын
Big up bro unaweza kulea watoto
@subrynerysegerow13237 ай бұрын
Hujatuonyesha nyumba😊
@santielpascal977710 ай бұрын
❤
@estermuganda92989 ай бұрын
Ila walimwengu mna maneno jamani😀
@EmJesho10 ай бұрын
Shetta hongera ila umepotea kwenye game
@user-no1ow9ti1p10 ай бұрын
MASHALLAH
@SalamaNauthar10 ай бұрын
Kwani Salehe umetoka bona tv?
@user-lu3vl6vf4e9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-sw1yi3zw4b10 ай бұрын
Hivi vipindi vizuri huwaga havidumu 😢
@khadjamhozya7 ай бұрын
Ira kweri
@NenosuccessEliya6 ай бұрын
Baba mzuri kwa watoto kiukweli we ni mfano wa kuigwa
@gracemabula4186 ай бұрын
🔥
@starsketingclub25710 ай бұрын
Had rah
@happymfiomy467310 ай бұрын
Camera yenu haina quality ya kutosha
@SululuZungu-kx8ws7 ай бұрын
😂😂nayy huy mdg watu wapo kwny story ya KZbin yy ana anasema Monday yann ten
@adamsilumbe835610 ай бұрын
Shetta namuwazia kushika ngazi ya juu ya uongozi serikalini, tena ngazi ya mkoa. Kama sio mkuu wa wilaya, basi atakua katibu au mkurugenzi serikalini.
@Miminamwanangu10 ай бұрын
Llll
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Dua lako liwe la kheri kwake
@yunusabeid749 ай бұрын
Na izo tattoo je?
@SophiaChmpaya6 ай бұрын
Hatimae kwa bint yake kyaila imetimia
@baimarrajahbuayan62376 ай бұрын
Amiin❤
@yamusahmasoud91078 ай бұрын
maisha on Camera tutazima Camera kawaida ytu
@user-eq9bw1oj3q2 ай бұрын
Hongera kwa malezi Bora
@Maryam-kl6gj10 ай бұрын
Kay hongerakwakujistiri
@hajimnubi45819 ай бұрын
Very important person to know😂
@sf2tv9 ай бұрын
Nakubali
@khadjamhozya8 ай бұрын
Kingreza kizuri sana
@deboranicoraus486610 ай бұрын
Mependa alivyo walea wanae mbk raha wana adabu sana😘
@carlykyle8877 ай бұрын
Saleh kamuogopa shettah ...mbona hawaja zunguka nyumba 😂😂
@hassanyunus46347 ай бұрын
Ni kweli kabisa anaonea wanyonge
@bravoh17056 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@agnestemu83827 ай бұрын
Mama ao yupogi wapi
@leaherasto9295 ай бұрын
Qayra anaendesha gari waoo
@shwaibukhatibu283810 ай бұрын
Dah bonge la jumba Masha Allah
@mwajumamwajuma5510 ай бұрын
Lake
@readtanzania202310 ай бұрын
Apartment
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Analipia hapo
@RAMATZ-gh2mm5 ай бұрын
Th@@user-vv1te9fu8q
@FreddyWamanyaАй бұрын
❤❤❤❤❤
@happinessjustine25219 ай бұрын
Yn huyu kila anakoenda linataka kula 2 liroho km nn asa Apo mbn hujamkagua ad chumbani km Baga na b 🌟
@SalehSaleh-dz8bn10 ай бұрын
Amin yan
@khadjamhozya8 ай бұрын
Siami ni nyumba inazidi ya kond boy harafu hanamaringo❤❤❤🙏🏼🙏🙏🏼
@@MwanahamisMussa wewe Kuma nikome Nina uwezo wakumutamka yeyote naye mtaka kwenye koment
@KHAMIS_SHILINGI10 ай бұрын
Mama yao yuko wapi jamn😢
@irakoze37627 ай бұрын
Ameachika kitambo
@user-zo9ti2xe1z10 ай бұрын
uko sw kizazi
@RhodaLudigija9 ай бұрын
Mama yao yuko wap?
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp10 ай бұрын
Mziki au madawa🧐
@zeddymourice424910 ай бұрын
Lima ndizi ndugu yangu😂😂😂😂
@Zuenatupa3 ай бұрын
Salehe anaonekana Anaheshima sana
@user-kr9so2em8c7 ай бұрын
Sana broo
@MarthaMakashi6 ай бұрын
I wish nipate baba bora kwa wanangu kama huyu😢
@letisiamakonda38735 ай бұрын
InshaAllah
@WlkmkeissBriana5 ай бұрын
Mbona hujatembenzwa apo kwa shetta
@charlesgeorge28559 ай бұрын
Nimewaza tu hiv Shetta na Hashim Ibwe nan mrefu
@user-ml9yi5sd6o9 ай бұрын
Kwani shetta na Hashim Ibwe ni ndugu au
@khadjamhozya8 ай бұрын
Acha ushamba Fara wewe
@user-qb3hx2ku9v6 ай бұрын
😅😅 nimeipenda ila hapo kwenye kulala mtoto ametoka super market anadriv hapna
@victoriamongi24344 ай бұрын
😂😂😂qla nikweli ana drive mwaya
@dottomsuya65976 ай бұрын
Amelala na jeans
@user-oc5fe9vx1p10 ай бұрын
Qamrah km kawaida 😂😂😂😂😂
@user-lz8tw5pj8n2 ай бұрын
Mama wap
@saidtembele30707 ай бұрын
Salehe ukiingia ushuani unakuwa mpole huna mbwembwe za kuingia ingia na kutoka
@JumaJuma-fu7ji7 ай бұрын
Shetta mwanao Kawa mzungu aisee watoto wetu tunawapoteza akienda Kijijini kwako uku kwamabibi zako ataongea nn nawao wanajua kilugha TU ebu tupunguze uu uzungu
@kingkendrickk6 ай бұрын
Rudiana na mkeo mlee watoto hao
@khadjamhozya8 ай бұрын
Sikutegemea🙏🏼🙏🙏🏼
@hassanbakari452510 ай бұрын
HIYO DISIKAVARI ATAZEEKA NAYO
@ibrahimngulungu10 ай бұрын
Mpe yako bro😊😅😅
@hassanbakari452510 ай бұрын
@@ibrahimngulungu mbn km unaufokea ukweli 😀
@RhodaLudigija9 ай бұрын
Hakukuelewa
@user-mp3fb9gu8g4 ай бұрын
Hapo kwenye maji
@fatumashebila91010 ай бұрын
Maji au soda😅😅
@mahiyusuf57728 ай бұрын
Alitaka soda huyu lakini mwenye nyumba kasema leteni maji😅😅
@Zaburi-5 ай бұрын
@@mahiyusuf5772😂😂😂 daah nimecheka kinoma
@Bmsecret10 ай бұрын
Kiukweli jamaa kataka soda lkn haya tu ila kamaindi sana
@user-mp3fb9gu8g4 ай бұрын
😂😂😂umewaza kama mm
@selinathindwa97547 ай бұрын
Mbona haujatuonesha ndani kote, sijaenjoy 😢
@gibsonjosephat63526 ай бұрын
Ili ieweje
@user-vv1te9fu8q10 ай бұрын
Eti camra ndio ameona km kamnong'oneza babaake eti naomba maji 😂😂😂utoto bwana raha sana
@mejumaabaraza39896 ай бұрын
Yani for the first time kuona mwanaume kama sheta mpaka nimekupenda wallahy... Masha kaila amekuwa masha Allah na amevaa kistara wallahy
@khadidjaabdi-hd8py10 ай бұрын
Nyumba zakupanga namin hii sio nyumba yake yotee upandee mwingine kuna mpangaji hapo😂😂 baba Qaillah
@daimavlog10 ай бұрын
Shida iko wapi?
@GubraCity-dm5sx10 ай бұрын
Zinauzwa izo anaweza nunua
@lifeinmiddleeast817910 ай бұрын
😮 duh wanadam et naamin
@SaidihusseinAthumani-dy9kw9 ай бұрын
wacha wivu ww
@agnessima50328 ай бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 yaani watu wana mawazo hasi sana...nashindwa kuwaelewa kabisa.
@user-le5jz2xu1o3 ай бұрын
Sheta akil nyingi
@javaludizi185510 ай бұрын
saleh soolut
@husseinrashidi58286 ай бұрын
Swaleh sio kawaida yako kuhoji hivyo mbona apo kwa shetta kama una aibu flani sio kama ilivyokua kwa amissi bss na bi star kulikoni
@fatmahchambo20376 ай бұрын
😂😂😂😂
@JamilaHassan-xl4sn6 ай бұрын
😅😂😂
@G.r.e.a.t.I.Q10 ай бұрын
Kumbe ndo maana jamaa anamchukia #shetta. Sababu ana maendeleo na aliyapata kabla yake. Yeye ni mgonjwa wa maendeleo ya wengine! Anataka atajike yeye tu!