MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 01

  Рет қаралды 19,985

Dar24 Media

Dar24 Media

2 ай бұрын

Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
Karibu katika makala zetu za maelezo kwa undani wa taarifa hizi
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#malaysiamh370 #maelezo #makala

Пікірлер: 50
@dar24media
@dar24media 2 ай бұрын
Kwa kutazama makala hizi za #MAELEZO usikose kila siku ya jumapili saa tano kamili asubuhi
@rajabumziray1044
@rajabumziray1044 2 ай бұрын
21
@cassanovarcousin7973
@cassanovarcousin7973 2 ай бұрын
Why us base kwenye pande zile zile kak dupatta story za mabaharia 100% kubw watu walikuw wanakufatilia wengii baharia so hiki kipind kipya cha makala utapoteza wana family yako kak
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 ай бұрын
This is the best! Keep up ! Kila siku aina ya story aina. Moja yakera
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 ай бұрын
Juanda International Airport. Ipo katika Mji wa East Java- Surabaya. Ndio mji ninaoishi hapa Indonesia 🇮🇩😅. Nasikiliza makala hii kutokea hapa Surabaya🇮🇩👍👍
@mohrecaps
@mohrecaps 2 ай бұрын
Vp maisha ya indonesia kaka
@mohrecaps
@mohrecaps 2 ай бұрын
Na unajishughulisha na nn huko surabaya
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 ай бұрын
@@mohrecaps Kusaka tonge kaka😁
@Rogervicent-iu3lh
@Rogervicent-iu3lh 2 ай бұрын
Upo mtaa gn jiran mi pia nipo uko
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 2 ай бұрын
@@Rogervicent-iu3lh we upo wapi?
@yohanakihumi1356
@yohanakihumi1356 2 ай бұрын
Unaludiludia sana maneno, unaharibu story
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 2 ай бұрын
Ni swag zake tu za kutaka kutuelewesha wenye hatuelewi
@mkongwekarim3036
@mkongwekarim3036 2 ай бұрын
Thanks again
@sulleyally5040
@sulleyally5040 2 ай бұрын
Dupa na kukubalisana uchambuzi wako ipo cku inshallah tutakutana uso kwa uso nitakutafuta kwa ss naishi nje ya nchi
@user-qe1sv4xl7s
@user-qe1sv4xl7s 2 ай бұрын
Noma
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 ай бұрын
Gud story
@theprince5253
@theprince5253 2 ай бұрын
Hii ndege hadithi yake inafanana na ile ya kupotea na kurudi amini kuwa hii ndege itarudi duniani
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 ай бұрын
Hii siyo Ile ndege waliyosema bawa lake lilipatikana Zanzibar kwenye bahari!
@autoroyaledubai
@autoroyaledubai 2 ай бұрын
apa ndio jamal april anpowakalisha awaa
@arnoldlusambo3921
@arnoldlusambo3921 2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@AdonisMniko
@AdonisMniko 2 ай бұрын
We hujui uchambuzi na ata kufatilia kwenye site trusted hufatilii
@cassanovarcousin7973
@cassanovarcousin7973 2 ай бұрын
Tunataka story za mabaharia kaka hizo story nyengne watu 90% hatuzielew 📌
@FastpayMauzo
@FastpayMauzo 2 ай бұрын
Mbona unarudia rudia shida nn mzee au unahis sisi tunao kufatlia n washamba hatukuelew?? Acha kulamba midomo lete facts
@sebastianlee7375
@sebastianlee7375 2 ай бұрын
Hii ndege mbona ishapatikana
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 2 ай бұрын
Sema kilichokuleta hapo wacha kuingilia mambo mengine
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 2 ай бұрын
Jamaa umemtaja zaidi ya mala tatu au huna kingine cha kusema?
@fredymapunda1768
@fredymapunda1768 2 ай бұрын
Tunaofahamu media na ukusanyaji taarifa kaka umevuka asilimia 90 kuandaa sio poa
@princemujuni9803
@princemujuni9803 2 ай бұрын
Story yako kama Bollywood ila uwaclishaji ufanyie kaz tengeneza tulia edit vzr maneno ucrudie hlf njoo hapa utupe story ikibid soma tu kama Jamal sio lzm tuone sura yako kila wkt. Big up kaza buti mzee fanyia kaz vitu hivyo itakaa poa.
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 2 ай бұрын
Kweli lifanyiwe kazi
@user-df5mj2ft4w
@user-df5mj2ft4w 2 ай бұрын
Nilitamn san hi stol kitambo
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 2 ай бұрын
Hanna kitu hapa
@musapfute6608
@musapfute6608 2 ай бұрын
Dupa
@pendogwisu
@pendogwisu 2 ай бұрын
Unajikuna nini sasa
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 ай бұрын
Kuna siri kubwa ndani yake
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 2 ай бұрын
Kuma.wewe kwenda
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 2 ай бұрын
Msenge wewe
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 2 ай бұрын
Kiongozi hebu acha ubabaishaji, hujuwi unachokisema wewe kazi kurudiarudia tu maneno kalale umevaa vazi la kulalia
@FazoPhone
@FazoPhone 2 ай бұрын
Dupa vp kuusu mabaaria
@mariafilbert8662
@mariafilbert8662 2 ай бұрын
Achakuzukuka uongei unazunguka tuuu
@doctorngowi4870
@doctorngowi4870 2 ай бұрын
Unaelezaa kama mtoto chochote hujui unabahatisha wala hujui kueleza mtu aelewe wewe huna elimu ya kufundisha ovyo kabisa
@firstborntz5150
@firstborntz5150 2 ай бұрын
Toka wew kwenda uko sisi tunamkubari
@Mwamba-hc1jy
@Mwamba-hc1jy 2 ай бұрын
Una stress mzee😅
@maronmichael3439
@maronmichael3439 2 ай бұрын
Tunasubiri episode 2
@melchzedekackim8360
@melchzedekackim8360 2 ай бұрын
Yani huyu jamaa hakuna anacho jua ni njaa labda Ina mtuma uku
@aloycesamba998
@aloycesamba998 2 ай бұрын
Hii siyo Ile ndege waliyosema bawa lake lilipatikana Zanzibar kwenye bahari!
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 2 ай бұрын
Ovyo kabisa
@frankevaristo6918
@frankevaristo6918 2 ай бұрын
Hapana bawa liliokotwa Zanzibar ndege yake iliangukia visiwa vya comoro
@FazoPhone
@FazoPhone 2 ай бұрын
Dupa vp kuusu mabaaria
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 30 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 160 МЛН
ജൂതനെ അറിയുക | ABC MALAYALAM | ABC TALK | ISRAEL JEWS
21:46
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН