MADAM RITA : ALIYEVUNJA MAHUSIANO YANGU YA MIAKA 15/NI MWANAMKE/ALIPANGA KUTUUMIZA

  Рет қаралды 63,709

Dizzim Online

Dizzim Online

Күн бұрын

Пікірлер: 97
@sanekwilabya4453
@sanekwilabya4453 3 жыл бұрын
KUNA JAMBO NIMEFUNZA TOKA KWA MADAM. MAPENZI/NDOA HAIHITAJI RAFIKI NA TUNAPOWASAIDIA WATU TUWASAIDIE WAKIWA KULEEEEE AND NEVER INVITE MTU ASOGELEE MAHUSIANO YAKO. KAMA UNAKUBALI HILI GONGA LIKE
@hadijasalum6373
@hadijasalum6373 3 жыл бұрын
Nikweli
@junaithammahad3844
@junaithammahad3844 3 жыл бұрын
Ata mm sitaki uwo upumbavu
@ricostar4242
@ricostar4242 3 жыл бұрын
Sane:kumbuka pia Madam Ritha nusu mwafrika na nusu mzungu, kwahiyo tabia zake deeper sana na nzuri sna, angali anasema wazi wazi nilimsamehe huyu hasidi....Jackline Mengi
@sanekwilabya4453
@sanekwilabya4453 3 жыл бұрын
@@ricostar4242 Ni sawa unachokisema kusamehe au kutokusamehe ni matokeo. hapa tayari mtu amekwisha umizwa hivyo basi bado tunahitaji namna nzuri ya kuwasaidia marafiki na kulifunika vyema Penzi ili tujiepushe na maumivu ya namna hii.
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Tatizo wanaume huwa wanachagua mwanamke huyu nimpende, halafu mwanamke yule niwe nae ili nimtese hadi ajute kuzaliwa. Hasa mwanamke akiwa mzuri, kasoma, mtafutaji na ana kipato fulani basi mwanaume anakuja kumtesa hadi mwanamke inafika hatua anasema wanaume ni wabaya sana. Mwanamke wa kawaida au duni ndo anapendwa sana na mwanaume.😢😢😢😢
@lilyabel2320
@lilyabel2320 3 жыл бұрын
MADAM RITA WEWE NI MREMBO SANA. NAKUPENDA, YAANI HUZEEKI. MUNGU AKUBARIKI SANA NA AENDELEE KUKUTUNZA
@karensabai630
@karensabai630 3 жыл бұрын
Ila huyu interviewer she's really really good , she knows what she's doing..
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Sanaaaaa
@saidahj2543
@saidahj2543 3 жыл бұрын
Best of all
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Rita Paulsen ni pisces/samaki na sifa la kundi hili ni hizi:- 1. Wazuri sana kwa muonekano 2. Wanahisia kali sana kupitiliza 3. Wana huruma sana na ni watoaji sana 4. Wanapenda kuwa peke yao kwenye ukimya na utulivu
@heriethkusigwa8469
@heriethkusigwa8469 3 жыл бұрын
Nan anauona Moyo wa Marehemu Mengi hapa Kama Mm 😆Congrats Ritha Madam 😘😘
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 3 жыл бұрын
Yaani huyu Dada Rita Nampenda sana sana,,
@ricostar4242
@ricostar4242 3 жыл бұрын
Wewe mtangazaji utaenda mbali sana kiutangazaji, unajua sana kumuuliza mtu maswali, nakubariki leo. i admire you.
@bettyngala8518
@bettyngala8518 3 жыл бұрын
God bless you. Lots of love from Kenya. You are an inspiration.
@annamwakibinga3190
@annamwakibinga3190 3 жыл бұрын
Yaani kila siku Rita anapendeza sana. Mungu amjaalie
@mariawandiba6736
@mariawandiba6736 3 жыл бұрын
Hakika interview nzuri sana I like Madam Rita na maturity yake
@mamachris6811
@mamachris6811 3 жыл бұрын
Point imenigusa Hata mimi hupenda niwe na changu,ninapoingia mahusiano,nisifuate pesa,nimpende Nakuwa huruuuuu 💃💃💃
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
girl "" work 4 your own money always no matter how rich y're partner is
@portinagodson3836
@portinagodson3836 3 жыл бұрын
WATU MSICHOKIJUA MTANGAZAJI AKIWA ANAHOJI VIZURI LKZ KIPINDI KIWE KIZURI NASHANGAA WATANGAZAJI KAMA HAWA HAWAPEWI AIRTIME NZURI.
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Ni kweli Rita ulikuwa mlembo sanaaaaa na bado we ni mrembo lakini wakati huo ilikuwa zaidi sanaaa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Sanaaaaa
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Sasa kazeeka lkn pia mrembo
@danielmsuya720
@danielmsuya720 Жыл бұрын
Nakubaliana kabisa nahoja hii:- Mtu asiolewe na mtu kwa sababu ya uwezo fulani bali mtu aolewe na mtu kwa sababu yeye mwenyewe ana mpenda.Upo sawa.
@FahmiAbdallah-x9w
@FahmiAbdallah-x9w 6 ай бұрын
H MIAKA KADHA NILIKUA ,NAMUOCHI HUYU (QUEEN )SORRY KM KIUMBE ATAFANIKIWA ,KUPENDWA NA QUEEN (LKN MOYO WK SIO RAHISI KUU WIN (NAOMBA NIMUOMBE AFANYA SPACIAL IBADA YA KUMSHUKURU SUBHANNA WATTAALLA SUBHANNA WATTAALLA ((KWA JINSI ALIVYOMUUMBA)MASHAA ALLA
@evermarykijumbe2655
@evermarykijumbe2655 3 жыл бұрын
Nawapenda wote mtangazani na mtangazwa both of you I like you guys
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 3 жыл бұрын
Madame Ritha kisu jamani duh
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Dah inasikitisha jmn😥nilikuwa natamani amtaje huyo mtu alievunja mahusiano ya madam Rita &Reginard Mengi
@rahiminamsangi8558
@rahiminamsangi8558 3 жыл бұрын
Jack ingia Google msach Rita utawaona pamoja wameegemeana akamzinguka
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
@@rahiminamsangi8558 Lakini si yeye alivunja ya mke wa kwanza wa mengi au?
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 3 жыл бұрын
Jack
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 Hapana Rita alimkuta Mengi yuko huru tayari sababu mzee alitengana na mkewe kitambo zaidi kabla hajamjua Rita ukizingatia Rita alikuwa mdogo sana kwake.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
@@Kijana-wa-Tanzania Okay
@itikamlagalila1911
@itikamlagalila1911 3 жыл бұрын
Haka kadada katangazaji nakapendaaaaaaaaaaaaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Sanaaaaa
@mohamedkondo6392
@mohamedkondo6392 3 жыл бұрын
Great interview, love you ritha Paulsen.💯💯💯
@dinnahhyypollyydinna2346
@dinnahhyypollyydinna2346 3 жыл бұрын
Mtangazaji mwaaa,, umesomea, unakipaji cha utangazaji
@baubahashim6280
@baubahashim6280 3 жыл бұрын
Hayo matunda hata sisi tuliyapanda hilo UA linatambaa sana umenikumbusha mbali Madam
@agricolamirinde6111
@agricolamirinde6111 2 жыл бұрын
Mhh Mungu nisaidie nijue kutenganisha marafiki wangu kwwnye mahusiano yangu
@kechuagrosupplies
@kechuagrosupplies 3 жыл бұрын
Umetisha dada angu,najivunia wewe
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Madam.ritha msaafiiiii...
@upendonsemwa8461
@upendonsemwa8461 2 жыл бұрын
Kuna kitu I get from this super woman
@judithjulius5993
@judithjulius5993 2 жыл бұрын
Hapa inaonekana mengi waliokuwa pamoja bado,rip dokta mengi,utakumbukwa milele
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Ana watoto wakike wawili
@dinnahhyypollyydinna2346
@dinnahhyypollyydinna2346 3 жыл бұрын
Nakupenda Jacky una discipline yakutosha
@benardethamhela4898
@benardethamhela4898 3 жыл бұрын
Hongera Sana .uko juu
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 жыл бұрын
Mmependeza
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Ohhh sorry my darling binadamu ndi yo walivyo
@edinambwambo4847
@edinambwambo4847 3 жыл бұрын
Mnajiuliza nn jmn,wkt mnamjua kabisa.Na kwa sasa huyo dada ni mjane.Siku akimtaja kumbukeni hii komenti.Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.Jiongezeni!😔
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 3 жыл бұрын
Duh
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Lakini litakuwa la mengi au la huyo mwanamke aliyemchukua? Mengi mwenyewe ndie hakuwa ametulia
@princesstaes5483
@princesstaes5483 3 жыл бұрын
@@damariszuckschwert9489 Shida ni rafiki why amkubalie
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 3 жыл бұрын
M@dd@m ritt@❤❤❤
@veronicamadata1673
@veronicamadata1673 3 жыл бұрын
Dizzim, background kuna noise.
@ngoshaachaula7152
@ngoshaachaula7152 3 жыл бұрын
Ni chache
@bjchamba6452
@bjchamba6452 3 жыл бұрын
Be blessed
@veronicaally
@veronicaally 6 ай бұрын
Kwanini hupendi kuomgea kiswahili
@gracemwinuka5899
@gracemwinuka5899 3 жыл бұрын
Madam madam! Ritha.,
@natashanasson8297
@natashanasson8297 3 жыл бұрын
Nice interview ilov madam litha
@namsamson3443
@namsamson3443 3 жыл бұрын
Not Litha is Rita
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 3 жыл бұрын
@@namsamson3443 😂😂😂🙌
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
Madameee
@wennybarny168
@wennybarny168 6 ай бұрын
Rita ni mtoto wa ngapi kwa kuzaliwa kwenye familia yake
@dinnahhyypollyydinna2346
@dinnahhyypollyydinna2346 3 жыл бұрын
Pole madam
@salmajabiry884
@salmajabiry884 3 жыл бұрын
Yani nilikuwa nampenda na sijui history yake hata moja.ila kwa sasa nime zidi kumpenda dada Rita hongera sana kwa lupigania kuwa na jina
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Adui ya mwanamke ni mwanamke mwezie...hilo halipingiki.tubadilike wanawake.pole madam.ulkua cutest till now.unazeeka na uzuri wako.najua kitakua kijack akafanya mwili ka kuni..
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 3 жыл бұрын
Afadhali kumbe J hakua chanzo. Ur so kind Madam
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 3 жыл бұрын
Ni yeye. Hujaelewa akisema hakuwa girlfiend, wakati anatengeneza deal ila girlfriend thing ilifuta
@Ivy-pn2gc
@Ivy-pn2gc 3 жыл бұрын
Reggy Mengi nini maana madam alilia msibani kwa uchungu sanaa .....shidah madam apendi drama ila angekua mwanamke mwingien au wema lazima tungejua ukweli kwamba ni Kama jack tubalile kausika flani .....anyway interview imebambaa sana .....tz wanapenda drama wanataka watafuniwe kila kitu
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Huyo huyo Jack...mchawi mtu paka hutumwa
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 жыл бұрын
Ohhhhh hhhhhhhhh jamani Rita ohhhh my God zamani nikiwa musichana mdogo alikuja uganda ohhh nimefulahi sanaaa
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 3 жыл бұрын
Habari yako
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
Kwanza nimependa interview ya madam ritha,pia ninatamani siku moja nikutane na huyu madam kuna kitu amenigusa ndani yangu Piaa naombea siku ingine aje aelezee na uhusiano wake jaman
@ngoshaachaula7152
@ngoshaachaula7152 3 жыл бұрын
Ukutane nae kwa ishu gani jamani
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
@@ngoshaachaula7152 acha maswali yako ya kijinga
@jackyluns8224
@jackyluns8224 3 жыл бұрын
@@ngoshaachaula7152 kila binadam tumeumbiwa tusimdharau mtu ndo maana hata Rais wetu alitupenda sana hasa wanyonge kwani MTU akiwa na kitu chake moyoni inamfaa amwambie yule MTU anae muinspire Ila sio kama unavyohoji tafakar chukua hatua
@doreenkissia1087
@doreenkissia1087 3 жыл бұрын
Madame Rita
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 3 жыл бұрын
Mmmh!!!🤔😱
@abdallahkapute5608
@abdallahkapute5608 3 жыл бұрын
Nc
@lepadrechief4642
@lepadrechief4642 3 жыл бұрын
Tz huwa tuna ulimbukeni ukiongea kingereza unaoneka unjua kila kitu ata nyinyi watangazaji mnakua wajinga....chague kiswahili au kingereza na si kuchanganya..wapuuzi
@happinessmuhanza2005
@happinessmuhanza2005 3 жыл бұрын
Jmn ana watoto wangapi
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Mmoja
@johari6650
@johari6650 3 жыл бұрын
She says kids
@hermansuzan3622
@hermansuzan3622 3 жыл бұрын
Wawili dear
@happinessmuhanza2005
@happinessmuhanza2005 3 жыл бұрын
Ooh amejitahid kuwaficha xana
@MaaneML
@MaaneML 3 жыл бұрын
Wawili. Sema wako protected sana kimaadili.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 61 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 32 МЛН
LULU DIVA : SIKU YAKWANZA KUVUTA BANGI
9:10
Jonijooo
Рет қаралды 537 М.
Pastor Babu Cherian // malayalam message //
56:18
Pastor Sam Pulikkottil
Рет қаралды 12 М.