Mahakama Yamrejesha Mwabukusi Kuwania Urais TLS, Mwenyewe Afunguka

  Рет қаралды 34,724

WAKILI TV

WAKILI TV

Күн бұрын

#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls

Пікірлер: 242
@MashakaKalamba
@MashakaKalamba Ай бұрын
Hongera sana Kwa ushindi. Huu sio ushindi wa Mwabukusi. Ni ushindi wa wananchi wengi wanyonge wanaodhulumiwa haki zao. Ni ushindi wa Tanganyika. Bravo !
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Hongera sana Mwambukusi na Mungu akubariki ili uweze kuwa TLS President
@josephmwita6012
@josephmwita6012 Ай бұрын
Hii inaitwa the power of knowledge na haiwezi kushindwa na haitashindwa sauti ya haki ni sauti ya mungu
@mwajabuYusuph
@mwajabuYusuph Ай бұрын
Hawa ndio watu tunao wataka katika Taifa la Tanzania 🇹🇿 watu kama mwambukusii ni vyuma kweli kweliiii🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera sana mwabukusiii niii shujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@AGM19697
@AGM19697 Ай бұрын
Hakika, nchi hii inataka watu waliosimama hivi ili isonge mbele
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 Ай бұрын
Mawakili wa wakili mwabukusi mmefanya wajibu wenu, mmetuonyesha kuwa mahakama ni sehemu ya kukimbia kwa kila MTanzania.
@josephpetro2968
@josephpetro2968 Ай бұрын
Hongera sana 13:36
@orgeneslema9464
@orgeneslema9464 Ай бұрын
Wakili vijana mmeonyesha usomi wenu. Vote for Mwabukusi for a better future of TLS, good governance, transparency and accountability in Tanzania
@kingnew1870
@kingnew1870 Ай бұрын
Asante sana Wasomi, viva Rais Mtarajiwa.....
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Ай бұрын
Hongera Sana mtu wa Mungu, Hongera Sana mtu wa watu Mzalendo Mwabukusi, USHINDI wako ni Ushindi wa Watanganyika Wote, Mungu amejibu maombi yetu, MUNGU akusimamie akulinde daima katika kila hatua, HAKI ISHINDE DHULUMA,wewe ndiye Rais wa TLS ujae ambae ni mpakwa mafuta wa Mungu, Amen.
@desiderihugo5704
@desiderihugo5704 Ай бұрын
Kwa hakika Mwbukusi ni mwamba . Asanteni mawakili wasomi . Asante mahakama kwa kutenda haki . Na hii haki iwe kwa watu wote ndipo tutakuwa na imani na mahakama kwamba haipokei maagizo kutoka juu.
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Nyinyi wanaume. Hongereni sana.. hayo madudu yenye nukusi hayaoni haya.hongera mahakama sasa mnatupa nguvu. Mungu awajariye awajaiyeeeeeee oyeeeerreeeee reeeeeeee ndanga bakukayaaaaa mwasalipaaaa..mgonileeeeeee.
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Ай бұрын
Mungu pekee Atukuzwe haleluya... Hofu ya Kuanza na kumshukuru Mungu kwanza kwa kila jambo,ndio hekima. Kawaida ya wengi wanaopewa vyeo kuanza kumshukuru mwanadamu mwenzako asiyekupa pumzi, akili,utashi, ujuzi,wala uhai wako bali uwajibikaji wa pamoja kwa watanzania ni ulimbukeni tu! Mungu akuinue viwango vya juu ndugu Wakili msomi Mwabukusi
@jameskileo955
@jameskileo955 Ай бұрын
Haki Imeshinda hongeraa brother MUNGU aendelee kukutunza hongeraa Sanaa
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 Ай бұрын
Mwabukus 🎉🎉🎉 nalikubali hili jamaaa BRAVE 🎉🎉🎉
@anosiata8242
@anosiata8242 Ай бұрын
Hongera Mwambukusi. Mungu yuko nawe Naomba mawakili wote kula zote kwa Mwambukusi..
@MinchandeManeno-te4zg
@MinchandeManeno-te4zg Ай бұрын
Very nice mwambukusi, mungu anakuona Kwa Nia yako njema
@merumount5988
@merumount5988 Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza wanasheria mmejipata..this s the morning glory for Tanzania! Lawyers don't go back again!!
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Ай бұрын
Kumbe tukiamua inawezekana Champion MWABUKUSI
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Ай бұрын
Sana! Hii inadhirisha wazi hata tukitaka katiba mpya itawezekana 😂...
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Ай бұрын
We more leaders like MWABUKUSI ova
@migerajacob581
@migerajacob581 Ай бұрын
Hongera brother,, Mungu akutangulie,,yapo mengi Yana kuhitaji uya pambanie,, tupo pamoja,
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 Ай бұрын
Asante mungu mwamba wetu mwabukus kazi kwenu mawakili wote akika msituangushe
@suzanacharles9726
@suzanacharles9726 Ай бұрын
Hongereni sana Wasomi mmefanya kazi nzuri
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Ай бұрын
HAKI HUONDOA CHUKI KWA BINAADAMU YEYOTE...HAKI NI AMANI NA SIO UOGA
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 Ай бұрын
HONGERA SANA MAWAKILI HONGERA SANA MAHAKAMA HONGERA SANA MWABUKUSI ❤
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 Ай бұрын
Mungu atatuvushaaaa changa moto zotee haki itatendekaa bgp 👏🙏🤝
@JumbeOjaso
@JumbeOjaso Ай бұрын
Maji na mafuta yanaenda kujitenga dodoma , Hakika nchi hii inawahitaji mawakili wazalendo kuilinda katiba yet,na rasilimali zetu. Kama siyo Uhuru na haki zetu. Mungu ibariki Tanganyika
@ezekielmirambo8704
@ezekielmirambo8704 Ай бұрын
Much congratulations to the court as well as to Mwabukusi for this great fareness done!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
HAKI HUINUA TAIFA
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Huwezi kushinda kwa kupunch tu unapaswa kupiga pia ... ... Uko vizur sana Kiongozi wangu ubarikiwe Sana
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Ай бұрын
Hongera sana Mdogo wangu Mungu akutunze na ushinde kwa kishindo.
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya Ай бұрын
Hapo mahakama imelinda heshima yake. Hongera mawakili wa Mwabukusi.
@user-fb6dh6sz2g
@user-fb6dh6sz2g Ай бұрын
Asante mungu kwakuliona hiri❤
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 Ай бұрын
Hongera sana sana Bukhusi.Mungu akusimamie na damu ya Yesu inene mema juu yako.na Mawakili wenye mapenzi mema na nchi hiii.
@alfredmshaijaki4082
@alfredmshaijaki4082 Ай бұрын
Asante Mwabukusi kwa kuyarejesha matumaini kwa watanzania, asante Jaji na mahakama, asante jopo la wanasheria mliokesha na ‘section 4’. Mungu awasimamie.
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Mungu akulinde mh mwambukusi ni maombi yangu kwako upate Urais wa TLS
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Hongera kuitafuta haki,kawaida haki uchelewa ila haipotei hongera wote walioungana na wewe lupigania haki na usawa,hongera wanamaombi mbali mbali mungu amejibu na atamzidi kujibu.
@gidongailo7174
@gidongailo7174 Ай бұрын
Mkifika DDM msichague Rais wa TLS bali mchagueni Mwambukusi kuwa Rais wa TLS. Namwaminia sana huyu mwamba, mambo yake yana reflect reality
@AwardHakimu
@AwardHakimu Ай бұрын
Huyu jamaa anajua sana na sio muoga kwaiyo anafaa
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds Ай бұрын
Sera nzuri sana mwambukusi Hakika unampango mkakati wa kuipeleka chama mbele mungu atakulinda mpaka kusudi lake litimie
@MonicaTimotheo
@MonicaTimotheo Ай бұрын
Aluta continua, la victoria icietra, patria o muerte sisi na kina mwabukusi na wazalendo wote Tanzania yetu au kifo tutashinda tu na mafisadi wakoloni wenye ngozi nyeusi vibaraka wa ukoloni mamboleo lazima washindwe na kusalimu amri viva mwabukusi viva Tanzania
@AugustinoRugwije
@AugustinoRugwije Ай бұрын
Hongera mwamba,kazi imebaki KWA wapiga kura
@barakarimba2948
@barakarimba2948 Ай бұрын
Hongereni sana sanaaa tumefurahi
@enocepaulkumba9362
@enocepaulkumba9362 Ай бұрын
Jembeeeeeee! Karibu kazini kamanda mwabukuzi!. Wewe ni mrithi wa Tundu Antpass Lisu.
@manyamalima1916
@manyamalima1916 Ай бұрын
Bonifas Mwabukusi Ufunikwe na damu ya Yesu, uso wa Yahweh uende pamoja na wewe
@joykapaya1970
@joykapaya1970 15 күн бұрын
Aminaa.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Mwambukusi nimefurahia sana, Wote mliomrudisha Mwambukusi wote ni Simba.
@bakarmsangimsangi7757
@bakarmsangimsangi7757 Ай бұрын
Safii sana mwabukus mungu awe nawe kwenyee kutetea hakii tunataka mtumiee sheria kuwanyonga wanao ibaa rathilimali za nchi yetu
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 Ай бұрын
Ukisikia watu wakisema wakili msomi ndo huyu sasa mwabukusi 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@mikbete
@mikbete Ай бұрын
You are PURE and TRUE unaonekana .
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 Ай бұрын
Allah asimame na wwe kwenye kila jambo bila shaka kwa vile nakuamini bila shaka hautatuangusha kwenye hilo na InshaAllah utashinda kwa %87 ya kura zote
@Juma-e8l
@Juma-e8l Ай бұрын
If you stand for truth only remains alone but mwakabusi never give up we support your voice to go viral
@linkreuben3108
@linkreuben3108 Ай бұрын
Jembe kipenzi cha wengi!
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Waooooo safi sanaaaaa ningeshangaa sana kama na nyie T L S mngechezewa na wanasiasa hongereni sanaaaa
@user-zu8ou2oe4c
@user-zu8ou2oe4c Ай бұрын
Natamani uwe waziri wa katiba na sheria au mwanasheria mkuu wa serekali japo hata T L S so habaaaa nakutaibiria nakuona mbali sanaaaaa katik uongozi wa taifa hili
@Hapomwanzo
@Hapomwanzo Ай бұрын
Kura yangu iwe ya kwanza kwa mwabukusi.
@JuliusMahinya-wl7mq
@JuliusMahinya-wl7mq Ай бұрын
Kuna wakati opponent anaweza kutumika kumpigia kampeni mshindani wake! Kama hili, tiari mmeishampa Mwambukusi ushindi kwa kujaribu kumuondoa! Yaani mnajua anajua haki zake alafu mnamchokonoa! Very poor planning
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub Ай бұрын
Hongera jembe we ndo Rais TLS
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Ай бұрын
MUNGU kwanza hongera Mwabukusi kuanza na kumshukuru na kumtukuza kwani yeye ndiye chanzo cha kila kitu
@peternyambui7492
@peternyambui7492 Ай бұрын
Hongera/Hongereni sana sana kwa ushindi ..Ninawaombeeni sana kwa Mwenyezi Mungu azidi kuwasaidia...Amen!
@Emmanuelmengi
@Emmanuelmengi Ай бұрын
we need people like you🎉🎉
@user-lq8mi3zz2c
@user-lq8mi3zz2c Ай бұрын
Hongera sana Wakili Mwabukusi na Kwa uwezo wa Mungu utashinda katika Uchaguzi wa Uraisi
@ev.eliezangiruketv8902
@ev.eliezangiruketv8902 Ай бұрын
Nakuona wewe Mwabukusi kuwa ndiwe Rais TLS.
@JuliusBazil
@JuliusBazil Ай бұрын
Kongole sana Mawakili kwa ushindi wa kwanza Mahakamani kwa kumpigania Adv. Mwambukusi na kupata haki ya kuwa mmoja wa wagombea wa Rais-TLS. Sasa nendeni Dom kwa kupiga kura ya "NDIYO" kwa Adv. Mwambukusi. Mhe. Mpina,(Mb)-ngosha,supana.aka na Watanzania wanamngojea akalie kiti cha TLS,wampatie Nondo,Supana,Nuts, akaze vyuma.
@AbeliIrikaeli
@AbeliIrikaeli Ай бұрын
Umesha shinda tayari ongera sana❤❤❤
@abelbest4984
@abelbest4984 Ай бұрын
Asante mama Samia kwakufanya mahakama kua chombo bora cha haki
@wingodmruma8925
@wingodmruma8925 Ай бұрын
Kumbe Tanzania bado kuna masalia ya wazalendo halisi. Hongera mwabukudi wakili bora sana kwa nchi. Laiti wakuu wangetazama kwajicho la tatu wakakupa majukumu ya kuitetea nchi dhidi ya magengeyanayotamani maliza Asili za urithi ktk nchi tuliopewa na Mungu bilashaka rasilimali hizo zingekuwa salama na kunufaisha WATU wote badala ya kunufaisha wachache wenye nguvu. kwamtazamowangu lakini. Hatahivyo saa ya Mungu ikifika hakuna atakayezuia mapenziya Mungu yasitimie. Naamini hata jogoo asipowika kukucha kutakucha tu. Kwa hiyo hakuna kukatatamaaa munguyupo
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 Ай бұрын
Ukijuwa Sheria wewe ndioo mweenye nchi,,wapiga dili mahakani nakuifanya nchi iwee chini yeenu kiama Kiko mbele yeenu
@ZablonJonathan
@ZablonJonathan Ай бұрын
Mwabukusu ana faa sana Ee MUNGU mlinde na apate ushindi.
@gasparyephraimmwakatuma9542
@gasparyephraimmwakatuma9542 Ай бұрын
Hongera kwa ushindi nadhani kampeni tayari umefanya
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Nakuona mwanangu Kisamo hongereni sana sana.
@petermasanilo732
@petermasanilo732 Ай бұрын
Mungu hamfichi mnafiki wameumbuka hai sasa ni kipindi Cha mnyonge kupata haki
@magesadani9058
@magesadani9058 Ай бұрын
Hiyo ni dalili njema na Mungu awatangulie mwendelee hivyo hivyo mpambanie Tanganyika yetu
@generosennko8343
@generosennko8343 Ай бұрын
To God be the glory.
@geoffreynghumba1029
@geoffreynghumba1029 Ай бұрын
Hongera sana kaka. Natamani ushinde Mwabukusi katika uchaguzi wenu wa TLS.
@zaydamos874
@zaydamos874 Ай бұрын
Mwabukusi juuuuuuuuu juuuuuuuu zaidiiiiiiiiiiii saf sana kaka
@tryphonbalihamla2898
@tryphonbalihamla2898 Ай бұрын
Viva rais wa tels
@PaulTajiri-vu4xu
@PaulTajiri-vu4xu Ай бұрын
Mungu. Nimwema sana anajua wasalendo wa icnhi
@williammwamalanga1065
@williammwamalanga1065 Ай бұрын
Watanzania tunahitaji mawakili kama Mwabukusi
@user-no6sg5vc5z
@user-no6sg5vc5z Ай бұрын
Safi sana na mwenyez mungu.aendeleee kukupa kinachostaili nakukubali sana yaaani katika bajet yangu ya kutwa nzima lazima indeed kwenye bando.kwa ajili ya kukusikiliza
@FredrickNicholaus
@FredrickNicholaus Ай бұрын
Nakukubari mwamba💯💪
@kenedyrocky4641
@kenedyrocky4641 Ай бұрын
MAWAKILI VIJANA MSITUANGUSHE. TAIFA LINAHITAJI AKINA MWABUKUSI WAWE WENGI SANA.
@jovankishamba9424
@jovankishamba9424 Ай бұрын
AMINAAAAAAAAAAAAAAAAA-
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 Ай бұрын
Mawakili waheshimiwe Wana Habari waheshimiwe
@tryphonbalihamla2898
@tryphonbalihamla2898 Ай бұрын
Viva president tlS kajunjumele mwabukusi
@FashoKibona
@FashoKibona Ай бұрын
Uoga ni umasikini ujasiri ni ushindi hongera mwabukusi tunataka haki.
@LemayanOlesenet-mq2yl
@LemayanOlesenet-mq2yl Ай бұрын
Mungu anazidi kufungua njia,hapo tiyari ushindi.Keep it up!
@frankndendu2570
@frankndendu2570 Ай бұрын
Go for it brother. You have already got it
@user-ex9gt9np8i
@user-ex9gt9np8i Ай бұрын
Mungu akutangulie kaka yangu mabukuzi
@csato9415
@csato9415 Ай бұрын
Hongereni kwa uthubutu mawakili waliokuwa wakimtetea Mwabukusi kwa kudai haki iliyotaka kuporwa na gege la serikali. Hivyo mawakili mwende Dodoma kumpigia kura Mwabukusi ili awe Rais wenu. Na tayari kashafanya kampeni kazi kwenu wapiga kura tuleteeni Wakili Boniface Anyisile Kajunjumela Mwabukusi.
@reubenmakalla745
@reubenmakalla745 Ай бұрын
Mmenifanya nikumbuke nilivotamani tasnia ya sheria bila kujua nikajikuta nimekimbia njia hii. Pambaneni
@mbonekemwampasi2509
@mbonekemwampasi2509 Ай бұрын
Bado unanafasi ya kuwa yule unayetaka
@OscarBethel
@OscarBethel Ай бұрын
Hongera Mwabukusi mungu akutangulie akuepushe na mafisadi
@GeorgeNtugwa-bk7dr
@GeorgeNtugwa-bk7dr Ай бұрын
Hongera
@AmosRugaimukamu
@AmosRugaimukamu Ай бұрын
Siamini mwamba kama utashinda, maana wakwamisha Sheria niwengi sana bro, lakini nakuamini mwamba, uko poa sana uncle
@charlesmoshi4411
@charlesmoshi4411 Ай бұрын
Hongera mwamba. Aluta continue
@hamissomary6869
@hamissomary6869 Ай бұрын
Kaka ongera sanaaa"nimekuwa nahoma kali sanaa nikisubili majibu ya mahakama"leo majibu hyooo mezani "Mungu akutie nguvu utupiganie watanzania "Nakkubali sanaaa
@DorkasKamau
@DorkasKamau Ай бұрын
Thanks very much
@kuabwakatabalula7913
@kuabwakatabalula7913 Ай бұрын
Glory be to God
@jovankishamba9424
@jovankishamba9424 Ай бұрын
Safi sana mawakili mpe Mwambukusi maua yake.
@gervaskasala7321
@gervaskasala7321 Ай бұрын
Kwa maelezo hayo na point hizo mwambukis ashinde asubuhi
@marthamtalo4348
@marthamtalo4348 Ай бұрын
Tunawaombea kwa Mungu wetu ni mwema
@dillonfoya
@dillonfoya Ай бұрын
Yes HAKI imetendeka MWABUKUSI HOYEE
@IbrahimuMbuya
@IbrahimuMbuya Ай бұрын
Nice
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw Ай бұрын
Utapita bila kupingwa wew ni mzalendo sana walikuhofia ndiyomaana walikuwa wamekuwekea figisu
@shahiduabed6097
@shahiduabed6097 Ай бұрын
Hongera mwabukusi
@silasmarandu1485
@silasmarandu1485 Ай бұрын
Kongole Mwamba Mwabukusi ❤
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,4 М.
The Mathematician Who Discovered Math's Greatest Mystery
12:21
Newsthink
Рет қаралды 226 М.
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 42 МЛН