Hongera sana Kwa ushindi. Huu sio ushindi wa Mwabukusi. Ni ushindi wa wananchi wengi wanyonge wanaodhulumiwa haki zao. Ni ushindi wa Tanganyika. Bravo !
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hongera sana Mwambukusi na Mungu akubariki ili uweze kuwa TLS President
@josephmwita6012Ай бұрын
Hii inaitwa the power of knowledge na haiwezi kushindwa na haitashindwa sauti ya haki ni sauti ya mungu
@mwajabuYusuphАй бұрын
Hawa ndio watu tunao wataka katika Taifa la Tanzania 🇹🇿 watu kama mwambukusii ni vyuma kweli kweliiii🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera sana mwabukusiii niii shujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@AGM19697Ай бұрын
Hakika, nchi hii inataka watu waliosimama hivi ili isonge mbele
@simonnaivasha6393Ай бұрын
Mawakili wa wakili mwabukusi mmefanya wajibu wenu, mmetuonyesha kuwa mahakama ni sehemu ya kukimbia kwa kila MTanzania.
@josephpetro2968Ай бұрын
Hongera sana 13:36
@orgeneslema9464Ай бұрын
Wakili vijana mmeonyesha usomi wenu. Vote for Mwabukusi for a better future of TLS, good governance, transparency and accountability in Tanzania
@kingnew1870Ай бұрын
Asante sana Wasomi, viva Rais Mtarajiwa.....
@gaagwasaugustino2584Ай бұрын
Hongera Sana mtu wa Mungu, Hongera Sana mtu wa watu Mzalendo Mwabukusi, USHINDI wako ni Ushindi wa Watanganyika Wote, Mungu amejibu maombi yetu, MUNGU akusimamie akulinde daima katika kila hatua, HAKI ISHINDE DHULUMA,wewe ndiye Rais wa TLS ujae ambae ni mpakwa mafuta wa Mungu, Amen.
@desiderihugo5704Ай бұрын
Kwa hakika Mwbukusi ni mwamba . Asanteni mawakili wasomi . Asante mahakama kwa kutenda haki . Na hii haki iwe kwa watu wote ndipo tutakuwa na imani na mahakama kwamba haipokei maagizo kutoka juu.
@emanuelsinyinzaАй бұрын
Nyinyi wanaume. Hongereni sana.. hayo madudu yenye nukusi hayaoni haya.hongera mahakama sasa mnatupa nguvu. Mungu awajariye awajaiyeeeeeee oyeeeerreeeee reeeeeeee ndanga bakukayaaaaa mwasalipaaaa..mgonileeeeeee.
@elibarikimollel7149Ай бұрын
Mungu pekee Atukuzwe haleluya... Hofu ya Kuanza na kumshukuru Mungu kwanza kwa kila jambo,ndio hekima. Kawaida ya wengi wanaopewa vyeo kuanza kumshukuru mwanadamu mwenzako asiyekupa pumzi, akili,utashi, ujuzi,wala uhai wako bali uwajibikaji wa pamoja kwa watanzania ni ulimbukeni tu! Mungu akuinue viwango vya juu ndugu Wakili msomi Mwabukusi
@jameskileo955Ай бұрын
Haki Imeshinda hongeraa brother MUNGU aendelee kukutunza hongeraa Sanaa
@babuumaeda7671Ай бұрын
Mwabukus 🎉🎉🎉 nalikubali hili jamaaa BRAVE 🎉🎉🎉
@anosiata8242Ай бұрын
Hongera Mwambukusi. Mungu yuko nawe Naomba mawakili wote kula zote kwa Mwambukusi..
@MinchandeManeno-te4zgАй бұрын
Very nice mwambukusi, mungu anakuona Kwa Nia yako njema
@merumount5988Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza wanasheria mmejipata..this s the morning glory for Tanzania! Lawyers don't go back again!!
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
Kumbe tukiamua inawezekana Champion MWABUKUSI
@aliyageorge6794Ай бұрын
Sana! Hii inadhirisha wazi hata tukitaka katiba mpya itawezekana 😂...
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
We more leaders like MWABUKUSI ova
@migerajacob581Ай бұрын
Hongera brother,, Mungu akutangulie,,yapo mengi Yana kuhitaji uya pambanie,, tupo pamoja,
@uredmwasembo8579Ай бұрын
Asante mungu mwamba wetu mwabukus kazi kwenu mawakili wote akika msituangushe
@suzanacharles9726Ай бұрын
Hongereni sana Wasomi mmefanya kazi nzuri
@gowekogoweko5803Ай бұрын
HAKI HUONDOA CHUKI KWA BINAADAMU YEYOTE...HAKI NI AMANI NA SIO UOGA
@luganomwaigomole7441Ай бұрын
HONGERA SANA MAWAKILI HONGERA SANA MAHAKAMA HONGERA SANA MWABUKUSI ❤
@emanuelmaraki9758Ай бұрын
Mungu atatuvushaaaa changa moto zotee haki itatendekaa bgp 👏🙏🤝
@JumbeOjasoАй бұрын
Maji na mafuta yanaenda kujitenga dodoma , Hakika nchi hii inawahitaji mawakili wazalendo kuilinda katiba yet,na rasilimali zetu. Kama siyo Uhuru na haki zetu. Mungu ibariki Tanganyika
@ezekielmirambo8704Ай бұрын
Much congratulations to the court as well as to Mwabukusi for this great fareness done!
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
HAKI HUINUA TAIFA
@yordanyona1234Ай бұрын
Huwezi kushinda kwa kupunch tu unapaswa kupiga pia ... ... Uko vizur sana Kiongozi wangu ubarikiwe Sana
@annamwakibinga527Ай бұрын
Hongera sana Mdogo wangu Mungu akutunze na ushinde kwa kishindo.
@atupegemwakahesyaАй бұрын
Hapo mahakama imelinda heshima yake. Hongera mawakili wa Mwabukusi.
@user-fb6dh6sz2gАй бұрын
Asante mungu kwakuliona hiri❤
@gracemwakibolwa7910Ай бұрын
Hongera sana sana Bukhusi.Mungu akusimamie na damu ya Yesu inene mema juu yako.na Mawakili wenye mapenzi mema na nchi hiii.
@alfredmshaijaki4082Ай бұрын
Asante Mwabukusi kwa kuyarejesha matumaini kwa watanzania, asante Jaji na mahakama, asante jopo la wanasheria mliokesha na ‘section 4’. Mungu awasimamie.
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
Mungu akulinde mh mwambukusi ni maombi yangu kwako upate Urais wa TLS
@ChristerKokuАй бұрын
Hongera kuitafuta haki,kawaida haki uchelewa ila haipotei hongera wote walioungana na wewe lupigania haki na usawa,hongera wanamaombi mbali mbali mungu amejibu na atamzidi kujibu.
@gidongailo7174Ай бұрын
Mkifika DDM msichague Rais wa TLS bali mchagueni Mwambukusi kuwa Rais wa TLS. Namwaminia sana huyu mwamba, mambo yake yana reflect reality
@AwardHakimuАй бұрын
Huyu jamaa anajua sana na sio muoga kwaiyo anafaa
@PaskaliCharles-pz8dsАй бұрын
Sera nzuri sana mwambukusi Hakika unampango mkakati wa kuipeleka chama mbele mungu atakulinda mpaka kusudi lake litimie
@MonicaTimotheoАй бұрын
Aluta continua, la victoria icietra, patria o muerte sisi na kina mwabukusi na wazalendo wote Tanzania yetu au kifo tutashinda tu na mafisadi wakoloni wenye ngozi nyeusi vibaraka wa ukoloni mamboleo lazima washindwe na kusalimu amri viva mwabukusi viva Tanzania
@AugustinoRugwijeАй бұрын
Hongera mwamba,kazi imebaki KWA wapiga kura
@barakarimba2948Ай бұрын
Hongereni sana sanaaa tumefurahi
@enocepaulkumba9362Ай бұрын
Jembeeeeeee! Karibu kazini kamanda mwabukuzi!. Wewe ni mrithi wa Tundu Antpass Lisu.
@manyamalima1916Ай бұрын
Bonifas Mwabukusi Ufunikwe na damu ya Yesu, uso wa Yahweh uende pamoja na wewe
@joykapaya197015 күн бұрын
Aminaa.
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Mwambukusi nimefurahia sana, Wote mliomrudisha Mwambukusi wote ni Simba.
@bakarmsangimsangi7757Ай бұрын
Safii sana mwabukus mungu awe nawe kwenyee kutetea hakii tunataka mtumiee sheria kuwanyonga wanao ibaa rathilimali za nchi yetu
@kazimilykulwa2516Ай бұрын
Ukisikia watu wakisema wakili msomi ndo huyu sasa mwabukusi 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@mikbeteАй бұрын
You are PURE and TRUE unaonekana .
@mkanjimamkanjimamkanjima2043Ай бұрын
Allah asimame na wwe kwenye kila jambo bila shaka kwa vile nakuamini bila shaka hautatuangusha kwenye hilo na InshaAllah utashinda kwa %87 ya kura zote
@Juma-e8lАй бұрын
If you stand for truth only remains alone but mwakabusi never give up we support your voice to go viral
@linkreuben3108Ай бұрын
Jembe kipenzi cha wengi!
@user-zu8ou2oe4cАй бұрын
Waooooo safi sanaaaaa ningeshangaa sana kama na nyie T L S mngechezewa na wanasiasa hongereni sanaaaa
@user-zu8ou2oe4cАй бұрын
Natamani uwe waziri wa katiba na sheria au mwanasheria mkuu wa serekali japo hata T L S so habaaaa nakutaibiria nakuona mbali sanaaaaa katik uongozi wa taifa hili
@HapomwanzoАй бұрын
Kura yangu iwe ya kwanza kwa mwabukusi.
@JuliusMahinya-wl7mqАй бұрын
Kuna wakati opponent anaweza kutumika kumpigia kampeni mshindani wake! Kama hili, tiari mmeishampa Mwambukusi ushindi kwa kujaribu kumuondoa! Yaani mnajua anajua haki zake alafu mnamchokonoa! Very poor planning
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Hongera jembe we ndo Rais TLS
@KwelihukuwekahuruАй бұрын
MUNGU kwanza hongera Mwabukusi kuanza na kumshukuru na kumtukuza kwani yeye ndiye chanzo cha kila kitu
@peternyambui7492Ай бұрын
Hongera/Hongereni sana sana kwa ushindi ..Ninawaombeeni sana kwa Mwenyezi Mungu azidi kuwasaidia...Amen!
@EmmanuelmengiАй бұрын
we need people like you🎉🎉
@user-lq8mi3zz2cАй бұрын
Hongera sana Wakili Mwabukusi na Kwa uwezo wa Mungu utashinda katika Uchaguzi wa Uraisi
@ev.eliezangiruketv8902Ай бұрын
Nakuona wewe Mwabukusi kuwa ndiwe Rais TLS.
@JuliusBazilАй бұрын
Kongole sana Mawakili kwa ushindi wa kwanza Mahakamani kwa kumpigania Adv. Mwambukusi na kupata haki ya kuwa mmoja wa wagombea wa Rais-TLS. Sasa nendeni Dom kwa kupiga kura ya "NDIYO" kwa Adv. Mwambukusi. Mhe. Mpina,(Mb)-ngosha,supana.aka na Watanzania wanamngojea akalie kiti cha TLS,wampatie Nondo,Supana,Nuts, akaze vyuma.
@AbeliIrikaeliАй бұрын
Umesha shinda tayari ongera sana❤❤❤
@abelbest4984Ай бұрын
Asante mama Samia kwakufanya mahakama kua chombo bora cha haki
@wingodmruma8925Ай бұрын
Kumbe Tanzania bado kuna masalia ya wazalendo halisi. Hongera mwabukudi wakili bora sana kwa nchi. Laiti wakuu wangetazama kwajicho la tatu wakakupa majukumu ya kuitetea nchi dhidi ya magengeyanayotamani maliza Asili za urithi ktk nchi tuliopewa na Mungu bilashaka rasilimali hizo zingekuwa salama na kunufaisha WATU wote badala ya kunufaisha wachache wenye nguvu. kwamtazamowangu lakini. Hatahivyo saa ya Mungu ikifika hakuna atakayezuia mapenziya Mungu yasitimie. Naamini hata jogoo asipowika kukucha kutakucha tu. Kwa hiyo hakuna kukatatamaaa munguyupo
@bonifacekalima5273Ай бұрын
Ukijuwa Sheria wewe ndioo mweenye nchi,,wapiga dili mahakani nakuifanya nchi iwee chini yeenu kiama Kiko mbele yeenu
@ZablonJonathanАй бұрын
Mwabukusu ana faa sana Ee MUNGU mlinde na apate ushindi.
@gasparyephraimmwakatuma9542Ай бұрын
Hongera kwa ushindi nadhani kampeni tayari umefanya
@ChristerKokuАй бұрын
Nakuona mwanangu Kisamo hongereni sana sana.
@petermasanilo732Ай бұрын
Mungu hamfichi mnafiki wameumbuka hai sasa ni kipindi Cha mnyonge kupata haki
@magesadani9058Ай бұрын
Hiyo ni dalili njema na Mungu awatangulie mwendelee hivyo hivyo mpambanie Tanganyika yetu
@generosennko8343Ай бұрын
To God be the glory.
@geoffreynghumba1029Ай бұрын
Hongera sana kaka. Natamani ushinde Mwabukusi katika uchaguzi wenu wa TLS.
@zaydamos874Ай бұрын
Mwabukusi juuuuuuuuu juuuuuuuu zaidiiiiiiiiiiii saf sana kaka
@tryphonbalihamla2898Ай бұрын
Viva rais wa tels
@PaulTajiri-vu4xuАй бұрын
Mungu. Nimwema sana anajua wasalendo wa icnhi
@williammwamalanga1065Ай бұрын
Watanzania tunahitaji mawakili kama Mwabukusi
@user-no6sg5vc5zАй бұрын
Safi sana na mwenyez mungu.aendeleee kukupa kinachostaili nakukubali sana yaaani katika bajet yangu ya kutwa nzima lazima indeed kwenye bando.kwa ajili ya kukusikiliza
@FredrickNicholausАй бұрын
Nakukubari mwamba💯💪
@kenedyrocky4641Ай бұрын
MAWAKILI VIJANA MSITUANGUSHE. TAIFA LINAHITAJI AKINA MWABUKUSI WAWE WENGI SANA.
@jovankishamba9424Ай бұрын
AMINAAAAAAAAAAAAAAAAA-
@georgesamwelchacha7680Ай бұрын
Mawakili waheshimiwe Wana Habari waheshimiwe
@tryphonbalihamla2898Ай бұрын
Viva president tlS kajunjumele mwabukusi
@FashoKibonaАй бұрын
Uoga ni umasikini ujasiri ni ushindi hongera mwabukusi tunataka haki.
@LemayanOlesenet-mq2ylАй бұрын
Mungu anazidi kufungua njia,hapo tiyari ushindi.Keep it up!
@frankndendu2570Ай бұрын
Go for it brother. You have already got it
@user-ex9gt9np8iАй бұрын
Mungu akutangulie kaka yangu mabukuzi
@csato9415Ай бұрын
Hongereni kwa uthubutu mawakili waliokuwa wakimtetea Mwabukusi kwa kudai haki iliyotaka kuporwa na gege la serikali. Hivyo mawakili mwende Dodoma kumpigia kura Mwabukusi ili awe Rais wenu. Na tayari kashafanya kampeni kazi kwenu wapiga kura tuleteeni Wakili Boniface Anyisile Kajunjumela Mwabukusi.
@reubenmakalla745Ай бұрын
Mmenifanya nikumbuke nilivotamani tasnia ya sheria bila kujua nikajikuta nimekimbia njia hii. Pambaneni
@mbonekemwampasi2509Ай бұрын
Bado unanafasi ya kuwa yule unayetaka
@OscarBethelАй бұрын
Hongera Mwabukusi mungu akutangulie akuepushe na mafisadi
@GeorgeNtugwa-bk7drАй бұрын
Hongera
@AmosRugaimukamuАй бұрын
Siamini mwamba kama utashinda, maana wakwamisha Sheria niwengi sana bro, lakini nakuamini mwamba, uko poa sana uncle
@charlesmoshi4411Ай бұрын
Hongera mwamba. Aluta continue
@hamissomary6869Ай бұрын
Kaka ongera sanaaa"nimekuwa nahoma kali sanaa nikisubili majibu ya mahakama"leo majibu hyooo mezani "Mungu akutie nguvu utupiganie watanzania "Nakkubali sanaaa
@DorkasKamauАй бұрын
Thanks very much
@kuabwakatabalula7913Ай бұрын
Glory be to God
@jovankishamba9424Ай бұрын
Safi sana mawakili mpe Mwambukusi maua yake.
@gervaskasala7321Ай бұрын
Kwa maelezo hayo na point hizo mwambukis ashinde asubuhi
@marthamtalo4348Ай бұрын
Tunawaombea kwa Mungu wetu ni mwema
@dillonfoyaАй бұрын
Yes HAKI imetendeka MWABUKUSI HOYEE
@IbrahimuMbuyaАй бұрын
Nice
@PaschalGerad-xq4lwАй бұрын
Utapita bila kupingwa wew ni mzalendo sana walikuhofia ndiyomaana walikuwa wamekuwekea figisu