Nimefanya fasting diet kwa mda wa 2 month nilikuwa na kilo 93 now nina 77Kg. JANABI🙌🏾❤️ God bless you
@numbibonzo42384 ай бұрын
Bila mazoezi?
@OliverOden-eb6ko4 ай бұрын
@@numbibonzo4238 sifanyi zoezi serious yan naruka kamba mara chache saana
@sophierkhatib18624 ай бұрын
Umefanya diet gani ndug yangu maana na mm nipo na izo kilo
@Ndu-wa.uroony24 ай бұрын
@@sophierkhatib1862Acha kula vyakula visivyo na lishe pia usiendekeze shughuli za kukufanya ukae tu.tembea,fanya kazi ya kushughulisha mwili
@ZulfaMazani-lb9oe4 ай бұрын
@@sophierkhatib1862 Ukiweza unacha kula Milo miwili kwa siku , mfano unakula mara moja tu mchana ,,,,ukishindwa iyo unacha kula usiku
@sihabaaly2876 ай бұрын
MashaAllah yaan nakufatilia nakuelewa nakupenda mpaka naumwa yaani nimekua mfungaji sitaki kuelewa habari ya kuonanjaa ✌👍
@jacobnduya7985 ай бұрын
Asante Dr kwa lecture nzuri kabisa! kwakweli nimeenjoy sana kipindi hiki nilitamani iendelee masaa hata matano. This is realy educated man
@rosehaule67654 ай бұрын
Mungu akutunze Dr ss tunakuelewa❤
@emilianadismasmbulwa52334 ай бұрын
Asante Prof. Janabi Tunayafanyia kazi uliyofundisha
@gracekagoma32317 ай бұрын
Respect. We are lucky to have you Dr Janabi.Remain blessed day
@MussaHassan-me2cc2 ай бұрын
Asante profesa hongera sana kwa elimu nzuri
@JackieMijinga-cs5tc6 ай бұрын
Mwenye masikio na Asikie
@khadejakhadeja97137 ай бұрын
Asantee dctr Janab.❤❤❤❤
@purity1348 ай бұрын
Thanks doctor Janab
@dominiquemushy8954 ай бұрын
Asante Sana Doctor
@emmanuelmunanka61376 ай бұрын
This is among the best content ever, Prof kamaliza kila kitu.
@zaynaothman65054 ай бұрын
Asante Dr, Mungu ni mwema kwa upande wa waislam tunafunga mwezi mzima ili tu tupunguze sumu ,Alhamdulillah.
@sarahgaula22204 ай бұрын
Waislam wakifuturu wanakula Sana bado dakui . .. .
@pushyd14 ай бұрын
Hii kitu ni nzuri mno,halafu nilichogundua mwili unazoea kabisa,mimi na kama almost week sasa,naamka asubuhi sisikii tena njaa mpaka ufike ule muda niliojipangia kula mlo wa kwanza saa sita mchana
@mr.yahzadochuno79144 ай бұрын
Thank you doctor blessed 😊
@BonnyMwajombe-iu7hb4 ай бұрын
Huyu mzee janab mchawi hatari ,zamani nilikuwa napenda sana kula kula na kunywa mi soda siku hizi kila nikitaka kununua soda inasukea sura ya janabi naghair nachakula hivohivo anatokea hadi nakula usiku tu kwa kujificha😅
@leahatupele-rr1jk3 ай бұрын
😂😂😂😂
@nigananurunjema4 ай бұрын
Thanks for education Dr Janabi.
@yusuphmdoe54517 ай бұрын
Asante kiongozi kwa elimu hii umenipeleka dalaja jingine asante
@KudraJuma-rf3km20 күн бұрын
Asante, mwenyezi mungu akulinde uzidi kutoa elimu
@vayaulashedrack59948 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa doctor nimepata jambo jipya hapo.
@rodahadhiambo36377 ай бұрын
Thanks Doc
@UserUser-gq1ir7 ай бұрын
Asante doctor kwa kutelimisha
@user-oe1vw1hk8x4 ай бұрын
Thank u professor
@MbarakaTamimu4 ай бұрын
....ahsante dr ALLAH AKULIPE YALIYOMEMA
@KassimAlly-xp4dz4 ай бұрын
Allahuma Amin
@raphaelkessy73604 ай бұрын
Thanks Prof ushauri wako nna ufuwata toka mwaka jana nikiwa na kilo 98 naku vimba miguu ganzi mkono wa kulia ku stuka sana usiku ni ak amka na uchovu mkubwa asubuhi saivi nna kilo 66 niko vizuri saaaaaana God bless you Prof
@amanimakame69024 ай бұрын
Elimu nzuri kabasa .safi sana
@nyakatongongo42922 ай бұрын
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦nashukuru sana
@JackieMijinga-cs5tc6 ай бұрын
Ubarikiwe sana Prof Janabi kwa kuvunja ukimia na kuamua kuiokoa Jamie, mwenye malicious na Asikie.
@agathamathew81854 ай бұрын
Doctor ukila chakula Cha mchana tu nakuacha Cha jion Ni vibaya? Na unatakiwa kula saa ngapi Ni mda sahihi?
@eestermos99334 ай бұрын
Dah hongera na m naitaka hiyo
@hodaviahnkoswe50694 ай бұрын
Thank you doctor
@christinekirigini5963Ай бұрын
Barikiwa sana Dr unatuokoa wenye shida hii kwa kweli
@MaryBrayn5 ай бұрын
Asante sana
@prosperidinya58644 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@hadijajuma37734 ай бұрын
Ahsantee Dr.Nikimaliza mfungo nitazingatia huu hii kanuni.sipendi kuwa na kilo nyingi.Pia InshaaAllah itanisaidia kuepuka baadhi ya maradhi.
@user-rf3zz1lb6l7 ай бұрын
Asante sana doctor be blessed
@abubakarsuleman19834 ай бұрын
Shukran
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
SHULE HII DUUH AHSANTE SANA DR JANABI
@DativaMboweАй бұрын
Mungu akutunze doctor kuanzia leo napunguza wine 🍷🍷
@user-bj2xs3tc7h4 ай бұрын
MM akubariki leeo na kila siku kwa lecture safi
@BaigonMacha4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki na kukupatia afya njema uzidi kutuelimisha
@mlangiralameck91584 ай бұрын
Asantee sana Prof Dr. Janabi kwa SoMo zuri, I real enjoyed. God bless u always.
@MohamedMohamed-md3jd6 ай бұрын
MashaAllah good advice naomba maana ya arosto Dr?
@erickymecky96394 ай бұрын
Huyu mzee abarikiwe sana nmemfatilia vzur nmemuelewa sana nmeacha bia mwezi wa pili huu
@nusalim33894 ай бұрын
Kaweza kumuachisha Pierre liquid itakuwa kuwa wewe😂 mana Pierre ana ugonjwa wa moyo kwsbb ya ulevi
@user-hq8wn9tz2l8 ай бұрын
Amina
@wilsonnzowa36204 ай бұрын
Serikali ingefanya mkakati wa kuboresha afya ya wananchi kwa kupeleka madaktari kama Hawa Kila wilaya kutoa elimu, kuwakumbusha watu kula chakula cha asili na kukitunza
@waterforlife93563 ай бұрын
Mashallah Allah akulinde mm nilikua na 102kg kwa sasa niko 95kg naendelea llnshallwah niwe 85kg Allwah batik
@upendombise811312 күн бұрын
Jamni Mimi nimepima juzi Nina 107 uuuuuwiiiiiiii
@godwinezra8764 ай бұрын
Safi sana kwa kutupa elimu.
@AizackKalenge-ro5rc5 ай бұрын
Prof Janabi,Na kupongeza San a Kwa Elimu,Utapunguza hasara nyingi
@jacklinemassawe13064 ай бұрын
Yuko vizuri
@user-dq3op3gs2d4 ай бұрын
Janabi ahsante sana
@kassimhassan84262 ай бұрын
Good
@willynyambok15687 ай бұрын
Asante daktari kwa somo ila dunia haina zaidi ya miaka elfu sita. hata shetani mwenyewe Hana miaka zaidi elfu 3 na ndiye mwenye janzo cha magonjwa.
@jabiriramadhani36924 ай бұрын
Lete ushahidi
@victoriaandrew80134 ай бұрын
Dr Asante kwa somo. Mm sili mchana mara kwa mara nilikuwa na kg 86 sasa nina 81 zinapungua taratibu
@eestermos99334 ай бұрын
Hizi ndo kilo zangu jmn siztaki kabisa😂
@patrinraura13974 ай бұрын
Dr.Tunashukuru sana Utafiti wako ni halisi kabisa kwenye ulaji wa vyakula vya asili Mababu zetu waliishi miaka mingi sana tofauti na sasa TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUTUMIA ELIMU YAKO KWA MANUFAA YA JAMII "UBARIKIWE"
@user-ls2uj3fl1o3 ай бұрын
Asalam alaykum Dr samahani mimi ni mhanga wa uzito mkubwa na kitambi naomba Kuja kuonana na wewe kwa ushauli nateseka na uzito mkubwa naomba msaada wako dr
@Rahmashabani-tx5yzАй бұрын
Uzito wko ngapi
@jessevlogswahili4 ай бұрын
Mimi.nakula asubuhi tu mpaka jioni asubuhi nakula matunda na conflex na plain yoghurt hapo ndo mpaka jioni na ninakula kidogo sana jioni halafu nafanya na mazoezi nilikuwa na tumbo kubwa saivi naanza kuwa modal na uzito umepungua
@rerisamba4 ай бұрын
Wow❤❤❤
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👊✌️👍.
@user-hf4yn1qm7y4 ай бұрын
Janab friend of Jpm
@davidsimbeye154821 күн бұрын
Ikiwezekana ungetuwekea namba ya simu ili tupate msaada zaidi au weka jukwaa ambalo tunaweza kuuliza maswali na tukajibiwa
@awamkhalid53614 ай бұрын
Nimekuelewa processed siyo nzur
@user-di6jz9bm4v2 ай бұрын
Ila pia doctor dawa za hospital zinaongeza mwili ee sababu mm nilipata ajar nikalazwa hospital mda mrefu ajabu nimetoka mnene ili hali ata kula ilikua shida
@ChristinaTongori19 күн бұрын
Kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo tunaomba msaada wa eliminate.
@user-pw2dv9fr6r4 ай бұрын
Lakin dr.mi nauliza hii intermediate fast unaweza kuwa unakunywa maji bila tatizo yaani maji ni shida
@zakayoyohana17365 ай бұрын
kwamjibu wa maandiko matakatifu waliokua wanafunga hawakuwa namaana hio ila kwasababu upo kimwili wafundishe walio Katika mwili ila kaa ukijua hakuna duunia yenye miaka milion mbili
Mimi nina kisukari ninatumia sindano za insulini ila uzito wangu n ni mkunwa sana
@NeiHerman3 күн бұрын
Tunaonyonyeshq tufanyaje
@user-hc5dd8sj6s4 ай бұрын
Mze wangu apo tuelimishe nn tufanye now na sio unatuludisha miaka io itakua sio kwer kwaio ilikutusaidia tufundishe maisha yte aya
@MatildeBjelland4 ай бұрын
Jifunze Kwanza kuandik ndo ukosoe
@ummumohd184 ай бұрын
@@MatildeBjellandhahaha kwa kwel maana ata hajaskiza na kuelewa alichokiongelea docta.
@MwanaishaKomboHaji-hg8xp11 күн бұрын
Baishara zitakufa
@kibambiibrahim57146 ай бұрын
Nini Dalili ya insulin kuwa kubwa mwilini
@jabiriramadhani36924 ай бұрын
Wakati anafundisha ulikua unasinzia
@dunstangeorge32634 ай бұрын
Tunaambiwa Yesu aliishi miaka elfu 2 ilopita, miaka inazidi bado elfua 2 haibadiliki😅 sasa miaka milioni ni habari za urongo tuu
@jacobemanueljoseph6637 ай бұрын
Somo zuri ila habari za miaka milioni mbili sio kweli. Dunia Haina hata miaka 10,000. Haya mambo ya million ya miaka ni nadharia za uibukaji za kina Charles Darwin.
@MahubiriPrMmbaga7 ай бұрын
Hapo chukua kinachokufaa tu maana kwenye imani tuna tofautiana !!
@jacobemanueljoseph6637 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ni kweli ndo mana nimeikataa hiyo mika milioni. Ila ni muhimu kwa wataalam wa kanisa la Mungu kujikita pia kufundisha mambo kama haya na mengine, italeta radha tofauti na msimamo wa tofauti. Mfano ninafanya kazi katika nchi ya kiislamu na shughulika na hali ya hewa, kwa msaada wa Mungu nilifanikiwa kutengeneza ratiba zetu za kazi pamoja nao kuanza Jumapili. Walipo uliza nilimwambia Jpili ni siku ya kwanza ya Juma. Walijaribu kuleta upinzani lakn kwa miaka miwili sasa ratiba inaendelea kuanzia Jumapili. Maana yake Nini? Wataalam wa kanisa la Mungu wakipata nafasi kufundisha mambo kama haya wanaweza fundisha na kweli nyingine za muhimu kama uumbaji n.k.
@SamuelamirKihwelo7 ай бұрын
Kwel ,kwa mjibu wa bibilia mpaka sasa tupo kwenye miaka 7000 na kias mpaka sasa
@jiwekichwa28577 ай бұрын
Dr Janabi anamaanisha mabadiliko ya binamu from Zinjanthropus to now.
@jiwekichwa28577 ай бұрын
Binadamu not binamu😂😂
@user-rw6dp3yt5h4 ай бұрын
Usipokula kwa mda mlefu SI utapata vidonda vya tumbo
@user-io1dm2kc3e4 ай бұрын
Shida mnatuambia tusile wanga na sukari lakini hamtuambii mbadala wake tule chakula gani yaani kama vipi maana wengine ukituambia tu protein hatunui ndio vyakula gani
@ZulfaMazani-lb9oe4 ай бұрын
Ykimsikiliza vizur utaelewa alicho maanisha ajakataza kula wanga moja kwa moja ...rudia kusikiliza tena my dia utaelewa
@janethkawishe93684 ай бұрын
Unaruhusiwa kula chochote dear ila Kwa kiasi na usile Kila saa kama umeamua Milo miwili Kwa siku ufanye hivyo ...
@user-us6io8qt8p4 ай бұрын
Nikinywa chai saa sita sitaugua vidonda vya tumbo?
@gloriadaniel38274 ай бұрын
Hutakiwi hata kunywa chai. Kula mayai na matunda. Na jioni Kula supu ya Nyama au samaki, mboga za majani na matunda. Achana na wali, ugali vyakula vya ngano. Kula ndizi mbichi INA resistance stach.
@user-ek6td4kt4t3 ай бұрын
Sorry professor. Hiyo kula mara moja kwa siku kwa wenye vidonda vya tumbo tunafanyaje? Naomba ufanye kipindi utusaidie maana wengi tuna hilo tatizo ukiwaza kula mara moja unavyopata hivyo vichomi ni hatari.
@user-qg1iy5ov3u6 ай бұрын
Dkt kwanini binadamu anakufa kwanini Kuna kufa kama sisi tumeumbwa na Mungu?
@jabiriramadhani36924 ай бұрын
Huyo sio nabii ni Dr
@jumaabakari34404 ай бұрын
Tunakufa coz sell za mwili zinatisha,zinakufa
@scholamodestus93864 ай бұрын
@@jabiriramadhani3692akamuulize mwamposa😅
@golebenson45973 ай бұрын
Aulizwe yesu sio janabi
@abdallahmmary85916 ай бұрын
Upo vizur Kwa elimu hiyo Bali sayans imewaponza Miaka hy unayosema unataka kutupeleka . Kwenye Zamadamu. . Adamu na Hawa ndio mwanzo wetu hayo mengine niyahao wayahudi.