Kamanda Makonda unafaa kuwa kiongozi mkubwa,Mungu akubariki Kwa ujasiri huo.Amina
@daniel.shao.902813 күн бұрын
Chuma kinazidi kuiva Mwenyezi Mungu akulinde na kukuzidishia hekima Ndg.Paul Makonda.
@melkizedck14 күн бұрын
Ila Makondo ana moyo wa ajabu. Yaan! Ana moyo wa huruma.
@ndetiyomafie462414 күн бұрын
Nakutia moyo shujaa 🎉na kamanda wa Mkoa wetu.
@toney..14 күн бұрын
Mh. Makonda Raisi wetu wa baadae, hata kama haitakua mwaka 2030,ila lazima uwe raisi wa Tanzania, sooner or later.... Mungu akubariki ❤
@AbdalaHamadi-fv4qh13 күн бұрын
Watu wanao pitia mazingira magumu ya maisha wakipata nafas huzitendea haki .mung ajalie watu kama makonda wawe wengi zaidi.amiin
@tungarazalaurent260212 күн бұрын
Una talent ya uongozi broo ....unakula MB zangu sana mpaka zinaisha daaah
@riazshaikh857714 күн бұрын
Tanzania tutaendelea kwa mfumo huu, hongera sana Makonda watching you from California
@user-tb7qw5oh1h14 күн бұрын
Kiongozi kama wewe umechaguliwa na Mwenyezi Mungu.Dr.Samia hembu mfikirie saana huyu Mtendaji wetu,maana nguvu aliyonayo ni zaidi ya Mkuu wa Mkoa.Mungu ambariki saana.Amina
@KiongoziMwandamizi11 күн бұрын
Comrade Paul Makonda Mungu akulinde, your such an amazing leader👏👏👏👏
@user-md7ug5dd9r13 күн бұрын
Kumpenda Mungu kuna faida kubwa . Makonda anampenda sana Mungu hapendi mtu yeyote aonewe .na hii ndio inakubalika hata kwa Mungu. Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana
@abdull_hafidh14 күн бұрын
Asilimia 99 ya viongozi wa hapa tz makonda amewaacha mbali sana
@geophreyhizza631514 күн бұрын
Umeboreka sana bro, siku zinavyozidi kwenda unaimarika MUNGU aendelee kukupigania huenda baadaye MUNGU akipenda uwe nafasi ya juu kabisa kwenye hii inchi.
@kilogreekachananawatuwasio405414 күн бұрын
MOTO JUU YA MOTO BRAVO MAKUFULI JUNIOR NAKUOMBEA MUNGU USIMAME KATIKA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI 👏 👌 🤣 👍 💪
@frankchaula867414 күн бұрын
Kukusikiliza naona maisha yangu yamekua mepesi
@user-py8ih8jr4b14 күн бұрын
Makonda ww ninavyoweza kusema nimsaidiz wa mungu sku nataman uwe lais
@riazshaikh857714 күн бұрын
Sio laisi ni Raisi bana
@JacksonFrances14 күн бұрын
Na wewe umekosea Siyo Raisi Bali ni (Rais)"@@riazshaikh8577
@krizofrancisco531013 күн бұрын
Acha uchawa Mungu Hana msaidizi
@user-ii6gs2jg4g12 күн бұрын
@@krizofrancisco5310m pumbavu wewe hujielewi
@ChristianMwashitete8 күн бұрын
Nzuri sanah hiyo mh.makonda.unafaa kua kiogozi wetu mkumba zaidi ya hapo mungu atakuinua.christian.mwashitete.from mbeya,
@jedidahbintidaudi824113 күн бұрын
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@amsiabbas380912 күн бұрын
Heshima yamtu ni Busara kukua kwamtu nihekma zake Kiukweli hata wapumbavu nao wanazeeka maana siokila Mtumzima ana Busara Makonda Bado nikijana sana lakini anaonekana Anabusara Na Hekma Mungu akukinge na Husda yawasiopenda Maendeleo ya Taifa letu Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wabaraki Viongozi kama Makonda Ilitaifa liwe salama Nalakujisifia
@user-rw7ww2yd7i12 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda na kutupigania tumaini letu watanzania mhe makonda piga kazi
@user-hk2oz2eg4j14 күн бұрын
Duh! Dr Samia mpe huyu kijana nchi kwa miezi mitatu tu akusaidie kisha tuangalie. Hapo nafikiri watu wote watakaa sawa.
@jofreykilangila411814 күн бұрын
Apewe kazi isiyo na mipaka
@rosehaule676512 күн бұрын
Hakika ❤kaka Mungu akupe ulinzi mkubwaa barikiwa baba kegan
@daudimichael733814 күн бұрын
Unawazidi wenzio kwa mbali sana. Mungu akulinde.
@michaelmatonange63014 күн бұрын
Akili mingi sana bro
@elispiuselias133914 күн бұрын
Huyu ndiyo makonda hata ukimsikiliza anaongea kwa kumaanisha kweli kweli kuwa nimpenda haki.
Mhe Makonda hao watu watakua ni waizi wazoefu hata majuzi fulani tu miezi mitatu iliyopita kulikuwa na kikao kama hicho na huyo muhindi alipasua majipu hayo hivo hivo lkn nikashangaa hakuna kilichofanyika.
@user-qg7fw7si5i13 күн бұрын
Mungu akibariki kaka yangu Makonda
@dionizemmanuel-ml2vf9 күн бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu . Mwanza tunakutamani sana.
@simonmasunga739815 күн бұрын
Congratulations Mr. Makonda. you have well said/ruled
@angellomarcel567714 күн бұрын
Paul Christian Makonda(PCM)
@japhetkarori523013 күн бұрын
Wooh....(PCM)
@HappyAnacondaSnake-zl4vj14 күн бұрын
DAMU YA YESU KRISTO UKUFUNIKE JUU DHIDI YAO WANAOKUWAZIA MABAYA,TUMIKA KWA KUTENDA HAKI YESU YUNAWE AMINA
@mungholomakalanga895813 күн бұрын
❤
@allyjumakukulo497214 күн бұрын
Hongera sana kiongozi
@marianmartin748312 күн бұрын
Hapa kazi tu, kazi iendelee.
@anordiobadia.nycsong812314 күн бұрын
Makonda piga kazi mpaka wanyooke
@allykassim112014 күн бұрын
kamanda makonda pereka lumande huyo Kwa makosa yake mabaya
@agnesmogere41314 күн бұрын
Mungu akulinde sana mkuu,
@PauloAlfayo-qi1gn13 күн бұрын
Mamayetu Samia akamleta wajina wangu, Arusha Paulo makonda ili atuokoe cc Wana Arusha tunonyanyasea asante mam kutulete chuma hii amen
@laizermaasai675914 күн бұрын
Nilichogundua mkurugenz alijua kila kitu kimeisha ile siku. Ila amesahau Makonda sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendooo.(ndan ya siku mia leo day 1. 100/99)
@PhilipoMwita-wc1ku14 күн бұрын
Mm makonda na Tundu lissu Hawa watu nawapenda sana
@kadokemarco996614 күн бұрын
Daaah, wewe ni mtu na nusu🙏🙏🙏🙏🙏🙏. Mungu akulinde bwana Makonda
@Mapenzi263514 күн бұрын
Mh. Makonda mfumo wako wa utawala ni wa Nordic countries. Nchi hii inaendeshwa kimarekani ambapo nguvu hutumika badala Ya akili.
@bongo3914 күн бұрын
Jamaa kaongea vizuri sana hongera hawa watendaji ndio wanaofanya kodi zisilipwe kwa sahihi huyo babu aliemlaumu atolewe akapumzike nyumbani
@zidatv112214 күн бұрын
Nchi zima rushwa zimezidi maisha yanazidi kuwa magumu
@kalashapastor11 күн бұрын
Makonda Kwa mamlaka niliyopewa na Mungu makonda apewe kuwa waziri mkuu yuko implemented yuko safi kikazi Hata kuwa Raise anaweza kabisa nitamuombea sana
@mapinduzisylvester190314 күн бұрын
Mkurugenzi demina ya uso wake anaonekana siyo msafi spiritually na physically 😢
@evanskabende335713 күн бұрын
Sure
@nappekiliakiliasalimu34614 күн бұрын
Ingetakiwa mkuu wa wilaya arusha awe SABAYA alafu na makonda yupo wananchi tutakula bata mbaya sana
Mikowa yote ingekuwa na mkuu km wewe tanzania ingekuwa dubai igeni bc jmn mungu akulinde
@materidaniel236514 күн бұрын
Mh makonda mungu aliye hai aendelee kukulinda
@amosmahona43313 күн бұрын
MOja kwa moja kutoka Nchini kenya.MH.Mungu akubaliki sana
@samsonhamery380911 күн бұрын
Inaendelea kuthibitika kuwa Tanzania inahitaji viongozi wa aina hii (1)Jasiri asiye mwoga (2)mwenye hofu ya Mungu(3) mpinga rushwa kwa kumaanisha (4) mwenye kuwahurumia na kuwatetea wenye kuonewa (6) mkali asiye fanya mizaha katika utumishi wake
@PaulinaLwena14 күн бұрын
Makonda Mungu atakucmamia kwenye kazi zako
@user-oy5dz5xl8s14 күн бұрын
Mh makonda usiwahurumie Wala rushwa wamewaumiza sana wasio na nguvu Wala nafasi.
@MaryLee-sh4nd12 күн бұрын
Yaani makonda zaidi ya jembe, nakupa maua yako.Mungu akulinde
@apolinarymboya323114 күн бұрын
Kaka kila secta inakufaa mungu akulinde utokapo na uingiapo tunakufuatiliya tuki babati manyata wanyooshe na usicheke na mtu ambae ana adabu na madaraka afilisiwe
@georgemwakalindile68712 күн бұрын
😀😀😀😀 wamekuja na ajenda yao ya kuzima moto wa millioni 24.....wamelipa m3....wamegawana m20....badala wachange hiyo m20 wairudishe ionekane wazi wazi what there intention was wao wanazidi kuwaudhi wenye akili....sasa ona aibu gani hiyo,wafanyabiashara wamegundua wadudu yao na evidence wanazo......Makondo naomba mahakama itoe mfano huko arusha......nyundo 20 jela au zaidi.....kisha Mama mwamishe Makonda mkoa mwingine au sema tu akimaliza Arusha nampeleka mkoa mwingine bila kuutaja......"utashangaa watendaji wa mikoa watakavyo anza kuuza mali zao😀😀😀
@MohammedJaizan-yf5yt15 күн бұрын
Safi sana mheshimiwa Makonda Hawa sio wakukaa kwenye ofisi za umma kama huyu akanyee kwenye debe
@user-oy5dz5xl8s14 күн бұрын
Ni mazoea machafu TU watu wengi wanafanya mkoa wa Arusha shamba la bibi hawashughuliki na matatizo ya watu
@theodosiahaule554513 күн бұрын
Mungu akuinue zaidi Kiongozi wetu. Kazi iendelee
@stanleybupambambogo333411 күн бұрын
Ee bwana, namuona boss wangu wa zamani MR. SANJEE mmoja wa Wakurgenzi wa kampuni ya ROY SAFARIS ya jijini Arusha akiwa amekaa pembeni (kushoto) mwa WILBERT CHAMBULO. I salute you Mr. Sanjee!
@CristinLyanga11 күн бұрын
Mama Samia tafuta utaratibu wa kupeleka na mikoa mingine watu kama Makonda,sisi Watanzania tunataka watenda haki na wachapa kazi kama huyu jamaa. Jamani anachapa kazi eti, wewe fikiria mtu ni mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hata sisi wa Mikoa mingine tunamtamani umlete Mikoani kwetu.
@reaganmtesha300710 күн бұрын
Jembeeee
@alphoncenerlimbweni623314 күн бұрын
KAMA NINGEKUWA RAIS NINGEMTEUWA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE ILI AWAENDESHE WAKUU WA MIKOA NA KUWAWEKEA MIKAKATI NA KUWAADHIBIWA KAMA HAWAKUTEKELEZWA, MAANA ANA MAONO NA ANAMTANGULIZA MUNGU. HONGERA SANA KAKA YANGU KWA UTENDAJI MZURI KUFUFUA MIOYO ILIOPONDEKA.
@user-kg9uz2hh1y14 күн бұрын
hao wafanya kazi wa TRA
@veronicamokiwa431514 күн бұрын
La msingi sana ni maombi kwa ajili ya ulinzi wa Mungu juu yake si wote wanafurahia hii michakato ya kusidia watu
@user-ny1tf2gg8g13 күн бұрын
Ishi baba na Mungu akulinde sana
@wilbroddaffi6613 күн бұрын
Tukiondoa tabia za kupenda vyama huyu jamaa ni kiongozi bora sana ni vile tu wachumia tumbo wanatumia machawa kutupotosha
@makondorshimora50179 күн бұрын
Sasa huyu babu mkurugenzi hiyo hela anapekeka kwa waganga? Make hata muonekano wake mmmmh😌😌
Makonda nakufunika kwa Damu ya Yesu wasikudhuru hao wezi
@yujinxhing37669 күн бұрын
Unaonga kama autaki kumbe ndio unampiga mtu spana.
@DaimaNyakunga-jb6do14 күн бұрын
Wako wengi sana mkuu asikali ndo kwanza wanakula rushwa kweri kweri
@aminahhuawei113313 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@abdallahkihanza48213 күн бұрын
Kwa kweli ufisadi umezidi maana ni kila kona ni bora hizo halmashauri zibinafsishwe Tu, ndio muarobaini wa kuondoa upigaji
@user-ze6lx9ng6s14 күн бұрын
Be blessed 🙏🙏 makonda,
@williammbuzimai574414 күн бұрын
Lakini ninachokiona kingine katiba yetu ingerekebishwa, Haiwezekani wakurugenzi wengi wanaboronga hivyo mwisho wa sikubutasikia amehamishwa, Kwamba akaboronge sehemu nyingine!!!!
@user-nd9cm6yo9r11 күн бұрын
Yaani Makonda natamani upewe mikoa 5 na ndani yake lindi ikiwemo
@RASHIDKHEIRBAGHDELLAH13 күн бұрын
Makonda chapa kazi Mungu wa Mbinguni yupo upande wako
@neemanyerere-drago557014 күн бұрын
Huko kwenye serikali za mitaa, ndipo watendaji wa halmashauri wanajenga matabaka, wanakandamiza wananchi wakiidanganya serikali kuu kwa uongo na unafiki na taarifa za kutunga.
@damsonwilson520214 күн бұрын
Hili ni Giza lipo hapo
@neemaayubu801212 күн бұрын
MUNGU aendelee kukuinua mh.
@neemanyerere-drago557014 күн бұрын
Watanzania tuko tayari kulipa kodi lakini watendaji wanatengeneza mazingira ambayo sio rafiki, lakini kwa style hii ya Mhe Mkuu wa Mkoa, ni wengi watakwenda kulipa kodi bila kukumbushwa. Taasisi za kusimamia kodi zinatakiwa kuwa rafiki kwa wafanyabiashara, maana bila mapato yatokanayo na kodi za wazalishaji uchumi, yaani wafanyabiashara, wakulima, serikali itashindwa kufikia malengo. Hao ni wadau muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na hili jambo watendaji wanatakiwa watambue, unamfanyiaje ubabe anayekulisha??
@laizermaasai675914 күн бұрын
Makonda yupo vizury sanaaa. Ongeraa pia chambulo
@user-eb2el9kw6m13 күн бұрын
Hawa watu wanapataje hizi nafasi? Watu kama hawa hawawezi kututoa hapa kutupeleka mbele
@annamwakibinga52714 күн бұрын
Jamani huyo karibu anastaafu anaendekeza rushwa Mungu wangu. Dah inatia huruma lakini
@user-eb2el9kw6m13 күн бұрын
Mheshimiwa Makonda ulindwe na malaika wa Mungu. Mimi sasa hivi ni chama cha kijani. Umenifanya nikipende chama kumbe kina watu wazuri kama wewe.
@husseinbachwa837214 күн бұрын
We ni mtanzania No muhim saana kiongozi...
@bkkomesho927214 күн бұрын
We jamaa unanimalizia sana Bando zangu, usiku silali natazama clip zako. Natamani kuacha hii tabia nashindwa broo, hotuba zako narudia mara mbili mbili
@SanareLaizer-en5it14 күн бұрын
Mama Samia mwaka 2025 kura yangu ipo
@agreykombe539614 күн бұрын
Kijana wa samweli sita samweli sita alikuwa hataki ujinga karithi huyu