Bro uko na roho nzuri kabisa yenye Imani ya kweli kabisa weye siyo mnafiki wapige spana broooo mkono wa Mungu uko juyako😢😢
@berthatz3 ай бұрын
Nchi hii kuna watu wanaonewa jamani😢..Makonda kaka yangu Mungu akupe nguvu na hekima usaidie wananchi hawa.
@kilungahamis12703 ай бұрын
Ee Mwenyezi Mungu Kuna msemo wa kiswahili wanasema chema hakidumu. Lkn kwa Makonda Mwenyezi Mungu amjaalie umri mrefu aendelee kuishi. Huyu kiongozi ni mtu na nusu. Ucha Mungu pia upo ndani yake.
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Pole sana mpambanaji mwenzetu, jipe moyo. Mungu yupo upande wako
@marykiswaga74093 ай бұрын
Makonda Mungu akupe hekima nyingi sana pia pole majukumu unayo
@HASHIM-rt4mf3 ай бұрын
Mungu atasimama naww ipo siku utakuwa rais One day
@ally17023 ай бұрын
Jambo tv ebu naomba uyu jamaa mumtafute tena kujua kaishia wapi mana dah inauma kupita kiasi
@amiribakari25283 ай бұрын
Du aisee pole sana
@marykirigiti2033 ай бұрын
nimejukuta ninatokwa na machoz pole kaka makonda ipo sk utakuwa kiongozi mkubwa nchi hii una utu ndani ya moyo wako pole mpaka machozi yanamtoka kiongozi
@user-fl7jl7vk3n3 ай бұрын
Hali tete pole sana mungu atakusaidia tu
@edinalihedule76093 ай бұрын
😢😢
@navokisembo3 ай бұрын
Duh Tanzania hii kweli mtu utapata maradhi au ufe buree kWa jasho lako jamani eeeh Mola saidia
@cosmasdaudgwemela60463 ай бұрын
Nakuombea Kwa MUNGU siku moja uwe Rais wa nchi yetu mana nchi yetu imemezwa na mafisadi kila Kona haki imebaki Kwa wenye vyeo selikalin na ilala sisi wanyonge hatuna haki kabisa
@RoseMayige-gn9qb3 ай бұрын
Wanataka watu wanaodai fedha zao ili wazigawane! Wamejaa laana kabisa!!