KUPATA KITABU HIKI: Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo. Bei: 20,000 TZS. . Kujiunga na group la VITABU Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
@AnnaThobias-rt7lb5 ай бұрын
Bombàaaa....sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❣️❣️
@abdallasalim37783 жыл бұрын
Asante ndg, njia nyingine upende kuwasalimu watu ktk jamii inayokuzunguka,,njia nyingine penda kuwasaidia watu kifedha walio na shida mbalimbali,,km utakuwa na uwezo,,au kuwasaidia kw kutumia nguvu zako pia ,au mawazo pia
@deogratiuslwamboya40323 жыл бұрын
Mr. Ezden Jumanne. Salute👌point zote sita zina nyama ya kutosha!! 🇹🇿✍️
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Thank you kaka Ezen Jumanne I'm alot; when i listen i give myself time to learn something new but when i talk i repeat what i already know.
@omarimadiva53523 жыл бұрын
Ahsante kaka kwa ujumbe kwa sababu kupendwa kunaongeza furaha,hujenga udugu na kufungua fursa mbalimbali kama za kiuchumi
@bizimanabaruwani7802 жыл бұрын
Assalamwalaykum wakiristu jambo sana kweli Nafurahi sana na mada zako ziko poa sana Allah Akujaze ilimu
@thabitally98753 жыл бұрын
Safi sana, kazi nzuri sana
@HalimaKa-u3l2 күн бұрын
Thanks for sharing
@japhetitinde94332 жыл бұрын
Hongera sn,kwa ufahamu wa ufahamu unaoendelea kutoa kwa jamii bnfs nakuelewa vzri ongeza maarifa utafika mbali,ndimi mtumishi Itinde Ibaso/pia mtaalamu Afya wanyama na ndege,pia mjasiamali mazao mifugo.
@godfreyaliwa71683 жыл бұрын
Nimejifunza kitu Shukrani Sana Kaka Ezden Jumanne ubarikiwe
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا يا أخي العزيز Ezden JUMANNE
@maulideabdala38323 жыл бұрын
Asalam aleikum kaka. Mimi nipo mozambique lakini nnaerewa kiswahili yani kwa ukweli nnajifunza mengi sanar kupitiya wewe, mungu akujarie, muito obrigado
@saadaalmamary83973 жыл бұрын
Exactly amazing u teach me something
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Mimi nakuelewaga sana kaka Ezden pia naomba Mungu aniwezeshe niweze kuyafanyia kazi mafunzo unayonipa.
@pilikipengele9632 жыл бұрын
Thanks Edzen God Bless you
@saumusanjiama69916 ай бұрын
shukran sana
@mamunote35073 жыл бұрын
Mashallah Jazakhah Lwah Kher Akhui
@adelambeikya83633 жыл бұрын
Nazidi kujifunza kitu kipya kupitia video zako mungu akubariki
@MartinLameck-hm9gx6 ай бұрын
Kaka nimependa sana mafundisho yako wacha nianze kuyaishi hayo uliyoyasema kwa kweli nimepata mtaji mkubwa sana wa maisha Mungu akubariki sana kaka
@successpathnetwork6 ай бұрын
Amin
@theonilachaula10643 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka,asante kwa masomo mazuri unayotupatia
@yumbujackson8693 жыл бұрын
Bro Mungu akubarik kwa elimu hii
@rachelmikey5493 Жыл бұрын
Nakupenda alafu napenda kufatilia story zako..
@successpathnetwork Жыл бұрын
wow...nashukuru sana Rachel, nakupenda pia! take care
@khadijashabaninimba78902 жыл бұрын
Barikiwa 🙏❤️sana
@mbaloplatnumz6462 жыл бұрын
Mwenyez mungu akubarkh kaka
@binallymunshed78482 жыл бұрын
Bin Ally APA Broo pia yapo mambo ambayo ukiyafanya pia watu watakupenda 1 kujiepusha na kuomba omba ovyo yani kuto kukinai.. 2 Kupenda Usafi 3 Kuto kujivuna
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Naam sahihi kabisa kaka
@binallymunshed78482 жыл бұрын
halafu pia zungumzia kuhusu mabo yanayo pelekea watu kukuchukia
@mwashighadijames30183 жыл бұрын
Asante sana Ezden,funzo nzuri
@merydavis38603 жыл бұрын
Waooow
@charzysimion90553 жыл бұрын
Respect
@chw20753 жыл бұрын
Nice lecture
@dometngwenga35883 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@seifkisailo26673 жыл бұрын
Nakubali
@shabanzege30503 жыл бұрын
Broo Ezden Allah akubariki sanaa
@miriamiboni82323 жыл бұрын
ubarikiwe sana j4 kwa elimu hatamimi natamani kufanya kitu/biashara lakini naogopa kusubutu
@billmoneysuleiman21413 жыл бұрын
Kaka Ezden Jumanne me nijifunza mengi sana khs hiyo video 1 nimejifunza kuwa msikilizaji na kutojivuna sana mana na me ninayo tabia hiyo ila “ tabia huota kama majani “so nitajitahidi iyondoke.
@gideonkipruto39872 жыл бұрын
Asante
@jacobzama64832 жыл бұрын
kaka nafurahi Sana napata Somo jipya kila siku nikikusikiliza Kaka 🙏
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Nashukuru sana Jacob endelea kufuatilia. Pamoja sana
@shidashida6060 Жыл бұрын
👌🏿👌🏿👌🏿
@shabanhassanishabanhassani29132 жыл бұрын
Bro pamoja na madini unayotoa yooote lakini mimi kinachonifurahisha sanaaa ni jinsi unavyoongea
@successpathnetwork2 жыл бұрын
Nashukuru sana ndugu yangu. Niombee dua
@mickmussa93533 жыл бұрын
Baad ya kukusikiliz nimepat mamb meng San thanks for that
@MesiusKaroli6 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka
@successpathnetwork6 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@sixmundstephen80423 жыл бұрын
Nimekuelewa bro.
@erastobartalome27093 жыл бұрын
Respect kaka
@anicertsweetbert87463 жыл бұрын
Sawa kaka nakukubari ongera sana
@selemanirashidi12773 жыл бұрын
Asante sana kaka
@venturebown69833 жыл бұрын
Bless up bless up
@ramadhannyigana88833 жыл бұрын
Kwema kaka kuna somo moja nilikuwa naomba kama itawezekana ukiwa natabia ya kufanya kazi kwabidii adi boss akakupenda sasa changamoto ipo kwa wafanyakazi wenzio wakakuchukia vipi somo jinsi ya kwenda nao sawa kaka , samahani mm sio mtaalam katika kupangilia sentensi ila naimani utakuwa umenielewa
@jssytayali51883 жыл бұрын
Asante sanaaa
@aishahamidu44612 жыл бұрын
Shukran allah akupe kheyr inshaallah
@nzitogondwe99763 жыл бұрын
Asante kaka nipo Zambia lkn kila mda nakufwatilia by Steven nzito
@talalimpagalala62612 жыл бұрын
Mr endelea kutoa elimu especially for young people that expected to win success
@patricktarimo26993 жыл бұрын
Big up sana bro, nimekuelewa
@salumhamad Жыл бұрын
asante san kijan
@omarisaleh88813 жыл бұрын
Kwakwel point ilio nigusa zaidi nikumuita mtu kwajina lake lakuzaliwa au lautani ambalo analipenda pamoja pamoja nakua makini kumsikiliza mtu nakuchangia kidogo anachokiongea ili umsibitishie kweli unamsikiliza .
@akidasalim38593 жыл бұрын
Nimependa sana hili soma
@gseventz46633 жыл бұрын
Respect kwako kaka..
@bravoinfo84463 жыл бұрын
Kweli lakin ikitokea kakukosea utafanyaje na ni best yako
@hajihashimu41993 жыл бұрын
Unatupa madini bro Allah akupe afyatele
@asumanisuleimani12953 жыл бұрын
Nakuelewa Sana
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
بارك الله فيكم وجزاكم الله خيرا يا أخي العزيز
@floramwaijele93223 жыл бұрын
Noted
@mihayogodfrey6063 жыл бұрын
Big up sana kaka edzen jumanne nmejifunza kitu kikubwa sana
@nasonoyaro77403 жыл бұрын
Mungu akubariki qwa kujitolea kwako
@maungomubita79813 жыл бұрын
About calling people by their name....I have questions and reservations. I am of the view that you might want to call people what they want to be called. Also that there is also a cultural aspect to be considered.
@musason16803 жыл бұрын
Asee jina n kila kitu hata mm nikiitwa t huwa namzingatia mtu kile anachotaka kukisema,
@albanusmbithi34863 жыл бұрын
🥳🥳🥳🥳 listen twice
@tatu3tatu5493 жыл бұрын
Swali langu lipo hiv sifa nyingi unazosifiwa na mabaya meng unayotangaziwa lipi lenye ubora wa kanifikisha mbali
@abudihatari46172 жыл бұрын
Safisana
@danielhaule49033 жыл бұрын
Big up bro 💪🔥🔥
@tatu3tatu5493 жыл бұрын
Hi
@khadijamohammad4733 жыл бұрын
Jambo kaka ezden jumanne nauliza hivi kwa mfano kazini kwangu naeza kuandika jina langu kama kwenye kutangaza biashara kama nilivoandika kwenye license sbb naona nikiandika haipendezi sbb kila mtu atakua ananijua kazi yangu ya ufundi wa nguo
@tinahosea99303 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@gideonkipruto39872 жыл бұрын
Kuita watu kwa majina yao imenigusa
@farijanibakari97723 жыл бұрын
Kaka vp
@zeynakatimba5463 жыл бұрын
Masomo mazuri kaka Edzen ila rekebisheni kwny sauti inatangulia halafu midomo ndio inamalizia kuongea. Otherwise shukran sn kw masomo yanasaidia kumbadili mtu kimtazamo na kuyafanya kimatendo.
@mathiaslaban85303 жыл бұрын
Namba hyo kaka ezden naomba uniunge group lako la whataap 0757002811