MASHARTI YA AJABU NI KICHAA TU ANAWEZA KUKUBALI "HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI

  Рет қаралды 180,056

KUSAGA TV

KUSAGA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 235
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Nacho mshukuru Mungu nilimpenda sana Magufuli akiwa hai na nilimsapoti na hata mtoto wangu nimempa jina lake
@malakimoses6115
@malakimoses6115 Жыл бұрын
Duh jembe Tanzania tumepoteza kwa kweli R.I.P Mzee JPM u will always be missed
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Жыл бұрын
Vizuri Huwa havidumu jmn,na vizuri kupotezwa ni mara moja
@titoraphael7329
@titoraphael7329 Жыл бұрын
Logical thinking very critical. SALUTE JPM kwa kweli hawa wawekezaji wana hawana nia ya kukuza uchumi wala mapato yetu. Sasa Mama na Watu wake wanampotosha tu. Tumesharudi kule kule kuibiwa sana.
@SilvesterRaphael-xb6it
@SilvesterRaphael-xb6it Жыл бұрын
Narudia tena kusema nadhani hii comment ni ya mwisho kuandika kuhusu hayati magufuri.Nasema hiv haitakuja kutokea Tanzania kuwa na Rais mzalendo kama magufuri sahau kwa nchi yenye walamba asali kama hii wenye fikira za kuifisaidi tu nchi yetu na wenye maono ya kuishi milele na family zao bila kufa wakimiliki pesa ndefu huku wanyonge tukibaki kukosoa macho tu keki ikigawanwa na kikundi kidogo tu cha karakana la shetani wakitamba na kuumiza kila atakeyejitokeza kuwatetea wanyonge RIP mwamba uliyekataa kamwe kuwa upande wa waabudu shetani wakakuua na wao watakufa tu kama ss
@mustaphamasobe8343
@mustaphamasobe8343 Жыл бұрын
Nambii Eliya alidhani amebaki pekee yake Mungu alimjibu wapo elfu saba,Mungu atainua wengine zaidi
@Devidi-xq4wj
@Devidi-xq4wj Жыл бұрын
Polesana
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Жыл бұрын
Da tutakukumbuka sana,ndio maana uliuwawa ili waishi Kwa kutunyonya ,pumzika baba
@AllyLali-sg5cd
@AllyLali-sg5cd Жыл бұрын
Mungu ailaze pema kwa kazi nzuri iliyofanya kwa manufaa va nchi pia ni mkombozi wa wanvonge.
@adelaudarutagwela5070
@adelaudarutagwela5070 Жыл бұрын
Mimi naamini huko Mbinguni uliko endelea kuliombea Taifa mipango ya manyangau walio ndani ya Nchi na nje ya Nchi Mwenyezi Mungu aingilie kati isifanikiwe hata moja
@joshuanjughuda5540
@joshuanjughuda5540 Жыл бұрын
Ee mungu baba usikiae maombi kama ni watu walihujumu maisha ya magufuli watanzania tunakuomba uwajibu hao makatili sawa sawa na matendo Yao patiliza mpaka na vizazi vyao maana ulisema ktk neno lako utawapatiliza Wana maovu Ya baba zao kizazi Cha kwanza hata Cha nne. In the name of Jesus I prayed aaamen!
@mariamswalehe3312
@mariamswalehe3312 Жыл бұрын
Tutakumisis sana Magufuli. Raisi wa mfano hajawahi tokea kama wewe. Ulisema na yametimia sasa
@stupendous1
@stupendous1 Жыл бұрын
We lost a naturally born intelligent man in our country. RIP sir!
@shijalushona4298
@shijalushona4298 Жыл бұрын
Jembeee
@jamammussa8424
@jamammussa8424 Жыл бұрын
🤲 pumzika kwa amani
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 Жыл бұрын
Baba nitakukumbukaaa daimaa ww ni genius unaishiiii .....spiritiiii yako inaishiii milele .....ubet wako wa mtanikumbuka kwa mzr na sio mabaya yangu
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 Жыл бұрын
Daah.!! Basi tu hakika mzee alikua ni mzalendo 😔😔😢
@gracesage989
@gracesage989 Жыл бұрын
Uliyaona haya baba. Tunaomba Mungu tu ainusuru nchi yetu. Endelea kupumzika kwa amani.
@ThomasMoiyo-uf8sx
@ThomasMoiyo-uf8sx Жыл бұрын
Ndio president nzur zaidi
@selemandaniel6179
@selemandaniel6179 Жыл бұрын
The African hero
@roselinemoshi5008
@roselinemoshi5008 Жыл бұрын
Ehhh Mwenye Enzi Mungu amsha tena hii roho ya John Pombe Magufuli pamoja na ya Julius Kambarage Nyerere zianze kufanya kazi ndani ya miyoyo ya watu bila uwoga eeh Mwenye Enzi Mungu tutendee nchi yetu Tanzania 🇹🇿 😢😢😢😢😢
@patrickKitambo
@patrickKitambo Жыл бұрын
Alipo kua hai nyie ndo mlikua wa kwanza kusema ni dikteta
@emanuelbalama-el2jd
@emanuelbalama-el2jd Жыл бұрын
JPM, JPM, JPM.....ooooooh the son of Africa..., we will be missing u MWAMBA.
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Jipm ibilis akukupenda kabisa ila mungu wetu atatusimamia sis wengine tunajua maana ya mikataba ya keep shetani ninani asiyejua maana ya mikataba ya kihuni awezekani lijitu limoja liongwe theni watu wa mungu wanajaribu kuongea. alafu anabezwa na wamalacki walio laaniwa na mungu
@andrew29468
@andrew29468 Жыл бұрын
Graeat man
@JumaKhamis-kz5vs
@JumaKhamis-kz5vs Жыл бұрын
Saluti baba
@charleskawo5572
@charleskawo5572 Жыл бұрын
Ninani aweza kushindana Na Mungu,,machozi ya rohoni anayaona,,,ATAJIBUU UPESi
@sophiajohn2958
@sophiajohn2958 Жыл бұрын
Mungu akumbuke sadaka yako Magufuli wetu, ulikitoa kuitetea haki ya wa Tanzania mambo yamekua hofyo Mungu mjalie mtoto wako Magu apumzike kwa Amani na atuombee sisi na Tanzania nzima Amina
@saidymalumbo4530
@saidymalumbo4530 Жыл бұрын
Pumzika anko hakika uliupiga mwangi na hakika mungu akiniweka nitakuja kumsimulia mjukuu wangu kuwa ulipita jembe hakika magu ulikuwa mwanga wa African kwa ujumla
@francoismalenge1373
@francoismalenge1373 Жыл бұрын
Merci beaucoup Mzee 👏👏
@issaissa1361
@issaissa1361 Жыл бұрын
Naamini uko ulipo unayaona yanayo endelea mungu akulinde uko ulipo msema kweli
@FaustinByendeye
@FaustinByendeye Жыл бұрын
Our mzee magufuli mpendwa , You did lillte in your life time But you are doing a lot after you left us africans in general . Viva magufuli ,putin is helping to Magufulication of africa .
@leonardchoma3765
@leonardchoma3765 Жыл бұрын
Dah! inasikitisha Sana.
@DONALDMTOWE-u9g
@DONALDMTOWE-u9g Жыл бұрын
Leo wameuza Baba Pumzika kwa Aman.
@gelvaskatapa3080
@gelvaskatapa3080 Жыл бұрын
RIP Jpm Will miss you
@sylvesterrusenyana4050
@sylvesterrusenyana4050 Жыл бұрын
What ever happened, we will never forget our Hiro , acha yote yafanyike ila ulisema
@charleskawo5572
@charleskawo5572 Жыл бұрын
WaTanzania tuache mambo mengi,,hakika tumemkosea Mungu,,tutubu tumrudie ;Mungu Anao uwezo mkubwa sana wa kufanya mambo yetu yakakaa sawa kabisa
@aliemdogo
@aliemdogo Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima mwamba
@evanstum5032
@evanstum5032 Жыл бұрын
Great people especially in Africa they don't leave only dictators rule forever
@Ndawoo
@Ndawoo Жыл бұрын
mzee uko wap tunauzwa jaman
@DonardLufumbe-hc1rp
@DonardLufumbe-hc1rp Жыл бұрын
Mungu mulaze mahalo pema peponi magufuli mhh tunanyanyazwa
@iddykarumanga2157
@iddykarumanga2157 Жыл бұрын
Sina hakika kama wameweka masikio pamba 😢
@nakali79
@nakali79 Жыл бұрын
Magufuli alikuwa peke yake, wote waliokuwa wamemzunguka walikuwa wanafiki wote, ilikuwa ngumu mno kuendelea kuwa hai mzee wetu, maana alizungukwa na mazombi kila kona
@godfreyshirima1480
@godfreyshirima1480 Жыл бұрын
Tuta mkumbuka kama alivosema na kawaida yetu tunamkumbuka mtu akisha fariki aliona mbali sana kiufupi
@amirlehao8945
@amirlehao8945 Жыл бұрын
Naungana na wewe ndugu yangu alizunguukwa na mzombi Tu
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Жыл бұрын
ni kweli yote yalio baki ni maxombi or tuseme mazezeta ya kihongwa bahadha tu kila kitu wapiga makofi majizi yote
@DonPrince11
@DonPrince11 Жыл бұрын
profesional ni ujinga kweli kukubal ujinga kma huo
@BenjaminiJoel
@BenjaminiJoel Жыл бұрын
Sawa baba tulikusikia wananchi naturi kusikitikia sana pale ulipo umariza mwendo urikuwa mbaya kwa waovu urishangiriwa kwa unafki na marafiki zako
@JoshuaKivuva-z5q
@JoshuaKivuva-z5q Жыл бұрын
Nikweli
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Kuhusu bandari waliokuunga mkono wamekugeuka baba lile jambo linaendelea
@eladiurassa123
@eladiurassa123 Жыл бұрын
Jamani mama Samia ,wewe ni Mama tuu.natamani kuongea na wewe.
@kaguripenina63
@kaguripenina63 Жыл бұрын
Mm nilikuwa ccm but magu ccm alikuwa pekeake
@Bryboe_tz
@Bryboe_tz Жыл бұрын
Maneno yataishi milele💪💪
@FaustineKingu-w8d
@FaustineKingu-w8d Жыл бұрын
Tutapate wapi kama Mtazania Magufuli jamani uzalendo mnao kama Magufuli
@lazaromshamu3521
@lazaromshamu3521 Жыл бұрын
Tunakuomba walau urudi uwaone watu uliowaachia kijiti wanachofanya
@hamidaabdillah5190
@hamidaabdillah5190 Жыл бұрын
Huyu ndio kiongozi shupavu aliyeweza kutunza rasilimali za nchi hii na kukabili mikataba mibovu...😊
@hamidaabdillah5190
@hamidaabdillah5190 Жыл бұрын
Waliyokupigia makofi Leo ndio wamekugeuka mzee Bandari imeuzwa kwa miaka isiyojulikana...!
@yohanamasebo3478
@yohanamasebo3478 Жыл бұрын
Hakika tutakukumbuka tumebaki na manyang'au wa magharibi ndiyo wanatuongoza wanaitafuna nchi yetu kweli R.I.P Magufuli
@donathtarimo7221
@donathtarimo7221 Жыл бұрын
It is very sad & shameful too
@RizikiAbdala
@RizikiAbdala Жыл бұрын
Mimi sio mwanasiasa ila kwa kinacho endelea picha tunaliona hata kama hatuna digrii zao za mchongo sasa nasema hatukubali
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Pumzika mahala pema mungu akuweke peponi amina
@SalmaMatatu-yt4hn
@SalmaMatatu-yt4hn Жыл бұрын
Mama Samia husikii kauli za raisi mwenzako mbona unadanganyika wananchi wako watapata shida sana angalia hilo
@HarunaMohamed-ui7nq
@HarunaMohamed-ui7nq Жыл бұрын
Ndiyo maana mungu akatoa maamuzi sahihi
@donaldbenedict5761
@donaldbenedict5761 Жыл бұрын
Mungu mwenyezi akulaze mahali pema peponi amen,ila hawa watu wako wa CCM pasua kichwa sana yale yote uliyo waambia hawaelewi cjui vichwa vyao vimejaa kutokujali wameamua kubinafsisha bandari zetu ambazo wewe ulikataa zisibinafsishwe
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
...then he died. he died with so much potential and vision of our country. dah tunakukumbuka mno. Mungu Tunaomba umpatie hekima Rais wetu Samia binti yake Suluhu wa Hassan
@edwardelias4745
@edwardelias4745 Жыл бұрын
Duuu huyu mzee aliyaona nakwel hayooooo
@bilioneabichwa
@bilioneabichwa Жыл бұрын
Yesu ni Mungu, na anatupenda wanadamu wote
@johnsonbernald11
@johnsonbernald11 Жыл бұрын
Yesu sio mungu bali na mwana wa mungu kama ulivyo wewe, yesu usitake kutuongopea
@Juma_Ally
@Juma_Ally Жыл бұрын
uliona mbali sana mzee
@adow9musictz931
@adow9musictz931 Жыл бұрын
We loose something
@CharlesMajura-o7p
@CharlesMajura-o7p Жыл бұрын
Mungu akulaze mshara pema pepon
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤RIP JPM
@kipupwefedede7130
@kipupwefedede7130 Жыл бұрын
Asiye sikia la mkuu
@fednandnews2240
@fednandnews2240 Жыл бұрын
Sahizi Samia ndo anawafanyia hayo waliyotaka
@didavideoshoot
@didavideoshoot Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@mrishohassanimrisho8454
@mrishohassanimrisho8454 Жыл бұрын
Kwahyo wanaendelea kutuchezeea et
@nellynathan-hf2by
@nellynathan-hf2by Жыл бұрын
Missed you alot
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 Жыл бұрын
Uko sawa baba
@LucasNtalima-wq6ok
@LucasNtalima-wq6ok Жыл бұрын
Watanzania tunapaswa tuombe Mungu sana.
@DicksonDouson-yo6xr
@DicksonDouson-yo6xr Жыл бұрын
Good president
@nzenzulejoseph22
@nzenzulejoseph22 Жыл бұрын
Walimuuwa ili wale nchi walifanya mapinduzi kikwete na jopo lake ila wote mtakufa
@swahumukareemu7224
@swahumukareemu7224 Жыл бұрын
Mzee uliyoyasema yametia😭😭😭😭😭😭
@molengoodlever5561
@molengoodlever5561 Жыл бұрын
Kiongozi mwenye akili mungu akulaze maharapema peponi
@israelgeogia
@israelgeogia 5 күн бұрын
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 Жыл бұрын
Xmbona leo wanaccm waliompigia makofi magufuri Leo wanapiga makofi bandari iwekezwe kwa waarabu tena masharti ya ajabu?ccm kumbe tuifikirieje watanzania?
@HumphreyKarua
@HumphreyKarua Жыл бұрын
Ret in peace! Hali ya bandali ni hiyo kwa sasa
@Qweenvero
@Qweenvero Жыл бұрын
Mzeee Amka uoneee kweli kikulacho linguini mwako
@nelsonbushiri2296
@nelsonbushiri2296 Жыл бұрын
pumzika mzee uliona mbali
@bejoytv2702
@bejoytv2702 Жыл бұрын
Hawa wa Sasa Hawatafanikiwa kwa Jina la Yesu
@KuntukumuSadam
@KuntukumuSadam Жыл бұрын
Inauma sana😢😢😢😢😢
@HadjiMbugi-hw2hf
@HadjiMbugi-hw2hf Жыл бұрын
Ushauri wangu naona bunge letu Liwe linaweka tuu clip hizi za mzee wawe wanasikiliza tuu mpaka bunge linaisha maana naonaga wanajadili ujinga tuu
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Wanazinguwa kwel
@JamilaBarkiss
@JamilaBarkiss 4 күн бұрын
Sikuniliyo sikia kifo cha magu nilifurahi sana saivi najita mungu nisamehe magu nisamehe
@andreasmkwenya9628
@andreasmkwenya9628 Жыл бұрын
Mwamba hiyu hapa. Tayal tunakukumbuka kma ulivyosema
@mariamswalehe3312
@mariamswalehe3312 Жыл бұрын
Wale wale waliokuwa wanapiga makofi ndo Walewale wamegeuka leo
@yussuph-lx7cu
@yussuph-lx7cu Жыл бұрын
Sasa hapo sisi wengine tunashangaa,hawa ccm wa sasa na wale wa makufuli ,wa sasa wanataka kuuza nchi ajabu
@mariamswalehe3312
@mariamswalehe3312 Жыл бұрын
@@yussuph-lx7cu 🤣🤣🤣
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Sasa tunajua kwa nini walikuua
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 Жыл бұрын
Hivi nyie wabunge hamsikilizi hizi hotuba za jpm? Ama kweli siasa ni unafiki, wakati jpm yupo mlikubaliana nae saivi hayupo mnajifanya hamjui nn alisema. Ndugai oyeeee
@Thomassupirior-yi6cv
@Thomassupirior-yi6cv Жыл бұрын
Jah hakika ni kweli watanzania yametimia
@akimu-gl7zp
@akimu-gl7zp Жыл бұрын
hivi inamaana hawakuwepo alivyokua anakataa haya?
@FloraMoyo-wz1ow
@FloraMoyo-wz1ow Жыл бұрын
tunakumbuka kaurizako mheshimiwa
@linusbalthazar-wu6qf
@linusbalthazar-wu6qf Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭🤲🏾🙏🏼baba
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 Жыл бұрын
Baba tushaliwa maneno yako washayapuuza na tayari washauza nchi yetu.
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Жыл бұрын
mungu akurehem maana hii mijinga ishauza nchi na watu wanashangilia kama mazuzu
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk Жыл бұрын
99 years what kind of contract and somebody signed it now🤦
@nauwarykabuma3793
@nauwarykabuma3793 Жыл бұрын
Kama tungekuwa na uwezo tungekufufua ila kazi ya Mungu aina makosa Mungu akuepuehe na adhabu ya moto Magufuli tutakukumbuka daima
@mikaeljoshua6999
@mikaeljoshua6999 Жыл бұрын
Magu R.I.T God be with you
@neemamangushi8187
@neemamangushi8187 Жыл бұрын
R.I.P
@alencleophace2182
@alencleophace2182 Жыл бұрын
RIP ❤❤❤
@GloryJohn-nm5wo
@GloryJohn-nm5wo Жыл бұрын
Ungejua baba fufuka basi babs ety
@abelzawadi6616
@abelzawadi6616 Жыл бұрын
Tunakukumbuka mzee adi walio kuwa awakupendi wanakukumbuka leo
@amanilucy
@amanilucy Жыл бұрын
Huu mkataba was Sasa wamepewa kote
@mrbmmwakipesile2150
@mrbmmwakipesile2150 Жыл бұрын
😭😭😭
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57
Millard Ayo
Рет қаралды 957 М.
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 10 МЛН
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 20 МЛН
Huu ndio uzalendo na Upendo wa Rais Magufuli kwa Watanzania
10:49
MAGUFULIFICATION OF AFRICA
Рет қаралды 26 М.
Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...
20:02
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 446 М.
Askofu Gwajima asimulia alivyovamiwa na majambazi wenye Silaha | Walivunja mlango na paa
11:32
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 10 МЛН