Рет қаралды 3,553
MCHAMBUZI WA KIMATAIFA. Mnamo tarehe 20 Juni 2024, Msajili wa Jumuiya za Kiraia Alitoa Kauli kwamba Serikali inaitambua BAKWATA tu kama Chombo cha Kuwawakilisha Waislamu Tanzania. Fuatilia Maswali 7 ya Msingi Upate Kufahamu KULIKONI? Huu ni Mwendelezo wa Ombi la Mufti wa Bakwata na Baraza la Ulamaa la Bakwata Waloiomba Serikali Iwadhibiti Wanaosemekana "Kutaka Kupora Mamlaka ya Bakwata"