Рет қаралды 57,091
MAUAJI TENA ARUSHA: ASKARI WATUHUMIWA KUUA MTU KWA KIPIGO, BABA ASHINDWA KUVUMILIA..
Baadhi ya walinzi wa shamba la maua la kampuni ya Kiliflora ambao ni askari wa shirika la uzalishaji Mali la jeshi la kujenga Taifa(SUMA JKT) ,wanadaiwa kusababisha kifo cha mkazi wa Chekereni wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Askari hao wanadaiwa kusababisha kifo cha Richard Saibulu anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 23 mpaka 25 wakimtuhumu kuvamia ndani ya shamba hilo na kutaka kuiba mbao aina ya mirunda.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Arusha (RPC),Justine Maseju ametafutwa kuthibitisha tukio hilo lakini hajapatikana ofisini kwake na simu yake ya mkononi imeita bila kupokelewa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline