Huyu kiongozi nikiongoza hasaa..!! Like nyingi kwake
@zumbeshauri81143 жыл бұрын
Huwa namuelewa sana huyu mzee pengine wao wasomi wanamuona hana akili lakini nikweli watoto wadogo wana beba madaftari mengi kuliko
@aishaamwalimu28873 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Tena a naongea kwa hisia Sana.
@jesalutv51123 жыл бұрын
Kama umemuelewa huyu Mzee like ziongezeke
@kimpalambapj3 жыл бұрын
Huyu Baba ni mwana harakati wa elimu nchini.
@rosticamposi79223 жыл бұрын
Kwakwel
@reedbruno85273 жыл бұрын
i guess it's kinda randomly asking but do anybody know of a good place to watch newly released movies online?
@maajabuonlinetv57693 жыл бұрын
Hivi huyu mbunge ni wa ccm au alitoka vyama vingine. Duh..... Akili na ukweli alionao ni ya hali ya juu Sana Ila kwakua ni mwendo wa kukandamizana tu naamini hawatayajali hayo aongeayo huyu mbunge
@jasminjamali95183 жыл бұрын
Ukisikiliza juu juu uwez elewa lakin uyu mzee Makin Sana kwenye kutafakar
@pascalhoza62973 жыл бұрын
Mzee mungu akubariki sana wewe kweli ni mzazi mwenzangu umesema kweli kabisa tusaidie sisi wezako angalau bunge limekuwa na maana.
@vitalicamos98873 жыл бұрын
Kwa kweli asiyemuelewa huyu mzee basi kichwa yake mbovu yupo silius ndio maana wengine wanacheka yeye hacheki... binafsi nampongeza kwa mawazo mazuri sana amewatetea watanzania wote hasa wenye hali duni... Makauta 11 mtoto anatembea km 6 kwenda makurudi na njaaa!! Mungu akubariki mbunge wa wote!
Your real great thinker of this century, Africa we real need to wake up our mindset and change how we think and how we see things, poor mindset is real big problem for us
@costantinekeraryo91603 жыл бұрын
Kwel kabisa maitaji ya shule ndo yanachosha kuliko elimu yenyewe
@nessmwambogolo25453 жыл бұрын
Tungekuwa na mbuge Kama huyu mbozi magharibi ingekuwa 🔥🔥🔥🔥
@alfeokaguo16633 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa mbunge nimekuelewa vizuri sana umenena mengi sana mpka uchungu nikiangalia uhalisia dah
@alimahmud89273 жыл бұрын
Kweli kabisa huku Kwetu wanawatoa watoto shuleni saa11 jioni, Pia kuna zimwi la tuition linakula pesa kila siku, pia kuna jezi kuna na hela za Mitihani pia hii elimu sio bure tunalipia Nyuma ya pazia
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Kwenu wapi huko?
@donaldmwahalende48413 жыл бұрын
Hujalazimishwa kupeleka tution
@twalibumngoma9033 жыл бұрын
Mzee wangu ushawafikishia dawa kaxi kwao wenye dhamana. Mwenyex mungu akupe umr mrefu zaid kusemea malaika/watoto wetu
@aminafrancismwandu57893 жыл бұрын
Mungu akubaliki watoto wafika wamechoka mzigo mzito wa makaunta books
@salmaomari19883 жыл бұрын
Asanteee baba mungu akuweke muda mrefu uendelee kutufikishia ujumbe wetu Kwa wakuu
@selemanimasatu24213 жыл бұрын
Wewe ndo unajua wananchi wako wanataka nn mzee big up sana mzee nimekupenda kwa hoja zako.
@edisonkashaija40673 жыл бұрын
Safi sana maneno kuntu anaongea kama mzaha lakn ukisikiliza kwa umakini ni maneno yenye tija sana Ahsante sana gangana kwa kutusogezea hii kitu🙏🙏
@deusimtewele23013 жыл бұрын
Upo vizuri Mbunge lakini binge Hilo la Ndugai ni sikio halisikii dawa Mbati alilalamika Sana na akatoa mwongozo hawakusikia wafundishe hawo nakuombea uwe spika muda ujao we Kishimba Suruhisho Itisheni wadau secta zote kaeni kitaifa ili tuone elimu yetu iweje siyo Kila Kona ubabe tunauwa nchi
@ibrahimmagere55453 жыл бұрын
Kwangu Mimi huyu ni Mbunge Bora kabisa katika hili bunge
@yohanaagustino46103 жыл бұрын
Kishimba kwa ethics aah sikupingi baba ipe serikali mawazo haya chanya
@edsonbalige37023 жыл бұрын
Uyu mzee nimemkubali Sana anaongea kitu kwa kuvaa ule ualisia ulvyo, nimependa point zake
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Kweli kabisa tumpe tuzo
@mosesmzakwe77743 жыл бұрын
Hongera sana Kishimba Ukweli ni KUWA wasukuma ni Wazalendo sana katika Taifa Msoga ni wezi na wapiga dili kwa kupakia TWIGA WETU kwa masrahi yao
@ceasariomulumba59563 жыл бұрын
Great... Very impressive...
@helmenselly37993 жыл бұрын
Nakupongezaa sana mbunge, big up sana
@mussakasimu28113 жыл бұрын
when the teacher is speaking and the class is making noise, then teacher is like.. ok am leaving nw, meet you in an exam.
@fatumajuma11573 жыл бұрын
Baraka za mungu zikufkie
@michaelbernard55733 жыл бұрын
Ndie huyo
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
Huyu Baba huwa namuelewaga 🤣🤣🤣🤣👍
@masungamashauri40703 жыл бұрын
This guy is lovely Member of the Parliament who scratches the heads of the bright Ministers of Tanzania. Kishimba is the best genius who have not gone to School but he is gives us best ideas ever seen in Tanzanian's Parliament
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Counterbook husaidia kuweka notes nyingi na kumsaidia mwanafunzi kutokupoteza notes. Lakini isiwelazima. Kuhusu sare ziendane na hali ya mahalia. Uzungu zungu tuache. Wazazi wachangie chakula cha watoto wao mchana hata angalau uji wa sukari. Wengine tulikunywa uji mchana na tukamaliza sekondari.
@muslimicone17513 жыл бұрын
Kwa mbunge huyu, nataman kumuona ikulu, maAna anaonekana kua mzarendeo.
@genovevakaneke17273 жыл бұрын
Safi Sana Mzee Kwa hoja za msingi Allah akulipe
@haclarelukuwi37783 жыл бұрын
Munguuu akuwekeee miaka 10000 bungeniiii unapoint za kikubwaaa
@salmaomari19883 жыл бұрын
Asante sana fikisha ujumbe wanakataza watoto kupeleka chakula shule na bado kupika ni matatizo,watoto wataelewa vip na njaa
@Rocky-mn6wm3 жыл бұрын
Mzee uko vizuri saaaaaaaaaaaanah. Nadhani taasisi husika mnajukumu la kumuelewa sanah huyu mzee wetu
@musakucheje34773 жыл бұрын
Uyu mzee kwangu nimemuelewa Sana
@teychriss32483 жыл бұрын
Watoto wanaumia Sana kuyabeba ma counter book hayo! Mabegi kwanza hayadumu yanachanika na kukatiia! Uko sawa kabisa! Kwenye elimu uko vizuri Sana!
@samsonjudith34253 жыл бұрын
Yani baba mueshimiwa umeongea point sana
@SafeHaven_TV3 жыл бұрын
Kwa nini wasikupe tu hiyo wizara ubadilishe mambo?Mawazo chanya kiukweli baba👏🏿👏🏿
@saidiabdallah26033 жыл бұрын
Safi sana mh Mbunge umeongea point hongera kwa kufkria mbali mh
@varmandavarmtv89993 жыл бұрын
Mimi nilijiuliza Mwanagu J3 mitihani na j5 na jmosi nmitihani sijui kusoma nilini na nmemkuta mwanangu. Kapigwa kisa hakwenda na pesa hivi chaki znazo tumika kuandika ubaon nizile zile nyeupe nilizo someshwa Mimi au za sasahivi zina rangi maana baada anipigie mtoto kwa kutopanda max na mm nyumbani nkamuongeza vboko mtoto anapgwa kwenye swala la pesa na mitihani mala 3 kwa wiki nkipimo Cha masomo ya siku ngapi kwa wiki Mm niseme Nina Jambo la kufanya na siku nitasikika nkilifanya
@ahmadchimale76073 жыл бұрын
Sio kweli,mtoto wa miaka 8 hawez tumia counter book q 4,si kweli.Hizo nyeupe n njia mojawapo ya kuwafundisha watoto u smart na kua safi muda wote.Mnafurahia utopolo,this is Tz
@deustobias7653 жыл бұрын
Uko sahii
@leonardramiye82073 жыл бұрын
Huyu mbunge Ni genious
@abedysteven69103 жыл бұрын
Mzee umeongea K2 cha mana sana!!!
@florarog5483 жыл бұрын
Watoto wa shule za msingi wanalazimishwa kuwa na counter books na kusababisha kubeba mzigo wa madaftari, hii siyo sawa kabisa
@Somatostatin3603 жыл бұрын
Hongera sn mbunge
@saidseleman60043 жыл бұрын
Huyu mbunge anakili sana iko siku watamuelewa tuu
@danielnsolezijonathan893 жыл бұрын
Huyu mbunge ni education currently
@linkreuben58043 жыл бұрын
Tunataka wabunge kama hawa! Ubunifu wa kizalendo!
@marcoboniphace81083 жыл бұрын
HONGERA SANA MBUNGE WETU WA KAHAMA UMEONYESHA UMAHILI MKUBWA KURA ZETU UNAZITENDEA HAKI .
@mizeckmwambuputa99703 жыл бұрын
Mbunge wangu umenitetea kihalali myonge,hongera sana
@salviusbasil53343 жыл бұрын
Hakika huyu ana mtazamo chanya wa kielimu,Kwa haraka nilivyoelewa Mh.Kishimba anamaanisha Elimu kwa vipendo na mazingira.Heko kwa mbunge wangu Khm twn
@winfridaevarist87433 жыл бұрын
Unasomea manunuzi,,unanunua nini miaka mitatu😆
@margarethndyamkama55373 жыл бұрын
Au ushirika, ushirika upi?
@nuratkalinga5813 жыл бұрын
Nikweli watoto wetu wanaumwa vifua kila siku daftari 11 harafu bado daftari za msomi kwa ajiri ya twisheni.Tuna umia sana .
@hussnabakary35073 жыл бұрын
Vitabu bado umesahau
@gililwise3 жыл бұрын
Yaani watoto wameshakuwa na.ulemavu wa mabega sababu ya.kubeba macounter book.
@amanikawogo84783 жыл бұрын
Safi sana baba nimekuelewa
@elizaboster94793 жыл бұрын
Mzee yupo vizuri
@rajabuomary32583 жыл бұрын
Huyu ndio pekee namba 1 Tanzania
@charlesbahini72653 жыл бұрын
AMA kweli mbunge kishimba wewe professor hongera sana unatukosha watanzania 🙏
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Psmoja
@peterdomnick5853 жыл бұрын
Wanafiki wanakucheka ila unatetea haki xetu mungu akutangulie kishimba
@tumainirichard62983 жыл бұрын
Kishimba umeongea vizuri sana na una points nzuri mnoo, lkn wengine wanakodoa macho hawaelewi kwa kuwa wamezoea longolongo.
@rwelamira3 жыл бұрын
Huyu Baba anafaa kuwa Waziri wa Elimu
@Mpakauseme3 жыл бұрын
watu kama hao huwa hawapendwi
@anthonynetto45033 жыл бұрын
Kweli baba wengine tumesusiwa watoto na wanaume counter book nyingi tunapata wapi?
@ashasaidi18953 жыл бұрын
Umeeleweka mbunge tuko pamoja
@robathzingu16503 жыл бұрын
Kuna mambo nakubaliana na Kishimba. Mfano; uniform si hitaji la lazima kwa mwanafunzi. Na kama ni lazima kwa maana ya kuwatofautisha mwanafunzi Wa shule A na B, basi iwe ni nguo simple na affordable. Lakini daftari counter book ni muhimu na lazima kwani atalitumia kwa mwaka mzima. Ni faida kwa mzazi maana hatapata usumbufu wa kununua daftari mara kwa mara
@mwitajuma78633 жыл бұрын
Mm nahisi kishimba ndo mbunge mwenye akili humu bungeni kuliko wote
@agustinokagoroba61163 жыл бұрын
Hata tukichanga chakula hakifikii wakati,unaweza ukakuta maharage yamebebwa umebaki unga matokeo hawali na mchango umetolewa.
@alexmaiga53523 жыл бұрын
Mwamba anafikiri sanaaa 👊
@bensonmtigo80783 жыл бұрын
Salute sanaaa mheshimiwa mbunge
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Kweli kabisa.wengine tunashindwa pa kusemea. Asante
@abduelloth15603 жыл бұрын
Huyu mbunge yuko vizuri na anaongea vitu vya msingi sana japo wengi wanamcheka
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Hapana wenye akili wanamuelewa
@alkadokalimalwendo33963 жыл бұрын
ishi sanaaaa mzee wangu
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Mh.Kishimba huwa nakuelewa sana. Baba huwa nakufuatilia hoja zako zote nakuelewa zaidi ya sana
@crissinkala31103 жыл бұрын
Miongoni mwa wabunge wenye fikira nzito
@josephatmgeka86783 жыл бұрын
Unaweza chukulia mzaha ila mzee yupo sahihi
@boniphasfesto43253 жыл бұрын
Hivi haya Mabunge mengine ni kama Machawi yapo yapo tu Shenzi kbs
@leonardramiye82073 жыл бұрын
Huyu ni mzalendo kwelikweli
@wilsonytz67303 жыл бұрын
Na ndyo tunataka viongozi kama hawa ili inchi iende mbele zaidi
@rajabually24983 жыл бұрын
safi sana mbuge woyoooo
@angelmbwambo99803 жыл бұрын
Alaf mtoto amalize ng'ombe na ajira akose dar hongera mheshimiwa
@festomilinga56343 жыл бұрын
Huyu mbunge hoja zake ziko very smart
@mgonasipapune13833 жыл бұрын
Kaka nimemuelewa sana huyu mbunge
@lucasjackson86753 жыл бұрын
Uko sawa kabisa shida ya inchi yetu nikuwa ni viongozi wenye masilahi binafs
@shamilahussein52943 жыл бұрын
Tatizo raisi ndie anae takiwa awe kikao mbele kwa wananchi wanyonge jamani
@stephenwakunyala40043 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Wote wangekua hivi,walau hata nusu tu .tusingekuwa hapa
@uthmanihimbawe52443 жыл бұрын
Hakika
@kelvinsweetbert9813 жыл бұрын
Mzee yupo vzr sana
@barakaedwin41623 жыл бұрын
Duhh,leo kaongea point atareeeee,saaaaaafi
@azizamohamed6543 жыл бұрын
Kweli kabisaa mniunge wetu kishimba hiyo pointi mm mwenyewe mjane lakini ndoo mpaka nimepata ugonjwa wa moyo mawazo kuhusu hayo mahitaji ya shuleni
@elizaboster94793 жыл бұрын
Pole mama
@gabrielbahat91073 жыл бұрын
Ukiwa baba kama huyu unayo kazi maana yupo juu ni shidaa
@allymwakibinga4423 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kazi nzuri
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Tanzania. ni nchi TAJIRI ila TATIZO ni msingi tuliowekewa toka mwanzo kuwa sisi ni masikinin kwatokana na waliotutangulia
@barakayohanasanga30053 жыл бұрын
Asante Sanaaa,
@wilsonytz67303 жыл бұрын
Kishimba nakuelewa sana kaka gombea hata uraisi inchi utaiongoza vzr
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Pamojaaa huyu ni mbunge halisi genius
@wilsonytz67303 жыл бұрын
Kwel
@pronamsyangi62053 жыл бұрын
Uko sawa kabisa baba,,Mungu akupe umri mrefu,, Elimu ya Tz ni kifungo Cha maisha
@hangayamafenya88833 жыл бұрын
hongera.sana.mzee.
@katabaroonlinetv96883 жыл бұрын
Mchumi uko vizuri
@paulm.kaponda23002 жыл бұрын
Tena kuna baadhi ya shule waalimu wanawalazimisha kuunganisha counter za somo la darasa walilo vuka kwa kila somo, hivyo kama masomo ni 9 mfano, mtoto analazimika kubeba counter 18, Ukweli ni mzigo mzito kubeba wahusika mlione hilo!.WAHURUMIENI wapunguzieni MIZIGO!!.
@mwanaimaabdallah78253 жыл бұрын
Swadakta wallah
@sylivestermahajile54693 жыл бұрын
Nimekuelewa xana mzeee kweli kijijini elimu tabu
@justinashayo37433 жыл бұрын
Kuna mbunge mmoja aliongea sijui ni huyu mzee au. Alisema haoni haja wazazi kuunguza pesa halafu mtoto anamaliza degree anaambiwa kajiajiri. Anazunguka na cheti hata hata single pen atajiajiri na nini? Wazazi wameuza kila kitu mtoto asome baada ya hapo ni umasikini kwenye familia. Serekali angalieni hizo point jamani
@naziamohamed94203 жыл бұрын
Ndo huyuhuyu
@ntibashimashima29193 жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu Ubalikiwe sana Mtumishi
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Mh Kishimba unawasilishaga ukweli wa maisha. Na tena maisha ya kiafrika kabisa ila kwa kuwa tumeshajizunguka na kuwa wazungu weusi maskini nani akusikilize?