Рет қаралды 173,261
"Kila mmoja anatamani tuwe Mabilionea, lakini mimi (binafsi) ninaona hatuwezi kuwa Mabilionea kwa sababu rushwa imezidi na imepanda bei, nikiwa dereva kwenye mabasi tulikuwa tunatoa rushwa shilingi 2000 lakini sasa hivi rushwa ni 10,000 na kuendelea. Sioni kama mhusika anafanya kazi kumsaidia Rais kwenye masuala ya rushwa" Nicodemus Maganga-Mbunge wa Mbogwe"
#KutokaBungeni Powered by @UhuruHospital
#CloudsDigitalUpdates