MCH HANANJA AWASHA MOTO KWA NABII ALIYE VAA KIPENSI, HUU NI UJINGA KABISA

  Рет қаралды 194,763

Mbengo Tv

Mbengo Tv

7 ай бұрын

Пікірлер: 665
@maufijose2294
@maufijose2294 7 ай бұрын
Huyu Mchungaji Ana Kitu Kikubwa Kichwani Km Utamzingatia. Barikiwa Sana Mtumishi Wa MUNGU 🙏
@JeremiahYohana-br2bd
@JeremiahYohana-br2bd 7 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana, Mungu akutunze mzee wetu.
@user-ln5zv9to6e
@user-ln5zv9to6e 7 ай бұрын
Anaelimisha watu wa imani zote kwa ujumbe wake,Mwenyezi Mungu am bariki.
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Opo Sahihi 100%
@msafirisalum6245
@msafirisalum6245 7 ай бұрын
Mimi ni muislam, ila nimemuelewa sana huyu kiongozi. Nitakutafuta nipate hata picha ya pamoja. Asante kwa maneno ya busara
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Kabisa Mchungaji Anaejielewa , Yuko Vizuri Anafindisha Vizuri
@user-uq6uv7mb4o
@user-uq6uv7mb4o 7 ай бұрын
Muisilam gan anae luhusu picha huo Ni ukafir tafta maana ya vitu vilivyo wekwa kwenye bidaa uone
@husseinchivinja5844
@husseinchivinja5844 7 ай бұрын
Kweli huyu mchungaji anaongea maneno sahihi nampenda sana abarikiwe
@Dianamwansasu
@Dianamwansasu 7 ай бұрын
​@@user-uq6uv7mb4owewe unakuwaga na kiherehere sijui Kwanin has?umekazana makafiri tu.nenda kaswali huko
@mayangeramadhani8497
@mayangeramadhani8497 7 ай бұрын
​@@user-uq6uv7mb4ohawatakuwa radhi mayahudi na manaswara mpaka mfuate mila zao
@newgreeneaglestudio3089
@newgreeneaglestudio3089 7 ай бұрын
Mimi mwislamu ila hanaja ni mmoja katika wachungaji nawafuatilia sana ni mtuu mwenye kafuata matendo ya yesu Always Anasema ukweli ❤❤
@Sheba4651
@Sheba4651 7 ай бұрын
Mtu akimfuata Yesu lazima awe Muislamu tu, ukiona anamfuata Yesu kisha hajawa Muislamu, huyo mungu wake anakuwa Yesu.
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 7 ай бұрын
​Naomba nikuulize. Nini maana ya Islam na Uislam.?
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 7 ай бұрын
Ni kukiri kwa moyo na kwa ulimi hapana mola anastahiki kuabudiwa ila Allah na kukubali kuwa Muhhamad s.a.w ni mtume wa Allah
@suleimansalym7537
@suleimansalym7537 7 ай бұрын
​@@taturamadhan5940Hii sio maana ya uislamu hiyo ni maana ya shahada ulitakiwa kutoa maana ya uislamu halaf uje na maelezo kma hayo lkn sio mbaya anaetaka maana ya uislamu na akasome uislamu lkn sisi waislamu tunasema ISLAM IS THE RIGHT PATH & FINAL DESTINATION na ndio dini pekee ya Mwenyezi Muungu hapa duniani
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 7 ай бұрын
Muislam na yesu tena alisikika chizi mmoja KZbin
@ahmedhamis
@ahmedhamis 6 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji , maneno Yako yananifanya kuendelea kusoma vitabu vya m/mungu kujua amri zake 👏👏
@mapachawayesu
@mapachawayesu 7 ай бұрын
Barikiwa sana Pastor, Mungu azidi kukutunza kwaajili ya kukiokoa hiki kizazi tulichonacho
@user-rj3fj8uh7x
@user-rj3fj8uh7x 7 ай бұрын
Kila siku unanyoshaa Sana Mzee wangu mungu akuwekee miaka 1000
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 7 ай бұрын
Aisee Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu sana mchungaji hananja🙌🏽
@mozeslyricstz720
@mozeslyricstz720 7 ай бұрын
Aimen
@leahmollel6589
@leahmollel6589 7 ай бұрын
Tuambie tuu kweli ya Mungu! Tukubali tukatae kazi ya Mungu umeshaifanya! Mko wachache sana na sisi ni vigumu kukuelewa! Mungu akubariki sana🙏🙏🙌
@adelineswai2365
@adelineswai2365 7 ай бұрын
I just love this man of God
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 7 ай бұрын
Duuh,hekima na busara ya mzee vimezidi.Mungu akubariki mzee!!!
@dr.dicksonjohn8196
@dr.dicksonjohn8196 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Amtunze Sana Pastor Ukweli Siku zote Ni Mchungu kuupokea Lakini Ni Vizuri Sana Kuongea Ukweli. Hongera Sana Pastor Umeongea Ukweli Bila Kuficha na kuogopa Bila unafki.
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Umesema Kweli 100%
@godlistendiah3563
@godlistendiah3563 7 ай бұрын
WOW... this is awesome. Hayo ndio maneno ya mtu wa Mungu. keep it up brother.
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 7 ай бұрын
Umeongea ukweli mtupu na haki mungu atazidi kukulinda Ameen
@avitusmichael5
@avitusmichael5 7 ай бұрын
Mchungaji bora kuwahi kutokea ndani ya nchi hii, waumini wako wanapata uhalisia wa imani ya kweli
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100%Upo Sahihi
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 7 ай бұрын
Naam
@charlesmbena9121
@charlesmbena9121 7 ай бұрын
Hananja is one of the best uishi Sana mzee wetu.
@margaretseela2344
@margaretseela2344 7 ай бұрын
Spitting wisdom. Volume pastor hananja👏👏👏
@user-kh3hr8si2j
@user-kh3hr8si2j 7 ай бұрын
Am from kenya and I'm Muslim I really love him ❤
@jeremiahmuli1766
@jeremiahmuli1766 7 ай бұрын
AKUNA KAMA UYU CONGRATS
@emmanuelbageni4388
@emmanuelbageni4388 6 ай бұрын
Give Jesus Christ your life he will really save your life.
@tmbashujaaosama3810
@tmbashujaaosama3810 7 ай бұрын
Kwa uwezo mchungaji alio nao angekuwa na tamaa angekuwa na bonge la kanisa. Mungu akutumze akuzidishie uwezo wa kusema ukweli tufukuze uchafu ktk dini
@azizamaulid9257
@azizamaulid9257 7 ай бұрын
Huyu mchungaji namkubali sana masha'allah laiti kama angekua na tamaa angefungua kanisa lake Haki angepiga hela sana Mungu amtunze mtumishi
@stephenmbasha4389
@stephenmbasha4389 7 ай бұрын
Kuwa na kanisa ni kupiga hela??
@azizamaulid9257
@azizamaulid9257 7 ай бұрын
@@stephenmbasha4389 😅😅😅😅😅😅 huyu anaefufua watu yeye anafanyaje
@tigejuma9865
@tigejuma9865 7 ай бұрын
Huyu baba ana nyosha maelezo vzur xna ... wachungaji wote wangekua kma huyu basi makanisa yote yangekua na msimamo mzuri...
@gidionmheni3165
@gidionmheni3165 7 ай бұрын
Be blessed Mtumish wa Mungu , wasemao kweli watan'gaa
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 7 ай бұрын
Mchungaji umesimama upande wa Mungu Bwana azidi kukutumia!!!
@ObadiaSimkoko
@ObadiaSimkoko 7 ай бұрын
Wasome Yohana 4:24 na Yohana 7:17-18 wanadharilisha ukristo ni uhuni tu mungu Huendana na maadili ya eneo husika tuweni macho Sana watanzania ni nyakati zimefika zilizotabiliwa
@DavidKadaba
@DavidKadaba Ай бұрын
Mungu akuzidishie mchungaji Ananja na maisha marefu izo tamaduni zao zi poteleye mbali sana nasi❤❤❤❤Mchungaji
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Ameeeen ameeen ameeeen Asante sna baba kipenzi unafunza dini zote ubarikiwe Sana
@patrickkatana8823
@patrickkatana8823 7 ай бұрын
AMEN..BARIKIWENI SANA MTUMISHI WA MUNGU
@NeliaMwenisongole
@NeliaMwenisongole 7 ай бұрын
Kabisa Baba umezungumza Mungu ni zaidi ya Rais
@reubenmwidima5723
@reubenmwidima5723 7 ай бұрын
Very true pastor 🙌
@limymasele21
@limymasele21 7 ай бұрын
Mungu tulindie huyu Mchungaji.
@johnmakundi2415
@johnmakundi2415 7 ай бұрын
This"s might be the truly Man of GOD with purely words of wisdom,, apart from comedic tips in his preaching based on reality life he is role of origin Gospel!!!!
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100% Umesema Kweli
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 7 ай бұрын
😂
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 7 ай бұрын
Upo sawa
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 7 ай бұрын
Mtawajua kwa matunda,fungueni macho!
@osamasuley2296
@osamasuley2296 7 ай бұрын
A​@@stanslausmteme8455
@user-xm6je1jw9v
@user-xm6je1jw9v 7 ай бұрын
Maajabu mchungaji kuvaa ngup za kahaba.labda shoga.,Mungu atusamehe
@faithe4063
@faithe4063 7 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ambariki huyu pastor kweli, Mungu akikaa ndani ya mtu atavaa vizuri na kutembea kwa ustarabu
@michaelkimweri1074
@michaelkimweri1074 7 ай бұрын
Mungu akuweke mchungaji, unanifunza sana
@PatrickHassain
@PatrickHassain 7 ай бұрын
Mungu atakulinda sana mzee waambie ukweli wanaharibu dini yetu sana hawa usichoke mungu ata kulinda 🎉🎉🎉
@nataliamrosso
@nataliamrosso 6 ай бұрын
Amina
@user-ye7he1ts8d
@user-ye7he1ts8d 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji Hananja
@lucasmwambene8266
@lucasmwambene8266 7 ай бұрын
Jiwe Moja limeua ndege wote Kwa hapa sio Wawili. Ubarikiwee pastor
@joycehefsiba2750
@joycehefsiba2750 6 ай бұрын
Asante sana mchungaji Hananja. Mungu akubariki sana.Tunakuombea Mungu akulinde uishi myaka mingi sana. Nb: wale waganga wa kyenyeji waliamua kuingia kanisani sababu sahii watu hawaendi kwa waganga sana Kama mwanzo, kwa ukweli hiyo si monekano wa mtu abebaye ujumbe wa Mungu kwa watu WALAWI19:28 uyo ni mchawi kapewa masharti aje aandalie wenzio njiya ndo pakitokea mtu mwingine Kama yeye akubalike. Kwa jina la Yesu christo alie hai tuna wapinga na kazi zao zi shindwe.
@PatrickMuendo-ur9js
@PatrickMuendo-ur9js 7 ай бұрын
Powerful mchungaji true gospel 🇰🇪🇰🇪
@user-zt3ug9wv7f
@user-zt3ug9wv7f 5 ай бұрын
Mungu akueke mchungaji
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 7 ай бұрын
Nakukubali sana we Mzee yaani wewe ni Mchungaji wa Kweli soyo wale Mbugilambugila
@user-ci1dk6zy3v
@user-ci1dk6zy3v 7 ай бұрын
😂😂😂Eti mwalimu lakn sijui wa vyuoni wakina nan ,Ila umenyooka sana mchungaji Mungu akutunze na akupe maisha marefu uzidi kutupa elimu ktk ubora huo huo🙏🙏
@frankjohn8706
@frankjohn8706 7 ай бұрын
Muonekano wa mavazi kimwili lkn pia Kuna ubatizo wa vitoto na kipaimara kama ni roho MTAKATIFU hawa wote wameliacha Neno watu kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu..hongera pastor
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 7 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu. Ndiyo maana nakufatilia sana
@lilianmbeyu
@lilianmbeyu 7 ай бұрын
amen hayo ndo mafunzo halisi ya imani much blessing man of God 🇰🇪
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
Kweli Kabisa
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 7 ай бұрын
Huyu mzee Huwa anaongea point sn, haongelei kabisa Bali anasimamia ktk uhalisia wa neno na nwenendo wa maisha au mtindo wa maisha uliopo, mwenyezi MUNGU amtunze
@joelyngomuo7441
@joelyngomuo7441 7 ай бұрын
Mungu akujalie miaka mingi mchungaji hananja umesema ukweli mchungu
@buikilapo-wm7zb
@buikilapo-wm7zb 7 ай бұрын
Mungu hakubariki,hakupe mwisho mwema!❤
@ntibashimadicksonmathiasna2915
@ntibashimadicksonmathiasna2915 7 ай бұрын
Barikiwe baba Mungu akutunze ni kweli shonga papai hilo linaliwa hilo
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 ай бұрын
Haya ni majanga na tatizo. Lakini tumwachie Mungu mkuu mtoa ukumu mwenyewe. Amen.
@adamsengo1869
@adamsengo1869 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa 100%. Jina la Yesu libarikiwe
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 7 ай бұрын
Amen
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 7 ай бұрын
Mch... Hananja ni lol model wangu.... mtumishi wa Mungu wa kweli❤❤❤ Sijawahi kuwa na mashaka nae 🙏🙏🙏💯 Mteule wa Mungu 🙏🏹🏹🏹
@linluxe101
@linluxe101 6 ай бұрын
😂😂😂lol????
@marystephen1994
@marystephen1994 7 ай бұрын
Nabarikiwa sana na wisdom na ukweli wa mpakwa mafuta huyu, Mungu ampe uzee mwema. Be blessed man of God❤
@shilindebusolwa8887
@shilindebusolwa8887 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mchgj,,kwakusimama na misingi ya kibiblia,,hakika wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli,,,
@vizinhomarioafonso9535
@vizinhomarioafonso9535 7 ай бұрын
Mze anailimu sana, tunfaidi, mungu akupe maisha malefo, amém, from Moçambique
@johnbidya119
@johnbidya119 7 ай бұрын
Nakukubali sana mzee wangu unaakili sanaa nakufananisha na kijana mmoja anaitwa chidbenz mzee kwann usimtafute huyu kijana chidbenz ukaenae umjenge zaidi siku moja awe msaada kwa vijana wengine kama ulivyokua ww mimi naamini chidi benz anaweza sana ila kuna vitu vidogovidogo vina myumbisha msaidie mzee wang.
@gastonfelician873
@gastonfelician873 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@ChristinaCharles-py1ct
@ChristinaCharles-py1ct 6 ай бұрын
Mungu akulinde na mabaya muchungaji amen🎉
@user-xt9bg6ed1n
@user-xt9bg6ed1n 7 ай бұрын
Mpo wachache sana mungu akulinde
@Bntv-4928
@Bntv-4928 7 ай бұрын
Ameèn mzee Hananja umeongea kwel kweli kabisa.,,hii sio Viongozi wa Dini Tanzania lazima waongelee hili hata kama kila mtu ana uhuru na Dini lakini tusivuke mipaka na kuharibu heshima ya Dini
@VicentKayagula
@VicentKayagula 7 ай бұрын
Hapa mchungaj HANANJA umenikosha. Big up father good 👍
@nganamaula8064
@nganamaula8064 7 ай бұрын
Ubarikiwe mzee wangu
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 7 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji hananja, huo ni ukweli mtupu
@anithasemwano8276
@anithasemwano8276 7 ай бұрын
Hananja yupo vizuri
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj 6 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@user-df8rm9oh4y
@user-df8rm9oh4y 6 ай бұрын
Pastor endelea kutuweka sawa watu wasome biblia vzr, pesa Ina mwisho, safi sana mtumishi wa mungu, paza sauti usiogipe yupo yesu nyuma yako Amen
@mubaraqotyeno9061
@mubaraqotyeno9061 7 ай бұрын
Mtangazi swali moja anajibiwa majibu kumi
@elishaelishaedward9454
@elishaelishaedward9454 7 ай бұрын
Tunasahau vya kwetu tunapenda vya wazungu Haya mafuliko yanayo kuja ni Adhabu ambazo tunapewa ndogo ndogo ili kukumbushwa tunayoyafanya cio sahihi ila bdo sahivi wanaume wanageuka Wanawake kilakukicha EEH MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE katika haya maovu yote yanayo tukumba vizazi vya sasa
@denismasao520
@denismasao520 7 ай бұрын
Hapana mungu ana upendo hawezi adhibu watu hivyo yako bo 1:13 inasema "mtu akiwa chini ya jaribu asiseme mungu ananijaribu Kwa maana mungu. Hawezi kuwajaribu watu Kwa mambo maovu Wala yeye mwenyewe hajaribiwi Kwa mambo maovu
@mohammedmawaa2505
@mohammedmawaa2505 7 ай бұрын
Mimi sio mkrsto lakini hananja anaongea vitu vya hekima sana
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 7 ай бұрын
Pastor MUNGU akubariki kwa kusema ukweli juu ya hawa manabii wa uongo.
@johnjohn2080
@johnjohn2080 7 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa sana na BWANA wetu YESU KRISTO mchungaji
@user-sw6fv8ed8v
@user-sw6fv8ed8v 4 ай бұрын
Safi sana mchungaji mzuri,,,upo vizuri
@christermapunda503
@christermapunda503 6 ай бұрын
10 Nao watauchukua uovu wao; uovu wa nabii utakuwa sawasawa na uovu wake yule amwendeaye aulize neno; Ezekieli 14:10 Asante mch Hananja.
@epmzmusifiwar6694
@epmzmusifiwar6694 7 ай бұрын
Amen Mtumishi Ubarikiwe
@user-kg2fw2ok2l
@user-kg2fw2ok2l 4 ай бұрын
Mungu amzidishie maisha marefu kwa nondo zake
@user-cf7xh8zd9v
@user-cf7xh8zd9v 7 ай бұрын
Mungu hakubariki uendelee kutusaidia katika Neno 12:44 ."we ❤ you"
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 7 ай бұрын
Mzee hananja upo vizuri sana upepesi maneno
@salomeshongola1697
@salomeshongola1697 6 ай бұрын
Mimi ni katoliki,na katika wachungaji ninayemkubali Huyu ni namba mmoja.barikiwa sana.❤❤🎉🎉
@anjelamdelwa7642
@anjelamdelwa7642 9 күн бұрын
Mungu akubarik bab niniakuelew san
@user-sf3px2bq3p
@user-sf3px2bq3p 6 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji MUNGU akujalie afya na nguvu utubadilishe
@georgemboneko9163
@georgemboneko9163 7 ай бұрын
Amina mch.mungu akubariki sana.
@LeahKaboza-vb4ih
@LeahKaboza-vb4ih 7 ай бұрын
Leo mchungaji nimekuelewa asante
@MeryblessMshana
@MeryblessMshana 6 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu,utamtambuaje kuwa ni Mwanafunzi wa Yesu,kutembea kwake na kuongea kwake utajua kuwa huyu ni Mwanafunzi wa Yesu,Matendo yako tu
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 7 ай бұрын
Mchungaj We'll said Jah May bless you 🤝
@user-iu3eu8kj2i
@user-iu3eu8kj2i 5 ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho
@pariskatene
@pariskatene 7 ай бұрын
La illa illaallah Muhammad rasullullah
@EricaBizuru-jp9by
@EricaBizuru-jp9by 7 ай бұрын
Mungu nakuomba uzidi kumlinda mchngaji wetu hananja
@angelmunduli3391
@angelmunduli3391 7 ай бұрын
Roho mpelekee Mungu funika mapaja yako😅😅😅😅😅
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 7 ай бұрын
Ww mchungaji mtaalamu. Hahahahaha niseme tu mimi nakupenda!!! Uko juuuu!!!
@piuslugata4931
@piuslugata4931 7 ай бұрын
ubarikiwe sana mchungaji wewe nikama johni Hass shujaa wa imani
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 7 ай бұрын
Ubarikiwe Sana, Pastor!
@user-bd7mx4sj9u
@user-bd7mx4sj9u 7 ай бұрын
Emwenyez mungu mlinde baba yetu hananja
@IsakaJeremia
@IsakaJeremia 3 ай бұрын
Amen kizaz safi kijacho mungu mwema
@MwanaidMagasa
@MwanaidMagasa 7 ай бұрын
Sana nakupenda sana mzee una akili kweli kweli mungu akulinde na moto
@prosperkimaro4660
@prosperkimaro4660 7 ай бұрын
Mungu akulinde uishi Mika mingi uendelee kutusaidia kuwapinga wale wanaoaribu maandiko matakatifu
@naomichristopher3941
@naomichristopher3941 7 ай бұрын
Mch , umenibariki sana kwa haya maneno mazuli kwa hawa watumishi wetu wa sasa .
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 7 ай бұрын
Daaaa very true pastor
@fredamlima1150
@fredamlima1150 7 ай бұрын
Nimekuelewa sana mchungaji🙏
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 7 ай бұрын
Mchungaji Hannanja umesema sawa kabisa utamaduni wetu unakufa kwa ujinga wetu
@shabbymakapane
@shabbymakapane 7 ай бұрын
100%Kweli kabisa
@nemitv7850
@nemitv7850 7 ай бұрын
Amen pastor huu ndo ukweli watu wamekuwa vipofu.
MAPYA KUHUSU KIBOKO YA WACHAWI, MCHUNGAJI IPM AWEKA WAZI
21:24
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 44 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
MCHUNGAJI HANANJA AINA NNE ZA MAHUSIANO, AINA NNE ZA MKE
20:39
Tacmen Group
Рет қаралды 587 М.
MREMBO WA CHUO ALIE PATA PESA NYINGI KUTOKA TIKTOK, "SAVANA"
29:10
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН