Viongozi wa kundi la mataifa ya Brics - Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini - wamekutana tarehe 22 Agosti mjini Johannesburg, na suala kuu litakuwa ikiwa ni kukubali wanachama wapya.
Пікірлер: 30
@Hezronjumacharles9 ай бұрын
Huyu Thabit jamaa anajua sana keep it up
@user-wh9ml5vc7x10 ай бұрын
kaka ucomakini sana kaka kinacho changanya erim hatuna asante.
@user-ni9gx1ho6c9 ай бұрын
Hhhhh mada ipo poa sana woooote respect hoja ipo moto sana kila unapoipeleka inakubalika ipo nutro BG up 4 all.
@iddykivu133610 ай бұрын
Huyu Mwenye Shati Jeupe hamna kitu Muongo sana na hajui chochote kuhusu BRICS
@aminielkombe669 ай бұрын
Na reserve ikiwa Gold je,, sio makaratasi
@tonitonito158710 ай бұрын
Tatizo lako wewe mchambuzi apo studio upo upande wa west. Lakini mm kwa utaalamu wangu naona anguko la dola litakuwepo lakini litachukua mda wa miaka 5 mpaka 10 sababu ya BRICS+ Wako na mipango mingi ambayo mm na wewe hatujui maana hao walisema hawahitaji ongezeko la wanachama lakini leo hii wameongeza sasa kwa haraka hawa jamaa wako very creative sana kwenye umoja wao. Time will Tell sisi tusubiri i na tuone
@ramansitv32927 ай бұрын
Toa sababu mzee dola itaanguka kwasababu kadha wakadha kama alivyoeleza yeye, ili nasisi tupate elimu usibishe kwa hisia tengeneza fact
@barrynzeyimana62709 ай бұрын
Hakuna utawala wa milele. Ukubwa na kua ni mizizi mingi na yenye uimala, Hua huo mti unaangamizwa
@AbuuKajembe-bb3zo10 ай бұрын
Itawezekana 2
@noelnjementi851110 ай бұрын
Tabit mlangi wewe ninoma sn
@ramadhanisalum227110 ай бұрын
Kaka umechambua vema, but wale wana akili nying kuliko unavo fikiria jua wee una elimu lkn kuna watu wana elimu ×5 zaid yako, jua mungu kashasema hakuna utawala weny kudum milele ispokua ni wake tu, kumbuka kuna tawala nying zimetawala miaka kibao lkn Leo zimeanguka
@noelnjementi851110 ай бұрын
Yani unajuwa kuchambu adi umepitiliza kk
@RidhiwanSeifJuma-fk6zj10 ай бұрын
Uyokibaraka hakuna kitu hapo wameweka vikwazo na uchumi wa urusi umepanda itashindwaje kufa Kwa dola
@mussakulanga951310 ай бұрын
uchambuzi wa uchwara yaani kwa wasomi wa Russia, china na mataifa ya bricks hawajui wanalo lifanya duuh toka hapo na elimu zetu za kuunga unga vidiploma unachemka unachekesha
@braystuskibassa384210 ай бұрын
Dola chaliiiiiii😂😂😂😂
@wewa732910 ай бұрын
Hakuna kisichowezekana bwana hata hio dollar itaangukatu
@user-wh9ml5vc7x10 ай бұрын
sabiti kaka uwe unatusaidia kuchabua vita ya urusis na yukeren kaka tunategemea mawazo yaco
@khamisbubah999210 ай бұрын
Thabiti mlangi Acha ujinga akuna kinachoshindikana japokuwa itakuwa mchakato wa muda mrefu
@peterdeus60939 ай бұрын
Tatizo unafikiria kwa emotional
@dinocastico849510 ай бұрын
Kwa maelezo ya bwana thabit ni wazi dola haita anguka. Ila suali kitabaki moja tu je hawa BRICS hawajuwi wanacho fanya? Je hawana watu wa kimkakati katika kuyaendea mambo? 😂😂😂 jamani hawa jamaa hawaku jiunga kucheza ndondo tuacheni fikra za darasani siri ya uchumi wa nchi ipo katika utendaji wa serikali na sio nadharia ya kusikia vyombo vya habari
@hassanlikwenangu847110 ай бұрын
Mmarekani hawezi kuathirika!!! Mcham uzi acha mahaba ya simba na yanga
@uwimana653310 ай бұрын
Ulisomea siasa ? Mpaka ubishe
@MiriamMwalukisa-oy4xl10 ай бұрын
Uyu jamaa ni muongooo sanaaa aliye Vaa shati jeupe
@fahadfaraj647410 ай бұрын
Ni muongo au we mjinga hata facts unaziona ni uongo
@Pedeshee0110 ай бұрын
Thabiti ni mchambuzi tu wa siasa na siyo mchambuzi wa uchumi,Hapo amejaribu tu,mfumo wa dola ulipandishwa tu na watu na kuuangusha pia inawezekana japo itataka muda kusema haiwezekani ni kukosea chini ya jua hakuna linaloshindikana,america keshaanza kupoteza
@peterdeus60939 ай бұрын
Tatizo unaushabiki bila fact ndo.maana unaona uongo
@fahadfaraj64749 ай бұрын
@@peterdeus6093 sio ushabiki tu uwezo wake mdogo wakujua hoja za vijiwe vya kahawa au stori za saluni sio mambo yanayohitaji kujua vitu kwa kina
@mocomoja422910 ай бұрын
Thabit yupo vizur kwa uchambuzi Ila naamin waliokaa chini mpaka kulipanga hili Ni watu hatar kimkakati so tutegemee lolote linaweza tokea kuanguka kwa Dola au kushindwa kwa brics