Bakh... akisha jiingiza biashara yeyote ile, lazima upepo uchafuke. Iwe mkate, maji, juisi, majengo, sukari au boti. Ana ubinafsi na malengo ya kuitawala ile biashara.
@zobakazizi76373 ай бұрын
Sukari ya nje ibaki na nembo za nje. Mlaji ajue kwamba anatumia sukari ya nje. Hakuna kuifunga kwenye vifungashio vya viwanda vyetu.
@MsambaNestory3 ай бұрын
Pamoja na hayo kwanini nje ikose sukari ,acheni kudanganya umma mnatakiwa kuwajibika itel haiwezi kutuuzia sukari kama SI madili yenu
@mabondolawrence18123 ай бұрын
Takukuru mbona hamuingilii kati shaka la sukari maana ni kama Kuna sintofahamu ya dhulma!
@GeraldKashinje3 ай бұрын
Ni vigezo gani vilizingatiwa kuwapa itel kibali? Na kwa nini wao ndo waliruhusiwa kuleta tani nyingi vile kuliko wengine?