MTANZANIA ANAEFUGA MENDE "MMOJA NAUZA Tsh.1000, SOKO NI KUBWA MPAKA NAPAGAWA"

  Рет қаралды 264,298

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 639
@sarahmarshaymarshay2239
@sarahmarshaymarshay2239 5 жыл бұрын
Big up Milardy habari zako zinakwenda sawa nakichwa cha habari sio kama wale wengine matapeli tu kama timu ayo mupo gonga like yako hapo chap kwa haraka ili twende sawa
@hermankoba4970
@hermankoba4970 5 жыл бұрын
Umeona eeh Jamaa ajajitahid kwakwer
@gumbojr9172
@gumbojr9172 5 жыл бұрын
kiukweli mippard ayo nimahiri katika habar yaani mtu anaweka kichwa chahabar kingine habari nyengine ila kwako tunapata tunachostahili chakula kizuri toka kwampishi mahir
@pastorymziba1683
@pastorymziba1683 5 жыл бұрын
Uyo Jamaa anakla men de
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
I don't regret subscribing to this channel....only good en relevant news...ila naogopa mende mm😃😃..love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fredkakamilion5497
@fredkakamilion5497 5 жыл бұрын
Saidah licious 254 nyc. but Usiwe muoga
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 5 жыл бұрын
It's opportunity to this man.
@TanzaniOman
@TanzaniOman 5 жыл бұрын
Huyu milad ayo anahabar nzr san hana upumbavu kwenye kaziyake
@scholasticamabena7239
@scholasticamabena7239 5 жыл бұрын
Tanzani Oman kabisa habar zake nzur na znaukwel
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 5 жыл бұрын
Hongera sana hizo ndizo habari ambazo nahitaji kuskia sio kina super star flani kilasiku habari zao this is good news
@estghermilton8910
@estghermilton8910 5 жыл бұрын
Sana sana
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 5 жыл бұрын
şß
@asnathassan1224
@asnathassan1224 5 жыл бұрын
Acha umbeya kuma wewee angalia habr unayoelew syo kutajataja star mavi wewe
@sabinaassenga3086
@sabinaassenga3086 5 жыл бұрын
Hahahaaa
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 5 жыл бұрын
Best blogger in TZ...big up Sana kwa kazi nzuri unayoifanya
@mkakampole7802
@mkakampole7802 5 жыл бұрын
Daah!! Bro Millard nappreciate sana kazi yako, hujawahi tuangusha hata siku moja aise. Tanzania nzima hakuna reporter kama wewe, kweli wewe umeletwa kwaajili ya watanzania. Tufungulie dunia tuzione fursa sisi ambao hatupati muda wa kutembea maeneo mbalimbali na Mungu atazidi kukubariki brother
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 жыл бұрын
Shukrani sana ndugu yangu John
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 5 жыл бұрын
John Ndahani k
@adrophwilliam3225
@adrophwilliam3225 5 жыл бұрын
Kweli kabisa brother
@luthermajoji7300
@luthermajoji7300 5 жыл бұрын
@@millardayoTZA Honestly, you are the best katika kuleta habari zenye tija 🙏🙏🙏 naomba namba ya huyo jamaa please
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 5 жыл бұрын
Milard tunamshukuru kwa taarifa mbali mbali kama hizi #👌🙏
@billalphilip5776
@billalphilip5776 5 жыл бұрын
Aliagiza mende toka Kenya?? Duuhhh Kwangu nimeua wengi sikujua unanunua😂😂😂
@shamsaabdallah2047
@shamsaabdallah2047 5 жыл бұрын
Mbavu zangu.n mende😂😂😂😂😂
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 5 жыл бұрын
Hizi ndo story za kusisimuwa na zenye manufaa kwa jamii kujuwa dunia inaendaje kitaaluma. Shukran Millard kwa habari nzuri km hizi.
@kilaboy2261
@kilaboy2261 Жыл бұрын
Qqei8
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 5 жыл бұрын
Harufu ya mende na jinsi alivyo tu sijui atapitaje mdomoni nitatapika mpaka moyo
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
Ha ha haaaaaa !!!!!!
@asnathassan1224
@asnathassan1224 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
@aminashabani6021
@aminashabani6021 5 жыл бұрын
Jona Mnyone hahahahahahaha umenchosha 😂😂😂😂😂
@issaalfani1030
@issaalfani1030 5 жыл бұрын
Hahahahahahah
@kamandab7976
@kamandab7976 5 жыл бұрын
Jona Mnyone shida ulisha aminishwa uwo ukinyia
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
We ndugu yangu ulikuwa Brazil,utakuwa umekula mkate wa mende
@agnessjohn8404
@agnessjohn8404 5 жыл бұрын
Duu! nilijua walewale wanaoandika kichwa cha habari ukianza kuangalia unakuta vilivyomo tofauti na alivyoandika aise kweli we jamaa hubahatishi huyo baba nae yuko vizuri hadi mende kala makubwa
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Hongera sana Millard Ayo kwa kutuletea habari nzuri ambayo inahusu mende maana mimi nilikuwa najua mende ni wadudu wanaoleta magonjwa kumbe ni chakula cha watu hongera sana kwa taarifa nzuri hakika taarifa zako zote ni za ukweli na uhakika.
@khamisjuma4691
@khamisjuma4691 5 жыл бұрын
Good jobs message from USA
@hellenopundo1715
@hellenopundo1715 5 жыл бұрын
Kumbe ndo maana siku hizi sioni mende eeeeeeeee
@barakawarioba4617
@barakawarioba4617 4 жыл бұрын
Hahahha umeone
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 5 жыл бұрын
mimi nilizoweya kuwaona mende chooni leo inakuwa chakula,wanadamu itafika muda tutakulana wenyewe kwa wenyewe.
@hassanbwire9033
@hassanbwire9033 5 жыл бұрын
😂😂
@blandinajuma1449
@blandinajuma1449 5 жыл бұрын
jamani mm namuogopa mende yaan akiingia. dani nakimbia,umenifanya nipunguze woga,axante pia ongera.
@adammveyange9638
@adammveyange9638 5 жыл бұрын
@@blandinajuma1449 tofauti na hao uliowazoea hao ni special
@neemawilliam8415
@neemawilliam8415 5 жыл бұрын
Dalili za siku za mwisho
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 5 жыл бұрын
Kwani wewe hujawahi kumla MTU 😀😀😀 mi namlaga demu wangu kila siku
@edlumala9428
@edlumala9428 5 жыл бұрын
Hesabu za daftari hizo, mende 1 tsh 1000, mende 3000= 3 millions! Anza kufuga uone pasuka kichwa yake! Kila kitu kina ugumu wake jamani hamna kitu rahis kikakupa pesa!
@edlumala9428
@edlumala9428 5 жыл бұрын
Dorcas Mkambeni Bro wewe fanya wachana na wachawi kama mimi! Wabongo tunapenda sana short cuts, wewe una amini soko la mende ni kubwa? Na bei yake 1000? Si kila mtu angefuga mende? Wacha kuwa fala kaka! Siri ya biashara ni siri! Huyo jamaa mwenyewe njaa tupu anaonekana.
@msetyntorah804
@msetyntorah804 5 жыл бұрын
Fact.
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
Aswaa umeongea point
@mbumbulicomedians3286
@mbumbulicomedians3286 5 жыл бұрын
safi sana ayo kwa habari nzuri, big up sana kwa huyo dingiiiiii
@denzlilly4797
@denzlilly4797 5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆this is crazy by also creative ,bora kipato kinaingia hapo freshy kaka
@faduladula7414
@faduladula7414 5 жыл бұрын
Hongera kaka una habari nzuri hua sichoki kusikiliza habari zako
@ashuramahali6643
@ashuramahali6643 5 жыл бұрын
Haha mende Jmn 😁😁😁😁 aje achukue wengne huku jikon kwet ni weng mno
@iffahbahet1499
@iffahbahet1499 5 жыл бұрын
Hao wanakula sana watamfirisi
@ashuramahali6643
@ashuramahali6643 5 жыл бұрын
Haha
@hidayahussein7342
@hidayahussein7342 5 жыл бұрын
hahaaa Ashura
@babukasiaka2833
@babukasiaka2833 5 жыл бұрын
Nawe fuga maendeleo huigwa we vipi?
@officialdstar9288
@officialdstar9288 5 жыл бұрын
Hahaha
@majaliwampika5417
@majaliwampika5417 5 жыл бұрын
Nampenda Millard anatoa vitu vya ukweli na uhakika, niwashaur wanahabari wengine wajifunze kwake
@afamatv4848
@afamatv4848 5 жыл бұрын
Bigup sana bro Millard pia hata mfugaji wa mende hongera sana!!
@princespider5854
@princespider5854 5 жыл бұрын
Hahaha so funny na ndio mtu anamake pesa jamaa ametoa fursa watu wafuge mende nayo serikali haiko mbali kutoza ushuru wa mende 😂
@keyakeya8911
@keyakeya8911 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤭🤭
@angelazizi4831
@angelazizi4831 5 жыл бұрын
Millard ayo upo vzr kwny hbr zako. .nice hongera
@tabuselemani6869
@tabuselemani6869 5 жыл бұрын
hahaha ukitaka mende wengi nenda kwenye vyoo vya mashimo 😂😂😂utapata wengi balaa na ukauza
@florachanga6983
@florachanga6983 5 жыл бұрын
Good job my bro nilikuwa cjuagi
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
Safi sana miladi ayo anakubali kazi zako
@zacqtv9855
@zacqtv9855 5 жыл бұрын
nakuomba kaka Millard Ayo nikutanishe na huyo Baba please nitashukuru sana
@mumybhay6561
@mumybhay6561 5 жыл бұрын
vitu vi4 naviogopa sana maishani mwangu mende..panya..jongoo..na kijusi..mamaaaaaa😭😭nakufaaaa!😣😣
@elizapanga9532
@elizapanga9532 5 жыл бұрын
Hahahahah acha woga fursa hiyo
@lucykilonzo2749
@lucykilonzo2749 5 жыл бұрын
Uwiiiiiiiii ach tu loly yaaaan APA naangalia lakin najixkia vbay chiiii naogp mend htr
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 5 жыл бұрын
Asante xana millard ayo kwa taarifa nzuri..pa1 mfugaji.
@iddytamba1907
@iddytamba1907 5 жыл бұрын
Good nice
@josephmkunja9808
@josephmkunja9808 5 жыл бұрын
Millard hakika utakua juu kilelenii chiii
@selemanimasambula1216
@selemanimasambula1216 5 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo jamaa anaefuga mende atuelekeze vzr
@romanilyimo7822
@romanilyimo7822 2 жыл бұрын
Ongera sana milard ayo kwa riport big up
@kajorotz.4058
@kajorotz.4058 2 жыл бұрын
Nakukubali sana millard ayo👊 lete vitu
@elishasolomon9742
@elishasolomon9742 2 жыл бұрын
Aliyeona mkono w millard ayo unaogopa mende gnga like twende sawa
@ybsportstz7629
@ybsportstz7629 5 жыл бұрын
Wakwanza kabisa basi mende ni boonge la mboga🔥🇰🇪
@williamsville3493
@williamsville3493 5 жыл бұрын
Wachina nimepiga saluti wanakula hadi mende
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 5 жыл бұрын
@@williamsville3493 cyo mende wachina wanakula hata nyoka
@williamsville3493
@williamsville3493 5 жыл бұрын
@@user-rd7jt1vi5x Aisee ndiyo maana akili zao za ajabu sana
@zulekhakhassun6858
@zulekhakhassun6858 5 жыл бұрын
Mama weeee 😁😁😁. That's good news kwakweli .. lets all make money
@bigmamaa2198
@bigmamaa2198 5 жыл бұрын
254 kenya 🇰🇪 nakupenda Millard
@Pastorlenhardkyamba
@Pastorlenhardkyamba 5 жыл бұрын
YAO GOD BLESS YOU SIR. YOU ARE MY INSPIRATIONAL KAKA
@daudintambala3896
@daudintambala3896 5 жыл бұрын
Bro miladi "namimi nakuhakikishia naanza utafikti na nikimaliza naanza kufuga"
@mamaagi8629
@mamaagi8629 5 жыл бұрын
Namm nataka kufuga nitawapataje
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 3 жыл бұрын
Tupe contact zake
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 жыл бұрын
Kwa staili hii vijana mkisema hakuna kazi itakua mnasingizia Serikali tu..
@jacobgabrel9718
@jacobgabrel9718 5 жыл бұрын
Safi sana milard Millard ayo kazi yako ni nzuri Sana'a Mimi wananisumbua kila day nawawekea dawa lakini hawaishi uko WAP millad ayo
@hancemagembe7554
@hancemagembe7554 3 жыл бұрын
Da milarde Ayo hakika unaipenda kazi yako hongera
@ibrahimchoray8530
@ibrahimchoray8530 4 жыл бұрын
Mmh!! Dunia imefika mwisho kwa kweli🤔
@stephanohossea9574
@stephanohossea9574 5 жыл бұрын
Nampendaga huyu kaka jamnani uwiiiiiii uwez wakumpat tu Sina. Habari nzuri kwakweli hongera Milad
@mussabuhe1832
@mussabuhe1832 5 жыл бұрын
Namavi pia wanakula maanachoni wengikwelikweli
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 жыл бұрын
Nakukubal san na kupenda bure kaka angu #Millard unajali Sana kazi yako hujali umbali au nini big Up san, ila hawa Mende jmn me siwezi kula kbs dah!
@yusuphnyansika490
@yusuphnyansika490 5 жыл бұрын
Mawasiliano ya MUHUSIKA ni muhimu kwa tunaohitaji kuqnza ufungaji huo.
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 5 жыл бұрын
Ayo nyie sio matapeli habari zinakamilika leoleo.
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Natamni na mimi kufuga ila kuwashika ndo shida naogop
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
Ha haaaaaa !!!! Watakushikia we fuga tu
@musaabuebker1750
@musaabuebker1750 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣kukamata nd shda
@elidasimon504
@elidasimon504 5 жыл бұрын
hahahahah
@Philipoupdates
@Philipoupdates 5 жыл бұрын
Ayo tupia namba ya huyo baba
@nadystyle339
@nadystyle339 5 жыл бұрын
Mie habari nkama sio ya milard ayo huwa siangalii kabisa .milard kuanzia muonekano mzuri hadi habari ni mwaa
@issahhussein1922
@issahhussein1922 5 жыл бұрын
MTU mwenye muonekano mzuri huwa mnaangalia nini haswa
@dalaylatv9532
@dalaylatv9532 5 жыл бұрын
Na mm naanza biashara mmoja sh mía kama tuko pamoja like, hahahaha
@stevenmkuwa8588
@stevenmkuwa8588 5 жыл бұрын
Hongera sana kwa taarifa za kujenga nimeipenda sana hiyo.
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 5 жыл бұрын
Jamani porini kote huko connection alipataje jmnnn????hongera zake ..
@massoudsalum2038
@massoudsalum2038 5 жыл бұрын
Connection sio issue
@si-qm1ki
@si-qm1ki 5 жыл бұрын
Connection ni ww mwnyw
@jimmyjullius1670
@jimmyjullius1670 5 жыл бұрын
Good job @millard Ayo keep it up
@salehegiza3305
@salehegiza3305 5 жыл бұрын
🙆🙆🙆 Jamaa ameshakula mende.
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 5 жыл бұрын
Hongera sana mirlad ayo kwa habari mzuri za ujasiliamari
@andersonmwanga6414
@andersonmwanga6414 5 жыл бұрын
Naomba
@thebrioz8968
@thebrioz8968 5 жыл бұрын
Me navooogopa mende jmn 😂😂😂😂😂hapana aiseee ndo angekua babangu ningeama nyumba
@alexmahenge3817
@alexmahenge3817 5 жыл бұрын
AYO. Heshima kwako Nimependa saana saana wewe ni mtafiti wa kweli saana kwa habari ya News
@jamesakhabuhaya6194
@jamesakhabuhaya6194 5 жыл бұрын
Kaka mungu azidi kukubariki habari zako kali sanaaa sanaaa
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 5 жыл бұрын
Asanteh Kaka Kwa habari
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 5 жыл бұрын
Ah utaelewa box likitoboka waingie room mzee baba 😂
@gastordominic410
@gastordominic410 5 жыл бұрын
Hapo sawa Kumbe ni mende special Yaan kama panya vile
@charlesowuor7939
@charlesowuor7939 5 жыл бұрын
Mimi nimekuwa interested na hiyo biashara nina hayo matrey kibao sasa huyo jamaa nitampataje Niko Dares salaam
@abdulybabumgwaobabu7407
@abdulybabumgwaobabu7407 5 жыл бұрын
Hongera sana kaka habari za uhakika na zenye tija kwajamii sio habari za kina mondi kila kukicha tunahitaji habari kama hizi zenye Fursa kwa Wa Tanzania big up sana pia nakuomba uniunganishe na mzee huyu pls pls help me Mr milad
@sijalikifunyo912
@sijalikifunyo912 5 жыл бұрын
Aise, Ahsante sana millard. Mi naomba namba ya huyo mfugaji nimeona fursa nzuri sana hapo.
@zakhiahassani1011
@zakhiahassani1011 4 жыл бұрын
Me mwenyew naomb namba jmn mevutiwa Sana na huo mrad aisee
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Mazingira mazuri sn, hongereni sn kwa utunzaji mzuri wa uoto wa asili. Waandishi wa habari wengine tuonyesheni uoto na mazingira ya asili sio kutuonyesha magorofa eti ndo uzuri wa sehemu. Hii itahamasisha watu kutunza mazingira yao na upandaji wa miti. Hongera kwa ufugaji wa mende mzee
@hijazhija316
@hijazhija316 5 жыл бұрын
"Periplaneta Americana".
@noahvan6890
@noahvan6890 5 жыл бұрын
Hijaz Hija bios logos
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 5 жыл бұрын
This is a good business😕 will do a research on this!!
@williamsville3493
@williamsville3493 5 жыл бұрын
Kikubwa pesa tu kama ni dili tunasababisha
@junioramos2997
@junioramos2997 5 жыл бұрын
Aisay milado mie nakukubali Sana aisay ... Big up... Cio mablog mengine
@allykassim1120
@allykassim1120 25 күн бұрын
ayo wewe noma nakubal sana big up
@yusilyimo6826
@yusilyimo6826 5 жыл бұрын
BIG UP MILARD AYO, CHANEL YAKO NAIKUBALI SANA. NYIGINE BHANA KICHWA CHA HABARI NA STOR YENYEWE HAVIENDANI( hawana taaluma) . SASA MILARD NAOMBA NAMBA ZA HUYO BABA NASI TUANZE KUFUGA. NITUMIE TAFADHALI.
@mgangajuma7720
@mgangajuma7720 4 жыл бұрын
Mimi namende ndani njoo uchukue nawachukia sitaki atakuwa ona
@mbingaheaven9899
@mbingaheaven9899 5 жыл бұрын
Good idea Bro
@mohdiddi8203
@mohdiddi8203 5 жыл бұрын
njoo uchukue bure kwangu, nawapiga dawa kila siku
@patrobajohn3034
@patrobajohn3034 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa unavyo tupa habari naomba mawasiliano ya yule mfuga mende wa njombe
@binthawa2973
@binthawa2973 5 жыл бұрын
Komaa ding miaka ijayo tutakuskia ushapig maendeleo kuhus biashar ya mende...
@kasmirilamiye6991
@kasmirilamiye6991 5 жыл бұрын
itabidi nianzee kuwafuga but kwaupande wa kigoma kunamaeneo kuna mende sana
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 5 жыл бұрын
Naaaje znz kuma mende haratiiiiii loo
@nelsonnmwaipaja6980
@nelsonnmwaipaja6980 5 жыл бұрын
milardy upo up stairs xana kwanza mike zako zipo good mzee piga kazi
@alexkway9333
@alexkway9333 5 жыл бұрын
bro millard nakukubali sana kwa kazi zako ila ushauri tu next time sisi wanaume wa dar habari kama hizi weka kichwa cha habari kuwa mende zinaongeza nguvu za kiume,huyo jamaa atashangaa jinsi kinondoni itakavyokua na wafugaji wengi😂😂😂😂
@olemoissan6441
@olemoissan6441 5 жыл бұрын
Milad ayo usipake nywele dawa na uso umepatwa na nini polee kama unaumwa ila wacha umeruu wakuweka dawa nywele hhhh wameru bhna
@issahhussein1922
@issahhussein1922 5 жыл бұрын
Kumbe nawew umeona
@mariamkaaya214
@mariamkaaya214 5 жыл бұрын
Ole Moissan acha ukabila we Masai
@faridabuzohera4417
@faridabuzohera4417 5 жыл бұрын
Safi Sana kaka hao ni chakula kizur Sana hata kuwalisha samaki🙏👍
@petermim
@petermim 5 жыл бұрын
Thank u
@agathapaul2285
@agathapaul2285 5 жыл бұрын
Huyo mfanya biashara siwezi kuwa jirani yake imagine mende zikienda strike zinakuja kwako na hiyo time uko na wangeni
@stevepaintertz7252
@stevepaintertz7252 5 жыл бұрын
Nice ideas
@lavieestbelle3263
@lavieestbelle3263 5 жыл бұрын
Nina shida na hela lakini....sijawahi pata mchukia mdudu kama ninavyo mchukia mdudu mende yani akikatisha mbele yangu hata kama ni ugenini nitamuua
@evancekimath7405
@evancekimath7405 2 жыл бұрын
So nice ....!!
@ahmednahidkid1330
@ahmednahidkid1330 5 жыл бұрын
doh mende na wapiga na viatu kumbe dili
@chainbre275
@chainbre275 5 жыл бұрын
Waah mende hmmm hata kumushika tu mm kwangu shida
@vivianabraham3200
@vivianabraham3200 5 жыл бұрын
Doooh jaman mende sawa keet up baba
@junioramos2997
@junioramos2997 5 жыл бұрын
Yule jamaa repoter wako was Arusha ajitaid Sana Sana ackuige ila yy aende kivyake coz awez kukufikia mfundishe
@chullakoi1508
@chullakoi1508 5 жыл бұрын
Hii mara ya kwanza kuisikia,millard hongera sana.
@officialdstar9288
@officialdstar9288 5 жыл бұрын
Dah aisee noma
@annastephen50
@annastephen50 5 жыл бұрын
doh, ipo siku watauza mayai ya mende
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 4 жыл бұрын
kwa kweli mllard ayo big up munaleta habari nzuri sana watu wengi wanapenda hizi habari za vijijini na za kusisisimua kama hizi saaaaaaaafi sana lakini ungemuambia jamaa akakukaangia japo kama nusu kilo, just kidding.
@keagleeagle821
@keagleeagle821 5 жыл бұрын
Niliona Azan news hii habari.8 months ago alisema anauza mmoja 500. Naomba wamepanda bei
@mungunimwemakilawakati1299
@mungunimwemakilawakati1299 Жыл бұрын
Jamani Milard Ayo naomba namba ya Simu ya Huyo Mzee nataka mbegu ya Mende!
@abdulmapunda5329
@abdulmapunda5329 5 жыл бұрын
Duh hiyo fulsa hao wateja waje morogoro mazimbu wapo wengi yaani tutatajirika
@rebeccampeta6650
@rebeccampeta6650 5 жыл бұрын
Kama na wewe leo ndo umemuona vizuri Millard twende sawa
@habayee6284
@habayee6284 4 жыл бұрын
Dooonoma.jamanifursahiyo.wa.Wazanziibari
@justinwakudat6792
@justinwakudat6792 5 жыл бұрын
Mende wanakula chakula gan 🤔
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 106 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,2 МЛН
WADUDU WANA KIASI KIKUBWA CHA PROTINI KWA AJILI YA KUKU NA SAMAKI
8:51
Mwananchi Digital
Рет қаралды 14 М.
WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA
7:29
JIFUNZE UFUGAJI WA MENDE.
7:23
MwanaKijiji
Рет қаралды 1,3 М.
SUA kuzalisha Nzi Chuma kama chanzo cha Protini kwa Samaki, Kuku
14:01
SUA MEDIA TANZANIA
Рет қаралды 2,2 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН