Big up Milardy habari zako zinakwenda sawa nakichwa cha habari sio kama wale wengine matapeli tu kama timu ayo mupo gonga like yako hapo chap kwa haraka ili twende sawa
@hermankoba49705 жыл бұрын
Umeona eeh Jamaa ajajitahid kwakwer
@gumbojr91725 жыл бұрын
kiukweli mippard ayo nimahiri katika habar yaani mtu anaweka kichwa chahabar kingine habari nyengine ila kwako tunapata tunachostahili chakula kizuri toka kwampishi mahir
@pastorymziba16835 жыл бұрын
Uyo Jamaa anakla men de
@saidahj25435 жыл бұрын
I don't regret subscribing to this channel....only good en relevant news...ila naogopa mende mm😃😃..love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fredkakamilion54975 жыл бұрын
Saidah licious 254 nyc. but Usiwe muoga
@rumdeesonsoa18115 жыл бұрын
It's opportunity to this man.
@TanzaniOman5 жыл бұрын
Huyu milad ayo anahabar nzr san hana upumbavu kwenye kaziyake
@scholasticamabena72395 жыл бұрын
Tanzani Oman kabisa habar zake nzur na znaukwel
@elizabethkisogole345 жыл бұрын
Hongera sana hizo ndizo habari ambazo nahitaji kuskia sio kina super star flani kilasiku habari zao this is good news
@estghermilton89105 жыл бұрын
Sana sana
@jicholafursa70585 жыл бұрын
şß
@asnathassan12245 жыл бұрын
Acha umbeya kuma wewee angalia habr unayoelew syo kutajataja star mavi wewe
@sabinaassenga30865 жыл бұрын
Hahahaaa
@nathanjunior76945 жыл бұрын
Best blogger in TZ...big up Sana kwa kazi nzuri unayoifanya
@mkakampole78025 жыл бұрын
Daah!! Bro Millard nappreciate sana kazi yako, hujawahi tuangusha hata siku moja aise. Tanzania nzima hakuna reporter kama wewe, kweli wewe umeletwa kwaajili ya watanzania. Tufungulie dunia tuzione fursa sisi ambao hatupati muda wa kutembea maeneo mbalimbali na Mungu atazidi kukubariki brother
@millardayoTZA5 жыл бұрын
Shukrani sana ndugu yangu John
@adrophwilliam32255 жыл бұрын
John Ndahani k
@adrophwilliam32255 жыл бұрын
Kweli kabisa brother
@luthermajoji73005 жыл бұрын
@@millardayoTZA Honestly, you are the best katika kuleta habari zenye tija 🙏🙏🙏 naomba namba ya huyo jamaa please
@faizaboubacar50645 жыл бұрын
Milard tunamshukuru kwa taarifa mbali mbali kama hizi #👌🙏
@billalphilip57765 жыл бұрын
Aliagiza mende toka Kenya?? Duuhhh Kwangu nimeua wengi sikujua unanunua😂😂😂
@shamsaabdallah20475 жыл бұрын
Mbavu zangu.n mende😂😂😂😂😂
@mariyamgharib9405 жыл бұрын
Hizi ndo story za kusisimuwa na zenye manufaa kwa jamii kujuwa dunia inaendaje kitaaluma. Shukran Millard kwa habari nzuri km hizi.
@kilaboy2261 Жыл бұрын
Qqei8
@jonamnyone80145 жыл бұрын
Harufu ya mende na jinsi alivyo tu sijui atapitaje mdomoni nitatapika mpaka moyo
@mamachris68115 жыл бұрын
Ha ha haaaaaa !!!!!!
@asnathassan12245 жыл бұрын
Hahahaaaaaa
@aminashabani60215 жыл бұрын
Jona Mnyone hahahahahahaha umenchosha 😂😂😂😂😂
@issaalfani10305 жыл бұрын
Hahahahahahah
@kamandab79765 жыл бұрын
Jona Mnyone shida ulisha aminishwa uwo ukinyia
@mamachris68115 жыл бұрын
We ndugu yangu ulikuwa Brazil,utakuwa umekula mkate wa mende
@agnessjohn84045 жыл бұрын
Duu! nilijua walewale wanaoandika kichwa cha habari ukianza kuangalia unakuta vilivyomo tofauti na alivyoandika aise kweli we jamaa hubahatishi huyo baba nae yuko vizuri hadi mende kala makubwa
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Hongera sana Millard Ayo kwa kutuletea habari nzuri ambayo inahusu mende maana mimi nilikuwa najua mende ni wadudu wanaoleta magonjwa kumbe ni chakula cha watu hongera sana kwa taarifa nzuri hakika taarifa zako zote ni za ukweli na uhakika.
@khamisjuma46915 жыл бұрын
Good jobs message from USA
@hellenopundo17155 жыл бұрын
Kumbe ndo maana siku hizi sioni mende eeeeeeeee
@barakawarioba46174 жыл бұрын
Hahahha umeone
@benjaminfataki68985 жыл бұрын
mimi nilizoweya kuwaona mende chooni leo inakuwa chakula,wanadamu itafika muda tutakulana wenyewe kwa wenyewe.
@hassanbwire90335 жыл бұрын
😂😂
@blandinajuma14495 жыл бұрын
jamani mm namuogopa mende yaan akiingia. dani nakimbia,umenifanya nipunguze woga,axante pia ongera.
@adammveyange96385 жыл бұрын
@@blandinajuma1449 tofauti na hao uliowazoea hao ni special
@neemawilliam84155 жыл бұрын
Dalili za siku za mwisho
@iffahbahet14995 жыл бұрын
Kwani wewe hujawahi kumla MTU 😀😀😀 mi namlaga demu wangu kila siku
@edlumala94285 жыл бұрын
Hesabu za daftari hizo, mende 1 tsh 1000, mende 3000= 3 millions! Anza kufuga uone pasuka kichwa yake! Kila kitu kina ugumu wake jamani hamna kitu rahis kikakupa pesa!
@edlumala94285 жыл бұрын
Dorcas Mkambeni Bro wewe fanya wachana na wachawi kama mimi! Wabongo tunapenda sana short cuts, wewe una amini soko la mende ni kubwa? Na bei yake 1000? Si kila mtu angefuga mende? Wacha kuwa fala kaka! Siri ya biashara ni siri! Huyo jamaa mwenyewe njaa tupu anaonekana.
@msetyntorah8045 жыл бұрын
Fact.
@alexandrinadomaino98683 жыл бұрын
Aswaa umeongea point
@mbumbulicomedians32865 жыл бұрын
safi sana ayo kwa habari nzuri, big up sana kwa huyo dingiiiiii
@denzlilly47975 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆this is crazy by also creative ,bora kipato kinaingia hapo freshy kaka
@faduladula74145 жыл бұрын
Hongera kaka una habari nzuri hua sichoki kusikiliza habari zako
@ashuramahali66435 жыл бұрын
Haha mende Jmn 😁😁😁😁 aje achukue wengne huku jikon kwet ni weng mno
@iffahbahet14995 жыл бұрын
Hao wanakula sana watamfirisi
@ashuramahali66435 жыл бұрын
Haha
@hidayahussein73425 жыл бұрын
hahaaa Ashura
@babukasiaka28335 жыл бұрын
Nawe fuga maendeleo huigwa we vipi?
@officialdstar92885 жыл бұрын
Hahaha
@majaliwampika54175 жыл бұрын
Nampenda Millard anatoa vitu vya ukweli na uhakika, niwashaur wanahabari wengine wajifunze kwake
@afamatv48485 жыл бұрын
Bigup sana bro Millard pia hata mfugaji wa mende hongera sana!!
@princespider58545 жыл бұрын
Hahaha so funny na ndio mtu anamake pesa jamaa ametoa fursa watu wafuge mende nayo serikali haiko mbali kutoza ushuru wa mende 😂
@keyakeya89115 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤭🤭
@angelazizi48315 жыл бұрын
Millard ayo upo vzr kwny hbr zako. .nice hongera
@tabuselemani68695 жыл бұрын
hahaha ukitaka mende wengi nenda kwenye vyoo vya mashimo 😂😂😂utapata wengi balaa na ukauza
@florachanga69835 жыл бұрын
Good job my bro nilikuwa cjuagi
@moseskayan37055 жыл бұрын
Safi sana miladi ayo anakubali kazi zako
@zacqtv98555 жыл бұрын
nakuomba kaka Millard Ayo nikutanishe na huyo Baba please nitashukuru sana
@mumybhay65615 жыл бұрын
vitu vi4 naviogopa sana maishani mwangu mende..panya..jongoo..na kijusi..mamaaaaaa😭😭nakufaaaa!😣😣
@elizapanga95325 жыл бұрын
Hahahahah acha woga fursa hiyo
@lucykilonzo27495 жыл бұрын
Uwiiiiiiiii ach tu loly yaaaan APA naangalia lakin najixkia vbay chiiii naogp mend htr
@mwanamisaomar3465 жыл бұрын
Asante xana millard ayo kwa taarifa nzuri..pa1 mfugaji.
@iddytamba19075 жыл бұрын
Good nice
@josephmkunja98085 жыл бұрын
Millard hakika utakua juu kilelenii chiii
@selemanimasambula12165 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo jamaa anaefuga mende atuelekeze vzr
@romanilyimo78222 жыл бұрын
Ongera sana milard ayo kwa riport big up
@kajorotz.40582 жыл бұрын
Nakukubali sana millard ayo👊 lete vitu
@elishasolomon97422 жыл бұрын
Aliyeona mkono w millard ayo unaogopa mende gnga like twende sawa
@ybsportstz76295 жыл бұрын
Wakwanza kabisa basi mende ni boonge la mboga🔥🇰🇪
@williamsville34935 жыл бұрын
Wachina nimepiga saluti wanakula hadi mende
@user-rd7jt1vi5x5 жыл бұрын
@@williamsville3493 cyo mende wachina wanakula hata nyoka
@williamsville34935 жыл бұрын
@@user-rd7jt1vi5x Aisee ndiyo maana akili zao za ajabu sana
@zulekhakhassun68585 жыл бұрын
Mama weeee 😁😁😁. That's good news kwakweli .. lets all make money
@bigmamaa21985 жыл бұрын
254 kenya 🇰🇪 nakupenda Millard
@Pastorlenhardkyamba5 жыл бұрын
YAO GOD BLESS YOU SIR. YOU ARE MY INSPIRATIONAL KAKA
@daudintambala38965 жыл бұрын
Bro miladi "namimi nakuhakikishia naanza utafikti na nikimaliza naanza kufuga"
@mamaagi86295 жыл бұрын
Namm nataka kufuga nitawapataje
@georgematahimba52423 жыл бұрын
Tupe contact zake
@badmanno.16505 жыл бұрын
Kwa staili hii vijana mkisema hakuna kazi itakua mnasingizia Serikali tu..
@jacobgabrel97185 жыл бұрын
Safi sana milard Millard ayo kazi yako ni nzuri Sana'a Mimi wananisumbua kila day nawawekea dawa lakini hawaishi uko WAP millad ayo
@hancemagembe75543 жыл бұрын
Da milarde Ayo hakika unaipenda kazi yako hongera
@ibrahimchoray85304 жыл бұрын
Mmh!! Dunia imefika mwisho kwa kweli🤔
@stephanohossea95745 жыл бұрын
Nampendaga huyu kaka jamnani uwiiiiiii uwez wakumpat tu Sina. Habari nzuri kwakweli hongera Milad
@mussabuhe18325 жыл бұрын
Namavi pia wanakula maanachoni wengikwelikweli
@sifamugwaneza11785 жыл бұрын
Nakukubal san na kupenda bure kaka angu #Millard unajali Sana kazi yako hujali umbali au nini big Up san, ila hawa Mende jmn me siwezi kula kbs dah!
@yusuphnyansika4905 жыл бұрын
Mawasiliano ya MUHUSIKA ni muhimu kwa tunaohitaji kuqnza ufungaji huo.
@hindisaidi50975 жыл бұрын
Ayo nyie sio matapeli habari zinakamilika leoleo.
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Natamni na mimi kufuga ila kuwashika ndo shida naogop
@mamachris68115 жыл бұрын
Ha haaaaaa !!!! Watakushikia we fuga tu
@musaabuebker17505 жыл бұрын
🤣🤣🤣kukamata nd shda
@elidasimon5045 жыл бұрын
hahahahah
@Philipoupdates5 жыл бұрын
Ayo tupia namba ya huyo baba
@nadystyle3395 жыл бұрын
Mie habari nkama sio ya milard ayo huwa siangalii kabisa .milard kuanzia muonekano mzuri hadi habari ni mwaa
@issahhussein19225 жыл бұрын
MTU mwenye muonekano mzuri huwa mnaangalia nini haswa
@dalaylatv95325 жыл бұрын
Na mm naanza biashara mmoja sh mía kama tuko pamoja like, hahahaha
@stevenmkuwa85885 жыл бұрын
Hongera sana kwa taarifa za kujenga nimeipenda sana hiyo.
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Jamani porini kote huko connection alipataje jmnnn????hongera zake ..
@massoudsalum20385 жыл бұрын
Connection sio issue
@si-qm1ki5 жыл бұрын
Connection ni ww mwnyw
@jimmyjullius16705 жыл бұрын
Good job @millard Ayo keep it up
@salehegiza33055 жыл бұрын
🙆🙆🙆 Jamaa ameshakula mende.
@anafisuleimani70835 жыл бұрын
Hongera sana mirlad ayo kwa habari mzuri za ujasiliamari
@andersonmwanga64145 жыл бұрын
Naomba
@thebrioz89685 жыл бұрын
Me navooogopa mende jmn 😂😂😂😂😂hapana aiseee ndo angekua babangu ningeama nyumba
@alexmahenge38175 жыл бұрын
AYO. Heshima kwako Nimependa saana saana wewe ni mtafiti wa kweli saana kwa habari ya News
@jamesakhabuhaya61945 жыл бұрын
Kaka mungu azidi kukubariki habari zako kali sanaaa sanaaa
@neemalkiswaga61265 жыл бұрын
Asanteh Kaka Kwa habari
@ommietrendz71755 жыл бұрын
Ah utaelewa box likitoboka waingie room mzee baba 😂
@gastordominic4105 жыл бұрын
Hapo sawa Kumbe ni mende special Yaan kama panya vile
@charlesowuor79395 жыл бұрын
Mimi nimekuwa interested na hiyo biashara nina hayo matrey kibao sasa huyo jamaa nitampataje Niko Dares salaam
@abdulybabumgwaobabu74075 жыл бұрын
Hongera sana kaka habari za uhakika na zenye tija kwajamii sio habari za kina mondi kila kukicha tunahitaji habari kama hizi zenye Fursa kwa Wa Tanzania big up sana pia nakuomba uniunganishe na mzee huyu pls pls help me Mr milad
@sijalikifunyo9125 жыл бұрын
Aise, Ahsante sana millard. Mi naomba namba ya huyo mfugaji nimeona fursa nzuri sana hapo.
@zakhiahassani10114 жыл бұрын
Me mwenyew naomb namba jmn mevutiwa Sana na huo mrad aisee
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Mazingira mazuri sn, hongereni sn kwa utunzaji mzuri wa uoto wa asili. Waandishi wa habari wengine tuonyesheni uoto na mazingira ya asili sio kutuonyesha magorofa eti ndo uzuri wa sehemu. Hii itahamasisha watu kutunza mazingira yao na upandaji wa miti. Hongera kwa ufugaji wa mende mzee
@hijazhija3165 жыл бұрын
"Periplaneta Americana".
@noahvan68905 жыл бұрын
Hijaz Hija bios logos
@nyamarungujr78345 жыл бұрын
This is a good business😕 will do a research on this!!
@williamsville34935 жыл бұрын
Kikubwa pesa tu kama ni dili tunasababisha
@junioramos29975 жыл бұрын
Aisay milado mie nakukubali Sana aisay ... Big up... Cio mablog mengine
@allykassim112025 күн бұрын
ayo wewe noma nakubal sana big up
@yusilyimo68265 жыл бұрын
BIG UP MILARD AYO, CHANEL YAKO NAIKUBALI SANA. NYIGINE BHANA KICHWA CHA HABARI NA STOR YENYEWE HAVIENDANI( hawana taaluma) . SASA MILARD NAOMBA NAMBA ZA HUYO BABA NASI TUANZE KUFUGA. NITUMIE TAFADHALI.
@mgangajuma77204 жыл бұрын
Mimi namende ndani njoo uchukue nawachukia sitaki atakuwa ona
@mbingaheaven98995 жыл бұрын
Good idea Bro
@mohdiddi82035 жыл бұрын
njoo uchukue bure kwangu, nawapiga dawa kila siku
@patrobajohn30343 жыл бұрын
Hongera sana kwa unavyo tupa habari naomba mawasiliano ya yule mfuga mende wa njombe
@binthawa29735 жыл бұрын
Komaa ding miaka ijayo tutakuskia ushapig maendeleo kuhus biashar ya mende...
@kasmirilamiye69915 жыл бұрын
itabidi nianzee kuwafuga but kwaupande wa kigoma kunamaeneo kuna mende sana
@nusaebahkeis67745 жыл бұрын
Naaaje znz kuma mende haratiiiiii loo
@nelsonnmwaipaja69805 жыл бұрын
milardy upo up stairs xana kwanza mike zako zipo good mzee piga kazi
@alexkway93335 жыл бұрын
bro millard nakukubali sana kwa kazi zako ila ushauri tu next time sisi wanaume wa dar habari kama hizi weka kichwa cha habari kuwa mende zinaongeza nguvu za kiume,huyo jamaa atashangaa jinsi kinondoni itakavyokua na wafugaji wengi😂😂😂😂
@olemoissan64415 жыл бұрын
Milad ayo usipake nywele dawa na uso umepatwa na nini polee kama unaumwa ila wacha umeruu wakuweka dawa nywele hhhh wameru bhna
@issahhussein19225 жыл бұрын
Kumbe nawew umeona
@mariamkaaya2145 жыл бұрын
Ole Moissan acha ukabila we Masai
@faridabuzohera44175 жыл бұрын
Safi Sana kaka hao ni chakula kizur Sana hata kuwalisha samaki🙏👍
@petermim5 жыл бұрын
Thank u
@agathapaul22855 жыл бұрын
Huyo mfanya biashara siwezi kuwa jirani yake imagine mende zikienda strike zinakuja kwako na hiyo time uko na wangeni
@stevepaintertz72525 жыл бұрын
Nice ideas
@lavieestbelle32635 жыл бұрын
Nina shida na hela lakini....sijawahi pata mchukia mdudu kama ninavyo mchukia mdudu mende yani akikatisha mbele yangu hata kama ni ugenini nitamuua
@evancekimath74052 жыл бұрын
So nice ....!!
@ahmednahidkid13305 жыл бұрын
doh mende na wapiga na viatu kumbe dili
@chainbre2755 жыл бұрын
Waah mende hmmm hata kumushika tu mm kwangu shida
@vivianabraham32005 жыл бұрын
Doooh jaman mende sawa keet up baba
@junioramos29975 жыл бұрын
Yule jamaa repoter wako was Arusha ajitaid Sana Sana ackuige ila yy aende kivyake coz awez kukufikia mfundishe
@chullakoi15085 жыл бұрын
Hii mara ya kwanza kuisikia,millard hongera sana.
@officialdstar92885 жыл бұрын
Dah aisee noma
@annastephen505 жыл бұрын
doh, ipo siku watauza mayai ya mende
@suleimankhamis82984 жыл бұрын
kwa kweli mllard ayo big up munaleta habari nzuri sana watu wengi wanapenda hizi habari za vijijini na za kusisisimua kama hizi saaaaaaaafi sana lakini ungemuambia jamaa akakukaangia japo kama nusu kilo, just kidding.
@keagleeagle8215 жыл бұрын
Niliona Azan news hii habari.8 months ago alisema anauza mmoja 500. Naomba wamepanda bei
@mungunimwemakilawakati1299 Жыл бұрын
Jamani Milard Ayo naomba namba ya Simu ya Huyo Mzee nataka mbegu ya Mende!
@abdulmapunda53295 жыл бұрын
Duh hiyo fulsa hao wateja waje morogoro mazimbu wapo wengi yaani tutatajirika
@rebeccampeta66505 жыл бұрын
Kama na wewe leo ndo umemuona vizuri Millard twende sawa