Kweli wenye haki huwaachia watoto ulithi mwema tunamshukulu mungu kwa maisha ya magufuli
@omarysaid87257 күн бұрын
Hayati JPM ame tuheshimisha sana mungu ampoker huko aliko
@kesterkanyala77187 күн бұрын
NAMI, NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100%.NA PONGEZI NI ZAKE KABISA
@victorjames37307 күн бұрын
Leo nimsifie magufuli kwa hii project!
@daudimichael73386 күн бұрын
Asante sana mwamba, kipenzi chetu JPM, pumzika kwa amani
@chuchumeta83746 күн бұрын
JPM thank you
@nicodemusfidelis37726 күн бұрын
Asanteeee Mh . Magu
@vero577 күн бұрын
Kwahivyo tunaenda moro kula bata weekend, safi sana 👍👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jasonwatz74577 күн бұрын
Naaam hayaa ndio maendeleo sasa
@didasseveline90137 күн бұрын
Baadae mseme magufuri alikuwa dikteta! Wakati hayo yote ni matunda ya hapa KAZI tu
@TamuzaKale7 күн бұрын
Mbona kawaida sana? Wazungu na waarabu waliwafira, wamewapa mfumo wa elimu na dini. Mnajidai mnazijua kuliko wao waliozileta. MAE!
@user-tk4es1uw7e7 күн бұрын
hongera sana mama jitihada ya kutimiza
@PaulinaSemindu-ob3de6 күн бұрын
Mwenyez Mungu amrehem huko alipo Magufuli wetu 🙏😭
@barackmoses70037 күн бұрын
Tunataka pia treni ya kutoka Dar mpk Arusha
@letthedeadburythedead21486 күн бұрын
Dodoma to Arusha ingependeza zaidi
@athumaniamiri8806 күн бұрын
Kweli kabsa
@mmassyferguson49597 күн бұрын
Asanten sana serikali kwa usafiri mzuri wa train yetu❤
@cngeze6 күн бұрын
I hope wataitunza
@omarysaid87257 күн бұрын
Kweli ulaya zina jengwa dah maana Dar kama ulaya kuna walio tutangulia kujenga SGR ila kwa sasa wana ikosoa SGR yao kisa yetu ni ya kisasa
@margarethsolomon98236 күн бұрын
John Joseph Magufuli aliwaza na kuanzisha vyema, Mungu ampe pumziko jema
@margarethsolomon98236 күн бұрын
JPM Hongera Hongera Hongera Mungu akuweke mahali pema peponi, ungekuwepo ungeona wazo lako. R. I. P.
@bernadndanu34356 күн бұрын
Kwa Nini msiwapongeze wananchi wa Tanzania kwa kulipa Kodi Ili wapate motisha ya kulipa Kodi badala ya viongozi wazo langu asante
@SKY-fk3fz6 күн бұрын
Muhimu utaratibu wa makusanyo ya fedha yapatikane na yaweze kujitengeneza yanapo haribika
@HajiKlein-so1rk7 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
@benancejohn11986 күн бұрын
Hizo bei kutokana na kilometers ndio bado zipo juu. Ina maana reli ikikamilika,ukitokea mwanza to Dar,nauli ni sawa na umepaa na pipa.
@tradamus41587 күн бұрын
Utasikia tu shirika limepata hasara wapigaji bado hawajaanza
@festokemibala58326 күн бұрын
@@tradamus4158 kwani shirika ni sehemu ya chombo gani kiasi lisitendw kama hicho chombo? Mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo suala la upigaji haliepukiki ni la kusubiria tu kama ilivyokuwa atcl
@subiramwaka97927 күн бұрын
Usimamizi mzuri ni muhimu lingine basi hiyo pesa iende kulipa deni. Tupunguziwe mzigo wa kodi.
@GibsonNtamamilo7 күн бұрын
Zote zinspigwa mzee utajua hujui.
@emmanuelaloyce9326 күн бұрын
Ila arusha ni muhimu sana treni ya SGR ipatikane kwa haraka sana,kwani watalii kutoka nnje wangependa sana kutumia treni ,ikwasababu itakuwa njia nzuri sana kutalii. Arusha tunataka 👍
@agneskissinga52516 күн бұрын
Mh! baba hayupo.
@exaverysimon10647 күн бұрын
YAN IKIFIKA MWANZA ITAKUWA N UNYAMA SANA
@faridaally-jp1gx7 күн бұрын
Usafiri mzuri sana nimeipenda sana
@Shafikimanga77 күн бұрын
Kikubwa ni kuweka usimamizi ili wahujumu wasije kupata nafasi ya kuhujumu mradi huu uliobadala wa watanzani kiusafiri na mapato yetu ya ndani.
@festokemibala58326 күн бұрын
@@Shafikimanga7 ndoto kuepuka wahujumu kwa nchi hii labda aje Yesu
@FahadAbubakari7 күн бұрын
Ni wakati wa sasa wakuziongeza hizo treni zikawa nyingi pamoja nakuzipeleka na kwingine chanzo kizuri sana cha mapato ,
@MhinaMaria6 күн бұрын
Kazi nzuriii
@SKY-fk3fz6 күн бұрын
Bora ajali za barabarani zitapungua
@tanzcanmediatv44737 күн бұрын
Jpm hoyeee
@ikulunimahalipatakatifu76427 күн бұрын
ONGERA NA ASANTE SANA MAMA , NAOMBA ULINZI NA USALAMA UWE WA KUTOSHA MAANA KWENYE MAENDELEO ADUI HAKOSI. ...... ASANTE SANA SHUJAA JPM.. THE LIVING DREAM HERO!!!
@Zainabnoor0087-ze6 күн бұрын
Dk Samia the iron lady umeziba mashimo kibao ww ni bonge la mama
@abdallahkambangwa72157 күн бұрын
kazi iko poa
@zawadix95747 күн бұрын
Maintain hizo treni kwa sababu sisi wa tz tuna haribu vitu vipya 😢
@samuelemmanuel34007 күн бұрын
Wanzanzibar wamejaa kila sehemu, mawaziri, wakurugenzi and everywhere. Safi sana Raisi😅
@zawadix95747 күн бұрын
Wa Tanzania nchi moja
@exaverysimon10647 күн бұрын
SAMIA 5 TENA HUNA MBADALA SAF SANA❤❤❤❤
@laurentraphael54707 күн бұрын
Amalizie muda wake atoke, anajua kusafiri tu
@walidmgonja36447 күн бұрын
@@laurentraphael5470Tutamchagua mama yako anayejua kukuna nazi tu
@user-ue2nz3vc4j7 күн бұрын
Mama samia safi 2025 wapinzani wasiweke mgombea wa urais apishwe akamilishe miradi kwa ufanisi, Kazi iendelee 💞💞
@mimiraia25316 күн бұрын
Shillingi ya Tanzania inaporomoka thalami, sasa hivi dollar ya Marekani inaelekea elfu 3, halafu unatuambia upuuzi gani wewe!!
@tanzcanmediatv44737 күн бұрын
Yenyewe inabeba wangapi
@yohananchimbi17566 күн бұрын
Sasa hatutegemei kusikia mnafanya biashara kwa hasara,kwa sababu hamkosi maneno
@MhinaMaria6 күн бұрын
JPM
@emmanueltillya20177 күн бұрын
Hizo pesa mukalipe madeni nchi inayokopa....
@muzneali47477 күн бұрын
MWISHO WA MWAKA TUSISIKIE MMEPATA HASARA TUTAJUA HIYO NI HUJUMA
@christopherjoseph83307 күн бұрын
SGR nyingn ijengwe kutoka Dodoma hadi mikoa y kazkazini.
@festokemibala58327 күн бұрын
Dodoma to Moshi itakuwa ni ideal kabisa
@nasibugunda79277 күн бұрын
Dodoma -moshi kupitia manyara na dar -moshi kupitia tanga wapi pana umbali mrefu??
@GibsonNtamamilo7 күн бұрын
Ianze Kigoma kwanza😂😂😂
@nasibugunda79277 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo Kigoma inaazaje wakati ujenzi hauja isha
@nasibugunda79277 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo afu watu wa kigoma washazoea treni yao ile ya zamani inatembea uku inaruka ruka
@rasheedabby28713 күн бұрын
sisi tunakuja kudai receipt tuu za mapato
@PendoUrassa-xm7ru7 күн бұрын
Kazi ya magufuli,
@MnubiMm7 күн бұрын
Ni kweli kabisa lakini hakumaliza na hata kipande hicho Cha Moro hakikuisha Mama lazima Atajwe na apongezwe kwa hii miradi mikubwa kuimalizia
@NammanaMobile7 күн бұрын
Izo treni zote ni kwa reli iyo iyo moja au... Ndo tutalajie kauli ya Ni mipango ya Mungu. Mana wachina wana tecnologia kubwa na wana akili nyingi lakin sijaona wakitumia reli moja kwa treni nyingi
@samasob82337 күн бұрын
Angalia wachina walikuwa wapi 1970! Korea na Thailand, Singapore, then utaona kwamba walianza mdogo mdogo, ni kawaida sana kuanza namna hii, huwezi kulinganisha shughuli hii na washughulikaji walioanza kabla yetu na ambao kwa sasa wamebobea! Kwa reli tufananishe na nchi zilizotuzunguka, na hata fika mbali mpaka west Afrika! Cha muhimu ni kuendelea kuiongeza, baada ya watu na serikali kuwa na treni nyingi ofcourse line mbili zitaongezwa na hopefully nchi itakuwa imeunganishwa kwa reli! Nchi zote zenye reli zilianza na line moja!
@allykhalfankingwana52722 күн бұрын
Lakini unafahamu kuna kitu kinaitwa Ratiba?
@renatusblandes11317 күн бұрын
Dodoma ingejegwa Stand kubwa maana watu tutakuwa tunatoka Bukoba mpaka Dodoma halafu Dodoma tunapanda kwenda DSM
@emmanuelbenjamin41867 күн бұрын
Subirini ya Mwanza
@davidanselmo40417 күн бұрын
Ni mwanza sio Dodoma
@letthedeadburythedead21486 күн бұрын
Treni haziingiagi stand mkuu
@emmanueltuppa54597 күн бұрын
Nawaza wenye mabasi Trip za Dar Moro 🧐
@samasob82337 күн бұрын
Relii ni nzuri kwa sababu italeta ufanisi kwa wenye mabasi, itashusha bei na kufanya bei ziwe halali! Migomo isiyokuwa ya lazima ya wenye mabasi itapungua kwa hali ya juu! Ndo maana ya maendeleo, kuhakikisha vitu vinakuwa affordable and service industry grows
@selemankishema57807 күн бұрын
Miradi ya serikali yoote huwa hasara kwa sababu ya wizi wenu sasa sijui hii itakuwaje?
@zawadix95747 күн бұрын
Sio ata wizi usafi na ku tunza vitu angali mwendokasi ilivyo choka haija ka ata miaki 6 tatizo tu tunze vitu vyetu
@GibsonNtamamilo7 күн бұрын
Issue sio kujaaa. Tuambieni treni hiyo inauwezo wa kubeba abiria wangapi?
@samasob82337 күн бұрын
hesabu namba ya viti ya behewa moja zidisha na namba ya mabehewa kwenye safari moja, jibu utalipata
@leonnyntandu43246 күн бұрын
Kwa mkupuo mmoja inaondoka na watu si chini ya 500
@samasob82336 күн бұрын
@@leonnyntandu4324 😁 kama ni standard 2+2 seats then one car carries 66 passengers kama ni 2+3 one car will carry....? na kama ni 3+3 one car will carry ....! Kwa hesabu ya 66 x 14 cars = 924 kwa mpigo. sasa ungiangalia hayo magari, mengine yana 2+3 na mengine yana 3+3 na open space in between or on tha back or fron of the car. Say minimum ni 70+ passengers on economy class
@festokemibala58327 күн бұрын
Mbarawa mbunge wa jimbo gani huku Tanganyika? Na je, wizara yake anayoisimamia ni ya Muungano?
@walidmgonja36447 күн бұрын
Ni mbunge wa nyumbani kwenu choko
@festokemibala58327 күн бұрын
@@walidmgonja3644 huo ndo uwezo wa akili yako ulikofikia! Ahsante Mungu akubariki kwa lugha nzuri na ya kupigiwa mfano
@samasob82337 күн бұрын
@@walidmgonja3644 matusi ya nini ndugu? si lazima ujibu kama huna hoja, jamaa ameuliza swali legitimate, kama jibu huna, kaa kimya pls
@abdallahselemani64236 күн бұрын
Mbarawa mbunge wa kuteuliwa na raisi kuhusu wizara yupo uchukuzi