ZAIDI YA ABIRIA ELFU 40 WASAFIRI NA TRENI YA SGR, PROF. MBARAWA AELEZA MPANGO WA TRENI YA MIZIGO

  Рет қаралды 21,445

Millard Ayo

Millard Ayo

8 күн бұрын

Пікірлер: 89
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 6 күн бұрын
Kweli wenye haki huwaachia watoto ulithi mwema tunamshukulu mungu kwa maisha ya magufuli
@omarysaid8725
@omarysaid8725 7 күн бұрын
Hayati JPM ame tuheshimisha sana mungu ampoker huko aliko
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 7 күн бұрын
NAMI, NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100%.NA PONGEZI NI ZAKE KABISA
@victorjames3730
@victorjames3730 7 күн бұрын
Leo nimsifie magufuli kwa hii project!
@daudimichael7338
@daudimichael7338 6 күн бұрын
Asante sana mwamba, kipenzi chetu JPM, pumzika kwa amani
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 6 күн бұрын
JPM thank you
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 6 күн бұрын
Asanteeee Mh . Magu
@vero57
@vero57 7 күн бұрын
Kwahivyo tunaenda moro kula bata weekend, safi sana 👍👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 7 күн бұрын
Naaam hayaa ndio maendeleo sasa
@didasseveline9013
@didasseveline9013 7 күн бұрын
Baadae mseme magufuri alikuwa dikteta! Wakati hayo yote ni matunda ya hapa KAZI tu
@TamuzaKale
@TamuzaKale 7 күн бұрын
Mbona kawaida sana? Wazungu na waarabu waliwafira, wamewapa mfumo wa elimu na dini. Mnajidai mnazijua kuliko wao waliozileta. MAE!
@user-tk4es1uw7e
@user-tk4es1uw7e 7 күн бұрын
hongera sana mama jitihada ya kutimiza
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 6 күн бұрын
Mwenyez Mungu amrehem huko alipo Magufuli wetu 🙏😭
@barackmoses7003
@barackmoses7003 7 күн бұрын
Tunataka pia treni ya kutoka Dar mpk Arusha
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 6 күн бұрын
Dodoma to Arusha ingependeza zaidi
@athumaniamiri880
@athumaniamiri880 6 күн бұрын
Kweli kabsa
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 7 күн бұрын
Asanten sana serikali kwa usafiri mzuri wa train yetu❤
@cngeze
@cngeze 6 күн бұрын
I hope wataitunza
@omarysaid8725
@omarysaid8725 7 күн бұрын
Kweli ulaya zina jengwa dah maana Dar kama ulaya kuna walio tutangulia kujenga SGR ila kwa sasa wana ikosoa SGR yao kisa yetu ni ya kisasa
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 6 күн бұрын
John Joseph Magufuli aliwaza na kuanzisha vyema, Mungu ampe pumziko jema
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 6 күн бұрын
JPM Hongera Hongera Hongera Mungu akuweke mahali pema peponi, ungekuwepo ungeona wazo lako. R. I. P.
@bernadndanu3435
@bernadndanu3435 6 күн бұрын
Kwa Nini msiwapongeze wananchi wa Tanzania kwa kulipa Kodi Ili wapate motisha ya kulipa Kodi badala ya viongozi wazo langu asante
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 6 күн бұрын
Muhimu utaratibu wa makusanyo ya fedha yapatikane na yaweze kujitengeneza yanapo haribika
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 7 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
@benancejohn1198
@benancejohn1198 6 күн бұрын
Hizo bei kutokana na kilometers ndio bado zipo juu. Ina maana reli ikikamilika,ukitokea mwanza to Dar,nauli ni sawa na umepaa na pipa.
@tradamus4158
@tradamus4158 7 күн бұрын
Utasikia tu shirika limepata hasara wapigaji bado hawajaanza
@festokemibala5832
@festokemibala5832 6 күн бұрын
@@tradamus4158 kwani shirika ni sehemu ya chombo gani kiasi lisitendw kama hicho chombo? Mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo suala la upigaji haliepukiki ni la kusubiria tu kama ilivyokuwa atcl
@subiramwaka9792
@subiramwaka9792 7 күн бұрын
Usimamizi mzuri ni muhimu lingine basi hiyo pesa iende kulipa deni. Tupunguziwe mzigo wa kodi.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 7 күн бұрын
Zote zinspigwa mzee utajua hujui.
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 6 күн бұрын
Ila arusha ni muhimu sana treni ya SGR ipatikane kwa haraka sana,kwani watalii kutoka nnje wangependa sana kutumia treni ,ikwasababu itakuwa njia nzuri sana kutalii. Arusha tunataka 👍
@agneskissinga5251
@agneskissinga5251 6 күн бұрын
Mh! baba hayupo.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 7 күн бұрын
YAN IKIFIKA MWANZA ITAKUWA N UNYAMA SANA
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 7 күн бұрын
Usafiri mzuri sana nimeipenda sana
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 7 күн бұрын
Kikubwa ni kuweka usimamizi ili wahujumu wasije kupata nafasi ya kuhujumu mradi huu uliobadala wa watanzani kiusafiri na mapato yetu ya ndani.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 6 күн бұрын
@@Shafikimanga7 ndoto kuepuka wahujumu kwa nchi hii labda aje Yesu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 7 күн бұрын
Ni wakati wa sasa wakuziongeza hizo treni zikawa nyingi pamoja nakuzipeleka na kwingine chanzo kizuri sana cha mapato ,
@MhinaMaria
@MhinaMaria 6 күн бұрын
Kazi nzuriii
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 6 күн бұрын
Bora ajali za barabarani zitapungua
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 күн бұрын
Jpm hoyeee
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 7 күн бұрын
ONGERA NA ASANTE SANA MAMA , NAOMBA ULINZI NA USALAMA UWE WA KUTOSHA MAANA KWENYE MAENDELEO ADUI HAKOSI. ...... ASANTE SANA SHUJAA JPM.. THE LIVING DREAM HERO!!!
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 6 күн бұрын
Dk Samia the iron lady umeziba mashimo kibao ww ni bonge la mama
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 7 күн бұрын
kazi iko poa
@zawadix9574
@zawadix9574 7 күн бұрын
Maintain hizo treni kwa sababu sisi wa tz tuna haribu vitu vipya 😢
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 7 күн бұрын
Wanzanzibar wamejaa kila sehemu, mawaziri, wakurugenzi and everywhere. Safi sana Raisi😅
@zawadix9574
@zawadix9574 7 күн бұрын
Wa Tanzania nchi moja
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 7 күн бұрын
SAMIA 5 TENA HUNA MBADALA SAF SANA❤❤❤❤
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 7 күн бұрын
Amalizie muda wake atoke, anajua kusafiri tu
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 7 күн бұрын
​@@laurentraphael5470Tutamchagua mama yako anayejua kukuna nazi tu
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j 7 күн бұрын
Mama samia safi 2025 wapinzani wasiweke mgombea wa urais apishwe akamilishe miradi kwa ufanisi, Kazi iendelee 💞💞
@mimiraia2531
@mimiraia2531 6 күн бұрын
Shillingi ya Tanzania inaporomoka thalami, sasa hivi dollar ya Marekani inaelekea elfu 3, halafu unatuambia upuuzi gani wewe!!
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 7 күн бұрын
Yenyewe inabeba wangapi
@yohananchimbi1756
@yohananchimbi1756 6 күн бұрын
Sasa hatutegemei kusikia mnafanya biashara kwa hasara,kwa sababu hamkosi maneno
@MhinaMaria
@MhinaMaria 6 күн бұрын
JPM
@emmanueltillya2017
@emmanueltillya2017 7 күн бұрын
Hizo pesa mukalipe madeni nchi inayokopa....
@muzneali4747
@muzneali4747 7 күн бұрын
MWISHO WA MWAKA TUSISIKIE MMEPATA HASARA TUTAJUA HIYO NI HUJUMA
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 7 күн бұрын
SGR nyingn ijengwe kutoka Dodoma hadi mikoa y kazkazini.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 7 күн бұрын
Dodoma to Moshi itakuwa ni ideal kabisa
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 7 күн бұрын
Dodoma -moshi kupitia manyara na dar -moshi kupitia tanga wapi pana umbali mrefu??
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 7 күн бұрын
Ianze Kigoma kwanza😂😂😂
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 7 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo Kigoma inaazaje wakati ujenzi hauja isha
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 7 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo afu watu wa kigoma washazoea treni yao ile ya zamani inatembea uku inaruka ruka
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 3 күн бұрын
sisi tunakuja kudai receipt tuu za mapato
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru 7 күн бұрын
Kazi ya magufuli,
@MnubiMm
@MnubiMm 7 күн бұрын
Ni kweli kabisa lakini hakumaliza na hata kipande hicho Cha Moro hakikuisha Mama lazima Atajwe na apongezwe kwa hii miradi mikubwa kuimalizia
@NammanaMobile
@NammanaMobile 7 күн бұрын
Izo treni zote ni kwa reli iyo iyo moja au... Ndo tutalajie kauli ya Ni mipango ya Mungu. Mana wachina wana tecnologia kubwa na wana akili nyingi lakin sijaona wakitumia reli moja kwa treni nyingi
@samasob8233
@samasob8233 7 күн бұрын
Angalia wachina walikuwa wapi 1970! Korea na Thailand, Singapore, then utaona kwamba walianza mdogo mdogo, ni kawaida sana kuanza namna hii, huwezi kulinganisha shughuli hii na washughulikaji walioanza kabla yetu na ambao kwa sasa wamebobea! Kwa reli tufananishe na nchi zilizotuzunguka, na hata fika mbali mpaka west Afrika! Cha muhimu ni kuendelea kuiongeza, baada ya watu na serikali kuwa na treni nyingi ofcourse line mbili zitaongezwa na hopefully nchi itakuwa imeunganishwa kwa reli! Nchi zote zenye reli zilianza na line moja!
@allykhalfankingwana5272
@allykhalfankingwana5272 2 күн бұрын
Lakini unafahamu kuna kitu kinaitwa Ratiba?
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 7 күн бұрын
Dodoma ingejegwa Stand kubwa maana watu tutakuwa tunatoka Bukoba mpaka Dodoma halafu Dodoma tunapanda kwenda DSM
@emmanuelbenjamin4186
@emmanuelbenjamin4186 7 күн бұрын
Subirini ya Mwanza
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 7 күн бұрын
Ni mwanza sio Dodoma
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 6 күн бұрын
Treni haziingiagi stand mkuu
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 7 күн бұрын
Nawaza wenye mabasi Trip za Dar Moro 🧐
@samasob8233
@samasob8233 7 күн бұрын
Relii ni nzuri kwa sababu italeta ufanisi kwa wenye mabasi, itashusha bei na kufanya bei ziwe halali! Migomo isiyokuwa ya lazima ya wenye mabasi itapungua kwa hali ya juu! Ndo maana ya maendeleo, kuhakikisha vitu vinakuwa affordable and service industry grows
@selemankishema5780
@selemankishema5780 7 күн бұрын
Miradi ya serikali yoote huwa hasara kwa sababu ya wizi wenu sasa sijui hii itakuwaje?
@zawadix9574
@zawadix9574 7 күн бұрын
Sio ata wizi usafi na ku tunza vitu angali mwendokasi ilivyo choka haija ka ata miaki 6 tatizo tu tunze vitu vyetu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 7 күн бұрын
Issue sio kujaaa. Tuambieni treni hiyo inauwezo wa kubeba abiria wangapi?
@samasob8233
@samasob8233 7 күн бұрын
hesabu namba ya viti ya behewa moja zidisha na namba ya mabehewa kwenye safari moja, jibu utalipata
@leonnyntandu4324
@leonnyntandu4324 6 күн бұрын
Kwa mkupuo mmoja inaondoka na watu si chini ya 500
@samasob8233
@samasob8233 6 күн бұрын
@@leonnyntandu4324 😁 kama ni standard 2+2 seats then one car carries 66 passengers kama ni 2+3 one car will carry....? na kama ni 3+3 one car will carry ....! Kwa hesabu ya 66 x 14 cars = 924 kwa mpigo. sasa ungiangalia hayo magari, mengine yana 2+3 na mengine yana 3+3 na open space in between or on tha back or fron of the car. Say minimum ni 70+ passengers on economy class
@festokemibala5832
@festokemibala5832 7 күн бұрын
Mbarawa mbunge wa jimbo gani huku Tanganyika? Na je, wizara yake anayoisimamia ni ya Muungano?
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 7 күн бұрын
Ni mbunge wa nyumbani kwenu choko
@festokemibala5832
@festokemibala5832 7 күн бұрын
@@walidmgonja3644 huo ndo uwezo wa akili yako ulikofikia! Ahsante Mungu akubariki kwa lugha nzuri na ya kupigiwa mfano
@samasob8233
@samasob8233 7 күн бұрын
@@walidmgonja3644 matusi ya nini ndugu? si lazima ujibu kama huna hoja, jamaa ameuliza swali legitimate, kama jibu huna, kaa kimya pls
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 6 күн бұрын
Mbarawa mbunge wa kuteuliwa na raisi kuhusu wizara yupo uchukuzi
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 7 күн бұрын
Haziwezi kugonga jamani...??
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 30 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 6 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 16 МЛН
HII HAPA  SAFARI SGR  DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR
10:07
TRC RELI TV
Рет қаралды 36 М.
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 30 МЛН