VIDEO: SPIKA TULIA NA HALIMA MDEE WAVUTANA VIFUNGU VYA SHERIA ISHU 'MKATABA WA BANDARI'

  Рет қаралды 242,504

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 921
@rehemaabdallah9370
@rehemaabdallah9370 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie maarifa Halima mdee uko vizuri sana
@gloryclement6400
@gloryclement6400 Жыл бұрын
Natamani upinzani wangekuwepo hata 10 tu hapo bungeni.😢😢hili swala Lingeisha chap Sana!! Halima mdee🔥🔥🔥!! Unajitahidi mama
@Kaka_Rambo
@Kaka_Rambo Жыл бұрын
Barikiwa sana dada Mungu akuzidishie umeonesha Mwanga ila huwezi kubadili chochote acha tuliwe tulimkosea sana Mungu 😭😭😭
@hussenaaghe2760
@hussenaaghe2760 Жыл бұрын
Barikiwa chama gani chadema hamtabi
@ayubusimake
@ayubusimake Жыл бұрын
@@hussenaaghe2760 ß
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 Жыл бұрын
Mheshimiwa Halima Mdee ishi miaka mingii…unaongea points sana👏👏👏👏
@HamadiSwedi
@HamadiSwedi Жыл бұрын
Tumia akili
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
Tunaangamia kwa ujinga wetu peke yetu,wanaoongea ukweli wanazibwa midomo kisa ulafi wa wachache wenye Dola😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu ingilia kati
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Mh Halima Mungu akutangulie kwa kila kitu unachofanya na kubariki kazi zako pamoja na tumbo lilolokuzaa Hakika ww ni mfano wa kuigwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Жыл бұрын
Mdee mmoja ni sawasawa na wabunge wote wanaume wa CCM........ Nakupenda Halima Mdeee
@fatmaayoub8298
@fatmaayoub8298 Жыл бұрын
❤️❤️❤️💪💪💪
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Bravo bravo bravo bravo, Halima Mdee
@IreneFabiani-ug3en
@IreneFabiani-ug3en Жыл бұрын
Ishi saaaaana halima❤️tunakupenda mungu akupe maisha marefu tunakuombea pia 🙏
@emanuelandronicus2574
@emanuelandronicus2574 Жыл бұрын
Prophetess halima mdee🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏Mungu akulinde
@fatmaayoub8298
@fatmaayoub8298 Жыл бұрын
Ishi sana Mheshimiwa Mdee you're a true Hero of Tanzania..your legacy will remain always 💪💪💪🙏
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui Жыл бұрын
Nakupenda sana dadaangu Halima, Hawa wengine bana!! Mungu tusaidie.
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 Жыл бұрын
Halifax unaumia sana kwasababu unajaribu kuelewesha hayo mazuzu malarushwa hayaelewi
@MariaCassian-ys7pt
@MariaCassian-ys7pt 6 ай бұрын
Mtuakiongea vitu vizuri utasikia taarifa ilikumpotezea tu mtu point zake HALIMA chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Halima ana hoja kali sana ila wamemkatisha katisha ile asiseme ukweli daah bongo nyoso wallah 🙌
@scopy0428
@scopy0428 Жыл бұрын
Kuna Baadhi Ya Wabunge huwa wanapotosha jamii kwa kias kikubwa sana Hongera sana Mh Spika Madam Tulia Akson.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Halima ni kichwa sana!Inapendeza mno.Spika wa bunge ni kichwa sana yuko makini na ni smart sana.Nimeamini wadada wembamba ni vichwa sana.
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Жыл бұрын
Hapo kama mvivu kusoma na kufikiri unabaki unatoa macho.
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 Жыл бұрын
Sanaaaa yani
@EditaJoseph-zo9dv
@EditaJoseph-zo9dv Жыл бұрын
😂😂😂😂 kwahiyo wanene 🤪
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 Жыл бұрын
Tena spika ni kichwa kweli kweli wala sio masihara Tanzania 🇹🇿 tume barikiwa kuwa na wanawake vichwa sana na ndio maana wame aminiwa na wana wajibika
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Spika kapangwa hajadili anatetea mkataba, hajadili chochote but ukwel mkataba n mchongo persee
@epifaniaminja6284
@epifaniaminja6284 Жыл бұрын
Hongera sana Halima. Umetuwakilisha vyema waTanzania. Speaker ingependeza zaidi kuwa neutral bila kuegemea upande mmoja.
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Umeona eee
@anncharlesombijaombija3056
@anncharlesombijaombija3056 Жыл бұрын
Kwanini Zanzibar aiuzwi anajuwa akishatuuza anarudi kwao mungu tusaidie
@raysetallent1588
@raysetallent1588 Жыл бұрын
QOUTE... KUTOKA KWA WAKILI MSOMI ...MR.. BONIFACE MWABUKUSI KAMA SISI HATUNA AKILI ZA KUONGOZA HI BANDARI WATAKUJA WATOTO WETU WENYE AKILI ZAIDI YETU KUONGOZA ... HONGERA SANA DADA YANGU HALIMA MDEE ELIMU INAKUSAIDIA SANA 💯💯 HUJASOMA BURE .... SISI KAMA WANANCHI TUNAOMBA BARAZA LA MAWAKILI NA MWANASHERIA MKUU WAKAE WALICHABUE KISHERIA ... BILA KUKIUKA KATIBA ...NB.. KATIBA IFUATWE YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YAAN TANGANYIKA NA ZANZIBAR
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
SAFI SANAA BI HALIMA MDEE.
@Fardadihd
@Fardadihd Жыл бұрын
Tulimezeshwa ujinga kuhusu bandari nilimsikiliza anaongea pumba mdee sijui km halewi
@ImanMwanji-rd3lu
@ImanMwanji-rd3lu Жыл бұрын
Ubarikiwe sana harima mungu akubariki
@malakimollel6044
@malakimollel6044 Жыл бұрын
Sio harima ni halima. Asante.
@dawndawn387
@dawndawn387 Жыл бұрын
Inaumiza kuona speaker wetu anakuwa namna hii ! Hili ni jambo kubwa ambalo wanainchi tulitakiwa tuelemishwe kwa muda wa kutosha .Mungu ibariki Tanzania
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Spika wakati mwingine hafai kabisa.analinda ufisadi unaotaka kufanywa bandalini.
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj Жыл бұрын
We umesoma wapi mpaka unamuona mwanasheria anakosea au ni fikira zako tu
@PeterBaton-v9z
@PeterBaton-v9z 7 ай бұрын
Bando langu Nalitumia Vyema kuwasikiliza Watu kama hawa Yani Mbunge Mmoja Wa Upinzani kama Wabunge Elfu M1 Wamafisiemu🤣🤣Big Up Halima mdee A.k.A Sauti Ya Zege
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Жыл бұрын
Daaah ukitumia akili ktk hii speech ya mdee na tulia utagundua kuna mmoja yupo kwa ajili ya maslahi ya chama na mwingine yupo kwa maslahi ya nchi. Ni huruma sanaa😢😢😢😢One day ukweli utasimama
@aishatarimotarimo2689
@aishatarimotarimo2689 Жыл бұрын
Exactly
@feaonlinetv210
@feaonlinetv210 Жыл бұрын
Hayo matumaini ya One day ndiyo yanatumaliza,
@shangwejumanne466
@shangwejumanne466 Жыл бұрын
Halima Mdee keep it up kuna siku watakukumbuka huyo sijui naibu waziri Mama hata haoogopi wanatetea kitu kitakachotafina mpk vitukuu bahasha za Kaki zinachanika ila haki ya watanzania itawatafuna Halima siku moja utakuwa kinara just keep it up Si
@zenj1986
@zenj1986 Жыл бұрын
Spika upo vizuri. Wallahi tungekupata zamani basi Tanzania ingekuwa na mikataba ya uhakika. Mama Tulia chukua fomu ya urais
@SBMEDIA79
@SBMEDIA79 Жыл бұрын
Kwendraaaaa
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Uzur wake n upi kutetea ujinga
@zainabuselemani6709
@zainabuselemani6709 Жыл бұрын
anapotosha unasema ni mzur anachokiteta ni nn asa apo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
TULIA ANATAKA KILA KITU KIWEKWE WAZI KWA MASLAHI YA NCHI SIO KUROPOKA ROPOKA TU.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​@@zainabuselemani6709 UTAJUWAJE WAKATI HUNA ELIMU???
@eliasjoseph8830
@eliasjoseph8830 Жыл бұрын
Hongera sana halima mdee kwa kutetea maslahi mapana ya nchi yetu
@mhinahalfan2694
@mhinahalfan2694 Жыл бұрын
Hongera sana Halima, Leo ulikuwa unawekana sawa na mwalimu wako . Kwa pamoja mmefanya mjadala kuwa mzuri sana....
@directorbony185
@directorbony185 Жыл бұрын
Kumenoga
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Spika: -mwalimu anavyosimamia wanafunzi _mchungaji/padre Kanisani _waziri wa katiba na sheria _chuef whip Kwa ufupi haonekani kama kiongozi wa bunge..maana anavuruga michango ya wabunge.. Bi kidude kavuruga bunge...ovyo
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Halima mdee nakupenda sana wngu saut yako tu mdee Halima nakupenda sana saut yako
@scolamwamokye2096
@scolamwamokye2096 Жыл бұрын
You're strong my sister that's y,, hukutaka kustaafu bunge!! Live long great woman (lawyer)of Tanzania 😊
@calistustitus4566
@calistustitus4566 Жыл бұрын
Uyu spika ni boya kuwai kutokea na ana wadharilisha watu wa mbeya linafiki sana
@birianination7097
@birianination7097 Жыл бұрын
Spika ajampinga ila anahakikisha kilamtu anasema vitu vilivyo kwenye mkataba
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
@@birianination7097 spika gani msenge huyo anamsaidia Samia kuuza nchi
@birianination7097
@birianination7097 Жыл бұрын
@@kefajoseph158 ni wapi nchi imeuzwa, Usikute unafikiri kua huu mkataba unao zungumzwa ndio mkataba wa makubaliano ya kazi.
@RehemaNelsonMwimbe
@RehemaNelsonMwimbe Жыл бұрын
Huku kwetu tunanufaika na tamasha lake la utamaduni na diamond alimleta tulia wewe
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 2 ай бұрын
Wewe unajua nn
@jacktonetiibuza9970
@jacktonetiibuza9970 Жыл бұрын
Karibu chadema kwetu tena my sister 2025 tena bungeni salute kwako dada
@JamesTemu-u2l
@JamesTemu-u2l Жыл бұрын
Nakuapia huyu spika anacho kitenda kwa wapinzani sio Sawa ila tunamuachia mungu atasimama na ww
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Жыл бұрын
Nimeshuhudiaa ma MP's wengi wa bunge la Tanzania ila huyu mama ni KIBOKO🙌🇹🇿. Samia suluhu atakuwa yupo proud sana kumpa kiti hiki
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Жыл бұрын
Nakupenda sana halima mdee
@didasmartine7665
@didasmartine7665 Жыл бұрын
Nakubali mdee
@ChristerShao
@ChristerShao Жыл бұрын
Halima ni jembe tangu sana.Tumekuelewa mwanangu,Tulia amekubana sana,wale wa ndiyo wakikazana kuomba mitaarifa wakumbuke yupo hasiyedanganywa.Halima mungu akulinde saana akuinue umeweka alama ya kuigwa.
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 Жыл бұрын
Uyo Halima mdee kweli yako na Akili nyingi sana kabisa
@nangugu1657
@nangugu1657 Жыл бұрын
Harima mdee nguvu Yako tumeiona umepambana mama ila waache wapitishe mikataba. Kama neema Itakuwepo tukapata magufuli mwingine huenda atavunja hiyo mikataba tena. Lakini nimeumia sipika Ktk majibizano ya halima na yeye Ameahidi kuulinda Mdaa Kwanini kampa sekunde 30 Amemlindia wapi mda hapo Watanzania Tujifunze sana haya Mambo. Ushauli Mkataba wa miaka 100 kama ni kweli selekali iangalie Kwa umakini kwani Waliopitisha Mkataba hawatakuwa wapo madalakani Kwa miaka yote hiyo apana Bali Watakuwa wamewaachia changamoto Vizazi vijavyo wajuku na vituku zungumzeni Kwa masrahi ya Vizazi vijavyo pia Litazameni Kwa umakini Asanteni
@andrewpaul6531
@andrewpaul6531 Жыл бұрын
Inauma na kusikitisha sana kwa viongozi walopewa dhamana wanakosa uzalendo na nchi yao 😢😢
@sharifalengima5605
@sharifalengima5605 Жыл бұрын
Nalia Sana na elimu hurahisisha Sana utendaji kazi Tulia mama Asante
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Halima mdogo wetu, dada yetu Umeeeleza kwa mapana yake ipo siku utakumbukwa
@norahsteven2662
@norahsteven2662 Жыл бұрын
Love you so much halima mdee😍😍
@flavianmashimi6327
@flavianmashimi6327 Жыл бұрын
Maoni yangu ni kwamba. Mjadala huu umegeuzwa kubwa malumbano ya uchama na siyo uhalisia. Chama tawala ninaona kinajitahidi kuhakikisha kinawavuruga wapinzani ili wananchi wasiwaelewe na kuwa brand kama WAPOTOSHAJI ili kulinda makubaliano yaliyosainiwa chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wa chama. Kinachoangaliwa hapo ni maslahi ya chama na siyo nchi. Sisi wananchi tulio makini kufuatilia tunaona majadiliano yamekuwa malumbano na vipengele tata halitashughulikiwa. Mungu ainusuru nchi yetu
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kweli umeongea
@exavelyjohn346
@exavelyjohn346 Жыл бұрын
Kwani siye twasoma ili iweje km kila kitu twategemea kusaidiwa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Kwenye point za maana zinakuja TAARIFA Mwaitara anaongea utumbo wanampa muda aseme tu UJINGA Wana tabia mbaya utadhani Chadema siyo wa Tanzania sijui wabunge gani hawa kwenye majimbo next time tuwapige chini hawafai
@engmwalukasa9764
@engmwalukasa9764 Жыл бұрын
Naungana na wewe... Bungeni saizi ni vyama tu... CCM wanajinadi kabisa kuwa hoja inayoamzishwa na mwenyekiti wao haipaswi kupingwa...
@engmwalukasa9764
@engmwalukasa9764 Жыл бұрын
@@margarethsaramaki3966 Nakuunga mkono... Mtu akiwa anaunga hoja yao... Wanampa muda wa kutosha... Lkn mtu akiwa anapinga wanaishia kumkosoa...
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
Wamemchanganya halima wamemto katika reli mungu akulinde
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Uko.vizuri harima mdee kuna watu wako nje Wana akili ila nyie Mungu kawachagua muwe mbele
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 Жыл бұрын
Nashauri mikoa yote yenye bandari ifanya maandamano kupinga huu upuuzi
@BaracaPhilipo
@BaracaPhilipo Жыл бұрын
MUNGU simama daaah ... hongerah halima umepamban jpo taarif nyingi aseeee
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 Жыл бұрын
In every law there is a loophole. Halima mdee anaiona hiyo loophole lkn spika haioni au anajifanya haioni.
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Vitu viko planned kuwa ipite tu hakukuwa na majadiano yeyote ndo maana halimaanapingwa
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Huyo malaya tulia anataka tuuzwe
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Anajifanya haoni
@lucykinabo
@lucykinabo Жыл бұрын
Hyu spika anajifanya haelew
@lucykinabo
@lucykinabo Жыл бұрын
Hyu spika anajifanya haelew
@asiamohd5516
@asiamohd5516 Жыл бұрын
Halima km halima anajitahid sana huyu mama lkn anabanwa banwa kwa sbb anaongea point
@josehaulee1508
@josehaulee1508 Жыл бұрын
Ila huyu mama anajua kutengeneza hoja sanaa basiii tuu yaan
@jamhuri_imala3976
@jamhuri_imala3976 Жыл бұрын
tumshauli tu aunt yetu aweanaenda kwenye points mojakwa moja itamsaidia na kupunguza maswali ili kuokoa muda
@MartinGao-pq3ed
@MartinGao-pq3ed 2 ай бұрын
Safi sana mhe spika
@methuselategemeomanace5213
@methuselategemeomanace5213 Жыл бұрын
Hamuwezi kutumia siku Moja kufanya mjadala wa Jambo lililotumia siku nyingi za mchaakato huu. Mind you kwamba muangalie maamzi yaliyoyanyika siyo sahihi. Sanjali na Hilo Madam Sipika najua wewe hujakaa hicho kiti hujakaa hovyo umekaa kiutaratibu, Mdee anachoongea Ni kitu kuntu. Na na cha msingi once more nitalishuhudia as long as Mungu atatupatia uhai.
@SuleymanBashiru-gx3rm
@SuleymanBashiru-gx3rm Жыл бұрын
Daaah miaka 100 nimingi sana hapo vipaji vyetu na wasomi wetu hakika ni mtihani
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Жыл бұрын
Tulia kichwa boga safi sana halima mwakani chukua nchi chadema mwacheni halima wetu apige kazi tuwaburuze hawa ccm wa hovyo kabisa
@idrissaissa5607
@idrissaissa5607 Жыл бұрын
Mungu vijalie vizazi vyetu vijazo viwe Kama maghufuri
@shafee9128
@shafee9128 Жыл бұрын
Ukweli unapanda kwa miguu Uwongo unapanda kwa lift Mungu atakulipa khalima wajina wa Mamaa yangu
@pekomisegese7724
@pekomisegese7724 Жыл бұрын
Spika Wetu Tulia Akson Upo Vizuri Sana,Sana,Tena Sana. Hawa Wapotoshaji Ukiwabananisha Namna Hii Wote Watafunga Midomo Yao.
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Watanzania tuamke miaka60 yauhulu bado hatuwezi kujenga bandali yetu bado tunangangania ccm kwanini tusibadili chama maana hawa watu wameshashindwa kuendesha hii inchi
@gracealbin8247
@gracealbin8247 Жыл бұрын
Mh Halima Mdee asikilizwe jamani ana kitu anakielewe 🙌
@raymondstewart228
@raymondstewart228 Жыл бұрын
Sina Imani na tulia akson Sina Imani Nae kabisa
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Safi sana halima mdei maana ujanja ujanja umezidi inchi hii
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 Жыл бұрын
Hongra dada alima wanawake mnaweza kweli itabaki kuwa kweli
@jonasimwanzi3632
@jonasimwanzi3632 Жыл бұрын
Munawza nini munatupeleka tu akuna lolote eshimuni waume zenu
@Joseph-wz3jy
@Joseph-wz3jy 5 ай бұрын
Nakupongesa halima mdee umeonge point safi sana
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 Жыл бұрын
Wabunge wa CCM waovyoo kabisa
@rosemichael4765
@rosemichael4765 Жыл бұрын
Nakupenda sana kamanda naomba uludi kwenye chama lako la ukweli na uhuru miss you
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli. Majizi wamerudi tena, hawana huruma wala uzalendo kwa nchi maana sio watanganyika hivyo huuza kila kitu. Tumepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Ee Mola tuepushe na haya majizi.
@anthonyleonard7273
@anthonyleonard7273 Жыл бұрын
Magufuli ndo chanzo cha haya matatizo… kuweka wabunge wote wa ccm
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Kabisa jamaa yule ni SHETANI watanzania
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
@@anthonyleonard7273 umeona eee
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
@@kefajoseph158 wakubali wakatae Mbuge wa Chadema akisimama Bungeni ni TAARIFA wana uweledi wa kutosha sana mimi siko chama chochote ila ukweli ni huo Halima ni juu juu zaidi🥰🥰
@josephstephen1079
@josephstephen1079 Жыл бұрын
Alichokosea ni kuua upinzani na madhara yake ndiyo haya sasa
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 Жыл бұрын
HALIMA kichwa sana yaani ukitaka kujuwa kwamba CCM hamnazo eti mwana fa ni waziri
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 Жыл бұрын
So planned, and decided before hearing. It breaks my heart
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hatari sana😥😥😥
@IddyRashidi-vf9jm
@IddyRashidi-vf9jm Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/a6mreIGBm9uZfKc😢😢😢
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 Жыл бұрын
🤝
@loycep7785
@loycep7785 Жыл бұрын
Hata mimi ndg zangu watanzania nani aliyeturoga Mungu ametupatia akili na utajiri mwingi wa kuweza kunufaika sis watanzania ktk Taifa letu Leo mnatanga kujichanganya kudanganywa na hizi zawafi hamsomi neno la Mungu kukosa Upendo nyumbani kwetu na kwa kushirikiana kujenga Taifa kuliko kujiuza utumwani tunaona hivi hivi Tena miaka mingi hivyo kwa hiyo kizazi kijacho kitafsidi ni uTanzania wao Jamani mwogopeni Mungu msijinufaisha wenyewe Mungu hadhihakiwi Nchi hii ni yetu Mataifa mengi wanaitamani Mara ushoga ili watoto wasiendelee kuzaliwa ili Taifa life tuje kutawaliwa na mali zetu zitahifishwe Mungu anaona sirini Tuombee Taifa letu jamani watumishi tupaze sauti zetu kwa Mungu wetu yeye anaweza kubadilisha hata kama pesa imetolewa hatutaki kuuziwa Bandari zetu
@agathaaroni7783
@agathaaroni7783 Жыл бұрын
Nilichogundua hawa wabunge wanatetea vitamb tu mana wanaacha kujadili vit tuelewe wanang’ang’ana tu kukubali huo mkataba😢Mungu tukumbuke.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Mungu kamwe hatajiingiza kwenye mambo kama haya
@abdonesrom5009
@abdonesrom5009 Жыл бұрын
Nawaombea muelewane kwaajiri ya ujenzi wa Taifa letu MUNGU Awabariki wabunge wetuu nawapenda
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 Жыл бұрын
Naona kama Halima amevurugwa vurugwa asieleze alichotaka tujue, hadi muda wake umeisha kwa taarifa za "hovyo" tu. Sijaelewa, na nadhani waTZ wengi wanachanganywa ili tu kuitetea Serikali. Naona umuhimu wa kuahirisha jambo hilo tupate nafasi ya kukubaliana kama wananchi. Bandari si mali ya kukodishwa ovyo hivyo ninavyoona! Kama tulishakosea, bora tujenge uwezo wa kumiliki wenyewe hata kama tutaendelea polepole.
@jamhuri_imala3976
@jamhuri_imala3976 Жыл бұрын
nikweri kaka
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Жыл бұрын
Alima Hana kitu ni muzuka tu anao😅
@evancegidion9155
@evancegidion9155 Жыл бұрын
Bandari sio mali ya Tulia,na akina ..... mnaowashabikia mhimu ujumbe ukiacha inaendelea mtu ana uwezo kuchangia chochote tulia acha ubabe
@ANJELACHALE-od3ki
@ANJELACHALE-od3ki Жыл бұрын
Uko sahihi,bandari ibaki kusimamia na watanzania wenyewe.
@ANJELACHALE-od3ki
@ANJELACHALE-od3ki Жыл бұрын
Tuiboreshe vizuri bandari yetu na tuisimamie vyema.
@SamwelSichone
@SamwelSichone 6 ай бұрын
BEST OF HEAVENLY MINIST
@SamwelSichone
@SamwelSichone 6 ай бұрын
5:46
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 Жыл бұрын
Halima umeona mbali Sana tatizo hawasemi ukweli
@justinamwirabi5730
@justinamwirabi5730 Жыл бұрын
Hongera Halima nimekuelewa Sana.
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 Жыл бұрын
Safi cna Halima,hao wengine ni makofi tu
@shakren427
@shakren427 Жыл бұрын
inauma sana Mdee Allah ata kusimamia
@nicolausmundi
@nicolausmundi Жыл бұрын
Spika umepangwa cha kusema ndiyo maana unajibu hoja Za halima bila kujali zina mantic gani kwa baadaye
@hasani565
@hasani565 Жыл бұрын
Salute Halima Mdee ..one of asset of Tanzania 🇹🇿 your ..
@rajabtwahakombo
@rajabtwahakombo Жыл бұрын
Da inasikitisha sana Yani taarifa taarifa taarifa inaonekana kama sio haki kuchambua
@frankmnyela510
@frankmnyela510 Күн бұрын
Mh.Mdee naye yupo vizuri sana huyu binti siyo mchezo hawa ni viongoz wanatakiwa kuwa ngazi za juu sana ili kumsaidia Mh.Rais kwenye maswala ya kisheria hata Maadam spiker yupo vizuri sana!!
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Жыл бұрын
Yani vitu vinaandikwa kwa Kingereza yanakua kama mambo ya Fei na Yanga tusizunguke mbuyu Ili jambo kama nchi hatutaki sababu atuna tunachopoteza , ipo cku kama nchi tunakuja kuzuiliwa mlangoni kwenye Ardhi yetu wenyewe
@rodrix4d364
@rodrix4d364 Жыл бұрын
Tatizo ni One against many ngumu sana kushinda hii vita ila Halima tried her best...Vitu vimeekwa kwa ujumla tu na so far ni kama serikali ya CCM wametoa green light tu kwa huu mkataba kuwa active mda wowote sasa ndo unaenda kugusa bandari zote...Ni kama Escrow project ya piili hii....
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Жыл бұрын
Maswali anayoulizwa mdee ni ya mtego mdee yuko sahii
@BaltazaryEmanuel
@BaltazaryEmanuel Жыл бұрын
Bigap sana Dada halima upovizur
@mudyally6680
@mudyally6680 Жыл бұрын
Hii nchi ilishapotea wallah mjomba aliipambania sana ila toka afe imekuwa ya ovyo sana Hata cjui tunapelekwa wapi au sijui ndo turudishwa utumwani kisailensa😢😢😢 ya Allah tuondoe ktk huu mtihani zindua akili za viongozi wetu kama dhiki shida ziwe amali zetu ktk taifa letu Inshaallah
@saidjuma9782
@saidjuma9782 Жыл бұрын
Mjomba wako ndo alotengeneza hilo Bunge na kuzuia wapinzani wasiseme chochote.....Jitambueni vijana musikabali tu kupelekwa pelekwa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
MJOMBA WAKO KABLA YA KUFA ALI INGIA MKATABA WA MWISHO NA UINGEREZA KUHUSU MGODI BILA KULIHUSISHA BUNGE TENA LIVE KAITA WAANDISHI NA MTU WA KUTAFSIRI WATU WOTE WANAJUWA NA HAKUNA ALIE JAMBA WALA KUSEMA NCHI IMEUZWA DADEKI.
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Жыл бұрын
Kwahiyo mbunge miaka yote haikuwa series sio ,,mjadala wa Leo ndio muhimu sana dahh ,,,kwann tunafunywa watoto wadogo kwani watanzania kuwa wapole na nchi yetu ndio mtupeleke mnavyotaka kweli ama tunaonekana hatuna haki ama hatuwezi kupiga na kuandamana ila ee MWENYEZI mungu tusaidie sana ,,wabunge wamekuwa kama watoto wa chekechea ,,ee mwendazake tutakukumbuka daima😢
@JacksonMahenge-qx6ev
@JacksonMahenge-qx6ev Жыл бұрын
hichi kichwa, mskilizen vzur sana mdee
@binseif2216
@binseif2216 Жыл бұрын
Bora sana apewe mwarabu tupate gawio la kueleweka, bila ya hivo wapigaji ni wengi sana bandarini, nakuunga mkono mama kwa 💯
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hapo kwenye gawio ndo unapopigiwa😂😂😂😂. Tushapigwa kwenye madini, Tanesco etc😂😂
@binseif2216
@binseif2216 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi Hapana kaka,unajua kuwa bandari ikibaki chini ya uendeshaji wa serikali hapo bandarini tu wezi ni wengi bado nje ya hapo
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
@@binseif2216 watu hawakatai uwekezakezaji kaka, wanahoji je katika terms za mkataba wa uwekezaji huo hakuna matobo ya kupigwa? Nakukumbusha sio mara ya kwanza kufanya uwekezaji kaka. Hata reli ya Kati alipewaga mhindi ila ikafa kabisa😂😂. Richmond na Tanesco , madini n.k. Umakini mkubwa aunahitajika ( na hizi zote zilipita bungeni zikasifiwa). Unaweza ukawa na nia njema ila ukapigwa kimkataba kaka.
@magigesabai8674
@magigesabai8674 Жыл бұрын
Kwa hio wewe una ni vyema kuibiwa na Mwarabu kuliko mtanzania mwenzako?
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​​@@magigesabai8674 NDIO NYIE WEZI WA BANDARINI MNAZUWIYA MIZIGO MIEZI KWA MIEZI MKIDAI RUSHWA NA KUPIGA MALI ZA WATU MINADA SHENZI NYIE IMEKWISHA HIYO.
@selemanishabani126
@selemanishabani126 Жыл бұрын
Halima Mdee alikua na point SEMA imevurugwa
@collinndabi1914
@collinndabi1914 Жыл бұрын
Kashindwa kuitetea hoja yake
@luvanganeto2893
@luvanganeto2893 Жыл бұрын
​@@collinndabi1914 atateteaje anapingwa kila kona ngoja wapitishe mtakuja kumwelewa Halima baadae
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 Жыл бұрын
Hatutaki mkataba huu! Ulazima unatokea kwenye Bunge Kupitisha! Bunge likipitisha inakuwa Sheria...
@ngoni7944
@ngoni7944 Жыл бұрын
Very sad, vijana badala ya kupigania nchi yao bandari inauzwa sasa hivi wapo busy na kuishangilia yanga,wabunge sasa hivi wapo bungeni wanasaini mkataba wa kuuza bandari yetu na maziwa yote ya Tanzania, 😢
@mosesmwasanga7661
@mosesmwasanga7661 Жыл бұрын
😂😂 wahusika Wanashangilia yanga!!!
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 Жыл бұрын
Tatiz kingerezaaa
@shamimujuma9373
@shamimujuma9373 Жыл бұрын
Hata mimi naona ni Bora wakaondoe stress Kwa jambo linalo wagusa nafs zao, coz their reaction can't change nothing! Kama Wewe umeskiliza mjadala, utaona namna mbunge wako na wangu, wanavyo shangilia kw kuunga mkono hoja, pia wakimaliza kupitisha Kwa shangwe wanakuja Kwa wanyonge kuchukua Kodi kibao coz ndo wanasema ndo zinajenga nchi, ila hizo wanazojadili Zina wajenga wao, hapo vijana wafanyaje kaka.
@annawansuwansu
@annawansuwansu Жыл бұрын
Ushi sn muheshimiwa mdeee💪💪
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Spika unalazimisha
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 Жыл бұрын
Kweli kabisa Mhe.Halima Mdee anaona mbali kuliko spika.
@josephstephen1079
@josephstephen1079 Жыл бұрын
Spika si ni miongoni mwa wapigaji ni lazima atetee uifsadi
@getrudewillson308
@getrudewillson308 Жыл бұрын
Japo Mimi sio msomi ,elim yangu ni 0 Kwa elim ya ki MUNGU Yani ekima ya ki MUNGU aliyo nipa , nikwamba amjashindwa kuiendesha bandali na kama ajira zinazo zungumzwa , zinaweza kutolewa ata Sasa akujashindikana ajila kutolewa? naomba bandali isibinafisishwe. Maana atakae chukua bandali ataweza kupangiwa jinsi ya kulipisha ushuru hivyo watanzania ni kama tuna uzwa niaka mia Moja sio mchezo , jamani haki ya watz ntadaiwa nikononi mwenu jamani waeshimiwa wabunge, msaidieni mama atutakiiiii ibinafisiswe.
@SurprisedCamping-ri7nc
@SurprisedCamping-ri7nc 8 ай бұрын
1
@neemagift4921
@neemagift4921 Жыл бұрын
Hapa ndiyo tunamini mtudanganya maana spika mwenyewe anawakandamiza wabunge wenye point wasiongee ukweli mkataba unaelezea vitu kwa ujumla kwahiyo wewe unayepokea mkataba ndiyo unatakiwa ufikiri kwa hali na mali MH Halima🎉
@NeemaThomas-f1p
@NeemaThomas-f1p Жыл бұрын
Kwanini bandari za Zanzibar hazitwajwi,kwanini Tanzania bara na siyo Znzbar,kwanini Bara tu😢😢
@tahiyasaeed
@tahiyasaeed Жыл бұрын
Kwa sababu Zanzibar ina serekali yake na mambo ya bandari hayaingiliani kwenye serekali hizo mbili yani serekali ya mapinduzi Zanzibar na serekali ya jamhuri ya muungano
@nissangtr4670
@nissangtr4670 Жыл бұрын
Yeah kwa nn sio zanzibar ila ni hku tu... Yah Allah 😢😢 Tz sijui tunaelekea wap. Bi halima katoa facts sana bc tu wanampnga but deep down its true anachosema na za chini chini naskia.............. enewei 😅
@linashayo2068
@linashayo2068 Жыл бұрын
Kikubwa Tumuombe Mungu azuie hayo makubaliano yasifanikiwe. Siku ya kukutana na kufanya makubaliano itokee chochote hata wakifa wote ni sawa, kikubwa nchi ibakie mikononi mwa watanzania na sio waarabu 😳😳
@halfanabdalla8949
@halfanabdalla8949 Жыл бұрын
Na kwann Ticts walikubaliana na bandari ya dar na sio Zanzibar
@Tdm1389
@Tdm1389 Жыл бұрын
@@linashayo2068 Amina. Mungu ni Mwaminifu
@arcadilamu396
@arcadilamu396 Жыл бұрын
Halima anaongea point Spika anaongea porojo kwa kuruhusu taarifa nyingi ili zimkwamishe Mdee,kwa maana hiyo Spika na Rais ni kitu kimoja wanaolenga kuupitisha kwa haraka
@fidelisjeremias3145
@fidelisjeremias3145 Жыл бұрын
Mbona kama tuliaa anakandamiza
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
KAULI ZA KAMA KAMA HAZINA MSINGI NI UJINGA.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Wanamchanganya tu wakitetea miugali yao sisi wananchi tuko na Halima Mdee.
Gũcokia riri wa kĩrĩma #Kĩrĩrĩmbĩ
1:10:52
Inooro TV
Рет қаралды 23 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 61 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 82 МЛН
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 379 М.
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 2 МЛН