SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"

  Рет қаралды 226,423

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Ni simulizi ya maisha ya Mzee Hussein Khatibu Kifunza aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa mwaka 1985, huku akishuhudia wenzake wakinyongwa gerezani (+255688190217).
Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Mzee Kifunza ambaye ni mzaliwa wa Mzizima ambayo kwa sasa ni jiji la Dar es Salaam amable alisamehewa na Marais wawili tofauti ambao kwa sasa wote ni marehemu, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Dr.John Pombe Magufuli.

Пікірлер: 411
@storyzadully
@storyzadully 3 жыл бұрын
Tuliosikiliza huu mkasa huku machozi yakitoka gonga like hapa😥😥
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭😭😭na kuwafikiria watoto wangu km mzazi ila wanaume wanapitia magumu mengi mnooo
@vicentsamwel4641
@vicentsamwel4641 3 жыл бұрын
U up
@tamimumalera7040
@tamimumalera7040 8 ай бұрын
Pole sana mzee wangu.
@christinakatumbi2223
@christinakatumbi2223 7 ай бұрын
Ok No​@@elinasanga9731
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Allahu akbar. Ewe mola wetu tusamehe mazambi yetu na utuongoze katika njia yako... tukumbushe pale tunaposahau amri zako kwa ukumbusho ambao hauna mazara kwetu. Aaaamin.
@Charlesgoggins07
@Charlesgoggins07 3 жыл бұрын
Amin
@jamalnamkuna3961
@jamalnamkuna3961 3 жыл бұрын
Amiin
@ahmadmadhi8147
@ahmadmadhi8147 3 жыл бұрын
Amiin
@KaramaLukume
@KaramaLukume Жыл бұрын
Usikubali kumuuamwenzako kumbuka na wewe utakufa ndio maana alikuta ta ndugu zake wengi walishakufa
@YassirRashidjuma
@YassirRashidjuma 6 ай бұрын
Amiin rabil alamina
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 жыл бұрын
Ya Allah magufuli sinto kusahau maisha yangu yote wallah ntabaki kukupenda upendo wakwweli Haufi ntabaki kukupenda 💔💔😭😭 Allah akurehem huko ulipo
@Husnasalim-f2g
@Husnasalim-f2g 6 ай бұрын
Msamaha unatokag kila rahis akiingia madarakan wanaobahatik huy kabahatik zama za magu mama yangu mdog alihukumiw kifungo cha maisha alitok mwaka km sikosei 2007 au 8 alitok msamah wa kikwete
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin 4 күн бұрын
Daaa pole sana baba angu Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 жыл бұрын
Dunia ndio ijue sio kila mfungwa anahatia.pole sana mzee.mshukuru sana mwenyezi mungu.
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
Hakika
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie njia aliye kuwekea mama yako hadi kukushuhudia mwanae ukirudi tena uraiani umenikumbusha story ya mwanamke mjane (Nabii mke) ktk Biblia Mungu alimwambia hutakufa hadi umuone mwokozi (Yesu ) na kweli umri wa miaka 80 akamshuhudia Yesu hekaluni. Utukufu kwa Mungu aliye juu. Da kwa history hii Mungu anakupenda sana
@sakinaramzu2878
@sakinaramzu2878 3 жыл бұрын
Mungu nijaalie mwisho mwema binadam wewe ni nani unae weza kuukumu na kukatisha maisha ya mtu eh mungu
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Pole sana baba yangu mwenyezi mungu mlaze mahali pema peponi baba yetu magufuli
@SechelelaMnyangwila
@SechelelaMnyangwila 6 ай бұрын
Pole sana Baba yangu kwayaliyo kukuta ,Mungu aendelee kukulinda katika umri wako wa uzee hukukosea pole mkasa unatisha ,Ungefanyika Utaratibu achangiwe Ili ajikimu.
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Kabisa
@KenyaExposeTV
@KenyaExposeTV 3 жыл бұрын
Tutaishi kumkumbuka hayati Magufuli❤️❤️
@ashanurdin2641
@ashanurdin2641 3 жыл бұрын
Sanaa tutamkumbuka
@evawilliamchatila8211
@evawilliamchatila8211 3 жыл бұрын
Kabisa nimeumia sana
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Kabisa mungu amrehem
@ladymuna4945
@ladymuna4945 3 жыл бұрын
Pole sana ALLAH atazidi kukufanyia wepesi In sha Allah
@Abisto10
@Abisto10 3 жыл бұрын
Imani Imani Imanii Alhamdulillah Ma’sha’Allah * Assalama aleikum kaka
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
89dah mungu mpunguzie magu azabu ya kabri
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Subha Allah iv iyi dunia binadam wanaroho gani,mtu anafugwa miaka 35 alafu kwakosa lakusingiziwa inaumwa
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 жыл бұрын
Hio kawaida wengine Wana 9 saiv
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Kumbuka kuwa wanaadamu wengi hawasemagi ukweli,,,,
@ibrambele7725
@ibrambele7725 3 жыл бұрын
Pole xana mzeee kilio cha mateso ulichokipata mungu yuko pamoja na ww mungu ataendelea kukufuta machozi
@zawiajuma715
@zawiajuma715 3 жыл бұрын
Pole sana babu Allah akuhifadhi na akuongoze katika khaki ufanye yale yenye kumfurahisha Allah
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Pole baba Mungu yu mwema upatiwe yu haki yako tunaye Rais mwema pia ataliangalia hili kwani miaka 37 si mchezo. Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema
@burnmotto1876
@burnmotto1876 3 жыл бұрын
Pole Sana mzee mungu wetu mkubwa, nakushauli hiyo nyumba samehe mungu atakuzidishia pepo bora zaidi
@wizzmoh
@wizzmoh 3 жыл бұрын
lllPllPll]lo)l]llPlpl0l
@justentz9278
@justentz9278 3 жыл бұрын
Dah pole sana
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 жыл бұрын
Jamani haya Maisha ni safari Sana kazi zingine ni ngumu Sana Mungu tusaidie
@selinathomas2096
@selinathomas2096 3 жыл бұрын
Mungu mrehemu John Pombe Magufuli kusamehe adhabu ya kunyongwa sio Jambo dogo
@ruthwanjiku8265
@ruthwanjiku8265 3 жыл бұрын
12111
@PeterMbise-uv4nm
@PeterMbise-uv4nm 8 ай бұрын
Hy
@EmmyNadia-r5x
@EmmyNadia-r5x Ай бұрын
Daaah kuna mambo yanaumiza humu duniani hatujui tu ndo kama ivi yakiibuka tunasikia
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Mtangazaji kongole kwako kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏
@kobanyawale3709
@kobanyawale3709 3 жыл бұрын
Asante Ayati Magufuli kwa hekima yako kumsamee uyu mzee
@saidomari001
@saidomari001 3 жыл бұрын
alhamdulillah,kikubwa mzee wangu ukiweza waeza oa na zaidi kumuomba mungu maisha ya yaliobaki ,usikate tamaa baba
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Bb yangu Mshtakie Mwenye i mungu Allah atakulipa kwa dhuruma uliyofanyiwa
@kiluwaselemani4246
@kiluwaselemani4246 8 ай бұрын
Ewe allah msamehe namakosa yake mzee wetu Joan Pombe magufuli kwa rehema zako inshallah utupe mwisho mwema😭😭😭😭
@faridamohamed3561
@faridamohamed3561 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atupe jicho la kuwajua marafiki wazuri na wabaya
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 3 жыл бұрын
Allah Ndio hakimu muadilifu..atawahukumu wote hao wanaojifanya mahakimu
@halimamimarich3799
@halimamimarich3799 3 жыл бұрын
pole bbngu...Allah atakulipa kwa yote😢😢😢naskiaa uchungu nathmn niko n uwezo nikawmle hao wanao jifnyaa ndio wakubwa kwenye hii dunia....ila Allah atawalanii ....
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 3 жыл бұрын
Adhabu hii, ingefutwa duniani kote.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 3 жыл бұрын
Pole babu mungu akulinde atulinde nasi na vizazi vyetu
@azizahamisi7349
@azizahamisi7349 3 жыл бұрын
Amiina
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
Duuuhh pole babu mda kweli yani. hatakuzaliwa mm bado zijawazwa.daah kakupotezea ndotozako kweliyan.Allah kareem uwezijua nn kakuepusha.❤
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan acha tu hana mtoto wala mke inaumiza sanaa🙌😭😭😭😭😭
@enterenter1921
@enterenter1921 3 жыл бұрын
Alhmndulillah umepata bahat mama mzazi bado yupo Hai jambo lakumshukuru Allah
@omarymasukilawachawiiwamez8924
@omarymasukilawachawiiwamez8924 3 жыл бұрын
Mungu alimtuma magu na katenda kazi kachukua mjaa wake bila ya magu inamana bila jmp Bado angekua gerezani
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
Ila serikal wakat mwingine wawe wanasikiliza vizur sasa huyu Baba ana makosa gani daaah jmn pole Sana bab
@mundhiraliy1307
@mundhiraliy1307 3 жыл бұрын
Pole sana babu😥 Serekali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tz imezidi dhulma 😥 Kunawa2 miaka 9 sasa wanaadhibiwa bila yakosa 😭 Allah atawalaani kwarehma zake🤲 Nanyinyi muonje machungu yake kabla hamjafa 🙏
@eshaomari6363
@eshaomari6363 2 жыл бұрын
Mungu ashkuriwe na vilivile baba wa taifa alie mtetezi wa wanyonge
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Magufuli ulale pema peponi tutakukumbuka Daima 🙏🙏🙏
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 3 жыл бұрын
Amin
@mariamsudi8845
@mariamsudi8845 3 жыл бұрын
Amiin yarabi
@mariamsudi8845
@mariamsudi8845 3 жыл бұрын
Amiin yarabi
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Amiin thuma Amiin
@fatmaally7252
@fatmaally7252 3 жыл бұрын
Amiiiiiina ya rabii 🤲
@abdallahsaidi2942
@abdallahsaidi2942 3 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi kwakila jambo
@kawtharalbarwani1337
@kawtharalbarwani1337 3 жыл бұрын
Pole sana Allah atakusaidia inshaallah
@sittakibishi5019
@sittakibishi5019 3 жыл бұрын
Pole sana mzeee
@jumakikwenga5803
@jumakikwenga5803 3 жыл бұрын
Polesana Mzee, mungu amekuongoa bac mchemungu Sana, ili mungu akupokee akhera na ukafurahie malipo mazuri inshaallah.
@danielchaulema1670
@danielchaulema1670 5 ай бұрын
Mkapa na. Magufuri. Asanteni sana
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 3 жыл бұрын
Magufuli tunakukumbuka every second we are breathing, may God rest you in easy Sir.
@dadapechi
@dadapechi 3 жыл бұрын
Akina babu seya pia
@enterenter1921
@enterenter1921 3 жыл бұрын
Rip mzee mkapa huyu mzee atakumbukwa daima Maan Hawa wakuhukumiwa kunyongwa wote adhabu ilibadilishwa,, kila Rais anamazuri yake namabaya kila utawala wafungwa huachiwa huru
@saidikobossa7489
@saidikobossa7489 2 жыл бұрын
@@dadapechi ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp0p
@OscarMgaya-sw3df
@OscarMgaya-sw3df Жыл бұрын
@aishamsemo5154
@aishamsemo5154 3 жыл бұрын
Daaah Maisha haYa....inauma Sanaa😭😭mungu tupe mwisho mwema
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 3 жыл бұрын
Hakika Mungu wetu ni mwema Sana huyo Mzee ni ushuhuda Mkubwa Sana Mungu alimuepusha Raisi Magufuli mikono yake kunyonga nchi inaweza kulaaniwa kwa Mambo mengi sana
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 жыл бұрын
Inalilahi Wainailahi Rajeehun kumbe nchi yetu ina sheria ya kunyonga🥺🥺🥺🥺Allah awafanyie wepesi woote waliyopo magereza Ooooh my Lord moyo umenimuaaaa. Mashaalah mzee anakumbukumbu zote
@mirajimwango5763
@mirajimwango5763 3 жыл бұрын
Ilikua zaman, Marais wengine walikua hawatii SAINI
@enterenter1921
@enterenter1921 3 жыл бұрын
Ipo ila haitekelezwi iliwah tokea Enzi za Rais mwinyi tuu aliwah sain wafungwa wakanyongwa sikumbuki idadi lkn haijawah kutokea tena
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
​@@enterenter1921😢😢 duuh kumbe mwinyi nae alisaini hiyo kitu innalilah waina ilah rajiun 😢
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Mungu awalani hao wanyomgazi
@mohamedaminah3448
@mohamedaminah3448 3 жыл бұрын
Daaaaaaaah akisimulia mambo yakunyongwa mwiliulinisisimka nakutetemeka .
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 жыл бұрын
Pole Sana Baba😭😭😭zulma hii jaman
@yusuphkitigwa8815
@yusuphkitigwa8815 3 жыл бұрын
duh hakika kilamuntuh Arakwa
@yusuphkitigwa8815
@yusuphkitigwa8815 3 жыл бұрын
qulynafsy dhaikatul maut
@rosemary3816
@rosemary3816 2 жыл бұрын
Duh machozi😭😭😭😭 yamenitoka ee, mungu wangu, watoto wetu vizazi vyetu,
@aoman5214
@aoman5214 3 жыл бұрын
😭😭😭😭hata sijui hawa Askari wanaonyonga huwa wanakua na roho gani mweee pole Sana Baba angu
@fathimamct232
@fathimamct232 3 жыл бұрын
Al hamdulillah Rabil alamiin haki ya mtu haipotei.
@issacktiibuza
@issacktiibuza Жыл бұрын
Malanyingi penye ukweli MUNGU husimama!pole sana mzee!
@johnluyego9353
@johnluyego9353 8 ай бұрын
Bado Mungu yupo kwa ajili ya wanyonge. Tuendelee kumtumania Mungu
@ZiruuChejojr-zb7jr
@ZiruuChejojr-zb7jr Жыл бұрын
Mungu nijalie baba insharah
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 3 жыл бұрын
Mungu baba mwingi wa Rekhema mwenye kurehemu naomba uniondolee na mikosi nuksi na balaa,kwa mtu usiye fahamu jela siyo kuzuri,ogopa Maisha yakula kwa muda kunywa maji kwa muda kuoga kwa muda kulala napo ni kwa muda na ogopa unaenda jela kwa kosa ambalo hauja lifanya,Mungu baba mwingi wa Rekhema akulaze mahali pema peponi Raisi wetu Hayati John Pombe Magufuli Mungu akundolee adhabu za kaburi akupe kauli thabiti....Aamiin
@hbsolo5579
@hbsolo5579 3 жыл бұрын
Naomba milad ayo kma itaezekana kufungua account ya mchango ya kusaidia wazee kama hawa walo poteza maisha bila hatiya.. Inaskitisha sna.. Allah Kareem
@ManMan-sz8fy
@ManMan-sz8fy 3 жыл бұрын
Hapo xafi waxo jema
@lubnalubna608
@lubnalubna608 3 жыл бұрын
Siamekutwa na hatia na mahakama.
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Inalilai walnalilai rajiuni pole sana baba Mwenyezi Mungu hatakulipa
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Inasikitisha sana pole baba mitihani ya dunia jamani
@nooroman2535
@nooroman2535 3 жыл бұрын
Jamani wapangaji tuwewakweri kwa wenyenyumba tutapata zambi nakuwapoza wazee kama uyu baba
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 11 ай бұрын
Hii nchi haki inapotezwa sana na wengi walio jela hawana hatia 😢 walio fanya makosa wapo tu nje wanapeta 😢😢😢
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Pole sana bb yng Pole sana
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭jela haina mwenyewe daah Mungu tu mzee wetu kutoka kwenye kitanzi
@hassaniajaba1530
@hassaniajaba1530 3 жыл бұрын
Pole sana mzee du mungu anatisha jamani kama mungu kakupangia ufike ulaya utakwenda hata huskujuwe na mungu akupe uhai mkubwa du kifo hadi uhai
@reginamanyangu6682
@reginamanyangu6682 3 жыл бұрын
Kakaayo tunaomba ufanye taratibu za number ya mawasliano, ikiwezekana usimamie tumuwezeshe mzee mwisho wake uwe mwema, maana Hana uwezo wa kufanya kazi kweri inauma mno jaman 😭😭
@mikandaba2421
@mikandaba2421 3 жыл бұрын
+255688190217
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Kabisa
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Dah 😢😢 “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin” Suratul TIN aya ya 8 " Jee! Hakika Allah sio hakimu muadilifu?"
@habibahadithi5080
@habibahadithi5080 3 жыл бұрын
Umenifanya nitoe machozi kwa hii Aya ,kweli kila uweza na nguvu ni za Allah hakika Allah ni mmiliki wa kila kitu
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@habibahadithi5080 Naam tunajiachia sana wanaaadam.. wakati wisest judge ni Allah
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 жыл бұрын
Pole sana mzee m/mungu ashukuriwe ndiokilakitu
@mariamissa1528
@mariamissa1528 3 жыл бұрын
Inaumiza sana tuombe mwisho mwema
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
Allah akbari, *ni kweli hakimu muadilifu ni Allah pekee*
@zurfashafii9531
@zurfashafii9531 3 жыл бұрын
Yani kuna binti yangu aipendi hii kazi ya uwakimu anakwambiya hii kazi ya lhana kesho kwa mungu uwezi fanya hii kazi mwanzo mbaka mwisho bira ya kumzurumu mtu haki yake
@marrowog8975
@marrowog8975 3 жыл бұрын
@@zurfashafii9531 masha Allah
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
@@zurfashafii9531 Masha Allah
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Naam “Alaisallahu bi-ahkamil haakimin”
@zurfashafii9531
@zurfashafii9531 3 жыл бұрын
@@RioIpo shukulani
@HadijaJoseph-d1g
@HadijaJoseph-d1g Ай бұрын
Hiyo kazi ni ya lana sana kunyonga watu kweli
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 Жыл бұрын
Pole Sana mzee MUNGU amekunusuru azabu ya kifo🙏🙏
@omarymasukilawachawiiwamez8924
@omarymasukilawachawiiwamez8924 3 жыл бұрын
Ewee mwenyewe mungu tufanyie wepesii mwisho mwema mjarie mzee wa watu maisha haya hayana huluma
@kiangomorgan4761
@kiangomorgan4761 3 жыл бұрын
Dunia niuwanja wafujo.pole sana Baba hapo serikali ilitakiwa imlipe fidia.
@alibomba3304
@alibomba3304 3 жыл бұрын
Napenda saana kuatili chaneli z Ayo Tv maanani zahukakika na anacho kiandika ndicho anacho kitangaza Mungu akuzidishie
@alisenipeter4307
@alisenipeter4307 3 жыл бұрын
Dah Yani inauma sana hao maaskali walaniwe sana mzee hata hana hata hatia kwakweli
@OsOs-l7c
@OsOs-l7c 4 ай бұрын
Pole Sana mzee wangu hio ni dhulma lakini mungu yu pamoja nawe
@aloycemathew3926
@aloycemathew3926 Жыл бұрын
Pole sana Mungu atakusaidia
@daudmtange8005
@daudmtange8005 3 жыл бұрын
Daah Jaah bless. jela kweli haina mwenyewe
@juneydillaziz4701
@juneydillaziz4701 3 жыл бұрын
Mungu atunusuru wallah
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 3 жыл бұрын
DUH,POLE SANA TANZANIA HII SIO MCHEZO
@salimocassim6431
@salimocassim6431 3 жыл бұрын
Mashallaah pole sana
@zohoraramadan4540
@zohoraramadan4540 3 жыл бұрын
Pole baba mungu alihukumu hukumu yake ya kweli
@TwalibFoum
@TwalibFoum 8 ай бұрын
Kwakweli kilichopita wahenga wanasema si ndwele kali kwakweli inasikitisha sana cha zaidi mtu hakua na kosa hakuhusika na chochote unahukumiwa kufa yani hatari sana Allah atustiri na mitihani midogo na mikubwa ya hii dunia
@isayakibona2466
@isayakibona2466 3 жыл бұрын
maisha hyaa nikwamda tu pole sana mzee
@aminaabdallah9117
@aminaabdallah9117 3 жыл бұрын
Mungu siAthuman baba ona Haki aizami mzee mungu anakupenda Sana zidi kumuabudu mungu
@NgusaMaduhu-r6s
@NgusaMaduhu-r6s Жыл бұрын
Pole baba angu mungu yupo
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 ай бұрын
Kwa hiyo hii adhabu yakunyongwa ipo. Ila ni bahati tuu kuachiwa. Mwenyezi Mungu akujaalie kheri Baba. Vita umevishinda😰
@isamony58
@isamony58 3 жыл бұрын
leo nimekubali waliyo jela ciote wenye hatiyaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🤲
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 3 жыл бұрын
Pole sana babu angu
@evamakoi668
@evamakoi668 3 жыл бұрын
Pole sana baba mtangazaji ujamuoji vizuri
@smaihsmaih2815
@smaihsmaih2815 3 жыл бұрын
YAA RABBY TULINDE NA MASHARI YA DUNIAN
@Abisto10
@Abisto10 3 жыл бұрын
Imani imani Alhamdulillah Ma’sha’Allah Assalama Aleikum Kaka
@salhakristina9434
@salhakristina9434 3 жыл бұрын
Ukweli naumia sana 😭😭😭😭
@dadapechi
@dadapechi 3 жыл бұрын
Nimeumiaaa
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Жыл бұрын
Tutakukumbuka sana rais magufuli pumzika kwa amani kazi yake Mungu haina makosa ss tulitamani ungekuwepo nasi watz
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 8 ай бұрын
Yarabii nusuru lihatma tupe mwisho mwema yarabilaalamina
@ombeniefata2239
@ombeniefata2239 6 ай бұрын
Mungu hatunusuru
@MathewTemba
@MathewTemba 5 ай бұрын
Mwandishi unae mhoji jifunze kazi upyaa
@vickymacharia3790
@vickymacharia3790 3 жыл бұрын
Mungu anakupenda Babu
@bakalibangaiza2898
@bakalibangaiza2898 3 жыл бұрын
Frw
@samwelkyando1124
@samwelkyando1124 3 жыл бұрын
Allah akbar!
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 3 жыл бұрын
POLE SANA MZEE WANGU,
@chingawadunia3621
@chingawadunia3621 3 жыл бұрын
Pole San alahhh amekuona Shee wanguu
@skjjsj1889
@skjjsj1889 3 жыл бұрын
Huruma jamani Anavyosimulia huruma Kosa la kusingiziwa Mungu mkubwa
@elinasanga9731
@elinasanga9731 3 жыл бұрын
Yaan we acha tu 😭😭😭😭😭😭inaumiza sana hii story
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
🤔pole sana Mzee umeshinda vita endelea kumtumainia MUNGU
@faudhiahabibu9905
@faudhiahabibu9905 3 жыл бұрын
Pole Sana mzee 😭
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 жыл бұрын
Pole sana kaka dunia hii
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
She made herself an ear of corn from his marmalade candies🌽🌽🌽
00:38
Valja & Maxim Family
Рет қаралды 18 МЛН
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
MZEE MATONYA ALIYEISHI MIAKA 43 JELA, ASIMULIA A-Z KILICHOTOKEA!
24:44
Global TV Online
Рет қаралды 187 М.
The Story Book: Shujaa Aliyeuwawa Kinyama na wazungu 'STEVEN BIKO'
25:19
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН