Raisi wangu uko sahihi na upo vizuri, Mungu ibariki Tanzania, Amen
@rajabsudi69093 жыл бұрын
Well done Druv you hit to the point
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Well informed talking with numbers.....like this!
@isaacnicolao56845 жыл бұрын
Put the house in order Sir! We need this so much for the betterment of this beautiful homeland... #Thankyousir#
@lewiskamryn68133 жыл бұрын
you probably dont give a shit but does someone know of a tool to get back into an Instagram account?? I was stupid lost the login password. I appreciate any tricks you can give me.
@erickmbembati63375 жыл бұрын
Definitely we have the President
@eventelias35665 жыл бұрын
Absolutely..msemakweli mpenzi wa Mungu.
@husseinshabani95225 жыл бұрын
Rais wetu Mungu Akulinde na Akupe Afya njema.
@ErickMkinga5 жыл бұрын
We must clean the house! 👍
@fellaanikulapo47125 жыл бұрын
Hakyamungu sijawahi kutegemea majibu mazuri namna hii kutoka kwa magufuli tangu Leo Mimi nimeamua kurudisha imani yangu kwa RAIS magufuli
@MagufuliJP. Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
@tanzaniakwanza95645 жыл бұрын
Well said Mr. President "we must clean the house" wafanyabiashara tuondoe uoga Rais ana nia njema ila watendaji wachache ndo wanamuangusha.
@yusufumalenda8955 жыл бұрын
Huyu jamaa kama ananishawishi I love u my president
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
Naiona Tanzania yetu mbali sana. Mungu aendelee kukusimamia.
@hkdarmys5 жыл бұрын
Safi Sana Majibu ya His Excellency to the Point ....
@ks-qv9xd5 жыл бұрын
Tanzania would have been the next Germany jameenii mnapangilioo. from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@ababuumwana51025 жыл бұрын
My President Love
@athumanomary14385 жыл бұрын
Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kuwaombea viongozi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
@salminiyussuf9895 жыл бұрын
Tunawaombea wenye weledi tu.Kama ili lijemedali kuu dk Magu.Mingine ni mifisi tu!
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Mh raisi hii ni zaidi ya bunge coz wachangiaji wote wanachangia kwa maslahi mapana ya taifa, lakini wabunge wanachangia kwa mirengo ya vyama vyao na matumbo yao, mh Raisi naomba uwe unakutana na hawa watu hata mara mbili kwa mwaka utayapata mengi na nchi itanyooka tu
@shau785 жыл бұрын
kwa kweli nimeshamaliza kumchagua rais mwaka ujao. Magufuli ni mfano wa kuigwa
@kulwasalum15385 жыл бұрын
Rais wetu uko vizurii kweki baadhi ya wasaidizi wako wanakuangusha jamani.Washughurikiwe haraka hao
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Rais John Pombe Magufuli.....hatumuelewi sababu ya uvivu wetu na ugoigoi!
@rawranceadam43905 жыл бұрын
Clause Msemwa hay bwan
@richardmaliwanga45655 жыл бұрын
Goigoi wewe
@jacksonolotu93185 жыл бұрын
Fear is a great enemy
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Safi sans
@badenbensoni75165 жыл бұрын
Good
@janeypheremmanuel98445 жыл бұрын
mzeee kweli mzee
@elvismtai70445 жыл бұрын
Huyu mzee yuko vzr,tungepata viongozi 100 kama hawa ni miaka 5 ulaya inaomba msaada tanzania
@shammusfredy41585 жыл бұрын
Uhanisio, do you know ulaya? Unadhani ulaya ni Dodoma , paka wee
@faza40235 жыл бұрын
😂😂nakubalii
@jacksonolotu93185 жыл бұрын
You are doing well Mr Presidents but your assistants are spoiling you
@clausemsemwa37045 жыл бұрын
Sisi sijui vipi....tunamtesa raising kha!
@zakaliaugulumu32745 жыл бұрын
Clause Msemwa safi magufuli
@izzataman62195 жыл бұрын
Smart
@eaglecrown38725 жыл бұрын
Mzungumzaji wa construction industry hongera sana MUNGU akubaliki kwa nia njema na nchi.
@zakariamaria93975 жыл бұрын
Siyo akubaliki sema akubariki
@eaglecrown38725 жыл бұрын
Nashukulu sana maria
@eaglecrown38725 жыл бұрын
R na L imeasili sana tarime na ww ni wa hiyo kanda maalumu
9:00 that is my President. ILI NIWASAIDIE WENGINE KUFANYA KAZI HARAKA😘
@khalekichambo21435 жыл бұрын
Clean the house indeed uncle Magu
@tumahamza89725 жыл бұрын
Safi sana uncle. Ubarikiwe sanaaaa
@mimizlove69925 жыл бұрын
We have the best president sijui tunakwama wap yani hatuna shukrani
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Mi naona TRA waondolewe wote na badala yake wapelekwe wafanyakazi Toka benki kuu na Wizara ya Fedha na wanajeshi Kuna network hapo dawa Ni kufumua wote
@jazirymasunga73555 жыл бұрын
Umeongea vizuri
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Well said brother
@josephsilla22715 жыл бұрын
Haswa wanajeshi
@shakamohamed55445 жыл бұрын
Kweli tumezoea kuwalaumu sana TRA hata mimi nawalaumu lakini ukweli lazim niseme sanasana brokers pia nii tatizo sana
@machintangachibwena59225 жыл бұрын
HONGERA SANA MUHESHIMIWA RAIS NIPO GERMANY ILA NAKUELEWA SANA JPM
@oliverwabwire28365 жыл бұрын
Will we ever have such in Kenya....ever? Huku ni usiri, ubadhirifu na utepetevu kwa agencies za umma, na corruption!
@billalphilip57765 жыл бұрын
Wakenya tunafaa kupigwa viboko...ni ujinga ya kujiwekelea tunachagua hao wakora... sasa tujilaumu na tuvumilie kuwa wakenya
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Magu Jembe! Km hutaki kalale,huyu Ni Jembe
@eaglecrown38725 жыл бұрын
safi sana.
@georgekimasa73935 жыл бұрын
asiye mpenda huyu raisi ujue ni mchawi.
@georgekapyela11905 жыл бұрын
100%
@odilinadonald2615 жыл бұрын
Kabisa
@billalphilip57765 жыл бұрын
😂😂😂
@juliethhouseofdesigns1474 жыл бұрын
Kabisa
@DrFatmaKhanPanAfrikan5 жыл бұрын
TRA ni kikwazo kikubwa, dili zao! RUSHWA CANCER
@deusijohn89355 жыл бұрын
TRA ni kikwazo kikubwa sana tunaomba uingalie kwa undani Sana,.
@allymohamed15635 жыл бұрын
Now days RAIS anaongea friendly sana,tukienda hivi tutafanikiwa sana
@freddymello32275 жыл бұрын
Ally Mohamed ,Toka zamani huwa anaongea hivi,sema wewe tuu masikioni uliweka pamba!!
@antipaschaulo875 жыл бұрын
Tanzania itaendelea kwa kuwa Raisi Tulie nae anauchungu na Tz Hongera Magufuli
@gracemairusya29505 жыл бұрын
We are domant that's why we don't understand him, halafu haturiziki kuibaiba tuuu na rushwa tunapenda fujo na uongo kutoka mataifa na watu walionunuliwa na wazungu
@ezekieljacob57953 жыл бұрын
Acha siasa talk business.you one of the failures
@saudmohammed33905 жыл бұрын
Tupo wafanya biashara tatizo milongolongo mingi bandarini
@nuranzubail12405 жыл бұрын
Rais mimi naomba kwakua umeanza ziara za nje ya nchi uende na wafanyabiashara mbalimbali wapate nafasi
@stevoovlogs86455 жыл бұрын
Kama anaongea kiingereza kizur hadi raha
@kulwaswetu44575 жыл бұрын
Bb Wataifaaliwahi kusema ikulu nimahlapatakatifu naraisi anaekwendaikulu asije kupageuzakuwa pango LA walanguzi nakwabahtinzuli tumempta laisi mtaktifu naasiye pafanya ikulu Kuwa pango lawalanguzi sasawtz kwanini laisikm huyu ndoto yabbwataifa zinatimia kwanini tusimpe nchi aongoze mpka 2045?kmawatz tunaakili tmamu hki kichwa c chakukiacha mpka2045
@annassuleiman45085 жыл бұрын
kati ya haya magonjwa mawili unaumwa ugonjwa gani?? chagua moja hapa: Ukichaa na Uwendawazimu
@adrianmanja75405 жыл бұрын
@@annassuleiman4508 una muona jamaa kama hana hakili vile ila ukweli tume Pata rais tuliye muhitaji na kumu ongezea muda wa miaka ata 5 ni kitu cha muhim sana maana tunapaswa kujenga nchi ya wazarendo na wa kujenga ni huyu jamaa unless tuna rudi kwa upigaji tena
@wbairi795 жыл бұрын
@@adrianmanja7540 China washamaliza, Xi Jiping hatakuwa na ukomo wa kutawala, huenda akatawala maisha ( China clears way for Xi Jiping to rule for life) huku ukisema unaonekana punguani.
@abrahammwambije61355 жыл бұрын
Magufuli mwanzo mwisho
@josephharri90155 жыл бұрын
Huyu angeongoza angalau 20 years.
@josephmajinge16505 жыл бұрын
Jaribu kuelewa nimezunguza nn sijamwambia mtu yyt kutompigia kura mtu anaeona yy anamfaa tatizo mnakurupuka kuchangia mada
@marcmakata2545 жыл бұрын
Kama ulivyokurupuka wewe
@ngometvarusha40305 жыл бұрын
Kuna kitu nagundua kwamba kuna watendaji wa serekal ambao lengo lao nikmhujumu Rais na kuharibia ikiwezekana watengeneze mambo hovyo ili kupoteza matumaini ya wananchi kwa Rais.
@mbwanamungia99215 жыл бұрын
Mzee utaumiza kichwa chako bure serikalini kote kumejaa urasimu jambo lakufanyika siku moja na kwisha linachukua miezi kadhaa. Hawawezi kwenda na kasi yako. Sasa chagua wanaoweza kuamua jambo maramoja
@DrFatmaKhanPanAfrikan5 жыл бұрын
Kweli kabisa. Namonea huruma sana Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa Magufuli,♥️🇹🇿🌻👏🏽
@issakawanya6485 жыл бұрын
Tahasisi za Huma Zina ihangusha serekali wafanya kazi awamo
@issakawanya6485 жыл бұрын
Ulasimu umwingi
@allymazige9645 жыл бұрын
Mbwana Mungia hongera presindent magufuli
@ussikhamisussi48825 жыл бұрын
Mzee zidi kufumua hawa wapiga dili.
@sponsor78825 жыл бұрын
RAIS YUPU SAWA, TATIZO WAFANYI KAZI WA SERIKALI
@valenakomba76865 жыл бұрын
your workers they are thinking only how to fill their pocket and nothing els
@abdulrahmanhassan38255 жыл бұрын
Alivyokuwa anapiga pusha kweje kampeni watu wengi hawakumuekewa ila sasa watu wanamuelewa
@saudmohammed33905 жыл бұрын
Penye nia pana njia nakuamini Magufuli
@mokhimji5 жыл бұрын
kwa ufupi hayo mapendekezo zenu sitozipitisha mpaka mmpunguze unafiki wenu hahaha
@AK-ho2lb5 жыл бұрын
Jembe la Tanzania. Nakuombea Uwe raisi wa milele.
@abbakariabbas61355 жыл бұрын
Ndo nimeelewa haja ya kumwacha JPM atawale 2035...anaweza.
@mathiasmsumeno85165 жыл бұрын
Mbona Sumbawanga wakitaka ku export mahindi serikali inaweka zuio?
@zuwenaissa26905 жыл бұрын
Amahakika choo kitabaki kuitwa chootu hata ukishafishe nakukitia manukato yadunia mzima badokitaendelea kuitwa chootu kamwe hakitaitwa chumba kulala kwahio baba wasaidizi ndio wanaoiuwa nchi hii
@clt99145 жыл бұрын
Rais gani mkweli kuliko huyu munayemuhitaji wana-TZ? Rushwa nyingi na kubwa nchini TZ ni kati ya TRA na wafanyabiashara. Wako wapi wafanyabiashara wakweli mbele ya rais? Wafanyabiashara hamfai kabisa!!
@iddysalum76215 жыл бұрын
Mh magufuli kumbuka na wanaoacha kazi,wapate mafao yao sio wanaofukuzwa tu.
@stanleyjacob67445 жыл бұрын
Tangazo tuu lishakula bandoo,,,😣
@olomweneabongela17175 жыл бұрын
Nani akulishe
@manyotaskipper57655 жыл бұрын
Mbowe Roho inamuuma ataongea nini Uchaguzi ujao Magufuli changamoto anazitatuwa
@margarethsaramaki11005 жыл бұрын
Tanzania utekelezaji bado uko slow
@kipigapasilisungu25812 жыл бұрын
.
@brother_majesty5 жыл бұрын
Tatizo sio TRA..tatizo ni MFUMO MZIMA ulioasisiwa na CCM
@powerofchoice31765 жыл бұрын
Unaongea pumba na kitu usichojua, unajua
@nondombilizi66243 жыл бұрын
Pumbavu kabisa umasikini una kusumbuwa
@augusttemu89685 жыл бұрын
Hivi aliyezuia mazao yasisafirishwe nje ya nchi ni nani? Au mm ndo sielewi?
@marcmakata2545 жыл бұрын
Usijifanye juha kalulu, elewa lengo là zuio lilikua ni nini, na wakati wa zuio hali ya mazao ilikuaje, jiongeze sio kila kitu uambiwe
@raphaelmartin73015 жыл бұрын
Mvivu kufikilia wewe ndugu yangu na ndio shida ya Wa Tanzania tulip wengi
@augusttemu89685 жыл бұрын
Ooooh! Sawa. Je ile sababu imeshatenguliwa? Juzi nikawa napeleka mchele Nairobi kilo 70 tu, just like chakula cha home, mbona nilinyang'anywa pale Namanga???? I'm talking by fact. Sipo kisiasa,... Hali ni tofauti na inavyoelezeka na kuwa reported... #Raphael Martin & Marc
@uledimtumwa24065 жыл бұрын
Umesahau mlipomlazimisha atangaze baa la njaa???? Kina Temu wengi ni wapumbavu .
@yusufumalenda8955 жыл бұрын
Km mahindi yapo mpk reserve mbn unga umepnd
@mswanawamswana31295 жыл бұрын
Which is that?😂😂😂 law of contractitation ???
@emmanuelmushi27745 жыл бұрын
🙄🙄🤔😁😂😂
@zakariamaria93975 жыл бұрын
Go googl that shit niiga🙄🙄
@josephmajinge16505 жыл бұрын
Anatafuta kura maana akishatuona wananchi kama punda mm nasema hayo kwasababua kasema mafao kutoa lkn hadi leo watumishi wake hawajakubali na yy mwenyewe hajauliza agizo lake limetekelezwa kwa kiasi gani kwa watu wake
@hajihassan54335 жыл бұрын
Joseph Majinge tatizo nini kutafuta kura, sisi tutamchagua kama tulivyonchagua. Kutafuta kura ndio kazi ya kila anaesubiri kuchaguliwa uchaguzi mmoja ukiisha ujipange kwa mwengine.
@reubenbusanji29045 жыл бұрын
siyo dhambi kutafuta kura
@DrFatmaKhanPanAfrikan5 жыл бұрын
Huna aibu wewe. Kazi anayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yake. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️