wape vidonge vyao kadogooo ingawa kuna wapuuzi wanaokubeza lakini usiogope
@emmanuelymganga57376 күн бұрын
✌️
@gowekogoweko58036 күн бұрын
UNAKATA VIUNO BARABARA MBOVU 😢
@danielphilipo90887 күн бұрын
Mimi napita tu
@dorothmsuya16867 күн бұрын
Huna lolote! Njaa tu hiyo!😅😅😅
@user-gx9jr5le2f7 күн бұрын
Kwani uongo ona sasa mlivyo na akili mbovu nyie ndio mmechoka
@margarethpolepole74387 күн бұрын
Nyumba watu wanajijengea wenyewe sasa unataka ccm iwajengee hata kipindi cha Nwalimu Nyerere hakuwajengea watu nyumb
@leokamil62847 күн бұрын
Majibu yako yanaonyesha ukosaji wa elimu ulionao .
@yosephatMasanyiwa-oh1rl5 күн бұрын
Huna akili tu tafakari nyoko wewe. Ccm imewafanya wasiweze kuinuka
@leokamil62845 күн бұрын
@@margarethpolepole7438 Usifananishe kipindi cha Mwalimu na hizi nyakati za wabinafsi wachumia matumbo hawajali maendeleo ya nchi wanajijali wenyewe na kujilimbikizia mimali ya ufisadi.Kipindi cha Baba wa Taifa Viongozi walikuwa na Uzalendo waliipenda Tanzania kulikuwa na upendo umoja mshikamano. Hakukuwa na ubinafsi maisha yalikuwa ya furaha sana. Baada ya vita na Uganda ndio nchi iliterereka sana na pale alipoanza Siasa ya Ujamaa na kubinafsisha makampuni viwanda na mahospitali tukalegalega ndio ikawa mara hivi mara vile mpaka leo ndio tumedidimia tumerudi nyuma mno viwanda hakuna Mashamba ya ngano basutu yamekufa ya mkonge Tanga kwisha Alizeti kwisha viwanda vya sukari vinahemea uzalishaji mdogo yaani tafrani tu .
@dorothmsuya16867 күн бұрын
Kwa hiyo nyie mnaahidi kuwajengea watanzania wote nyumba bora kwa hela zako au kwa kodi zetu? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂
@onesmojustice23487 күн бұрын
Umasikini uliyoko tanzania watu tunaishi maisha magumu Kodi juu tozo zinaongezwa kimyakimya vitu vyote vimepanda Bei miundombinu mibovu maji na umeme shida hayo yote yamesababishwa na ccm . Rasilimali zetu ziko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya hovyo ndio maana kila kukicha wanakopa maana hawawezi kutumia rasilimali za nchi kwa kuwa wamewapa wageni na wao wananufaika na familia zao wanaishi nyumba nzuri waktoto zao wanasoma shule za gharama wanatembelea v8 halafu ww unaleta hoja mrenda hapa
@LamsonMalenga5 күн бұрын
Pumbu we iv umepita ata standard one
@Gelenya-ne2ip7 күн бұрын
Huna lolote wewe!
@youssefsanje87437 күн бұрын
Chama cha mbowe na mke wake
@leokamil62847 күн бұрын
Kwa hiyo wanachama ni watoto wao tumia akili wewe
@rogersiddy7 күн бұрын
@@leokamil6284Akili yake box kbs hajielewi kbs hana hoja msajili asingesajili Chama cha familia Chadema Chama cha wananchi
@edsonkahesi86037 күн бұрын
Nawewe anzisha chako ukisambaze nchi nzima.
@georgesteven51857 күн бұрын
Shoga ww Huna akili
@user-bx3ko9ft5t7 күн бұрын
Acha upumbavu Mimi mnyakyusa Mimi sio mchaga lakini naipenda chadema sugu mchaga heche mchaga pambalu mchaga pumbavu wewe
@AmanaHassan-cy4fi6 күн бұрын
Ndg yangu hicho ni Chama cha Wachaga Wewe na Uislam wako wanakucholaa tuuu.
@justardzelphine65265 күн бұрын
Wewe chawa acha akili za ukoloni!
@gaagwasaugustino25844 күн бұрын
Wewe chawa,uchawa na udini vimekujaa kichwani! N
@user-lt1nr4tk9r4 күн бұрын
Mim n mbondei lakin nakupenda chadema acha uwongo
@mwllughanosanga9604 күн бұрын
Wachaga wana chama kumbe! kwa mujibu wa sheria za nchi gani?
@AthumanDauda4 күн бұрын
Wangelikua wachaga wanachama Chao nais kasikazin nzima chadema ingerikua ishachukua viti vyote Hivyo kumbk chadema nichama Cha siasa