Mussa Assad Afunguka Namna Bora ya Kukabiliana na Ubadhirifu Serikalini

  Рет қаралды 4,584

The Chanzo

The Chanzo

Жыл бұрын

Profesa Mussa Assad, ambaye amewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kati ya mwaka 2014 hadi 2019, amefanya mahojiano na The Chanzo ambapo, pamoja na mambo mengine, ameeleza sababu zinazopelekea ubadhirifu Serikalini kuendelea kutokea.
Katika mahojiano haya, Profesa Assad, ambaye kwa sasa ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo cha Kiislamu Morogoro (MUM) - Utawala na Fedha, ameeleza mbinu mbalimbali na hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuleta uwajibikaji na kukomesha ubadhirifu wa fedha za umma.
Profesa Assad pia amezungumzia tukio la yeye kuondolewa ofisini mwaka 2019, uamuzi ambao Mahakama Kuu ya Tanzania hivi karibuni ilisema umefanyika kinyume na Katiba ya nchi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 25
@mimosapudica1894
@mimosapudica1894 Жыл бұрын
TOP TOP TOP NOTCH INTERVIEW Hongera sana Khalfa kwa kufanya homework yako vizuri umespeculate mjadala vizuri sana ...Hongera Prof Assad kwa majibu mazuri na ya kiuungwana hakika Taifa litakukumbuka kwa mchango wako mkubwa kwa Dhima uliyopewa na kuitumikia kwa maadili ya juu KONGOLEEE
@araphatywanyamale6475
@araphatywanyamale6475 Жыл бұрын
The best interview ever ... ni ukwel mtupu huu na nivitu vya kuchukulia serious tutatoboa
@hancymachemba959
@hancymachemba959 Жыл бұрын
Moja kati ya Interview kali sana japo sio moja ya mambo ambayo unaweza kuona yakipata watu wengi. Watanzania wanapenda udaku kuliko mambo ya nchi yao.
@sameerall2303
@sameerall2303 Жыл бұрын
true that hancy, interview bomba sana
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 6 ай бұрын
Umesema kweli ,watu wengi wanapenda mambo ya udaku.
@AdnanMbaehmahmoud
@AdnanMbaehmahmoud Жыл бұрын
Mungu ana watu wake, ukiwatumia utafaulu, ukiwapuuza utaharibu.
@rashidiharoun4199
@rashidiharoun4199 Жыл бұрын
Kwa Mfumo wa nchi yetu kukubali mawasiliano ya kiserikali yawe wazi nani atakubali ila hii itakuwa ni komesho la ufisadi na ubadhilifu wa wafanyakazi.... Hii Interview ni Best sijawahi Ona kama hii thanks The Chanzo na Prof. Assad
@George-jz3jg
@George-jz3jg 6 ай бұрын
Asante prof. ASAAD umejaa madini ya thamani
@jeremiahmtui6822
@jeremiahmtui6822 Жыл бұрын
Good interview big up sana
@mustaphaselemani8367
@mustaphaselemani8367 Жыл бұрын
nikijaaliwa mtoto wa kiume nitamuita Assad
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 5 ай бұрын
Ok
@mwamyramadhani
@mwamyramadhani Жыл бұрын
Prof namuelewa sana
@feisalharush9550
@feisalharush9550 Жыл бұрын
Continue mtafika mbali
@zubedahalfani2978
@zubedahalfani2978 7 ай бұрын
Kumbe msaafu mimi nilikuwa sijui...
@manembomanepro5877
@manembomanepro5877 Жыл бұрын
Ni profesa huyo sio Musa Asad tuh ,,, tafadhari mpe heshima yake
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ipo powa
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 7 ай бұрын
Hata mimi mate niliiona hiyo dhuluma ilitendwa kwa ubabe na ukatili mkubwa lkn usijali.
@feisalharush9550
@feisalharush9550 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@user-nt6ox7vx3q
@user-nt6ox7vx3q 5 ай бұрын
Tanzania 2mempoteza cag wa maana jmn
@filorammbaga5710
@filorammbaga5710 7 ай бұрын
Musa nakupa maua yako mate wangu nakuelewa.
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 4 ай бұрын
Kwann uyu asichukue formu ya uraisi
@eliasody2912
@eliasody2912 Жыл бұрын
Mwamba uyu
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 Жыл бұрын
SOMO HILI HALICHOSHI KAMWE MUULIZAJI UMENIFANYA LEO NIKARIRI KUSIKIA KIKAO HICHI ASANTA.
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 Жыл бұрын
NDIO SABABU ULITOLEWA MFANO WA MUHUJUMA UCHUMI! MUULIZA MASUALA WEWE UNAFAA KUFUNGIA NA KUFUNGULIA KESI YA UCHOCHEZI ,KWATAARIFA YAKO USIJUTIE MFUMOWAKO HUYO !
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 60 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 12 МЛН
Tuna viongozi wenye nguvu  zaidi kuliko taasisi zetu
3:01
Habari za UN
Рет қаралды 131 М.
Uislamu ni Dini ya Kazi, Hakuna njia ya Mkato. Prof. Mussa Asad
29:47
OBA Online tv
Рет қаралды 3,2 М.
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН