Mzee anasema ukweli,kwenye sekta ya ardhi pamewekwa mwanya mkubwa wa udikteta, rushwa,uzembe na upendeleo. Taasisi inahusika kwasababu kila ajaye anaondoa kanuni,na miongozo,anaweka yake na baraza lake la mawaziri hata kama ni nzuri! Tufike mahali serikali ibaki kama mdhamini wa ardhi, itunge sera zenye faida kwa wananchi ambao ndio asili ya ardhi yote ukiondoa yale ya hifadhi maafisa ardhi wafanye kazi kwa mujibu wa sheria,kanuni,na miongozo iliyowekwa.