MWILI wa MAREHEMU STAR wa ARUSHA ULIOTEKWA na MKENYA, MAHAKAMA YAAMURU UKABIDHIWE kwa MKEWE wa NDOA!

  Рет қаралды 60,512

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

MWILI wa MAREHEMU STAR wa ARUSHA ULIOTEKWA na MKENYA, MAHAKAMA YAAMURU UKABIDHIWE kwa MKEWE wa NDOA!
Mahakama Ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha Imeagiza mke wa Allani Mkenda Allan Manelu apewe mwili wa marehemu mumewe ambao awali ulikuwa ukigombewa na Carolina Mungai akidai pia kuwa ni mume wake wa ndoa..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 205
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Nakupenda muandishi Msomi Allah akuzidishie maana bila ya hii habari kuipazia sauti huyu dada angedhulumiwa haki yake
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Asanten vyombo vya habari kwa kupaaza sauti sasa serekali kazi kwenu haki ya huyu mama ipatikane
@revinaraphael5220
@revinaraphael5220 Жыл бұрын
Mungu tunae mtumikia sio wa viwango vya chini tuna mtumkkia Mungu wa viwango vya juuu anafanya njia pasipo na njia Ameen
@janejane8923
@janejane8923 Жыл бұрын
Barikiwa dear ni mungu afanyi mchezo
@awezayesu1779
@awezayesu1779 Жыл бұрын
Na uyu Mungu pia anajidai kuwa ni mume wa wajane na papa wa yatima👏
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Umenitoa machozi wewe Dada kweli umepitia sana mitihani mikubwa pole sana
@Marjeby
@Marjeby Жыл бұрын
We jamaa unajua sana aiseee ondoka hapo Global unachelewa we sio wakutangaza online tv washukuru tu kwa muda wote mliokuwa pamoja tembea bro muda wako ndio huu
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Amen Amen naikawe hivyo. Asante Mungu mtetezi wa wajane halali. Hati ya nyumba ifuate hao wandugu wamrudishie huyu dada hati ya nyumbaa!!! Kisha ajitokeze mtaalam wa macho akutibu macho yaone tena! Mungu ni mwema sana.
@inocentlema5574
@inocentlema5574 Жыл бұрын
Hivo vyombo vya habari vikitumika vizur vinasaidia sna kuwezesha watu kupata haki. Hongera Kolumbaz
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
Serekalini Mungu awabariki kwa kuitenda haki kwa uyu mjane na wanae, Mungu usimuache uyu mjene mpk hapewe na hati yake ili maisha ya watoto yasiyumbe🙏🙏🙏🙏🙏
@demicratia4071
@demicratia4071 Жыл бұрын
Asante Mungu mahakama za Arusha ziko vizuri mno hutenda haki siku zote.
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Akikabidhiwa mwil wa mume wake,,, nahak ikatendeka kwa ujumla,,,, dada wawatu atakua na ahuen au kupona kabisa macho kwauwezo wa alah
@gesyogongi5659
@gesyogongi5659 Жыл бұрын
Haki ya sheria kwa watanzania,ni superb. Ingukua kule Kwetu Kenya, hongo ingetembea kwa jaji na hi Kevin ingeamliwa vingine. Heko kwenu TZ. Heshima sana , na mbarikiwe sana sasa. Endeleeni kuwa walinda wanyonge, kama huyu dada.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Ishu ni mwandishi kasaidia kuweka wazi kila kitu. Rushwa haina mipaka.
@watototunawezatuwezeshwe6126
@watototunawezatuwezeshwe6126 Жыл бұрын
Hatimae haki imetendeka. Alhamdulilah. Hivi vimada vikishaiba waume zetu hujiona wana haki kuliko sisi wana ndoa. Watabakia tu kuwa vimada na sisi wake halali. Hata MMungu yupo pamoja nasi atatusimamia.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Leo naipongez serikal endeleen kump saport huy mjane
@niselanyakato6885
@niselanyakato6885 Жыл бұрын
Hamna kinachoshindikana kwa mungu 👏👏
@mariej6962
@mariej6962 Жыл бұрын
Wanaume ni nyoko kweli. Haya yote ni matunda ya matendo ya marehemu.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
.Mungu umejidhihirisha kuwa Baba wa yatima na Msaada Kwa wajane...iwe heri Kwa watz
@monadinadi5295
@monadinadi5295 Жыл бұрын
Asante mungu umemckia kilio chake mama na wanae 🙏🙏😭
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 Жыл бұрын
Safi sana na hati yake ya nyumba apewe
@hanifaomar7438
@hanifaomar7438 Жыл бұрын
Mungu mkubwa nautashinda dada mume wako utamzika insha'Allah
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Жыл бұрын
Dada nenda kwa mtumishi sumbe ukitoka msibani Mungu atakuponya hayo macho
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Ashukururiwe mungu 🙏🙏dada kapata haki ya kumzika mumewe lile lichangu limeona ht aibu kuja mahakamani ☹️☹️☹️
@happygeorge4185
@happygeorge4185 Жыл бұрын
Mungu atusamee dunia ii kila mtu anapita jamn tuache roo mbaya
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Жыл бұрын
Mwandishi msomi umehusika sana kumsaidia huyu dada mumsimiamie na mumsaidie huyu mama
@maryamhannif897
@maryamhannif897 Жыл бұрын
Kweli kabisa mwandishi msomi kazi yako nzurinzuri sana
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Hyo mama atoe nahizo hti zamwenzie.Mwizi mkubwa hyo mume uchukue marehemu uchukue wewe nibinadamu gni,alafu mara nyingi ndugu wamwanaume niwanafiki sana.Yamenikuta ndio maana naelewa uchungu wahyo mwanke mwenzangu.Serikali yamama ikaze sheria zakina mama kwaukubwa wake.wanawake tunaonewa sana jmni hswa kwenye ykutoka kwamume.Ndugu wamume wamekuwa wanafiki wakubwa hawajali hta uzao wao.mungu akubariki sana
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
@@maryamhannif897 kwa kwel
@rukiaathuman643
@rukiaathuman643 Жыл бұрын
Daaahhh stress za mapenz mbaya nimelia daahh
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 Жыл бұрын
Mungu ataponya. Huyu Dada jina la Yesu
@kessynurutajiri4940
@kessynurutajiri4940 Жыл бұрын
Hongera Mahakama imetenda Haki kwa kumkadhi Mwili Mke Halali wa Marehemu.
@vailethwilliam4021
@vailethwilliam4021 Жыл бұрын
Jamanii nimelia sana pole family
@marcynhumbi3534
@marcynhumbi3534 Жыл бұрын
Tunashukuru Kwa hatua hii,pia ile hati yake ya mauziano ya hicho kiwanja msaidie aipate huyo wifi ake sio kabisa
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah. Safi sana
@rosemalle3600
@rosemalle3600 Жыл бұрын
Nawashukuru mawakili na mahakama kuwatetea mjane na yatima,Mungu Ni Mwema kila wakati
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa hili
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc Жыл бұрын
Wow jomon nmefurah yule mkenya ni shetan yule wanawake tupendane jomon
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
Tupendane 🤗🤗
@sausterchelela3522
@sausterchelela3522 Жыл бұрын
Mungu nakupenda sana wewe ni wa haki machozi yetu wewe wayafuta
@upendomushi
@upendomushi Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Wakili wa Lily ni mtu wa Mungu.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 Жыл бұрын
Ndugu wa huyu dada mpelekeni maombi ndugu yenu huo upofu ni wa kutupiwa hakika huyo ni mzima kabisa macho yake hana sukuri wala bresha nendeni maombi
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 Жыл бұрын
Fair plate on you journalist you real help and support that poor woman to get justice
@tunkuh661
@tunkuh661 Жыл бұрын
Tuanze na vibali vya mchepuko huyo kuishi ndani ya nchi.... Asije akawa anaanzisha ugomvi wa mawe wakati anaishi nyumba ya vioo. Hongera familia na poleni Mungu akawafariji ktk hili.
@christinelihavi4068
@christinelihavi4068 Жыл бұрын
Wakili amesema kua huyo mchepuko hajazuia Mwili,ni ndugu wa marehemu ,alafu musiwe na ubinafsi Sana,mbona asilaumiwe marehemu kwa kuitelekeza familia na kuhamia kwa kimada?
@tunkuh661
@tunkuh661 Жыл бұрын
@@christinelihavi4068 Hilo in angalizo tu dear wala is tuhuma.
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mashaallah pole dada kila ilio haki yako utaipata
@aishajuma18
@aishajuma18 Жыл бұрын
Maskini dad wa watu kapata ulemavu kwa sababu ya mapenzi😓😥mungu akupiganie
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc Жыл бұрын
Wee kumbe ilikuwaj
@aishajuma18
@aishajuma18 Жыл бұрын
@@Zainab-sq1tc Baada yavkusikia mumewake ana huyo mke mwingine akapata pressure ndio akapofuka macho😓😓wanaume hawana huruma hawa
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc Жыл бұрын
@@aishajuma18 jomon ss sijui atapunzkaje kwa aman wakat huk ajaacha aman
@user-cg3vf2bl6b
@user-cg3vf2bl6b Жыл бұрын
@@aishajuma18 maskini pole jameni wanaume wanatupa ulemavu ,, lakini nashukuru mungu Kwa hii mahakama kusimama naye asante mungu
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
@@aishajuma18 masikin😭😭😭😭😭😭 mungu amusaidie🤗💔
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Hiyo mindugu ni njaa ilikuwa ikiwasumbua,Mungu atashughulika nayo.
@awezayesu1779
@awezayesu1779 Жыл бұрын
Yaan mipumvavu wote hawana hata washauri 😢
@user-nn5sq8ol4g
@user-nn5sq8ol4g Жыл бұрын
Mungu akuongoze
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 Жыл бұрын
Congratulations Global Tv👏👏👍🏽💯 Mwenyezi Mungu Awape Nguvu 🤲 🤲 😓
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 Жыл бұрын
Ndugu ndugu.shame on you!!! Inaonekana huyo mkenya ana hela hivyo sasa lilian mama wa watu na watoto hawana dhamani kwenu tena
@saidramadhan71
@saidramadhan71 Жыл бұрын
Asante Sana mwandishi msomi mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani Mimi hukufatilia sana Asante Sana kwa moyo wako na kusaidia jamii
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 Жыл бұрын
Kwakweri Msomi asante
@winfridakaaya2758
@winfridakaaya2758 Жыл бұрын
Mungu ni mwemaaa sifa na utukufu ni kwake
@rosemaryngendo7635
@rosemaryngendo7635 Жыл бұрын
Yaan jamn dunia hii! Mpka choz limenitoka jaman mungu akupe nguvu dada ndoa hizii
@ssaa7495
@ssaa7495 Жыл бұрын
Ila wanaume mgekuwa mnajuwa umnavyo tangulia mbele za haki huku nyuma wake zenu wanateseka sijui ingekuwaje. Hasa wachaga sijui kwanini mnakuwa na tamaa za mali . Mume amekufa mali zinabaki kuwa za mke . Lakini ndugu sijui kwanini mnakuwaga na tamaa za hovyo!! Wachaga badilikeni wapumbavu wa akili nyie
@user-hs8fu1ut8r
@user-hs8fu1ut8r Жыл бұрын
Wachaga hawajui kubadilika..wao wanachokijua ni kuumiza mioyo ya watu..wachaga wachaga
@abigaelmassamu2970
@abigaelmassamu2970 Жыл бұрын
Sasa hapo ni mchaga au mkenya...pumbavuuu
@doricemtungi277
@doricemtungi277 Жыл бұрын
Mi siwapendi wachaga
@ssaa7495
@ssaa7495 Жыл бұрын
@@abigaelmassamu2970 kama wewe mchaga baki nalo wapumbavu nyie. Mmekuwa na tamaa za mali za mjane kama nyie hamtakufa wajinga kabisa
@dorotheajoseph2038
@dorotheajoseph2038 Жыл бұрын
@@doricemtungi277 hata sisi hatukupendi
@fatumafatuma1503
@fatumafatuma1503 Жыл бұрын
Katika maisha ukimtegemea mungu hakuna kinachoshindikana kiukweli pole sana dadaangu
@queenpeter9809
@queenpeter9809 Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu hiyo familia jamani
@elizabethnelson583
@elizabethnelson583 Жыл бұрын
Huyu mkenya alifunga ndoa ya serikali ili apate kukaa hapa tz afanye umiliki wake,
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Pengine hata hayo macho lilimroga
@shakilaburhan9552
@shakilaburhan9552 Жыл бұрын
Haswaa
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Kabisa
@marthapeter8246
@marthapeter8246 Жыл бұрын
Asante Yesu
@rizikahmad6930
@rizikahmad6930 Жыл бұрын
Manshallah
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 Жыл бұрын
Ila hawa wanaumee mhhhh!!ndio chanzo Cha matatizo
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Pole sana mama dah
@neema_mollel
@neema_mollel Жыл бұрын
Maskinnn daaah wanaume shikeni adabu ,mnaleta majanga kisa uasherati wenu
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 Жыл бұрын
Safi sanaaa msomi
@khadijajacobo4660
@khadijajacobo4660 Жыл бұрын
Sasa hawara anatakaje kumzika mume wa mtu ??? Hizi imani zingine jamani duh 😭😭😭😭😭
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Nashangaa katoa wapi ujasiri huo
@Zainab_salat
@Zainab_salat Жыл бұрын
@@sarahgaula2220 anasema eti ndoa yake ni serikali
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
Hongera sana muandish Allah akuzidishie🤗🤗😥💔
@aluwaalvine2382
@aluwaalvine2382 Жыл бұрын
Kweli kunawanawaka wanapenda kwa vyote Mme wake alimufanyiya bado analiliya amuzike Mme wake eeeh maman yangu uko njasiri dans mungu akulinde maman Yangu
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Жыл бұрын
Afie mbali shetani huyo akatafute mume wake wa halali,ndugu Sasa cjui sura zenu mtaweka wapi,Ila wanaume nyieee Mungu anawaona ushamsababishia dada wa watu ulemavu bado mpaka ck unakufa unamsababishia mahangaiko kwa ajili ya matendo yako dah,Mungu awatetee.
@mwajumajuma2999
@mwajumajuma2999 Жыл бұрын
Minahisi hata hayo macho ni mke mwenzie ndoalie mloga
@getrudemusimbi6115
@getrudemusimbi6115 Жыл бұрын
Kenya ndio sisi
@oliverkyara8232
@oliverkyara8232 Жыл бұрын
Caroline be carefully dear sister life is too short
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 Жыл бұрын
Yaani mindugu yamume inatamaa MUNGU kakushindia dada 🙏🏾
@estertiffathomas5651
@estertiffathomas5651 Жыл бұрын
Big up muandish msomi
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Hongera bro hunaga mbambamba
@neemaneema9969
@neemaneema9969 Жыл бұрын
Mitihani jamani Poleni
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Shukraan za dhati na pongezi kwako kolumba
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Afadhari mungu mwema
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Жыл бұрын
Mungu ni mkubwa Sana pole dada yangu
@lovenessmollel9099
@lovenessmollel9099 Жыл бұрын
JAMANI HUYU MAMA APELEKWE KIBOSHO HOSP ATAPATA MATIBABU YA MACHO. NINA NDUGU YANGU ALIKUWA KAMA YEYE NA SASA AMEPONA
@annahnguvumali1626
@annahnguvumali1626 Жыл бұрын
Hakika Mungu amesikia kilio chako dada
@saumsaum1916
@saumsaum1916 Жыл бұрын
Huyo dd atakuwa kaungana na huyo wa kenya kumuuwa ndg yake
@elsonkibasindila7526
@elsonkibasindila7526 Жыл бұрын
Huyo mama inaonekana na yeye mjanja mjanja maana hao wapambe wenyewe ni balaa mtaani wanajulikana
@jacqueli18
@jacqueli18 Жыл бұрын
Adui yako hatoki mbali... unaonekana unamfahamu na unafuraia matatizo yake
@karenkairu9938
@karenkairu9938 Жыл бұрын
Nimefurahi sana kusikia uwamuzi wa mahakama,huyu caroline arudi kwao akatafute bwana huko,mwizi wa bwana na mwizi wa maiti??lo!jameni wakikuyu.
@OnlyRuky
@OnlyRuky Жыл бұрын
Muandishi msomii 👏👏👏👏👏story yetu ya Bayoo imeshia wp?
@zawadizawadimussa23
@zawadizawadimussa23 Жыл бұрын
Jamani kutakuwa na kitu sio bule mtoto wa mwanajeshi
@Ann-Strong
@Ann-Strong Жыл бұрын
Yaani wanawake wakikuyu TU ,. Ata huenda aliua huyo mwanaume kisa mali
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 Жыл бұрын
MUNGU ni MKUU,hakika ww mwanamke wa kikenya izo pesa unazojidai unazo sheria itakumaliza na hai mawf wenye tamaa wanawake msio na huruma mnamkana wifi yenu wa halali na watoto kisa vijicent vya mkenya, MUNGU atawaumbua
@hadiyamohamed594
@hadiyamohamed594 Жыл бұрын
Mkikuyu wa kenya ni wachanga wa tanzania tabia wote ni sawa mshenzi arudi leo kenya
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Mungu mkubwa
@sylvierlumbasio4226
@sylvierlumbasio4226 Жыл бұрын
Mkikuyu shikamoo corolin munga,,Pole mama haiki haitozama
@rosemalle3600
@rosemalle3600 Жыл бұрын
Huyo hawara anaeng'ang'ania mwili wa Marehemu,awekwe ndani ili iwe fundisho kwa wengine,wanaodhulumu Mali ya yatima na mjane
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 Жыл бұрын
Dunia hii jamaniiii 😭😭😭
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Haki hipotei. Pole sna dada
@conzelabusega9171
@conzelabusega9171 Жыл бұрын
Kuna watu akili hawana asa utandawazi wote huu kung'ania Mali za marehemu Aliyakuwa anawatoto na mke yupo Hai kweli jamani si niutahira uo,ndugu nao ni akili hawana damu yenu ipo acheni hira
@edithkajuna2281
@edithkajuna2281 Жыл бұрын
Mdau wa Sheria na harakati, nimefurahi kuona Mama huyu ametendewa haki na Mahakama
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Жыл бұрын
Afazali jmn ,michepuko cjui inajikutaga nani?
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Dunia hii .mh kuwa uyaone
@elizabethnelson583
@elizabethnelson583 Жыл бұрын
Hongera msomi,huyo mkenya afuatiliwe kwa undani arudishe kill kitu cha Mareham kwaajili ya watoto wake,na huyo mkenya achunguzwe anafanya kazi gani haha tz
@assengatvonline1448
@assengatvonline1448 Жыл бұрын
WAKILI EFRAIM KISANGA HONGERA. NAKUKUMBUKA MAKUMIRA UNIVERSITY
@floranceluqman2951
@floranceluqman2951 Жыл бұрын
Nataman kumuona huyo shetani anaejiita Caroline mwizi wa wanaume za watu shetani wa mguu mmoja hatimae amedondokea pua
@juliasmolellmolell4815
@juliasmolellmolell4815 Жыл бұрын
Mama Samia amesema haki ufwate
@mercysamuel9281
@mercysamuel9281 Жыл бұрын
Nakuombea kheri Kolumba le babas ,
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 Жыл бұрын
Dear mume wangu meshack usijichanganye ukisepa nikiwa hai ukifa walaaaaa wakuzike tu beeiiibeeee sio habari zangu
@vailethmwashibanda2514
@vailethmwashibanda2514 Жыл бұрын
🤣🤣
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Жыл бұрын
Wanaume mkiterekeza familia zenu kwa ajili ya kibaka mjifunze hapa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
😢😢😢😢🤦‍♀️😢
@JaneDoe-hf3zy
@JaneDoe-hf3zy Жыл бұрын
Wakikuyu muko na laana huruma basi Kwa dada wa watu
@gililwise
@gililwise Жыл бұрын
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.huyo malaya wa kenya arudishwe kwao masaa 24.pili ninyi ndugu wa star acheni dhambi ya.dhuluma.Msitafute laana kwa vizazi vyenu
@sophiajonas2090
@sophiajonas2090 Жыл бұрын
Hivi michepuko mna shida gani huwa mnajisahaulisha kabisaaaaa
@annasaitabau7889
@annasaitabau7889 Жыл бұрын
Ndugu wa mume mmmmh
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 67 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,9 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 102 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
POLISI ARUSHA WAKAMATA WEZI  MAARUFU ''TATU MZUKA'', KAMANDA ATUMA SALAMU!
8:28
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 67 МЛН