RISASI ZARINDIMA ARUSHA, MADALALI WAKITAKA KUVUNJA NYUMBA ZAIDI YA 100, DC ATOA TAMKO

  Рет қаралды 48,275

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 59
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
Watanzania tuzingatie Sheria.. Maeneo ya Taasisi na asasi za kijamii yamekuwa yakivamiwa hovyo mno. Wanasiasa kwa kutaka kura wanasingizia maslahi mapana. Wakishapata kura matokeo yake Ni hayo. Maeneo ya misikiti, makanisa, shule, vituo vya huduma za afya, Viwanja vya michezo, jeshi na hifadhi zinavamiwa hovyo.
@user-od5si7ld6b
@user-od5si7ld6b
Pole sana
@amosiabdulallh7965
@amosiabdulallh7965 Жыл бұрын
Mnajenga semu za serikari msiwe moyo wakisiasa zingitie Sheria
@user-dy5fn6qj1q
@user-dy5fn6qj1q 19 сағат бұрын
Mtu anachimba. Msingi anajenga bila shaka amefanya ujenzi huo miaka mitatu au zaidi anahamiaa. Mwenye eneo anaangalia tuuuuu naona hizi Sheria zifike pahala zibadishweeeee Yani hawa wamiliki. Hata uzio hawakuweka kwani mnapotoa viwanja sii Kuna mda maalumu kuendeleza tutaku
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Hii nchi ya ajabu sana, watu masikini na bado serikali(ambayo haina msaada wowote Kwa wananchi wao) haina huruma na wananchi wao wanaojitahidi kujitafutia maisha. Mahakama ikiamua haitoi muda WA wahanga kujiandaa? Serikali hii ni shida sana.
@geofreyanderson9115
@geofreyanderson9115 Жыл бұрын
Wakati wanachukua hela hawakujua kuwa patavunjwa sisi watu weusi tunashida sana
@zaynakhalfan4438
@zaynakhalfan4438 Жыл бұрын
Maisha yalivyo unamvunjia mtu nyumba daaa magufuri baba najua hata Kama haupo Ila roho yako unaona huuunyanyasi unao endelae kwenye taifa lako baba vitu bei huku hai nihii punzika kwaaman baba
@stevenlazaro9176
@stevenlazaro9176 Жыл бұрын
Nimeskia jina la moja
@saumsaum1916
@saumsaum1916 Жыл бұрын
Magu pumzika kwa amani,ulisema tutakukumbuka kwl tunayaona
@asinahussein2176
@asinahussein2176 Жыл бұрын
Jamani toka msingi mpaka majumba yote hayo walikuwa wapi?
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729
Basi bhana, ilitakiwa Mwenyekiti wa mtaa apewe taarifa hata kabla ya siku 14, Ili akae na wananchi mapema.
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Жыл бұрын
There you are Mr DC.!
@ksmally1985
@ksmally1985 Жыл бұрын
Acheni kujenga kiholele mijini!
@mizesuleiman1834
@mizesuleiman1834 Жыл бұрын
Mm ni mtoto wa kimaskini najua uchungu wa kujenga kuanzia kununua plot adi paa aki inauma kwani hakuna serikali kisha pakijengwa kanisa watu wataenda kuamini
@chidybwax8080
@chidybwax8080 Жыл бұрын
Duhhhh
@ulaweboy9826
@ulaweboy9826 Жыл бұрын
Kumanina zenu wote mliye sqbabisha
@maombijofre2302
@maombijofre2302 Жыл бұрын
Mungu wangu ndo nini tena?
@user-gx3jp6uk2f
@user-gx3jp6uk2f
Acheni kuvamia maeneo. Vunja hizo nyumba ili iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kuvamia maeneo /viwanja hovyo.
@matsawilihamud4750
@matsawilihamud4750 Жыл бұрын
Jamani oneni bc na hii barabara ya olasiti.... Kila siku vidala vinafia barabarani, short route but expensive kwasababu ya ubovu wa barabara, hii barabara si rafiki kwa magari jamani
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Hao wasabato kweli au ...
Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania
6:03
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA
12:33
Wasafi Media
Рет қаралды 1,1 МЛН