Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz #bingoonlinetz #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 239
@stevewanga9573 жыл бұрын
Huyu alikua Rais wa wapi ...
@esterester43733 жыл бұрын
Wa awam yapil tz
@stevewanga9573 жыл бұрын
@@esterester4373 alikua rais wa Tz pia ...kabla ya Kikwete ama
@@esterester4373 ahsanthe sana...alafu huyu wa Zanzibar pia babake alikua Ni Rais ama
@esterester43733 жыл бұрын
@@stevewanga957 ,wasasaiv?
@khalimazuberi42903 жыл бұрын
Mama yetu Rais Samia Suluh Hassan viongonzi wastaafu wamekupa baraka zote , zakutuongoza simama imara, mtangulize Mungu tutafka kwa Qadar zake. Allah akupe Afya njema.🙏🙏🙏.
Asante sana mzee mwinyi kwa kuagua vicheko kwa mazishi hata watu wasahahu huzuni kidogo hapo. Nimefurahi Janet amecheka leo hata kama tunamzika mpendwa wetu Magufuli🇰🇪.
@500Ashery3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀mzee we2 mungu ampe uhai mrf
@mussakuntu77023 жыл бұрын
Jamani mpedwa wetu mama janety kacheka utakaa sawa tuu
@blasidajulius22403 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu Rais wetu Ally Hassan Mwinyi tunakupenda sana 😘🥰
@mwajumaabeidy81373 жыл бұрын
Ana miaka 95 ni mzee na amepoteza kumbukumbu nyingi..Kifupi amejitahid , mana uzee ni km utoto .
@doreensamwely87403 жыл бұрын
Kabsa mm nampenda
@alwadialwadi70593 жыл бұрын
He was born in 1924 now he has 97 years old
@cutiemuhadithu27113 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemaadam35233 жыл бұрын
Hakika ameongea vizuri,kwa umri wake Mwenyezimungu ampe mwisho mwema
@elisantedaniellulu3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mzee, Rais Mstaafu Dr. Mwinyi. Nauonea fahari kubwa sana umri wako na jinsi ambavyo bado unaweza kuwa hazina ya hekima kwa taifa hili.
bodyguard ako na shida Asipo msikiliza atajiju. Apo yumba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ninabintizion14113 жыл бұрын
Ninampenda rais wetu wa awamu ya pili - ni Babu yetu sasa na amejaribu mno! 🙏🏾
@faridabomba60373 жыл бұрын
Tunakupenda Sana baba Mh Rais mzee Mwinyi
@abubakarkhamis17493 жыл бұрын
Daah!! najivunia sana kua 🇹🇿 mungu akulaze mahala pema peponi rais wetu mpendwa nafarajika sana kuona upendo wa viongozi wetu mungu azidi kudtudumishia umoja huu amiin
@zainishaludevu52763 жыл бұрын
Mungu kuweke baba yetu maana umereta faraja msibani
@geofreysomi59153 жыл бұрын
Mzee mwinyi umenifrahisha sana ishi maisha marefu
@sheryphamwenevalley61243 жыл бұрын
🤣🤣 mzee yuko vizuri miaka 95 asoma bila miwani mashallah
@magomakabanja48613 жыл бұрын
Ndio kwa sababu alikua anasoma Qur'an tukufu yamempa nguvu ya macho ???
@braysonmajani81293 жыл бұрын
Jamani mzee wetu. Your the best
@kidunguhermanho8033 жыл бұрын
Old is gold tenkx to allah! to have you Mwinyi mungu mkuu akuweke
@ezekielmsaki89003 жыл бұрын
🤣🤣🤣 nakupenda sana mzee mwinyi ❤️❤️❤️
@murshidalam93983 жыл бұрын
Jmn nimecheka kwanguvu khaa ally apana umenichekesha😂😂😂😂😂 mama samia Allah akuongoze vyema uiongoze Tanzania
@TeamKRX3 жыл бұрын
Utakoma Leo bordgard mwinyi niachie baba mbavu zangu 🤣🤣🤣🤣🤣
@selenganyagawa13583 жыл бұрын
Basi Tena mzee wetu, kazi ya mungu hiyo.
@halimagadafi89173 жыл бұрын
😂😂😂inatosha eeeh adi kikwete kachka mpka katoa barakoa
@adammlonganile79213 жыл бұрын
Wamenikera waliokuwa wanamkatisha na kujaribu kumzuia asiendelee na hotuba Baba yetu Raisi mstaafu Mwinyi, naisema kwa dhati, ni utovu wa nidhamu, Mzee wetu ameleta faraja kubwa maana tension ya msiba pia ikapoa kidogo, Mungu akupe afya njema Mzee wetu Mwinyi
@kitwanashem32723 жыл бұрын
Sasa ni wakati wa kumpunzisha Mzee Mwinyi ktk Shughuli za kitaifa.
@mayaally25123 жыл бұрын
Kwan hapo kakosea nn anatufurahishaaaa
@aminatahsalim46503 жыл бұрын
Mm mkenya mzee ako sawa sana
@bonifacekimani16403 жыл бұрын
Wakenya kumbusheni huyu tuko na kibaki, younger than Dr mwinyi lakini....
@iddothmani32733 жыл бұрын
Alafu kweli
@shekheally89783 жыл бұрын
Mungu azidi kukuweka mzee wetu
@joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын
Ajui ako chato anaulizia panaitwaje apa 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤐🤐
@ramathedon40013 жыл бұрын
umri Sio Kosa lake
@zainabomar91393 жыл бұрын
Sio yy uzee nika utoto tena hahahaaa lkn sihaba amepunguzia maumivu yakufiwa kias maana mpaka mmayetu mke wamerehem nae amechaka
@ramathedon40013 жыл бұрын
@@zainabomar9139 yani kabisa ni utoto kweli
@franciscomasungulwa35753 жыл бұрын
Mwinyi ahsante kwa kuleta faraja penye ukiwa na huzuni!
@manasemwakilasa59313 жыл бұрын
Bodigadi wa magufuri sijawahi kumuona anacheka ila bodigad wa husen mwinyi kacheka
@faridabomba60373 жыл бұрын
😄😄😄😄😄mh Rais mzee Mwinyi tunakupenda Sana baba
@zephaniaelly26323 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba
@rubaletozzy55983 жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu
@kasigasefu86943 жыл бұрын
Mungu akubaliki
@shardalove11593 жыл бұрын
Mzee rukhsa ALLAH akupe umri
@ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын
🇰🇪NIMELIA MDA MREFU ILA LEO NIMECHEKA🇨🇿 😂😂😂😂 REST IN PEACE MR MAGUFULI 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤲🤲🤲
@reginaphilimon7823 жыл бұрын
Nihuzuni isio elezeka😭😭
@ommymehmed88803 жыл бұрын
Yaan uyu mzee pasua kweli ....ananongonezwa yeye anatoa saut watu wasikie kuwa anaambiwa IMETOSHA .....HAHAHHAAAAA
@emmanueljoseph25763 жыл бұрын
Nakupenda Sana mzee mwinyi
@innocentyusuph77623 жыл бұрын
Kuwa na wazee kama hawa ni starehe sana
@glad46533 жыл бұрын
Goodness, he tried. He should be old enough, dementia hapo🤭
@jamessilwamba28623 жыл бұрын
alikuwa anaitwa mzee ruksa enzi zake maana alikuwa anatumia sana neno ruksa kwenye hotuba zake
@zakyahya46453 жыл бұрын
Aki ya Mungu kapunguza huzuni kidogo
@marygregory75663 жыл бұрын
Ooh babu yetu pole 😭😭😭
@modestakasawa91393 жыл бұрын
Babu yupo vizuri Ana umri mkubwa Ila anaona vizur bila kutumia miwan
@mohammedalnabahan.41273 жыл бұрын
Innallilah wainnaillaih rajiun, maskini Hayati Magufuli apo alipo saivi kajichokea nafsi yakee hana hata habari nanyinyi yupo ulimwengu mwengine, na anaona vingine, ila dunia imetuteka jamani
@zakyahya46453 жыл бұрын
Kaongea ukwel wametumikia miaka yao yote awaja fanya kitu lakini magu miaka miwili tu Tanzania km Ulaya
@shedeck89743 жыл бұрын
daah, mzee kazeeka kwer...
@ifgodsayyes.nobodycansayno17963 жыл бұрын
🇰🇪KUMBE SIKO PEKEYANGU NILUNYO PATA MSIBA NILIJIULIZA MASWALI AMBAYO HAYANA KIKOMO NA KUMUULIZA MUNGU MASWALI MENGI SANA ILA DAH REST IN PEACE 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤲🤲🤲 REST IN PEACE MR MAGUFULI🇨🇿
@elwinkomb95583 жыл бұрын
Mzee kaenda age that why
@sabrakassim34133 жыл бұрын
😂😂😂😂nimechek kwa sauty uyu babu anafurahisha kweli😂😂😂😂
@pamelaemmy81803 жыл бұрын
Moyo wangu nimejikuta unafuraha gafra kuona cheko la mama Janet magufuri
@aliseif87293 жыл бұрын
Dah yaani huyu mee anachekesha hadi basi🤣
@tausimwaluvalile64913 жыл бұрын
Amewachangamsha kidogo wafiwa,🤣🤣🤣kanifurahisha
@SEDJamii3 жыл бұрын
Kwa wale wapenzi wa simuliz za kweli zenye kutisha na kusisimua. Karibu katika chanel hii. pia utajifunza michongo mbali mbali ya kimaisha....
@homeboy23073 жыл бұрын
Hilo ndilo tatizo la kuandikiwa
@yahyashariff56933 жыл бұрын
Kwahiyo ulitaka aandike mwenyewe ?
@zakyahya46453 жыл бұрын
Ivi uoni umri wake au?
@homeboy23073 жыл бұрын
@@yahyashariff5693 sawa nisamehe nimekosea ndugu yangu
@homeboy23073 жыл бұрын
@@zakyahya4645 nisamehe sana ndugu nimekosea
@zakyahya46453 жыл бұрын
@@homeboy2307 ucjal uwenda ukuwaz kabla ni kawaida tu
@msonocollo95513 жыл бұрын
mzee mwenyi alileta tabasamu kwa nyuso zao wambolezaji kwa mara ya kwanza niliona mama janet akicheka
@ngombalengombale45283 жыл бұрын
Babu bwana Hadi raha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@thaddeusnyaenya22993 жыл бұрын
Nimempenda sana mzee mwinyi
@mcyudasicqo96103 жыл бұрын
Mwinyi bhana
@faridabomba60373 жыл бұрын
Mzee wa ruhsa hapa panaitwaje vilee chatooo😄😄😄
@happymrema67283 жыл бұрын
Mzee ulileta tabasam
@romakoko22923 жыл бұрын
Huu ndo unaitwa uzalendo na uongozi
@tausimwaluvalile64913 жыл бұрын
Nimefurah sn
@khalimazuberi42903 жыл бұрын
RIP Magufuli.
@seifmbembe59233 жыл бұрын
Mzee mwinyi ametumia hekima ya kutuondoa kwenye majonzi
@adammlonganile79213 жыл бұрын
For sure ametumia hekima kutufariji, wala si kwamba amesahau kihivyo ni mtani toka enzi hizo
@doreensamwely87403 жыл бұрын
Nakupenda San Ally Hasan mwiny ,mzee wa rukusa
@semhineshauri34103 жыл бұрын
Ndio mzee wa ruska rushwa mpaka chooni
@kautharjay58683 жыл бұрын
@@semhineshauri3410 rushwa inaanza kwenye familia ,big up Anza kuteketeza rushwa kwenye familia yako na kuna rushwa nyingi tu
@semhineshauri34103 жыл бұрын
@@kautharjay5868 haha 😄 sijui kama unaelewa unachokisema
@matopeboybomba57323 жыл бұрын
Babuuuu wa taifa
@kautharjay58683 жыл бұрын
@@semhineshauri3410 ntakuwa sielewi neno rushwa na Aina zake labda Ila Kuna rushwa ya ngono,rushwa ya udugu(nepotism),rushwa ya pesa nk Sasa ktk familia yako rushwa hakuna kwe mbona unashindwa kutokomeza km kaz rahis ki familia kdg tu kinakushinda utaweza nchi
@fatmakudrat85663 жыл бұрын
Mapenzi CX
@salvatorymtui54073 жыл бұрын
naibu mpy
@hashimsalehe81183 жыл бұрын
Uyu mzee komedy kwl
@rajah93283 жыл бұрын
Alitoa watu upweke wa ya week nzima
@baltazaryjohn19682 жыл бұрын
Rudia urais Babu yetuuuu
@yohanashefa56813 жыл бұрын
Mzee mwinyi sasa anazingua hawez kuongea awe anaongelewa na mwenye nguvu zake bhn
@lydiashoki89743 жыл бұрын
Yesu akutunze mzee Mwinyi tuipate hekima
@eliyalucas94283 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wetu mstaafu Mwinyi umetufurahisha sana kwa hotuba nzuri
@mwajumaahmed98883 жыл бұрын
🤣🤣mzee kachomoa btr kaambiwa taratibu kuwa inatosha ye karopoka
@rebekadamiano84883 жыл бұрын
daaah
@zakyahya46453 жыл бұрын
Uzee hhahahha
@jwakarhjwakarh43853 жыл бұрын
Tulimpenda ilamungu kampenda zaid alale pema
@mohamediidd75793 жыл бұрын
Panaitwaje vileee ....chatoo hahahaaa
@obedimwakagali77553 жыл бұрын
Mnamsumbua mzee tu
@hmadadunia72183 жыл бұрын
Atalii
@sophianasri93363 жыл бұрын
God bless you dady
@stephanominja89273 жыл бұрын
Jamaniiii panaitwaje hapa,,,🤣🤣🤣🤣🤣 nimefurahi sanaaa kuona babu yetu mh rais mstaafu anaongea,,, mungu akutunze samia na wewe uje uongee kama mwinyi🤣🤣🤣🤣