Ibada zetu, sifa zetu, na kuabudu kwetu kumeingiliwa na udunia mwingi kiasi kwamba nguvu iliyo ndani ya ibada, sifa na kuabudu imepotea katika kanisa la leo. Watu wanachezea Yesu wakaki hata waume zao au wazazi wao hawawezi wachezea.
@EliasBaltazary23 күн бұрын
Niyasikiapo mafundisho yako napata amani sana ndani ya moyo wangu, napenda injili ya kweli, sihitaji kupoteza muda bure... Ubarikiwe sana. Anayekuchukia ni wazi kaanza kumchukia Yesu Kristo... Wengi wameilanisha injili, kumekuwa hakuna sheria kuliko hata kwa Shetani... Ubarikiwe sana.
@annewanjiru81823 күн бұрын
Thank you mtumishi wa Mungu kwa kutukumbusha kiwango gani shetani ametamani kuiba our souls through music. Embalamba is a disgrace to the gospel world, na hizo zingine ati..unataka unaiwe, 😢. Mungu aturehemu esp sisi wakenya
@leticiamakoye487125 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wenye masikio wasikie.
@faridashabanifaridashabani595022 күн бұрын
Kusema ukweli nyimbo zazamani zinamabariki Sana jamani♥️🙏🥰
@Franckmulaj-Officiel25 күн бұрын
Uyu ni man of god, kwa kweli ubarakiwe sana♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@JULIANAJOSEPH-wq4lm23 күн бұрын
Mtumishi mwenye kuhukumu ni Mungu pekee 😮!!Kuhusu hao waimbaji hupaswi kusema kitu maana watu bado humpokea Mungu kupitia nyimbo hizo hizo wanazoimba hao waimbaji,mapokeo ya mtu mwenyew ndo yanayomuunganisha mtu na Mungu na sio Mwimbaji anayekuunganishq na Mungu. Hata waimbe wakitaka umaarufu hukumu atatoa mwenye ENZI YAKE PEKEE 🙌
@TusaKiblaga-vp9jg24 күн бұрын
Sema Babq sema wenye masikio watasikia Mungu atusaidie
@patiencehumbled351924 күн бұрын
Hallelujah sifa na utukufu ni kwako Yesu
@Franckmulaj-Officiel25 күн бұрын
Tuna kupenda sana,na tunakufwata sana congo namutumushi moja wa mungu,wewe ni mutumishi endelea vile, na mungu akushike mukono
@btsanime613825 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Cassian waimbaji wa sasa hawaimbi bali badhi wanatafta umarufu tu. Mungu atusamehe kabsa .
@Pendopasilika25 күн бұрын
YESU wangu. Heee!! Hongera Paschal MUNGU akusaidie shetani yupo kazini Ni kanisani?
@user-ne1cd7oq4z25 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana Yesu,na kubaliana na wewe, Mungu akutiye nguvu kwa huduma hii.
@dajo752322 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@merabKitundu25 күн бұрын
Mungu akubariki sana kwa kusema ukweli
@GustaveAbedi-td9yv9 күн бұрын
La gloire, l'honneur et la puissance et la puissance Soit avec notre seigneur Jésus Christ de Nazareth.
@Visionofeagle968924 күн бұрын
Uinjilisti una kufaa kabisaa mkuu , namna unavyo pazaaa kwa kishindo hakika ✊✊🙏🙏
@user-dt5wp5qo4n25 күн бұрын
Amina amina mungu akubarki mchungaji,from kenyA
@joycefaida654825 күн бұрын
Ubarikiwe sana Mch.Paschal🙏🙏🙏
@user-cr6fc7nt8k25 күн бұрын
Wa2 wanaimba kupata pesa na umarufu awaimbii mungu..shetan ameteka wengi tena wenye wako kanisani...siku za mwisho hizi
@subirachristopher198413 күн бұрын
Ni kweli, saiz waimbaji wengi wameishia kuwa wanq mziki waliojipatia ustaa na sio kumuinua Mungu
@user-cr6fc7nt8k25 күн бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza..mungu akubariki poster akupe nguvu...endelea kusema ukwel nakubaliana na maubiri yako kwasababu ayafanani na awa wengine makonimani
@paschalcassianoriginal941125 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-cr6fc7nt8k25 күн бұрын
@@paschalcassianoriginal9411 poster mm sijui venye naweza ku2ma sadaka ya kujenga madhabau..natuma vip kwasababu mm ni mkenya na nko saudia rabia..ebu niambie ni2me vp
@user-cr6fc7nt8k25 күн бұрын
@@paschalcassianoriginal9411 niambie code na je niki2ma zitafika kwel hapo ndyo nachanginyikiwa juu sijawahi ku2ma pesa Tanzania 🇹🇿
@FestoJemsi-lr8pw25 күн бұрын
@@paschalcassianoriginal9411MZEE UNANENA YAUKWELI SEMA WATU HAWAKUEREWI MAHUBILI YAUONGO NDO WANAEREWA MAERUFU NAMAERUFU ENDELEA MZZEE ATA UKIOCOA WAWILI WATATU KWENDA MBINGUNI TAJIUNAYO((((MUNGU TUMEVAMIWA TUSAIDIE ))))
@FestoJemsi-lr8pw25 күн бұрын
😭
@annijulius495323 күн бұрын
Ni Heri Waimbe Tenzi za Rohoni. Unapoimba Tenzi za Rohoni uponyaji na ufungulivu vinashuka Usipokuwa Rohoni huwezi kutunga wimbo wa kubariki watu.
@NicholausMbalani24 күн бұрын
Ubarikiwe sana pastor Cassian
@elizabethbrown674817 күн бұрын
Kweli ni upuuzi sana. Mungu atuhurumie jamani. Hata kwenye tv haileti maana kabisa. Nyimbo ni za kidunia sana.
@SophiaThadei-hx4wd25 күн бұрын
Asante Mungu akubaliki🙏🙏🙏🙏
@user-ij8cj7zl7b25 күн бұрын
Mtumishi wa MUNGU barikiwa sana
@hanagango692220 күн бұрын
Waimbaji wengi nyakat hizi hawaimbi kwa ajili ya mungu wanatafuta pesa tu ndy maana wanadance ili kuwaatract watu wamepende izo sebene zao
@LillianMunyaka25 күн бұрын
Amen my God bless you
@faridashabanifaridashabani595022 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 Ila embarambamba😂🙌🙌
@AnaMeshack25 күн бұрын
Ni kwwli waimbaji siku hizi wanaimba kidunia ni bora tu waache kumuimba yesu waendelee tu na kidunia...
@pendofrances61724 күн бұрын
Ni kweli
@DastanChite4 күн бұрын
Kwa mafundisho yako mtumishi mimi hakika macho ya rohoni yamefunguka kwel kabsa
@generosennko834324 күн бұрын
2 samwel 6: 14-22 David danced before the lord with all his might. So! Praising/dancing before God is not just or only a rohoni act, but can also be done with physical bodily expression ofcourse in an acceptable manner. Remember what happened to Davids wife when she tried rebuke David ways of dancing? Well, go check it out again. Shalom and Gods blessings
@Rurengera25 күн бұрын
Ubarikiwe ❤❤❤❤
@mengindegeya278025 күн бұрын
Brother mi sina mengi ya kusema ila mungu akubariki.
@ABIGAIL67-tria25 күн бұрын
Kuna kanisa ingine pale nairobi ..ilikuwa kanisa ya kabila moja ya kiluyah,wasipoimba kilugha roho hashuki Alafu roho akishuka wanapasua viti wanachapa watu ,siku moja mdada fula alipasua madhabahu na akaumia kichwa.iam telling you watu walikuwa wanakuja kanisani wakiwa wasafi wanarudi nyumbani wakiwa wachafu,wengine wameumia,eti ni roho wa MUNGU😳😳😁😁😁😂😂😂😂😂
@paschalcassianoriginal941125 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@paschalcassianoriginal941125 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😍😍😍😍😍😍❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ABIGAIL67-tria25 күн бұрын
@@paschalcassianoriginal9411 iam telling mtumishi,, 😁but nilisafiri,,, finally nikasikia haipo walianza vita wenyewe kwa wenyewe na Kila mtu akaenda zake
@user-ij8cj7zl7b25 күн бұрын
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU NIKWELI KABISA
@joycefaida654825 күн бұрын
Kenya🙌🙌🙌🙌😁
@EstherChadi-xe7se25 күн бұрын
Amen Amen
@ItikaWito25 күн бұрын
Amen kaka
@EmanuelSolomon-ij1is25 күн бұрын
Hee Mr cassina niembie shida na kasoro ya ambwene mwasongwo acha hao wengine ni wahuni.
@hasanygodda924225 күн бұрын
Amen
@user-es4jv6pb8x21 күн бұрын
Hivi hao wanashida gani mweee au wamechanganyikiwa
@emilianagodwine613825 күн бұрын
Nimecheka sana jamani leo nahii kadogoli
@user-tn5hv5oj7g24 күн бұрын
Judgment is for God only , Preach the gospel and judgement leave for God
@isakashega605625 күн бұрын
Ubalikiwe
@user-es4jv6pb8x21 күн бұрын
Hayo ni mazingaombwe
@jovettedenise259125 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@AbbahCostaabbahCostaabbah25 күн бұрын
❤❤❤❤
@user-fy9zl1oq7x22 күн бұрын
Na Ambwene Tena duuuuuuuh!
@mkalibizz7 күн бұрын
😂😂😂😂 nyimbo hizo
@angelemmanuel714325 күн бұрын
Yani waimbaji wanasaidia shetani kutimiza kusudi la shetani sijui wanazichunguza roho au wanapenda fedha maana wengi wamekuwa rafiki wa manabii wanapotosha watu kwa kweli
@dennisipaella376925 күн бұрын
Ukweli mtupu
@epifaniamilinga284825 күн бұрын
Shida kwelikweli
@user-es4jv6pb8x20 күн бұрын
Nyieee
@ChengulaWema25 күн бұрын
Kuna kit kimenishangaza had ambwene ???
@martinahlighare649525 күн бұрын
Ninalo swali, ukiwa unamwimbia Mungu ili kufanya ibada na wengine na usiruhusu wimbo wako kujukuliwa ( download) ili kuusikia baadaye maana umeguzwa na ujumbe aliouimba mtumishi, hapo utakua umehubiri kikamilifu? Maana yule wa chini hana uwezo wa kuusikiza mziki wako pasipo hela. Wakosoe pasipo kituo, atakaye gairi akinywee kikombe chake cha hukumu siku ya kiama. Wasilete chukizo patakatifu pa Mungu.
@bahatimaselo852825 күн бұрын
TUMEKARIBIA NYUMBANI 🏠 wapendwa
@PeterMahona-zd3oz25 күн бұрын
waimbaji wakoloni sana au
@josykogei764725 күн бұрын
Mbwene naye ametokea wapi
@user-ub2vn5vt3o25 күн бұрын
Ila kiukweli huyu kaka atafika mbinguni amechoka sana, kwann anahukumu wenzie? Ye si afanye kazi aloitiwa na Mungu khaa😂😂
@jameskilasa75924 күн бұрын
Kukemea na kuonya hata yesu alifanya
@happinessvuriva92225 күн бұрын
We huna kazi za kufanya?
@FestoJemsi-lr8pw25 күн бұрын
Huna neno ndomana umecoment hivyo Polle mungu akusaidie