ASIMULIA ALIVYOACHA UIMAMU wa MSIKITI na KUWA NABII KANISANI - "Niliamua KUJIUA KULIKO KUWA MKRISTO"

  Рет қаралды 46,693

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

ASIMULIA ALIVYOACHA UIMAMU wa MSIKITI na KUWA NABII KANISANI - "Niliamua KUJIUA KULIKO KUWA MKRISTO"
Isaac Paul Hammoud au Nabii IPM ni Mtumishi wa Mungu ambaye awali alikuwa muumini mwenye itikadi kali ya Dini ya Kiislam lakini sasa ni nabii.
Kwa Mujibu wa Nabii IPM mwenye kanisa lake maeneo ya Mbuyuni, Mbezi-Beach jijini Dar anasema kuwa siyo kwamba kwenye Uislam kuna tatizo, hapana, bali alitii wito wa Mungu.
Anasema kuwa, katika kutii wito huo, alijikuta kwenye nyakati ngumu ikiwemo hatua ya kujaribu kujiua kwani hakuwa rahisi hata kidogo.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 803
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@AhmedMwaipopomazinge
@AhmedMwaipopomazinge Жыл бұрын
CHA KUSHANGAZA HUYU BWANA ANA MHUBIRI YESU MWANA WA MUNGU AU ISSA BIN MARYAM AISYE NA BABA?? MAHUBIRI YAKE HAYANA MSIMAMO....MARA KUTOKA KORAN MARA BIBLIA/// KULINGANA NA IPM, TUMFWATE MUNGU WA YESU AU MUNGU WA ISA???? Ufunuo 3:15-16 Nayajua mambo yako yote! Najua kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungekuwa kimojawapo: Baridi au moto. Basi, kwa kuwa hali yako ni vuguvugu, si baridi wala si moto, nitakutapika! NA HII NDIO SIKU YA KUTAPIKWA!! 👇👇 Matayo 7:22 Siku ile itakapofika wengi wataniambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’ 23 Ndipo nitawaambia wazi, ‘Sikuwafahamu kamwe. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’
@fhgggffhg7721
@fhgggffhg7721 Жыл бұрын
​@@AhmedMwaipopomazinge ayo unayo sema niukweli ila ukumbuke kuwa mungu haku maanisha dini alimaanisha uku ukifanya dhambi nauku ukijifany mcha mungu kubali kuwa moto ama kuw baridi nasidin ndiomaana mwanadam wowote anae jielewa hanapande anayoegemea
@AhmedMwaipopomazinge
@AhmedMwaipopomazinge Жыл бұрын
@@fhgggffhg7721 Pande zote haziwezi kuwa kweli/sawa!! Moja ni kweli na nyingine ni uongo!! Kwa mfano///Mungu wa Biblia anaye Mwana...na Mwana ana baba. Mungu wa koran hazai na hana mwana!! KATI YA HAWA WAWILI...MMOJA NI KWELI NA MWINGINE NI UONGO!! USHAFAHAMU???
@zenaahmedi8857
@zenaahmedi8857 Жыл бұрын
Innalilah wainna iray'h raajiun
@rehemamlyuka6109
@rehemamlyuka6109 2 ай бұрын
Hakika umechagua fungu jema Mungu si mwislamu wala mkristo Mungu ni WA wote Cha msingi tumtafute yy naye atatupokea ,Naimani Mungu alikiona kipaji chako ,Mungu awe nawe daima Ameni!!!
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 күн бұрын
mmh arudi huko huko
@aliissa-je6gt
@aliissa-je6gt 3 күн бұрын
nakupinga dada mungu ni muislam na sio mkiristo
@Alexthadey-lm3ju
@Alexthadey-lm3ju Жыл бұрын
Kwa sisi tunaomjua yesu tunamuelewa sana huyu ndugu yetu katika kristo yesu jina la Bwana libarikiwe sana
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
Amen
@josephinejohn2752
@josephinejohn2752 Жыл бұрын
Usifagilie ujinga wewe uyu kakosa ajila kwanini afundishe dini mbili alafu Kila anacho sema lazima aweke mfano wa dini ya kiisilam uyo mpigaji tu
@josephinejohn2752
@josephinejohn2752 Жыл бұрын
Kwanini ajakuwa muumini wa kawaida filauni anachezea dini za watu
@josephinejohn2752
@josephinejohn2752 Жыл бұрын
Mtu Kama ana akili atamfatilia na kumfata apo kwenye ukumbi wake AmBAR anauita kanisa
@josephinejohn2752
@josephinejohn2752 Жыл бұрын
Kakosa hajila ndio maana kakimbilia uko kwenu kwa walokole
@joycekaganga6924
@joycekaganga6924 22 күн бұрын
Yesu ana nguvu na ana namna nyingi za kumuokoa mtu hata uwe mpinzani namna gani siku ikifika utasalimu amri tu ❤🎉 songa mbele usirudi nyuma kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana
@Shalom2018
@Shalom2018 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu,umechagua njia sahihi,kwa waliyokuwa hawajakuelewa wasome surat Alimrani yote ambayo inamzungumzia nabii Issa bin Mariam (Yesu Kristo)
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 Жыл бұрын
Mdanganye🤣🤣🤣
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
@@zuwenaalamin8985 Kama ni kudanganywa basi alidanganywa na aliyekuwa anamtokea ambaye ni Yesu kwa maelezo yake mwenyewe. Sasa kama Uislam unasema Yesu ni muongo basi atakuwa kadanganywa
@fatumakiwera7145
@fatumakiwera7145 Жыл бұрын
@@daudimichael7338 mmmh
@benabdoul8762
@benabdoul8762 Жыл бұрын
Ni Issa siyo huyo hakuna nabii katika karne hii
@Shalom2018
@Shalom2018 Жыл бұрын
@@daudimichael7338 Tusiandikie mate wakati wino upo,someni surat Alimrani yote kwenye Quran yenu mtaona kila kitu kuhusu huyo Yesu ambae nyie mnamuita Issa,kwa kuwasaidia tu someni surat Alimran aya 21,aya ya 9,aya ya 45 ,na surat ya Zukuruf aya ya tisa 9,hii ndio muhimu kwenu maana mmepewa maagizo mumfuate huyo Yesu Kristo mnaemkataa
@kamenemulu8561
@kamenemulu8561 Жыл бұрын
Amen mungu hakuongose am from. Kenya 🇰🇪 following from Kuwait 🇰🇼 nitakuja.siku moja
@mangeraalbert7982
@mangeraalbert7982 Жыл бұрын
Yule a kenyan but hii story ya kiongo tu, look from the body and face he lying to himself
@ramadhanmbarak3979
@ramadhanmbarak3979 Жыл бұрын
INNALILAH WAINNA ILAIH RAJIUN
@ssaa7495
@ssaa7495 Жыл бұрын
Pyeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 Жыл бұрын
Hakika huu ni msiba
@mimahmimah1595
@mimahmimah1595 Жыл бұрын
​@@zuwenaalamin8985 tena mkubwa
@frankmpembu
@frankmpembu Жыл бұрын
Pole sana
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Жыл бұрын
Mtihani huu 😢
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
Yesu alisema sikuleta amani duniani Bali ncha ya upanga, kwa maana ndugu atamchukia ndugu kwaajili ya jina langu, mtu statengana na wazazi wake kwasababu ya jina langu. So jipe moyo mkuu mtumishi , utayashinda
@agentmsami5303
@agentmsami5303 Жыл бұрын
Allah ubhanahu wataala anasema "Enyi mlioamini mcheni Allah haki ya kumcha na wala msife ispokuwa mmekuwa waislam"
@johnssaimon450
@johnssaimon450 Жыл бұрын
Muda utafika utaelewa kwamba YESU kristo ndiye BWANA kwake kila goti litapigwa na ulimi wako utakiri kuwa ndiye BWANA.
@elsonkingtz4506
@elsonkingtz4506 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@RaphaelNjongo
@RaphaelNjongo 20 сағат бұрын
Uko vizuri sana. . Mungu azidi kukusimamia ktk utume wako
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Жыл бұрын
Mungu akulinde na akupe maisha marefu na afya njema na akupandishe daraja lako la imani🙏
@kelvinjohnson8952
@kelvinjohnson8952 Жыл бұрын
Kila goti litapigwa mbela zake kila ulimi utakiri jina lake. Nabii akubariki kwao ata wazee wao waliwatenda ivyo manabii Mungu yu pamoja nawe kwa neema ya Yesu kristo fanya kazi uliyopewa.
@benignajosephwatendewao2065
@benignajosephwatendewao2065 7 ай бұрын
AMEPATA NEEMA SAANA.
@benignajosephwatendewao2065
@benignajosephwatendewao2065 7 ай бұрын
MUNGU AENDELEE KUMBARIKI.JAPO MAGUMU YAPO.
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Hongera sana Mungu azidi kukubariki🙏🙏sema baadhi ya waslam sijui wapoje wanaubaguzi wa dini sana mkristo akienda uslam sawa ila mslam akienda ukristo ni tatizo nawachukia sana watu kama ao Mungu ni mmoja shida ipo wapi 😏😏
@thabitimkufi7388
@thabitimkufi7388 Жыл бұрын
Nasie tunakuchukia kama unavotuchukia
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
​@@thabitimkufi7388 tunakuchukia sana
@kabulamalima5179
@kabulamalima5179 Жыл бұрын
Hata wewe uko hapa ukimpongeza kwa hiyo ulitakaje?? Tumpongeze?? Hakuna mtu anayependa kuona mtu anahama kutoka dini nyingine kwenda nyingine hata wewe usingependa kuona mtu anatoka ukristo kwenda uislam
@kabulamalima5179
@kabulamalima5179 Жыл бұрын
Si unyamaze why blaming???
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 Жыл бұрын
Hata sisi tunakuchukia bi vivyo hivyo cha ajili ya Allah.
@chiekhthiam980
@chiekhthiam980 Жыл бұрын
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.❤
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele ameen
@adammj6258
@adammj6258 Жыл бұрын
Ndio hivyo mnavyopelekwa pelekwa hadi kuuliwa
@chiekhthiam980
@chiekhthiam980 Жыл бұрын
@@adammj6258 Sifa na utukufu kwa Mungu juu mbinguni na amani Duniani kwa watu aliowaridhia, Ee Yesu mfalme wa Dunia tunakuabudu na kukutukuza milele na milele.
@adammj6258
@adammj6258 Жыл бұрын
@@chiekhthiam980 YESU mwenyewe alifundisha kuabudu MUNGU, wewe unasema unamuabudu Yesu,,,kuna shida hapo
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
@@adammj6258 hayakuhusu wewe utaishi milele na ninyi kujilipua na kuua watu vipi imekaaje
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 күн бұрын
Mungu tusamehe! Wewe Yesu ni una nguvu kubwa Sana. Umemjia huyu Isaak ni mpango wake tu. Hata Nami ni kwa Imani tu mungu ananitendea huyu Yesu mwana wa mungu .ameen.
@maryamalrayami1513
@maryamalrayami1513 Жыл бұрын
Allah akuhidi na akurudishe njia iliyokua sahihi Ulitokewa jini wewe Na hakukuachia mpaka akakupoteza maskini
@pinieliedward5992
@pinieliedward5992 Жыл бұрын
No
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Жыл бұрын
Je Muhammad kule mapangoni alipo banwa mbavu nakupewa utume mbona mlikubali na hamkusema aliye mtokea alikuwa ni jini na siyo MALAIKA Leo huyu mnasema ni jini?
@dvjtwentyfivedecember4398
@dvjtwentyfivedecember4398 Жыл бұрын
Huna akili wewe choko
@zuwenaalamin8985
@zuwenaalamin8985 Жыл бұрын
Hakuwa mwislamu huyo katumwa tu huyo
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Kwahiyo msikitini Kuna majini?
@chandarotv7649
@chandarotv7649 4 күн бұрын
Uko vizuri sana my brother prophet lPM mm Niko pamoja na ww , l'm Prophet chandaro dar esalama nakufatilia sana kiongozi we are together
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Жыл бұрын
Jina la Bwana ya Yesu litukuzwe maana imeandikwa katika Flp 2:10-11 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
INNALILAH WAINAILAH RAJIUN, ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA 😢
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Bora umemwombea.maana mnajifanyaga Mungu kuhukumu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
@@tanzcanmediatv4473 Hatuhukumu ila hata yeye uyo anaongea Analijua hilo, kuwa hakifa kama sio mwislam motoni, uyu kasoma dini vizur, sio kama nyie wafuasi mnafata tu mkumbo, ila anajua akifa kwenye ukafir motoni upo, sio sisi maneno yetu, ni maneno ya Allah yaliyopo kwenye Quru'an, Fuatilia mahubir yake nae anakir hilo.
@OG_The_King
@OG_The_King Жыл бұрын
Ni ngumu kuamini ila yakupasa kuamini mungu wetu ni mwema sana huwainua walio wake. Jina la yesu ni jina kweli na uwezi kumuona baba yake bila yeye 🙏
@benignajosephwatendewao2065
@benignajosephwatendewao2065 7 ай бұрын
UMEBARIKIWA KAKA...
@maimoonabakari1426
@maimoonabakari1426 Жыл бұрын
Innalillah wainnailahi rajighuun, Allah akuongoze ktk njia sahihi na sisi pia atuongoze hakuna aliekamilika ispokuwa Allah
@SalhaUchebe
@SalhaUchebe 3 ай бұрын
Amiiin
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z Ай бұрын
HAKUNA CHA UNABII HAPO, Kilicho mpeleka ni TAMAA TU ZA DUNIA. SADAKA, MAGARI YA KIFAHARI, MAJUMBA YA KIFAHARI. NK. Huyo sasa ndiye KAFIRI KABISAA ANAETAMKWA KTK. BIBLIA
@kabulamalima5179
@kabulamalima5179 Жыл бұрын
Hata kuapa anaapa kwa kiislam inshaalah basi Mwenyezi Mungu ndo ajuae
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Жыл бұрын
Yesu yupo!
@florabuzoya3948
@florabuzoya3948 7 күн бұрын
Hongera sana Umechagua fungu Jema ,Una Bahati sana kuwa Mkristo,Mshukuru sana Mungu.
@abuumkota5505
@abuumkota5505 5 күн бұрын
suubutu kaeni hivo hivo
@charlzlomo9219
@charlzlomo9219 Жыл бұрын
Huu ni wakati wa mavuno watu wengi sana watatokewa Yesu hasa wa Imani nyigine
@Pharadge
@Pharadge Жыл бұрын
yesu wa tongereni au yule wa mackenzie kule kenya
@benabdoul8762
@benabdoul8762 Жыл бұрын
Ibilisi ananguvu aca awe anawatokeya eti wametokewa na Yesu
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
Amen nabarikiwa sana kwakupitia ushuhuda wako ndugu😢
@uwimana6533
@uwimana6533 Жыл бұрын
Njaa wabongo itawapeleka pabaya , kitu unasahau kuna dunia nakuna Akhera , 😭😭😒
@mathewnemes5469
@mathewnemes5469 Жыл бұрын
Msimlazimishe mtu kuamini unachokiamini ww, huyo ni mtu mzima anayo maamuzi binafsi pia hizi dini tumezikuta ni njia tu ya kumtumikia Mungu isikufanye kinywa chako kuachia maneno ya vitisho au kulazimisha mtu aamini imani yako, baki kwenye kile unachokiamini ww.
@omariaman7818
@omariaman7818 Жыл бұрын
​@@mathewnemes5469mbna sasa akiusifiaga uislam mnamponda? Huyo tumbo limempeleka ila hakki anaijua
@abuuazhar3738
@abuuazhar3738 Жыл бұрын
Nawaonea Huruma sana wanawake wa kikristo. Yani mnavyopenda kuwahurumia watu huyu atakula hela zenu mpka mkome.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 күн бұрын
hali za kwangu ovyo sasna
@GiselaLukas-fu6vx
@GiselaLukas-fu6vx Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na akulinde
@user-rn2fs5jg6n
@user-rn2fs5jg6n 11 күн бұрын
Ni njaa hizo, Mwenyezimungu akuongoze katika njia ya haki.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Hongera sana kwa YESU raha sana
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z Ай бұрын
Hilo jamaa ni njaa tu na tamaa za Dunia. Na kilicho mtokea ni majini yaliyo Muasi Mwenyezi Mungu. (Wewe kula Bata zako hizo.. Na tusubiri tu mbeleni yajayo) Laanakum,
@Mahruqiya
@Mahruqiya Жыл бұрын
Inna Lillahi wa Inna Ilaihi Rajioun
@dvjtwentyfivedecember4398
@dvjtwentyfivedecember4398 Жыл бұрын
Hii ndio Dini ya kweli
@Queensagarika887
@Queensagarika887 Жыл бұрын
Binti Ahmed this is business mwisho wa dunia 😒
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 Жыл бұрын
Innalilah wainailaih rajiun
@khadijadiswera6979
@khadijadiswera6979 Ай бұрын
Asante sana
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 Жыл бұрын
Wakina Zumaridi Wakutokewa na mwanga na kuongea nao Tutaona mengi kabla ya Dunia kufika mwisho
@al-hidayahonlinetv3447
@al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын
kwakweli
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 2 ай бұрын
Nakuombea Mungu ukutane na Yesu maana yupo popote ili usiende jehanam
@ameenaameena422
@ameenaameena422 2 сағат бұрын
Napenda tu hautukani uislam
@YussufPandu-es7ou
@YussufPandu-es7ou Ай бұрын
Usubiri Moto wa alla Kwa unafiki wako ,hukuwa muislamu tokea mwanzo ulikuwa mkiristo,. ,,kwasababu. Yesu hakuja kufundisha ukiristo,n
@emmanuelyeliamajele-yk8hb
@emmanuelyeliamajele-yk8hb Жыл бұрын
Barikiwa🙏🙏
@andrewmhagama9816
@andrewmhagama9816 Жыл бұрын
Umepokea fungu lililojema kwa Yesu kila goti litapigwa na Mungu akubariki.
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 Жыл бұрын
Amen pro
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Ana makosa mengi (1) qur an hairuhusiwi kusomwa bafuni (2) hatuamini kama nabii issa kafa (yesu) (3) uislam hauruhusu mtu kujiua (4) aya alizozisoma zina makosa mengi .wakristo kuweni makini na huyu mtu
@alikomwandoto1258
@alikomwandoto1258 Жыл бұрын
Amina 🙏🙏 mtumishi
@agripahvaisa2138
@agripahvaisa2138 Жыл бұрын
Subhanallah...Allah atujaalie mwishomwema
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
AMECHEZEWA NA SHEITWANI NA AMESHINDWA MITIHANI YA ALLAH, AKAAMUA KUKUFURU KWA HAKIKA AMEKULA HASARA KUUWACHA UISLAM NA KWENDA KWENYE UKAFIRI, NI BORA UNGEKUBALI KUFA KWENYE UISLAM WAKO UNGESALIMIKA, ALLAH AKUREJESHE KWENYE UISLAM.
@YusoufMjr
@YusoufMjr Жыл бұрын
maokoto mchezo😂
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Жыл бұрын
innalillah wainna ilaihi rajiuni. hakuna muislam aliesoma dini alafu baadae akajakukufuru. Allah akuongoze kwenye njia sahihi.
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV Жыл бұрын
Tena wajinga ndio hawawezi ila wasomi wengi humfuata Yesu...
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
Hajasoma dini anajua tu baadhi ya mambo kwenye dini kwasababu kuna siku ashasema sie tuna abudu Mungu na Muhammad nikasema hajasoma dini huyu hmna muislam ata mmoja aliesoma dini aseme tuna abudu Mungu na Muhammad
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
​@@inesstibenda2832 hakuna muislam aliesoma dini akailewa anaweza kuingia kwenye ukristo dini isiyo weza kujielezea uyo ni msakatonge na hajawahi kuwa muislam katumia uongo ili awapate kondoo wengi
@barakashaban9698
@barakashaban9698 Жыл бұрын
​@@GloriousRestorationTV kwenye uislamu hakuna wajinga ila kwenye ukristo ndio wamejaa
@martinchansamwinyi2508
@martinchansamwinyi2508 Жыл бұрын
He was not a Christian. Let him not lie there, there's no Nabi after Muhammad s.a.w.... He's just after 💰...
@OmanOman-ji1iy
@OmanOman-ji1iy 3 күн бұрын
Pole sana kaka hiyo kawaida
@miishhassn
@miishhassn Жыл бұрын
We hujaielewa dini yani inaonekeana kabisa umesoma kote huku umepita bado hujaona haki ilipo imani yako ilikuwa ndogo ndio maana ukaamua kumfuata haiwezekan kabisa allah akurudishe inshaallah
@zanlec7357
@zanlec7357 Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Allah akuongoze usije ukafa kwenye UKAFIRI, aaamin
@user-fm6ev2or7b
@user-fm6ev2or7b Ай бұрын
Mjinga mmoja wewe..kafiri mwenyewe..unaongozwa na chuki za kidini tu na huna mungu ndani yako ndiomaana umekumbatia dini kuliko mungu unakaa kuwaita watu makafiri.. we unajua maana ya kafiri ?? Mbona nyie watu huwa mnachuki za kijinga sana kwenye imani za watu au mnazani mbingu ni yenu? Acha ujinga rafiki angu mshike sana mungu wako acha kukumbatia dini...dini haitakusaidia chochote sasa we komaa kuwaita watu makafiri na kuchukia imani zao
@Farhan-cp1vx
@Farhan-cp1vx Жыл бұрын
Dunia imeisha pole sana ndugu rudi kwenye dini ya haki
@cmsa1r
@cmsa1r Жыл бұрын
😂
@husseinhassani8580
@husseinhassani8580 Жыл бұрын
Ndugu yangu nakushauri rudi katika dini yako usipotee achana na mambo mengine
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Жыл бұрын
Mtihani
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 күн бұрын
Arudi huyo hajaokoka asitudanganye
@mfaumeh.rissasi226
@mfaumeh.rissasi226 Жыл бұрын
jamaa ni good story teller asee.... ukizubaa unaeza muamini 100%. Kumbe mpigaji tu, huko najua umefata fedha tu ndugu... Omba Allah usije fariki hujarudi kwenye njia ilionyooka. tunakuombea. ni Sheytwan amekuzidi nguvu tu.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Mimi nishawai uliza wisilam na ukristu ipi dini ya kweli sikujibiwa na mungu ila kuna ishara nilizo onyeshwa ndiopo nikajua kua mungu nimkuu sana ushara navitendo ndivyo vya mungu
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Acha uongo Mungu akuongoze mapasta wengi Huwa wanajuwa saana mambo ya dini ya uislam ila ubishi tu M.mungu akuongoze
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
Zamani tulikuw hatujui ila now tumejua na tunasema uislamu no tupo na Yesu mpk milele
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
​@@madetetv6576 kwendra zako ukristu no And me
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 haya endelea kuabudu Hilo jiwe la mecca.
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@madetetv6576 Alhamduli llahi kibla changu 😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ 💖💖💖💕💕😊👌
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 du kafiri Mkubwa ww unaabudu jiwe na unashukuru kweli uislamu ni ukafiri
@navioma4882
@navioma4882 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 upo kikazi zaid sio imani
@Ommyjames313
@Ommyjames313 Жыл бұрын
Yarab tujaalie mwisho mwema huu ni mtihani
@alinaalina5044
@alinaalina5044 Жыл бұрын
Pole sana mchungaji
@kyakagoro6584
@kyakagoro6584 Жыл бұрын
Anasema anajua uislamu je Uislamu Unaruhusu mtu kujiua Huo ni Uongo
@omarykitenge8283
@omarykitenge8283 Жыл бұрын
Uso wake unaonesha yaliyomtokea ni kweli wala sio story za kubuni kama ilivyo kwa wengine ! Mtazamo wangu: 1. Something strange is going on kwenye maisha ya huyu mwamba, na hayatoishia hapo. Yatamtokea tena na tena na yanaweza kua tofauti na hayo au ya ajabu zaidi kushinda hayo. 2. Probably hayo yaliyomtokea hakuna wa kuweza kuyang'amua kwa sasa si yeye mwenyew wala mashekhe, inaonekana yaliyomtokea yamevuka uelewa wa kawaida wa mwanadamu wa sasa ! 3. After sometime haya mambo yatatoa tafsiri kubwa sana na msishangae hali ya ajabu ikajitokeza ! MaSwali Ya Msingi: 1. Siku yakimtokea kinyume na hayo je, Nani atamuamini tena ???? Waislam au Wasio waislam .... 2. Alama ya Sijda kwenye paji la uso wake inatokana na nini ?? Kama uelewa wako ni mdogo usiguse komenti yangu
@abdul-azeezmagram4973
@abdul-azeezmagram4973 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe huelewi kitu umeskiza stori tu ambayo mtu yoyote anaweza kuitengeneza km director wa movie😂😂😂
@talhiyaibrahim1074
@talhiyaibrahim1074 Жыл бұрын
Muogo huyu Kaka sana miogepe allah
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Muongo saana
@abbyadams8691
@abbyadams8691 Жыл бұрын
Kanunuliwa na Wakristo ili achafue dini yetu ya haki.😄😄😄😄😄
@nancychuwa4870
@nancychuwa4870 Жыл бұрын
​@@abbyadams8691 kama mlivyo mnunua Mwaipopo! Akitoka kwenye ukristo utasikia karibu kwenye dini ya haki, akitoka kwenye uislamu amenunuliwa! Na Bado wataondoka wengi tu, awe amenunuliwa au hajanunuliwa ndio ameshaondoka hivyo sasa
@iddyramson2991
@iddyramson2991 Жыл бұрын
muongo mkubwa huyu
@faithmapondo7370
@faithmapondo7370 Жыл бұрын
Kumbe ndio tabia yenu ya kutuongopea na kununuliwa Mnaumia wenyewe
@lailahumaid2011
@lailahumaid2011 Жыл бұрын
Innalillah wainna ilayhi rajiun
@jacklineswanimakindo1320
@jacklineswanimakindo1320 Жыл бұрын
Amen
@user-bu7rq6tk2c
@user-bu7rq6tk2c 6 күн бұрын
Yesu Ni njia ya kweli na uzima
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Innailah wainnailahi rajiuun Mbona umekimbilia kufungua kanisa lako
@hajinkulunge8493
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Kwanini usiende makanisa ya wengine na kua muumini wa kawaida
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 2 ай бұрын
Ameongozwa na Mungu
@user-tg5ru7cb9b
@user-tg5ru7cb9b 7 күн бұрын
Quran yenyewe wala hajui anachapia tu huyo ana mipango yake
@Kiyara0000
@Kiyara0000 7 күн бұрын
Bado nasema utapeli mlionao wa kuwafunga watu akili na kuwadanganya waaallah Allah atawaadhibu vikali Sana inshallah
@bintmuhammad4913
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
Huyu ni msanii. Imani ya Uislaam sio ya kuichezea na kuifanyia usanii ili ujiingizie kipato. Allah hadhihakiwi jiangalie sana. Imamu gani hata swala 5 za kiislam majina yake hazijui? Hii style uliokuja nayo kudanganya watu eti ulikua Muislam mara umeoteshwa mara ulikua imamu jiangalie sana unaumbuka maana interview zako unazoongea na media zipo mitandaoni unaongea maneno tofauti. (Qur an 109 : 1 - 6) Allah anamwambia Mtume Muhammad (S.A.W) awaambie ..... 1. Sema: Enyi makafiri 2. Siabudu mnachokiabudu 3. Wala nyingi hamuabudu ninae muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu 5. Wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu. 6. *Nyinyi mna dini yenu nami nina dini yangu* Hivo usitafute ulaji kwa kupitia Uislaam. Wafundishe wafuasi wako unachokiabudu wewe. Tutaporudi kwa Allah mtaelewa dini ya haki ni ipi maana qur an haikuacha kitu kila kitu kipo wazi kabisa. Namshukuru Allah kwa neema ya Uislam. Alhamdulillah
@khadijadiswera6979
@khadijadiswera6979 Ай бұрын
Mungu akuzishiye
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
hivi kumbe huyu mchungaji alikuwaga mwislamu...aisee Yesu kweli Anaokoa
@christinaisanguisangu2974
@christinaisanguisangu2974 Жыл бұрын
Ni kweli wa kwake anawajua
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 күн бұрын
hajaokoka huyo anatafuta kupoteza Wakristo anafundisha upotovu tu
@user-ux3xu9gs8d
@user-ux3xu9gs8d 6 күн бұрын
Moja kwa moja mimi ni muumin wako kwani ata mimi sija wai kuuchukia uislam au ukrito kwani naamin mungu ni mmoja,uwislam ni dini moja nzuli sana katika mafundisho kidin lakin ata namna gani uishi katika jamii,tatizo lilipo kwa wenzetu namna wanvyo tuchukulia kumwita mtu kafri sio jambo dogo kifupi yani wakristo wangekua kua na imani kama ya juu ya uwislam basi vita inge kua kubwa kiasi kwamba tunge uwana kila siku nashukuru sana mungu kwani ame tutofautisha yani yani mkristo kukubali mapungufu ya mwislam kwanini nasema ivyo ni laisi mkrsito kubadili din na kua mwislam na familia yake ika endelea kumpenda,kuliko mwislam kua kua mkirsto uyo kamwe famlia yake aita kaa impende nadhani iyo nikutona na imani yao walivyo iamini.upande wangu nawapenda sana waislam ata mafundisho yao . Mimi mpaji naamin Mungu ni mmoja kwani ata vifungu vyao na vyetu avi tofautiani sana tuache udini kwapamoja tumwabudu mungu wetu kila mmoja kwa imani yake
@kakoziSimbi
@kakoziSimbi Жыл бұрын
Ukristo raha mtumushi nakuombeya kwa jina la yesu wa nazareth upo katika njia ya kweli maana Ni Mungu aliyekuita sasa
@user-nt4qc4zg7y
@user-nt4qc4zg7y 8 ай бұрын
Hakuna dini ya haki mbele ya M/Mungu ila uwislam muogope M/Mung
@adidjandayisenga8320
@adidjandayisenga8320 11 ай бұрын
Innalillah waina illah rajiun, Allah akuongoze kwenye njia sahihi ila wakina zumarida niwengi wanaweza kutokewa ivo
@aishaabdullah837
@aishaabdullah837 Жыл бұрын
Duuu pole sana kaka uwo mtihani umtafute jibu la kumjibu Alha kesho kiama
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 Жыл бұрын
Mtu kama ww haifai kumsikilize yani unasema Allah ndio kakupotosha au umejipotosha tu njaa wee inakusumbuwe ole wako kukusikiliza hana kazi
@protasdmassawe
@protasdmassawe Жыл бұрын
HAKIKA MUNGU NI MUNGU TU, HAKUNA WAKUPINDA MPANGO WAKE AKIAMUA HAKUNA WA KUMPINGA! NENO LAKE NI THABITI NA IMARA TENA NI NGUVU. YESU ALIMTOKEA SAULI AMBAYE NI PAULO KWA NJIA HIYO HIYO AKAMWAMBIA ""SAULI SAULI KWANINI WANITEZA?& (Matendo ya mitume. 9:3.19)
@protasdmassawe
@protasdmassawe Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi. Mungu akupiganie pia Akulinde.
@ruhaymanllymuhammed2094
@ruhaymanllymuhammed2094 Жыл бұрын
Mungu atuongoe na atulinde na sisi tusijepotea kama ww
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Unajihesabia haki ambayo hauna kabisa
@asa121aminahta.nakshfrombu5
@asa121aminahta.nakshfrombu5 Жыл бұрын
innalilah wainnailah rajiunn mungu atakuhukumu kwakuongeya uyo unafki wamunafikuna
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Yesu kristo hakimbiwi
@fridakakiko1217
@fridakakiko1217 6 ай бұрын
mungu akuongoze sana utusaidie nikija Dar nutakutafuta 9
@hajihamisi
@hajihamisi Жыл бұрын
Innalillahi wainna ilahi rajiuun huyu mwamba kachagua njia mbaya na mbovu kwake na ukweli anaujua ndiyo maana mara nyingi akiwa kanisa anaongelea sana Uislamu kwa sababu anajua ukweli uko wapi
@aminavunde6307
@aminavunde6307 Жыл бұрын
Atokewe yeye ni nani,jamaniiii
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 Жыл бұрын
M'mungu ajaalie ufe ktk dini uloichagua inshaAllah hakuna imamu wakati ana ilmu na anajua kila kitu eti aritad ni muongona mnafiki wa kupitiliza.
@mabrozacpmstancesa1207
@mabrozacpmstancesa1207 Жыл бұрын
Kunawatu wameandikiwa motoni tu jamañ kijana ea kiislam kama huyu kuwa kafiri dah hakika upo kwenye hasara
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Жыл бұрын
Duh aisee Waislam nyinyi dah Elimu ya DINi yenu kumbe hamna kabisa hivi hujui kuwa Kuna Imamu ambaye alikuwa swahaba wa Muhammad na alikuwa mmoja wa waindishi wa Aya za QURAN alilitadi na kuacha Uislam kabisa na mwingine akarudi kwenye Ukiristo? Kaulize Waalimu wako watakwambia ukishindwa njoo nikupe ushahidi Ili upate Elimu bure japo Waislam mnaniangusha Kwa kutoijuwa DINi yenu vyema.
@happymushi2219
@happymushi2219 6 күн бұрын
Yesu akutunze Sana
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Жыл бұрын
Njaaa mbaya wallah, mwenyezi Mungu ndiye mjuzi zaidi, tusiwahukumu sana Hawa makafiri hatuwez juwa njaaa labda imewafika had vichwani mwao lazaid tumuombe sana Allan atuepushe tusiwe miongoni mwao na promo zao za uwongo kuwa walikuwa Waislam Allah awasameh kwa kuongea unafki🙏🙏🙏
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 Жыл бұрын
Yaani nyinyi bana mtu akitoka Ukiristo kuingia Uislam mnapiga makofi ila mkiona mtu katoka Uislam kuingia Ukristo mnaona nongwa 🙄🙄🙄🤣🤣
@nesymichael4286
@nesymichael4286 Жыл бұрын
Mnamwona kafili basi sawa yesu ndo njia pekee ya kwenda mbinguni
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Жыл бұрын
@@georgekimasaofficial1629 Anko elewa Swala kutoka uislam kwenda kweny ukristo ni chaguo lake coz hatujui ni Nini kimempeleka ila tunacho kizungumzia anaongea uwongo Hadith za kutunga na hiii ni wachungaji wenu wengi wanawavuta kwa polojo hiii kuwa oooh nilikuwa imamu sijui nilikuwa sheikh mkubwa okay Tanzania nnchi huru kilamtu Ako na haki ya kuongea atakacho ila kuto kuvuka mipaka ya Sheria ila sijui ni dini Gani Ili kuwavuta watumishi kweny kanisa lake lazima aseme uwongo kama alikuwa muislam inna lillah wainnailai rajoon , okay Hata wew George unahaki ya kufungua kanisa lako na kusema ulizaliwa kweny familia ya masharifu nasisi tukiona unaongea Upuuzi lazima tukwambie hakuna mkamilifu ila uwongo uwe na mipaka broooo
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Жыл бұрын
​@@nesymichael4286ilo ni wazo lako
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Wewe una njaa mbona haujaenda?
@MohamefMullah
@MohamefMullah Ай бұрын
Wallahi huo wako ni mtihani ila iko siku utajua kwamba umepotea na Allah ni muweza wa kukuongoza na ukawa mtu mwema kwa sasa njaa tu ndio inakusumbua
@barakayesaya5000
@barakayesaya5000 Ай бұрын
Udini unawasumbua sana watu. Kila mtu anaandika Innalillah, kwani wewe unampangia Mungu nani awe nani au ni mshauri wake. Hukumu inatolewa na Mwenyezi Mungu na Kila mmoja atasomewa, shika Imani yako na mwengine ashike yake. Mungu ana maajabu mengi na Kwa udhaifu wako kama mwanaadamu huna mamlaka ya kujaji Wala kusema chochote Kwa anayetoa shuhuda. Yani Kwakifupi usitake vitu viwe unavyotaka wewe.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 2 ай бұрын
Hongera na Mungu azidi kukuongoza katika Kristo Yesu
@khamismohammed7500
@khamismohammed7500 2 ай бұрын
Allah akuongoze akurudishe kabla ya kuchukua roho yako ni hasara kubwa utakuwa umepata daaa
@dismasmushi9328
@dismasmushi9328 Жыл бұрын
Kama Mungu n mmoja iz tofaut zanin iman yako itakupeleka mbingunii nasio tofauti za diniii....
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Tofauti ni ushawishi wa shetani na dini ni kama chombo Cha safari na Matendo ya Imani ndio tiketi yako ya kumbandia Cha safari.
@user-bu7rq6tk2c
@user-bu7rq6tk2c 6 күн бұрын
Ndg,yetu wa kweli Ni yesu kristo
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 7 күн бұрын
Pastor Allan wa mbezi beach, karibu Ulutherini Sasa siju ni mchj wa dini ipi katoliki au Lutheran, dint haimpeleki mtu mbinguni tujue hivyo tu. Barikiwa mtumishi, hayo ndo MAPITO yako.
@khadijaabdulaziz8297
@khadijaabdulaziz8297 Жыл бұрын
INALILAHI WAINAILAYHI RAJIUN NDUGU MAHMOUD KUUWACHA (UISLAM) UISLAM HAutodhurika kitu chocho ila khasara ni kwako NDUGU YANGU NAKUSIHI RUDI KTK DINI YA HAKI BILA KUJALI WALA KUOGOPA MTU KWANI MITUME YOTE WALIKUWA WAISLAM NENDA KASOME QURAN AYA ZIFUATAZO 10,72 NOOH 2,127 IBRAHIM 2, 132 YAAKUB 10,84 MUSSA 3,85 SULAYMAN 2 ,52 ISSA HAWA WOTE NI MITUME NA MWISHO WA MITUMENI NABII WETU KIPENZI CHETU MUHAMMAD SAWA LLAHU AYLYHI WASALAM ALLA AMESEMA ( HAKIKA DINI MBELE YA ALLAH NI UISLAM nenda sura 3 ,19 kwa kukusaidia wewe na wengine wanotaka kujua ukweli
@user-sb8ds8tw7k
@user-sb8ds8tw7k 3 күн бұрын
Nye mmechaganikiwa mbona mwanzo mulikua amusemi mukimwona mwenzenu anabarkiwa mnaza maneno mengi Nye wa suahili was baya sana
@zuberikwambiana3574
@zuberikwambiana3574 Жыл бұрын
Mitihani inakuja kwa namna nyingi sana ,ummati tuwe macho sana watu wanapotea kwa namna hii pia.
@zuberikwambiana3574
@zuberikwambiana3574 Жыл бұрын
We jamaaa umeingia katika mtihani sana,pambana na umuombe MUNGU akuondoe huko.
@omaryh.mohamed4480
@omaryh.mohamed4480 26 күн бұрын
Majini washenzi sana, wamemchezea huyu kajaa mzima mzima
@trophywilson7211
@trophywilson7211 9 күн бұрын
Kabisaaa
@user-ib2ns8kf9h
@user-ib2ns8kf9h 4 сағат бұрын
Kivipi em elezea
@aishahazary4097
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Alhamdulillah kwa ALLAH kukutoa kwenye dini ya haki na kukupeleka kwenye ukafir.Ungebaki kwenye uislam moto ungekosa watu.Endelea kuwa kondoo ili maneno ya shetan yatimie uwe mjumbe wake.Yaan ukiwa mchafu lazma utokewe na wachafu wenzio ili uislam ubaki kuwa msafi.Kwa kipi hasa mpaka yesu akutokee!!???
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
😂😂😂 hata zumaridi kasema katokewa na mungu huyu na yesu kuna yesu togareni kasema yy yesu karudi yule nabee jodevi anajita na bee nae kapewa funguo na yesu sijui alafungue nn kuna yule wanyoyi anajita nae mungu dah hawa wakristo wana matatizo hawaogopi mmungu wanaongopaaa wakitaka pesa wanasingizia yesu na wajinga wanaamini yule wa kenya kaua watu kibao kuna wengine wanachapwa eti ni dini kuna wengine wanaogesha wanawake kanisani uchii eti wanawasafisha nyota jamani waogope mmungu iko siku wataulizwa kwa uongo wanafata wazungu wazungu hawana dini na hawana mana bee ni wezi tu juzi papa kasema anaifuta biblia hiyo biblia sio injili wazungu wameifuta na kuongeza yao huoni waislam wanafanya ujinga huo
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Na tunawakumbusha tu kenya wamefunga makafiri mpaka wakafa ili wakamuone yesu
@mgalatia
@mgalatia Жыл бұрын
Matendo 26:16-18 16 Simama! Nimekuchagua wewe kuwa mtumishi wangu. Utawaambia watu habari zangu, ulichoona leo na yale nitakayokuonesha. Hii ndiyo sababu nimekuja kwako. 17 Nitakulinda dhidi ya watu wako na dhidi ya watu wasio Wayahudi, ninaokutuma kwao. 18 Utawafanya waielewe kweli. Watatoka gizani na kuja kwenye mwanga. Watageuka kutoka kwenye mamlaka ya Shetani na kumgeukia Mungu. Ndipo dhambi zao zitasamehewa, na wataweza kupewa nafasi miongoni mwa watu wa Mungu, walifanywa watakatifu kwa kuniamini.’”
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Жыл бұрын
Ngoja ufe Utajuta kwa nn ulienda huko kwenye ukafir Unasoma aya za allah Husomi kwa hukumu maneno ya allah Soma hayo yalivyo kwenye ukafiri M
@africaadmirertravel
@africaadmirertravel Жыл бұрын
Katokewa na Yesu ambaye ndiye dalili ya kiama wewe hauna Cha kufanya kubali tu matokeo hata kama inauma
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
Cha AJABU hili jambo la kusema Yesu kani tokea, ni Uongo dhahiri. Yesu alikuwa .muislamu.
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
Leta ushahidi?
@zuberimohamedi5761
@zuberimohamedi5761 Жыл бұрын
Ndugu yng usishangae huyu ni shoga yake Zumaridi
@madetetv6576
@madetetv6576 Жыл бұрын
@@zuberimohamedi5761 ww ndio shoga manake kitabu chenu kinaruhusu ushogha
@zuberimohamedi5761
@zuberimohamedi5761 Жыл бұрын
@@madetetv6576 saw
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 Жыл бұрын
@@madetetv6576 Makanisa yenu yana wa nyowa mavuzi wake za watu Mbele ya waumin. Hakuna Dini katika huo mnaosema Ni Ukristo. SHAKAHOLA NAYO IMELETA MSIBA MKUBWA. MWISLAM HUWEZI KUMDANGANYA HATA KIDOGO.
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Innalilah wainnailahi Rajiun Allah akugeuze katika njia potovu
@gideonemmanyi9593
@gideonemmanyi9593 Жыл бұрын
😁😁😁 kwa iyo njia sa hii ni ipi?
@salummasoud5778
@salummasoud5778 Жыл бұрын
Innalilah Wainnailah Rajiun. Zumaridi wa Kiume.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Kwakweli 😅
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😂😂😂
@pungopungo411
@pungopungo411 Жыл бұрын
Hongera shahidi wa yesu kristo usisikilize miluzi ya hao wanaosema lijabu ni uislam wanakuonea wivu
@radhidimasambiro4620
@radhidimasambiro4620 Жыл бұрын
Ña hao waandishi wa mchongo hawaulizi maswali tunayotarajia huyo jamaa anatokea wapi mtaa gani mkoa gani msikiti gani madrasa gani familia gani
@beatricenangale5439
@beatricenangale5439 Ай бұрын
Hayo ndiyo yaliyomtokea mtume Paulo akisafiri kwenda Damesco kuwakamata wanaomwamini Yesu Kristu. Lakini pia Yule msomali Haji Mohammed mtoto wa SHEIKH MKUU SOMALIA Alipata Hali hii, tafuta muda umsikilize. alivyofuatwa na Bwana Yesu Pia akina Eliuter Mange, wako wengi tu. Ndivyo inavyokuwa.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 27 күн бұрын
Kwaza kaka kwa nn ujitete kwa wanada mambo yakiroho yaonekani kwa macha wala kwakushika na mkono mambo ya mungu ayachunguziki asie kwamini amfate mungu amuulize usitake kujibu jibu uwe mwisila au mkiristo wote niwa mungu fanya unacho fanya kwa neema ya mungu
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 27 күн бұрын
Nilicho gundua mimi kwa mungu mungu akitaka kukutumia uwa angalii dini ujue ukitaka kujua alie tumwa na mungu uwa niwa mungu sio wamakanisa wala msikiti inamaana niulimwengu mzima nani anatambua ilo anae tambua ni wewe na mungu fata maelekezo kama nimtume midia wandishi wasikucheleweshe umetumwa kazi ujatumwa kuojiwa chamungu kijifichi kaka
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 57 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 7 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 36 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 117 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 32 М.
Ushuhuda wa aliyekua muislamu.
28:57
END TIME LOUDCRY TV
Рет қаралды 242 М.
JE YESU NI MUNGU?
29:27
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 43 М.
MWANAMKE ALIEPACHIKWA MIMBA NA KAKA YAKE SIRI YAFICHUKA MUMEWE AJA JUU NA KUMKATAA
12:39
PASTOR DOMINIC KIBOKO YA WACHAWI
Рет қаралды 94 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 57 МЛН