Asante kwa kuwasaidia jirani zao neno laMungi lasema mpende jirani yako kama nafsi yako. Tunawapenda Wakenya
@annmuriithi170110 күн бұрын
Amieli katekela alisema haya mambo unasema na akasema siku zimekwisha kurundi kwa yesu mara ya pili kumekalibia kwa hivyo tukeshe tukiomba
@collinscareen72456 күн бұрын
Una uhakika Mwinjilisti???hahahah
@mengindegeya278011 күн бұрын
Brother mungu akusaidie watu wakuelewe maana hali tete!!!
@TatuOmar0015 күн бұрын
Mimi ni mkenya nakubaliana wewe mtumishi wa Mungu 🙏👍👏👏👏❤
@adylineamutamwa95910 күн бұрын
Huyu ruto alipochaguliwa n Mungu alirudi kusahau Mungu wake Sai amemezwa na dunia kwa hiyo wakenya tumuombee Sana asiendelee asikubali
@nancykirigo587410 күн бұрын
Wacha uongo Pascal mtumishi nakupenda please keep off this heavy taxes to Kenya's ushoga ulipitishwa.
@marrymakoi1588Сағат бұрын
Sawa kabisa mtumishi wa Mungu ni kweli Ruto anateseka sana lakini Mungu atampigania atavuka tu
@Mwasame_Official14 күн бұрын
Ushoga ni Kenya uongo ni Kenya 🇰🇪 uuaji ni Kenya 🇰🇪 Kenya wanamdanganya hadi mungu ooooh cassian mambo ya Kenya huyawezi ulikua wapi walipo pitisha hii sheria 😂😂😂😂😂😂
@SuzyDidas10 күн бұрын
Mtumish unayoyasema ni kweli kabisa maana vitu vinavyoendelea sasa havieleweki kabisa
@marrymakoi1588Сағат бұрын
Hakika huyu ndiye mtumishi. Barikiwa uongezeke baba
@nemuelochego41576 күн бұрын
Hii Ni uongo Paschal...We are Kenyans and we know what is behind Kenyan protests
@emmanuelodiga90205 күн бұрын
Habari Mtumishi, kwenye ili fatilia vizuri, mahakama ya Kenya ilipitisha sheria ya Ushoga na adi leo ni sheria na inafanya kazi. Pia GMO ruto ndie alieleta wakishirikiana na Bill Gates, kwa hiyo utetezi wako kwa ruto haiko sawa. Fanya utafiti vizuri
@user-lx1vn4bq8j10 күн бұрын
Sema yòte juu wakenye wamesahau chakufanyaa na wanakufa na hawaoni kwamba wanaharibu maishayao
@alicejumaa8910 күн бұрын
Kina nani hao wanaoharibu maisha yao.. pambaneni na tz yenu acheni udaku. Nonsense
@jestinakalage144210 күн бұрын
Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu:: MBINGU zizidi kukulinda
@peterpreacher202510 күн бұрын
Mimi kama mkenya na mkristo ninayekupenda,kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hili,,,natamani ungeishi kenya ukaelewa ugumu tulionao hasa kwa hili la finance bill,,,na nakuomba ukipata nafasi jisomee hiyo finance bill mwenyewe uielewe,,,na habari ya ushoga naomba ujue Ruto ndiye anayejipendekeza pakubwa kwa marekani kuhusu hili,,,,hapa mtumishi umeenda sana,,,, tunaelewa tunachopitia
@alicejumaa8910 күн бұрын
Huyu jamaa views na likes zinampotosha siku hizi ..kusifia viongozi wajinga ashazoea.
@faithmutua7710 күн бұрын
Nikweli mtumishi 🙏🙏🙏
@user-lx3bw1uk3e10 күн бұрын
Ruto alipo pata urais ushoga ulipitishwa sai watu wanaandamaana na uchumi ndio uko juu sana lakini si ushoga,ushoga ulipitshwa mwaka jana.
@alicejumaa8910 күн бұрын
Aliyeulazimisha ni huyo nabii Ruto 😂😂😂
@user-lx1vn4bq8j10 күн бұрын
Amen lord
@enochzakayo7 күн бұрын
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
@user-qk9iz5lt8q5 күн бұрын
TULIA KWANZA MSIKILIZE SANA ROHO WA MUNGU USISIKILIZE WATU NA. MITANDAO, NDIPOSA ULETE SOMO LENYE MASHIKO, NA KUWA MSAADA KWA JAMII NA TAIFA NA ULIMWENGU MZIMA , TUNAKUPENDA SANA
@SuzyDidas10 күн бұрын
Mungu atuhurumie jaman
@marrymakoi1588Сағат бұрын
Wakenya jirani zetu kamani acheni vurugu mtaisha roho zetu zinauma sana. Kumbukeni nchi nyingi za Afrika anakabiliwa na hali ngumu ya maisha sio Kenya tu watu wanapambana na maisha na sio kukaa barabara kwa maandamano.
@dimojaydan63446 күн бұрын
AMEN mungu akuinue zaidi
@JosphatChai-om6lt5 күн бұрын
Hakuna kitu unajua kuhusu Kenya kuwa mpole mchungaji
@user-mo6hw6fx4s10 күн бұрын
sema mtumishi iliwapone 😢😢
@wairimukimiri16033 күн бұрын
Mm ni mkenya na usiongee uwongo please, ruto alipitisha sheria ya ushoga kenya, angalia Uganda hakuna ushoga, Ruto anapitia haya yote juu ya ushoga aliptisha na Mungu hapendi uchafu
@Mwasame_Official14 күн бұрын
Hapa Kenya 🇰🇪 nikwetu na ushoga ulipitiswa hadi pendera inapeperwa iko juu cassian sisi ndio tunajua haya rais ako chini ya maji alikubali haya yote hadi amepewa pesa na hayo mataifa cassian ooooh nakupenda lakini haya uyanenayo yamekushinda Acha mungu anayajua yote kuliko wewe😢😢😢😢
@NzukoMwenge10 күн бұрын
Hizo ni pigo kwa rutho ili Aachekuingiliya vita vya Congo n'a ku chekeleya Congo hiyo nionyo Mungu anamupa arudiliye njiya sahihi mchungaji . Sio mambo ya ushoga Mungu anaendeleya kuteteya Congo 🇨🇩
@alicejumaa8910 күн бұрын
Ushoga aliyeuleta Kenya ni Ruto. Huyu mtumishi hajui anaongea nini. Uhuru Kenyatta alishaukataa kitambo.. anataka ruto ampe pesa sahau hiyo.
@mohamedikinu95023 күн бұрын
Nchi yeyote ambayo ina uhusiano na Marekani ujue ipo kwenye ajenda ya ushoga unakosea mtumishi
@brianshomi7228 күн бұрын
Watakaokupinga ni waliopo gizani TU😢
@shukulanigodwithyou7898Күн бұрын
Ruto mwisho atahukumiwa ayache kuunga mukono ku wenye wNashamburiya Congo kupitiya chama cha ugaidi cha m23 kagame na museveni
@mtumewawengi_onlineTV5 күн бұрын
Mbona uganda mseveni hajakubali na bado hawana maandamano
@nurumwita90345 күн бұрын
Museveni hajaokoka
@Maryc2G3 күн бұрын
Mungu atampiganie Rais Ruto, amtegemeae bwana hawataaibika kamwe. Ruto Mungu yuko upande wake, pastor umesema ukweli kabisa, Ushoga ndio Agenda. Nasimama na Ruto na wewe
@Shokolokobango93855 күн бұрын
Kama ingekua Africa tunaweza kujitawala bila kutegemea misaada yao wasingeweza kuchochea vurugu
@GiliardKashimbaКүн бұрын
Ndio nimekwelewa sasa hivi lakini mwanzoni ulikwaunasema kama mwana siasa
@PaulinaNyanzalashija2 күн бұрын
Na huko kenya panakuhusu cassian achana na nchi za watu huko kenya kuna manabii kokii
@collya4551Күн бұрын
Uongo.. huo . Sisi wakenya tunapigania ushuru umezidi huku kenya
@expertsmovespodcast18305 күн бұрын
Maraisi wengi wanaopenda kusafiri walikubari kisirisiri ,wameruhusu makampuni hayo kuingia na kupewa maiofisi ndani ya hizo nchi Ila Marais wanaongea kwa ku act kwenye vyombo vya habari kama wamekataa .
@elishamalunde11066 күн бұрын
Ningumu mashoga kumuelewa mtumishi casian
@owenomwanawayesu696110 күн бұрын
Mtumishi Pascal nakupenda sana lakini wacha kumtetea Muongo,Mfisadi…maana anawaonga wajumbe wapitishe miswada bungeni,amekuwa na kiburi…anavaa saa ya million kumi iwe aje!huo ni ukiristo?
@user-lk5it5zy6m10 күн бұрын
Ni kweli
@shukulanigodwithyou7898Күн бұрын
Ruto arifanya kosa kusikiriza shauli ya ndugu yake Kagame yeye arihuriza kagame vipi Rwanda anaendereya akamwambia kuhusu kodi enda ugapandisha kodi kuwana inchi soyo ushoga sababu nirafiki na wakubua ya washoga usiseme yivo , na yiko anamusikiriza sana na kagame ni mutu wakuraaniwa Mungu anataka amuhukumu kwadamu arie mwaga , sikiya nathani si mars yakwanza wanageshi wako Congo kuunga mukono mageshi yarwanda hiyo nikosa kubua Mungu anataka ahukumu na wewe hukataa wewe ninani mbere ajirepushe namambo yakuunga mukono m23 inayo wuwa nana inchi ya CONGo
@happnesskitumbo57138 күн бұрын
Walio wa rohoni wanaweza kukuelewa.
@silivestatesha92622 күн бұрын
Anapinduliwa sasa hana muda atakimbia kenya huzakayo
Zakayo mwengine huyu mnafik tu ww achana na kenya ww mchawi tu ww
@fridalyanguka17334 күн бұрын
Watu weusi mrudieni Muumba wa kweli (Loba)
@dfremac6 күн бұрын
WW NILIKUWA NAKUPENDA BT UMEANZA KUONGEA UONGO MKUBWA KEEP OFF KENYA LINE. HUJUI TUNACHOPITIA WEWE.
@Betty-bp4gpКүн бұрын
NA VILE NAKUPENDA SURELY UNATETEA RUTO? UNATOA JA SHO BURE.DLT THIS THING
@babugilbert692210 күн бұрын
Kitu Cha kwanza Ruto anaunga mkono ushoga ndio maana korti ya Kenya ilipitisha huo mswada wa ndoa za kijinsia Uhuru ndio alikataa wewe mtumishi hapo nimekukosoa
@TumbaMbayo3 күн бұрын
Ruto muizi toka kule weye mujinga
@benjaminwafula11 күн бұрын
Mtumishi wa mungu siku zote twakufatilia vzr sana unatupa neno na mafundisho mema sana lkn kwa hili umenoa tazama ww hapo ulipo nji yako imetulia hakuna ushoga na kama upo n ule wa kujificha tu huku mambo n live alafu sasa hii kitu imefanya wakenya waandamane sio ushoga n uchumi na huyo mswada wake angelikua anawapa wakenya nafasi na kuwaskiliza hayo yote yasingetokea lkn kwa yy kua kichwa ngumu ndio unaona vitu kaa hv kwanza kbs tengeza kwako anza na kwako ww kama kiongozi uone hili jambo linafaa kama linafaa lisonge mbele kama halina maana life kingine waingeza watawezaje kuwashawishi wakenya wote kufanya maandamano wakati yy ndie huenda huko na sio ss wao hata hawatujui labda wangempa supot yy kwa kila kitu anachotaka kiwe waingeza hawana mda ya kuwashawishi wana nji labda kiongozi na sio wana nji
@shigongoshuli632010 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
@owenomwanawayesu696110 күн бұрын
Ushoga ndio chanzo maana yeye ndiye aliruhusu mahakama kuu kuukubali.Anakataa hadharani na kukubali sirini. Ushoga ndio chanzo maana yeye ameukubali kisiri na akawa rafiki ya mashoga(USA).
@benardcharo433210 күн бұрын
Je? Huyu Paschal anaroho wa mungu?
@renatus56873 күн бұрын
Ww nae uo ni upeo wako ndo umeishia hapo walofanya ukamjua mungu ndo unaowapinga maana hata bible ndo wameandika wao na Kenya maandamano ni kawaida Yao usije Fanya watu wakaacha kufanya kazi kisa tuko siku za mwisho usisahau mwaka 2000 pia ilikua mwisho wa Dunia iliishia wapi iyo
@EdwinEdward-ze2eq10 күн бұрын
Unajua mwanadamu uwa anaenda kichwa kichwa bila kujua tu
@alimau79393 күн бұрын
Kama ruto anapinga ushoga marekani ameenda kufanya nini wacha uboya ww
@user-tt1nm9xs4n3 күн бұрын
Kweli alijipeleka mwenyewe
@rehemashariff31196 күн бұрын
Hakupiga wala kukubali yye
@caromafumbo60887 күн бұрын
Wacha uongo umelipwa
@michaelmwamanda84185 күн бұрын
Lakini na wewe nilopokajitu 😓
@alicejumaa8910 күн бұрын
Pascal cassian kabla ufanye video yoyote omba kwanza mungu akuongoze na wala sio kupayuka kwa kuwa uko na camera ikiwa hujui unasema nini na watu wanapitia nini hususan.. maana ni kiki unatafuta ndio ruto akupe pande lkn hata hujui shida ni nini. Ongelelea mwamposa wenu Kenya haikuhusu.
@user-zd9hy1yd7c9 күн бұрын
Unakosea kusema ivyo
@user-lx1vn4bq8j10 күн бұрын
Na ubarikiwe mutumishi wa mungu
@petersaitotilaizar91769 күн бұрын
Nilikuwa nakuchukulia kama mtumishi but wewe nimtumishi mwango
@keruboirene11 күн бұрын
Leave the Kenyans completely,,,,,we were born with our understanding.... You have been exposing pastors and gospel singers so badly... *So you and Ruto are the only holy ones who fear GOD and walk in the ways of GOD.... right???*
@SuzyDidas10 күн бұрын
Sasa kama hatutanunua au kuuza tutafanya nn ss kama wakristo
@annmuriithi170110 күн бұрын
Hapo ndipo bibilia inasema atakaye fumilia mpaka dakika ya mwisho ataokoka heri kufa kuliko kuichukua hiyo machro chip ama hiyo namba ya huyo mtu kiongozi wa new world order
@annmuriithi170110 күн бұрын
Kufumilia mpaka kufa
@ministerwillan7 күн бұрын
Tafadhali mtumish nawe nakweshimu lakin umeanza kukosa maadil ruto alikubali ruto si mtu wa mungu kabisa you preach gospel what's you are saying ur wrong
@anntaaka563110 күн бұрын
Wewe pascal kasiani hua unaribia watu majina na watumishi wa Mungu kumbe ni content hua unatengeneza wewe ni shoga mwanzo alafu Kenya ifwate sisi tunapigania usharu Kenya alafu uje from no where eti tunapigania ushoga weweqe
@BerylSeer111 күн бұрын
Wewe wacha kuchafulia wakenya Jina, wewe unajua chenye kinafanyika huku,,, ebu mkuwe na information before mtengeneze video, Ata pesa haramu hazisaidii.... Videos mnatengeneza ndio mpate views na pesa, Mungu Aliye Hai awakemee!! Mimi kama mkenya sitaruhusu huu ujinga!!
@bonifacematuku200011 күн бұрын
Akome kabisa hatukubali ii ujinga kama wakenya.
@user-tt7cu2et1x10 күн бұрын
Wew unayejuwa mbona usipige got kuombea inch yako na kiongoz yako..na cyo kujaaa mabarabaran kutukana matus mabaya je?Wew uko sahih
@user-tt7cu2et1x10 күн бұрын
Mashogaa wengi utokea kenya..asa mombasa😢😢😢
@shigongoshuli632010 күн бұрын
Yamkini kuna kitu nyuma ya huo mswada.Yamkini misaada ya nje mfano mikopo imezuiliwa kwa kutokubari mashariti hayo ya ushoga na yamkini ugumu wa maisha umeanzia hapo hatimaye miswada ya kuumiza inaibuka .you never know😢
@danielgarry53810 күн бұрын
Beryl kwa hiyo wewe huoni vita ni ya kiroho unaona maandamano na kumuondoa Ruto ndio itakuwa amani ya Kenya? Hapo angalia Sana usimhukumu mtumishi wa Mungu kwa haraka hebu chunguza vizuri....
@anntaaka563110 күн бұрын
Kumbe wewe muongo hivyo Mimi nilikua napenda kufatilia maneno yako nikidhani ni ukweli kumbe ni owongo kumbe ni content hua unatengeneza vile nimeona umetoa ujumbe wa uongo huu naku unfollow sai Kenya ushoga Ulisha kubalika sijwi waongelea Nini, kumbe wewe ni ovyo kiasi hiki ongea na ubaki uko uko Tz usitubutu kuja Kenya utabondwa hakuna siku nitasikiza maubiri yako ya content ovyo kumbe wewe ni bro wa Ruto
@GladTolage10 күн бұрын
Sasa nyie ma commenter wenzangu huo uongo mnaousemea ni upi imani yenu ndogo Kama hamuelew mtuache tunaoelew
@enochzakayo7 күн бұрын
very true mchungaji coz those guys had the flags to support during demonstrations ,Mungu tuhurumie kabisaa
@user-cw3vu8mu3k6 күн бұрын
Ruto alikosea kuruhusu kuandikishwa LGBTQ kuwa na uhuru kufanya mambo yao wew umekurupuka.
@GladTolage10 күн бұрын
Sasa nyie mnaosema ni uongo uongo gani mnaosemea kama hamuelew mtuache tunaoelew na sio kucomment ujinga nyie mnajikuta akina nani mpka mnamtishia mta unfollow umewah kumsaidia nn huyo.
@rehemashariff31196 күн бұрын
Huyu ruto unayemtaja hapo hujasema kiburi chake ndicho kinacho mponza anapoongea na wakenya mdomo yake mchafu yeye yanamkutu kwa kujisahau