Nashangaa chadema inaandamwa, vipi kuhusu waarabu. Na bandar hakuna hela yapo imetumika
@jeanmusamba84485 ай бұрын
ndo walio jaa na wanaongoza afrika nzima sasa wamechukua hela zote za wananchi
@manasseskamau53278 ай бұрын
Kenya wanasiasa wote hawana tu tabia za kimalaya. Ni malaya haswa.
@jacktonetiibuza997015 күн бұрын
Mhhhh nyerer
@jiweg-unit5408 Жыл бұрын
Wapo wengi sana na walikuwepo hadi kipindi chako mzeee wetu na ulikufa ukawaacha na Ulivyowaacha wakaota mapembe na ikawa balaa hatujawahi sikia akemee kuhusu malighafi za watanzania wao walikuwa kimya wanaweka pesa kwenye account zao wakati ni pesa za watanzania walipa kodi
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Hiyo inaonyesha hiyo tabia ilikuwepo enzi zake ndio maana hajasema kuwa watakuja wanasiasa malaya 😂😂 Au kiswaili kigumu
@ChristmasMaheri9 ай бұрын
Leo,bado,Jeshi letu la wananchi na Bunge ni la wananchi kweli? Kama bado ni la wananchi,ni wananchi wapi? Watawaliwa,wanasheria,n.k? Nina mashaka sasa.
@NaaliShauri8 ай бұрын
leo wamejaa mzee
@peterdeus6093 Жыл бұрын
Nimekumbuka kiliçhotokea 2015 chadema
@HarunaKitiku-sv1fe4 ай бұрын
Hotuba za maana sana alikuwa anaongea baba wa taifa hili
@user-ig4jy5mi4v11 ай бұрын
Huyu mzee ana udini. Anachanganya dini na siasa. Kwanini anawaandama watu wanaohongwa?
@user-ig4jy5mi4v11 ай бұрын
Huyu aliyevaa shati la khanga ni nani? Mbona roho mtakatifu anamuandama?
@eliajimmy95 Жыл бұрын
Mwalimu ulifanya mengi sana mazuri ila ulifeli kwenye katiba tu na hayo yote uliyoyaongea yangesimamiwa vizuri kama ungetengeneza katiba nzuri.
@DelangAbraham-ib6mu Жыл бұрын
Chadema
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Duuuuuuh
@mohamedabdallah99186 ай бұрын
😂
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Lisu kalifanyia nini jimbo lake au mboye hadi wakamwaga kwenye uchaguzi 😂😂
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
Kkkkkk wakaskazin bana kkkk kwani nyie mkoje
@mohammedal7864 Жыл бұрын
Chadema uadilifu hawana viongozi wachaga na ndio majizi makubwa
@user-zb5qz6fk1v Жыл бұрын
CCM majizi no 1
@eliasitairo95463 ай бұрын
Ulaaniwe kwa mawazoyako uliyonayo hata sasa umelaaniwa nguruwe wewe ulie angushwa kule baharini imekuwa mzimu