Uko saw mzee mungu akurehemu maduwi wa visiwa hivi ni waegreza na wamarani ndo walotupa Giza LA maisha zuluma ya maisha wametupa ktk visiwa vyetu vya Zanzibar
@w40583 жыл бұрын
Haaaa mtakufa mshindwe kutowa shahada Waombaji wakubwa kwa wa Oman msokuwa na kheri
@w40583 жыл бұрын
Naa kweli ingekuwa Nyerere peke yake asingeweza Waingereza na Wemarekani ndio mabingwa walosaidia Mapinduzi Hilo ndio lengo lao
@withoutshadow13583 жыл бұрын
Kumbe nyinyi Waoman ni watu wa maneno mengi na sio Vitendo ndio maana mmeipoteza Zanzibar milele.
@w40583 жыл бұрын
Kweli kabisa akuchukia wasomi hilo linajulikana
@Hismail7863 жыл бұрын
Si ulisema kwamba hi siyo kama kikombe cha chai kama Karume ataweza kuipindua Serekali ya Zanzibar
@salummzee97394 жыл бұрын
Hizbu imebaki historia hio
@salummzee97394 жыл бұрын
Mapinduz daima
@ahmedsaif30038 жыл бұрын
what has Iran do with shiraz party are they linked