Ooh, kwa hiyo rais unakopa kwa kuogopa kukosa fursa ya kukopa? Dah tuna safari ndefu
@drtobias_22 күн бұрын
Yani Samia haongei km mtu mwenye mamlaka,Yani ni km na yeye analalamika km wananchi
@judyngowi39121 күн бұрын
Yaani shida sana, kuna tofauti sana ya Magu na huyu
@kuntaalkinte541521 күн бұрын
Hongera mama sichoki kusikiliza hotuba zako zinaeleweka Allah akulinde,
@jogoomohamed265222 күн бұрын
Pole sana mama,pole sana mkuu wa nchi.Pole sana mhe Rais wangu.Ndo dunia mama napia ndio wanadamu.Huwezi kumfurahisha kila mtu or kila mwanadamu.Piga kazi mama napia songa mbele.Mkuu
@eliapendakileo22 күн бұрын
Uchumi umepanda juu ya mti au umepanda kwenye ndege inayoelekea Dubai maana kilio Cha ajira umasikini gharama za matibabu sioni labda Kuna anaeona anioneshe ivi walisema raisi hapingwi ni kweli uchumi umepanda nilisahau
@kingmichael123422 күн бұрын
The problem ni mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi. Wezi wanalindana
@ScopionScopion-zj9cd22 күн бұрын
dah hii ndio tz ya mwigulu nchemba sasa kapewa lungu jipya kukusanya kodi sio tatizo shida Nikwamba izo hera zinaenda wapi miradi inacherewa kuliko maelezo miladi mikubwa mipya hakuna inayomaliziwa Ndio ile ya mtetezi wawa nyonge kukopa tunakopa kodi utitili izo pesa zinaenda wap
@user-ne5cg4vv1h22 күн бұрын
Tatizo sio mikopo usimamizi wa hizo pesa zikopazo watu wanajimegea tu hukohuko usimamizi weka ukali waogope
@pauljulius166222 күн бұрын
Endelea kufuata wazungu wakuinguze uchumi wa kati Magufuli alikuacha uchumi wa kati sijui ulikologa wapi ?
@ibrahimjuma970922 күн бұрын
Ni kweli KAZI kwanza ya ujenzi
@daudibukwimba422622 күн бұрын
Capital investment, youth empowerment in technology, resource utililization and management
@calvinmacha59322 күн бұрын
Yaan mtu unakilakitu ndani bado unatoka nje kukopa, kwanza hii nchi tunaongozwa na kusimamiwa na mungu tu, unachokifanya unakijua mwenyewe.
@yapukahassan21 күн бұрын
Inchi ngumu sna hii. Bora kungelikuwa na mfumo endelevu wa viongoz lakini hivi . Mmoja anatengeneza harafu mwingne anakuja kuharibu 2. Hili niku2hangaisha wananchi katka mifumo yao ya kipuuz
@leokamil628422 күн бұрын
Sikuwahi kusikia mifano ya vyura mara sijui nini kwa marais wa nchi zingine. Haya utayasikia tu Tanzania nchi ya vijembe ,uchumi ni wa watanzania nchi ni ya watanzania sio mali binafsi Rais ni msimamizi tu na mwajiriwa wa watanzania
Mama wewe haufai kabisa kuwa rais huwezi kuuza bandari zetu kwa waarabu,kuonea watanzania Kwa kuwafukuza kwenye ardhi zao.hatakutaki na hatukuelewi
@awadhsalim268022 күн бұрын
Utajiju na chuki zako na ubaguzi
@evelynmwaimu-vd9jo21 күн бұрын
Mikopo hoyeeeee
@ponsianomnyaru9140Күн бұрын
Wanaume na suti zao wanapigia makof chura mama huna kitu ww tukome watz
@AlexMathiasPaul21 күн бұрын
😂😂😂 na bado hauwajui watz shida wamesoma wengi wao wapo majumban na hawana kaz wape kaz mama
@PhilipoMwita-wc1ku22 күн бұрын
Ahsante kwakukili kwamba ww ni chura
@user-sw7tf1ob1b20 күн бұрын
Mama yangu laisi nakukubali lakini tupe katiba nzuli pili mahama ya mafisadi tatu ondoa machinga barabarani mama ntiliye balabalani hao wote wanao kupigia makofi wote chawa sijawahi kuona Kila laisi ni makofi hao ni chumia tumbo ispo kua jeerry silaa na makonda na bitko na bashungwa wengine watafutie kazi hotelin
@user-sy4yj5ci3j22 күн бұрын
Sisi tungali na maisha ya kwenda kuasujudiya watu ili maisha yetu iyende !ndomana ushaga ushoga una pow kubwa ndani ya Tanzania
@leokamil628422 күн бұрын
Mkulima azalishe kwa kuwa mnawapa pembejeo bure sio ?.Kilimo bila mtaji ni kuonea wakulima tu
@RobinsonKilango22 күн бұрын
😂mama huna misingi ya kulinda rasirimali za hili taifa kwani maneno hayo hakuna raisi hajawahi kuyasema lazima ufahamu kuwa umekuta ufa katika yale yalio anziswa na watangurizi wako hii. yakukopa ilianza tangia nyerere .nchi inadaiwa kila kukicha bila ukomo huku tukiomba misamaha ya madeni na hizo fedha kwaajiri ya nini hapa kilimo ziro elimu ziro uvuvi ziro madini ziro ajira ziro teknoroji ziro. afya ziro. siasa ziro utawala bora ziro ufundi stadi sayansi ubunifu sanaa ziro michezo ziro mbinu za kijahasusi za kimataifa kuiba ujuzi kiiviwanda na teknoroji ziro kuweka ulahisi wananchi kutoka nje ya taifa na kuweka hamasa kuchuma nnje kuleta ndani hiyo pia ziro kuzitumia rasilimali. z etu kama aridhi maji hewa watu na solo kubwa duniani la. chakula ambalo .linakabiri ma kutoa tishio duniani hilo pia ziro eti hakuna ajira tunao ujuzi wa kukopa na kuomba misamaha hii aibu itaisha lini kwani huwa hamtafakari kuomba ni fezea nchi nzima hii ni madalari tangia vijijini kata wilaya mikoa huu ndio mtindo wa. maisha ya watanganyika tulinyimwa kila fursa mdawote. huo leo hii raisi samia unaa anzia wapi kwa mikopo huna hata msingi wako .katika. hiyo ulio ikuta mama samia hizo ni lawama tuu huzikwepi hao mchwa wana chekelea chini chini kuupiga. mwingi kwa kila stairi sasa mama) sikia. hii. kama huna hizi siraha usitegemee kuona jipya katika misingi ya wenzio ilio..ingiza hili taifa katika ujinga umasikini nmardhi asomae na afamu