"NATUKANWA lakini SISIKII nimejigeuza CHURA" Rais SAMIA ajibu kuhusu kutukanwa na.....

  Рет қаралды 10,617

Habari Digital

Habari Digital

24 күн бұрын

Пікірлер: 40
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 22 күн бұрын
Ooh, kwa hiyo rais unakopa kwa kuogopa kukosa fursa ya kukopa? Dah tuna safari ndefu
@drtobias_
@drtobias_ 22 күн бұрын
Yani Samia haongei km mtu mwenye mamlaka,Yani ni km na yeye analalamika km wananchi
@judyngowi391
@judyngowi391 21 күн бұрын
Yaani shida sana, kuna tofauti sana ya Magu na huyu
@kuntaalkinte5415
@kuntaalkinte5415 21 күн бұрын
Hongera mama sichoki kusikiliza hotuba zako zinaeleweka Allah akulinde,
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 22 күн бұрын
Pole sana mama,pole sana mkuu wa nchi.Pole sana mhe Rais wangu.Ndo dunia mama napia ndio wanadamu.Huwezi kumfurahisha kila mtu or kila mwanadamu.Piga kazi mama napia songa mbele.Mkuu
@eliapendakileo
@eliapendakileo 22 күн бұрын
Uchumi umepanda juu ya mti au umepanda kwenye ndege inayoelekea Dubai maana kilio Cha ajira umasikini gharama za matibabu sioni labda Kuna anaeona anioneshe ivi walisema raisi hapingwi ni kweli uchumi umepanda nilisahau
@kingmichael1234
@kingmichael1234 22 күн бұрын
The problem ni mfumo mzima wa uendeshaji wa nchi. Wezi wanalindana
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 22 күн бұрын
dah hii ndio tz ya mwigulu nchemba sasa kapewa lungu jipya kukusanya kodi sio tatizo shida Nikwamba izo hera zinaenda wapi miradi inacherewa kuliko maelezo miladi mikubwa mipya hakuna inayomaliziwa Ndio ile ya mtetezi wawa nyonge kukopa tunakopa kodi utitili izo pesa zinaenda wap
@user-ne5cg4vv1h
@user-ne5cg4vv1h 22 күн бұрын
Tatizo sio mikopo usimamizi wa hizo pesa zikopazo watu wanajimegea tu hukohuko usimamizi weka ukali waogope
@pauljulius1662
@pauljulius1662 22 күн бұрын
Endelea kufuata wazungu wakuinguze uchumi wa kati Magufuli alikuacha uchumi wa kati sijui ulikologa wapi ?
@ibrahimjuma9709
@ibrahimjuma9709 22 күн бұрын
Ni kweli KAZI kwanza ya ujenzi
@daudibukwimba4226
@daudibukwimba4226 22 күн бұрын
Capital investment, youth empowerment in technology, resource utililization and management
@calvinmacha593
@calvinmacha593 22 күн бұрын
Yaan mtu unakilakitu ndani bado unatoka nje kukopa, kwanza hii nchi tunaongozwa na kusimamiwa na mungu tu, unachokifanya unakijua mwenyewe.
@yapukahassan
@yapukahassan 21 күн бұрын
Inchi ngumu sna hii. Bora kungelikuwa na mfumo endelevu wa viongoz lakini hivi . Mmoja anatengeneza harafu mwingne anakuja kuharibu 2. Hili niku2hangaisha wananchi katka mifumo yao ya kipuuz
@leokamil6284
@leokamil6284 22 күн бұрын
Sikuwahi kusikia mifano ya vyura mara sijui nini kwa marais wa nchi zingine. Haya utayasikia tu Tanzania nchi ya vijembe ,uchumi ni wa watanzania nchi ni ya watanzania sio mali binafsi Rais ni msimamizi tu na mwajiriwa wa watanzania
@judyngowi391
@judyngowi391 21 күн бұрын
Ndio ujue tunaimba taarabu tu
@kingmichael1234
@kingmichael1234 22 күн бұрын
Chura usingupatie wezi.. magufuli aliwatoa hao wezi, wewe umewarudisha. Watanzania hatuwataki hao Mafisadi
@emmanuelsulle911
@emmanuelsulle911 22 күн бұрын
Mama wewe haufai kabisa kuwa rais huwezi kuuza bandari zetu kwa waarabu,kuonea watanzania Kwa kuwafukuza kwenye ardhi zao.hatakutaki na hatukuelewi
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 22 күн бұрын
Utajiju na chuki zako na ubaguzi
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 21 күн бұрын
Mikopo hoyeeeee
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 Күн бұрын
Wanaume na suti zao wanapigia makof chura mama huna kitu ww tukome watz
@AlexMathiasPaul
@AlexMathiasPaul 21 күн бұрын
😂😂😂 na bado hauwajui watz shida wamesoma wengi wao wapo majumban na hawana kaz wape kaz mama
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 22 күн бұрын
Ahsante kwakukili kwamba ww ni chura
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 20 күн бұрын
Mama yangu laisi nakukubali lakini tupe katiba nzuli pili mahama ya mafisadi tatu ondoa machinga barabarani mama ntiliye balabalani hao wote wanao kupigia makofi wote chawa sijawahi kuona Kila laisi ni makofi hao ni chumia tumbo ispo kua jeerry silaa na makonda na bitko na bashungwa wengine watafutie kazi hotelin
@user-sy4yj5ci3j
@user-sy4yj5ci3j 22 күн бұрын
Sisi tungali na maisha ya kwenda kuasujudiya watu ili maisha yetu iyende !ndomana ushaga ushoga una pow kubwa ndani ya Tanzania
@leokamil6284
@leokamil6284 22 күн бұрын
Mkulima azalishe kwa kuwa mnawapa pembejeo bure sio ?.Kilimo bila mtaji ni kuonea wakulima tu
@RobinsonKilango
@RobinsonKilango 22 күн бұрын
😂mama huna misingi ya kulinda rasirimali za hili taifa kwani maneno hayo hakuna raisi hajawahi kuyasema lazima ufahamu kuwa umekuta ufa katika yale yalio anziswa na watangurizi wako hii. yakukopa ilianza tangia nyerere .nchi inadaiwa kila kukicha bila ukomo huku tukiomba misamaha ya madeni na hizo fedha kwaajiri ya nini hapa kilimo ziro elimu ziro uvuvi ziro madini ziro ajira ziro teknoroji ziro. afya ziro. siasa ziro utawala bora ziro ufundi stadi sayansi ubunifu sanaa ziro michezo ziro mbinu za kijahasusi za kimataifa kuiba ujuzi kiiviwanda na teknoroji ziro kuweka ulahisi wananchi kutoka nje ya taifa na kuweka hamasa kuchuma nnje kuleta ndani hiyo pia ziro kuzitumia rasilimali. z etu kama aridhi maji hewa watu na solo kubwa duniani la. chakula ambalo .linakabiri ma kutoa tishio duniani hilo pia ziro eti hakuna ajira tunao ujuzi wa kukopa na kuomba misamaha hii aibu itaisha lini kwani huwa hamtafakari kuomba ni fezea nchi nzima hii ni madalari tangia vijijini kata wilaya mikoa huu ndio mtindo wa. maisha ya watanganyika tulinyimwa kila fursa mdawote. huo leo hii raisi samia unaa anzia wapi kwa mikopo huna hata msingi wako .katika. hiyo ulio ikuta mama samia hizo ni lawama tuu huzikwepi hao mchwa wana chekelea chini chini kuupiga. mwingi kwa kila stairi sasa mama) sikia. hii. kama huna hizi siraha usitegemee kuona jipya katika misingi ya wenzio ilio..ingiza hili taifa katika ujinga umasikini nmardhi asomae na afamu
@hildersamwelmmbando8733
@hildersamwelmmbando8733 22 күн бұрын
Usizibe masikio vinginevyo utakosa kujuwa wananchi wanafikiri nini.
@uwezomayonko5101
@uwezomayonko5101 22 күн бұрын
Hujibu kwa sababu huna cha kujibu! hivyo lazima uwe chura.
@pauljulius1662
@pauljulius1662 22 күн бұрын
Raisi anapenda kama chura
@simonkabuka9170
@simonkabuka9170 22 күн бұрын
Mheshimiwa endelea kucheka na nyani! Uwe tayari kuvuna mabua!
@obadiamwakatuma4162
@obadiamwakatuma4162 22 күн бұрын
Heee! Hee!..
@judyngowi391
@judyngowi391 21 күн бұрын
Uuwiiiiii
@SalumChema
@SalumChema 22 күн бұрын
Uchumigani.mama.mbonamaishayanakuwa.magumu.au.uchumi.ukokwamadisadi
@judyngowi391
@judyngowi391 21 күн бұрын
Wanaume wamekaa wanapiga makofi
@nyimbozawatoto
@nyimbozawatoto 22 күн бұрын
Wimbo wa CHURA: kzbin.info/www/bejne/e2i7iqNuhsyCb9Usi=jqqmLNGWPD9W7NqE
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 18 күн бұрын
Chura bwana wanakupigia makofi
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 21 күн бұрын
Afadhali
@demicratia4071
@demicratia4071 22 күн бұрын
Mama SAMIA Uko vizuri sana 😂hebu cheka kidogo ufurahishe MOYO wako.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 559 М.
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 21 МЛН
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
TAZAMA CHUNGAJI MSIGWA AKISHAREKEA KUHAMIA CCM
3:22
Hot News
Рет қаралды 473
Страшно, когда ругается мама😰
0:10
Лиза Вертинская
Рет қаралды 2,6 МЛН
Khi em gái tôi đắp mặt nạ || Mask of joy #shorts
0:11
Linh Nhi Shorts
Рет қаралды 5 МЛН
В поисках семьи😢😱
0:56
Следы времени
Рет қаралды 8 МЛН