Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@hashimmawazo55033 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@msafiriomary8933 күн бұрын
Vibaka WA Kodi zetu hao
@user-tu9ps9kr2o3 күн бұрын
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
@husseinamassanza503 күн бұрын
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@festohaule97163 күн бұрын
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@abdallahmmary85913 күн бұрын
Njoo arusha Waziri tunabambikiwa bill za majani
@user-oy2gp3nq4j3 күн бұрын
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
@user-nm2jq7xo5f3 күн бұрын
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph81863 күн бұрын
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph81863 күн бұрын
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau34933 күн бұрын
@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@godfreylyimo41773 күн бұрын
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@stevensteve75193 күн бұрын
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@ChristianSebastian-rh2fq3 күн бұрын
MH, njoo na kisesa Magu Mwanza ni taaabu tupu
@George-jz3jg3 күн бұрын
Aweso huo ni ujinga tu kuondoka naye huyo Eliza ndo umeleta maji hapo?
@MnubiMm3 күн бұрын
Huo ujinga sawa Wewe ungefanyaje?mwenye akili
@MOHAMEDSALEH-fl7kb4 күн бұрын
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
@nelsongodfrey99523 күн бұрын
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@ProsistaTarimo18 сағат бұрын
Jana nimelipa bill ya elfu 40 nalalamika kwa mwezi maji yanatoka mara moja kwa masaa matatu tu. Leo mnanihesabia kuwa mwezi mzima sijalipa. Nilipe 40 Tena wanaweka mfukoni. Fukuza wote mheshimiwa Aweso.
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@monicamaganga86814 күн бұрын
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@chesconkwera20053 күн бұрын
Ni actual au sinema
@eddytheophil7626Күн бұрын
Safi sana❤❤
@nahlaaasidee18482 күн бұрын
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@monicachacha4552 күн бұрын
awesoooooo safiiiiii
@user-ch2it3qt5z4 күн бұрын
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@ProsistaTarimo18 сағат бұрын
mheshimiwa zunguka nchi nzima shida ni hiyohiyo. Utadhani wanaambiana. Ni kudai bill tu na maji hakuna.
@mamakayla66973 күн бұрын
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@FarajaLusuka2 күн бұрын
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@ahmedronga75833 күн бұрын
Ila wanawake dah!😅
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@machoguhameri7757Күн бұрын
Wanawake bado sana
@serafinamalecela4728Күн бұрын
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@husseinkonz5192Күн бұрын
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@dorahmushi-we6ts2 күн бұрын
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@piusmapunda42552 күн бұрын
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@napoleonmutungi6866Күн бұрын
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@HamadaZubeirTahir2 күн бұрын
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@bahatielias64434 күн бұрын
Ila kunawakati mwingine inakela
@FrankMwakatundu-cu6bd6 сағат бұрын
SINA UHAKIKA KAMA NI TATIZO NI WATUMISHI WA CHINI (KINA ELIZA) WASI WASI WANGU TATIZO LIKO WIZARANI) ELIZA NI KAFARA TU!!! POLE ELZA
@reubenalfred97073 күн бұрын
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1jКүн бұрын
Kweli kabisa kaka..
@KilonzoGodson3 күн бұрын
Hivi Tanzania tukoje?
@josemalley16914 күн бұрын
Arusha mtaa x ndo balaa
@hamredhamis-cz6qc3 күн бұрын
😊
@Bifa_20243 күн бұрын
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
@wamburasungura681220 сағат бұрын
Je maji yapo ? Au hayapo? Kama hayapo maji sawa waondoke tu maana wanachezea kazi sana
@ProsistaTarimo18 сағат бұрын
Wanakuangusha mheshimiwa fukuza wote weka wapya waliotoka shuleni Hawa wameshalewa rushwa na uvivu. Wanapokea mshahara na kazi hawafanyi. Wanakera
@philemonmagesa55483 күн бұрын
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
@user-si4fu9dw8nСағат бұрын
Wàtumbuwe mpaka wakaye sawa wasenge hawo wanakupa. Lushwa tu
@juliusmbuya3814Күн бұрын
Uchaguzi umekaribia
@PatrickSepetuКүн бұрын
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@sharafisaidi79992 күн бұрын
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
@monicachacha4552 күн бұрын
timua haoooo
@florencekyande44432 күн бұрын
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@user-qy7he6cl8wКүн бұрын
Makonda kaanza kupata mapacha
@jescajohn661917 сағат бұрын
Eliza atapangiwa kazi sehemu nyingine ,na maisha yataendelea kama kawaida, hao wapiga kura wajinga acha waendelee kushangilia
@FilbertKalembe-fy4oq3 күн бұрын
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@petersagilo187Күн бұрын
Mi sijaona kosa la Eliza apo mi nadhani udili na mkurugenzi wako ambaye anafuta maerekezo kutoka kwako na hatelekezi
@LaizerSaitoty2 күн бұрын
if huu ugonjwa dawa yake nn
@DandasiKundi3 күн бұрын
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@SultanaShaban3 күн бұрын
Njoo bonyokwaa mkuu
@YusuphMwangobola3 күн бұрын
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@danielelikana26152 күн бұрын
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@rahelmponda2 күн бұрын
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu71682 күн бұрын
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@thomastemu33324 күн бұрын
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni3 күн бұрын
Fukuzaaaa
@user-nm2jq7xo5f3 күн бұрын
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@Mumewangu3 күн бұрын
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva53763 күн бұрын
Wamesema anauza maji
@fatmaathumani71163 күн бұрын
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-MIO5pu1iv7o4 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@monicamaganga86814 күн бұрын
😂 7:28
@KhalidAlly-je8ky3 күн бұрын
Ujinga mtupu
@hashimmawazo55033 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi3 күн бұрын
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie