Waziri AWESO AMTUMBUA ELIZA bila huruma, wananchi walipuka kwa shangwe

  Рет қаралды 31,738

Habari Digital

Habari Digital

5 күн бұрын

Пікірлер: 97
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 күн бұрын
Wizara ya Maji acheni masiala jamani!! Eti hadi aje Waziri! Wengine mpo wapi? Aibu!! Serikali ajirini watu wengine!! Mambo haya hayana afya kwa Watamzania.
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 3 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 күн бұрын
Vibaka WA Kodi zetu hao
@user-tu9ps9kr2o
@user-tu9ps9kr2o 3 күн бұрын
Mhe waziri kwanza hongera.kwa msukumo wako wa nguvu hizo watabadirika Sasa watumishi .mhe makinda umetoa fundisho kwa wateule wa Mhe Raisi
@husseinamassanza50
@husseinamassanza50 3 күн бұрын
Kero za wananchi zinasababishwa na nyie nyie serekali msione watu wapo kimya ipo siku haina jina.
@festohaule9716
@festohaule9716 3 күн бұрын
Kwanini Watumishi wengi sana hawatimizi wajibu wao..kwanini Hatuwezi kujenga Nchi yetu pasipo dosari!!!!!
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 3 күн бұрын
Njoo arusha Waziri tunabambikiwa bill za majani
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 күн бұрын
Wanauza Maji wanamagari yao waziri wanakudanganya Hata huku makabe
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 3 күн бұрын
Tusilee uzembe mheshimiwa waziri wengine wajifunze
@albtstanislaus4319
@albtstanislaus4319 4 күн бұрын
Masikini hua tunafulaiya mwenzetu anapo pata shida
@deozomboko8949
@deozomboko8949 4 күн бұрын
Huyo ameshindwa kutumia cheo chake kwa hiyo anaenda kushushwa kwa lugha nyingine
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 3 күн бұрын
Tenganisheni siasa na kazi
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 3 күн бұрын
Nyie mnaoshangilia hamjitambui
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 3 күн бұрын
​@@mahijayusuph8186inawezekana Wakawa Hawajitambui Lakini Katikati Kuna Uzembe Na Dhuruma Kubwa Inayowapa Au Kutupa Chuki.
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 3 күн бұрын
Elizabeth ni mtendaji mzuri!!
@stevensteve7519
@stevensteve7519 3 күн бұрын
Watumishi wa serikali ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi kutokana na kutofanya kazi kwa ufanisi na kutotambua kuwa wao waajiri wao niwananchi. Hili hawalijui kabisaa, wanadhani kuwa wao wako juu ya wananchi.
@ChristianSebastian-rh2fq
@ChristianSebastian-rh2fq 3 күн бұрын
MH, njoo na kisesa Magu Mwanza ni taaabu tupu
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 күн бұрын
Aweso huo ni ujinga tu kuondoka naye huyo Eliza ndo umeleta maji hapo?
@MnubiMm
@MnubiMm 3 күн бұрын
Huo ujinga sawa Wewe ungefanyaje?mwenye akili
@MOHAMEDSALEH-fl7kb
@MOHAMEDSALEH-fl7kb 4 күн бұрын
Mama Huyo. Tanzania ya Maendeleo Tunaitaka
@nelsongodfrey9952
@nelsongodfrey9952 3 күн бұрын
Msumi hatuna maji, lakini mbopo wana maji. 3km difference but dawasa wapo
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo 18 сағат бұрын
Jana nimelipa bill ya elfu 40 nalalamika kwa mwezi maji yanatoka mara moja kwa masaa matatu tu. Leo mnanihesabia kuwa mwezi mzima sijalipa. Nilipe 40 Tena wanaweka mfukoni. Fukuza wote mheshimiwa Aweso.
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 3 күн бұрын
Uweso nimekusoma ukichekano utavuna mabuwa alafu wakika pembeni wanasema Sisi mbaya
@lukumanisharifu
@lukumanisharifu 3 күн бұрын
Uweso njoo masasi mtwara hufiki kabisa Kuna madudu sana
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 күн бұрын
TUNAKUOMBA SASA MTUPUNGUZIE MALIPO YA KUWEKA MAJI MAJI YANAPITA MLANGONI UKIULIZA KUWEKA MAJI SH 270,000/=
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 3 күн бұрын
Hiyo Nifuraha. Lakini Kiakili Nifuraha Iliyochanganyika Nahasira.
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 күн бұрын
Sijui watu wana matatizo gani.Alafu kupata maji shida kweli kweli ukiritimba.
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 күн бұрын
Wazir njoo arusha mateves tunateseka na idara,ya,maji bil laki 3 kwa,mwenx na,barabara,vumb tynashidw,hata,kuuza yaya
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 3 күн бұрын
Naona sasa kakayangu umeamka sasa ila ujachelewa nilijuwa kasiyako imeisha ilanakujuwa Utendajiwako sinamashaka nawewe
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 3 күн бұрын
Mh waziri dawasa nitatizo niwazembe sana
@gililwise
@gililwise 4 күн бұрын
Mh njoo Morogoro Morowasa utalia maji tunapata mara moja kwa wiki kwa mwezi mara 4 bili inakuja 40,000/= Bhopal kata us bigwa
@user-oy2gp3nq4j
@user-oy2gp3nq4j 3 күн бұрын
Wanajifanya Miungu watu watumishi hawa sana ata ukipiga awapokei
@salummhina4857
@salummhina4857 Сағат бұрын
Uwezo huyo Mkurugenzi pia ungeondoka naye
@user-kv8sq6qz7g
@user-kv8sq6qz7g 2 күн бұрын
Moja Kati ya hazina kubwa ktika Taifa letu Ndugu aweso mzalendo wa kweli
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 күн бұрын
Poleni, ujinga uliopitiliza. Vitu vingine haviitaji waziri
@giftkalenge418
@giftkalenge418 2 күн бұрын
Utashitaliwa waziri Sasa huyu dada anakosa Gani wakati mkurugenzi wako ndo tatizo
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 4 күн бұрын
Waziri njoo kinodoni tunateseka sana
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 3 күн бұрын
Ni actual au sinema
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 Күн бұрын
Safi sana❤❤
@nahlaaasidee1848
@nahlaaasidee1848 2 күн бұрын
Waziri Njoo Masasi-Mtwara kuna shida
@monicachacha455
@monicachacha455 2 күн бұрын
awesoooooo safiiiiii
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 4 күн бұрын
Hiii 😂nchi inakiki 😂
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo 18 сағат бұрын
mheshimiwa zunguka nchi nzima shida ni hiyohiyo. Utadhani wanaambiana. Ni kudai bill tu na maji hakuna.
@mamakayla6697
@mamakayla6697 3 күн бұрын
Kwa kweli waziri umefanya kazi vizuri ya kuchukua hatua ya kuja wilaya hii ya Kibamba, njoo na wilaya ya Ubungo. Ni shidaaaaa,njoo Kimara Bucha.
@FarajaLusuka
@FarajaLusuka 2 күн бұрын
Shida nini viongozi wetu jamani kwanini mnatufanyie hivyo maji hamna hata kwetu makurunge kigamboni hatuna maji wala umeme
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 3 күн бұрын
Ila wanawake dah!😅
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 2 күн бұрын
Musichikijuwaaa...mmmmmh..mpaka nawaonea hurumaaa
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 Күн бұрын
Wanawake bado sana
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 Күн бұрын
Eliza kiherehere kimemponza angekaaa kimyaaaa maskini
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Күн бұрын
Wamezoea kukaa ofcn piga na chin wote
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 2 күн бұрын
Anaweza akafukuzwa mbele ya Wananchi baada ya masaa akaitwa Ofisini akaambiwa endelea na kazi
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 2 күн бұрын
Tunamuona mhshmw Makonda group kazini.
@piusmapunda4255
@piusmapunda4255 2 күн бұрын
Mkuu njoo nahuku tanganyika dc kata ya ikola maji hayatoki nimwezi wa 3 sasa!,
@napoleonmutungi6866
@napoleonmutungi6866 Күн бұрын
Waziri kapiga simu kwa mkurugenzi wa miradi vifaa havijaletwa dada amefanya kazi yake waziri anafanya siasa ya kumtoa kafara Eliza na watanzania bila kutumia busara mnashangilia kwa roho mbaya tu
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 2 күн бұрын
Eti Wazili..wazili...wazili...sioWazilii...ni Waziri ndio kiswahili sanifu
@bahatielias6443
@bahatielias6443 4 күн бұрын
Ila kunawakati mwingine inakela
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 6 сағат бұрын
SINA UHAKIKA KAMA NI TATIZO NI WATUMISHI WA CHINI (KINA ELIZA) WASI WASI WANGU TATIZO LIKO WIZARANI) ELIZA NI KAFARA TU!!! POLE ELZA
@reubenalfred9707
@reubenalfred9707 3 күн бұрын
Chanika Nzasa mradi wa maji ulifunguliwa na mwenge lakini mpaka sasa hatuoni hata tone la maji..!
@user-xm9xr5db1j
@user-xm9xr5db1j Күн бұрын
Kweli kabisa kaka..
@KilonzoGodson
@KilonzoGodson 3 күн бұрын
Hivi Tanzania tukoje?
@josemalley1691
@josemalley1691 4 күн бұрын
Arusha mtaa x ndo balaa
@hamredhamis-cz6qc
@hamredhamis-cz6qc 3 күн бұрын
😊
@Bifa_2024
@Bifa_2024 3 күн бұрын
Wananchi wachonganishi ipo siku mwanao dadako Ndio atakuwa huyo Eliza alafu wamama wana midomo adui wa mwanamke ni mwanamke
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 20 сағат бұрын
Je maji yapo ? Au hayapo? Kama hayapo maji sawa waondoke tu maana wanachezea kazi sana
@ProsistaTarimo
@ProsistaTarimo 18 сағат бұрын
Wanakuangusha mheshimiwa fukuza wote weka wapya waliotoka shuleni Hawa wameshalewa rushwa na uvivu. Wanapokea mshahara na kazi hawafanyi. Wanakera
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 күн бұрын
Mweshimiwa Aweso ww chukua mfumo wa makonda kusikiliza kero nakufatilia utendaji utakusaidia kisiasa na kujenga imani kubwa kwa wananchi
@user-si4fu9dw8n
@user-si4fu9dw8n Сағат бұрын
Wàtumbuwe mpaka wakaye sawa wasenge hawo wanakupa. Lushwa tu
@juliusmbuya3814
@juliusmbuya3814 Күн бұрын
Uchaguzi umekaribia
@PatrickSepetu
@PatrickSepetu Күн бұрын
Wanalinga mno wakiwa ofcn hao
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 2 күн бұрын
Njoo na mbagala mheshimiwa maji tunayaonaga kwenye video tu kibondemaja mtaa wa kimbangulile
@monicachacha455
@monicachacha455 2 күн бұрын
timua haoooo
@florencekyande4443
@florencekyande4443 2 күн бұрын
mbona Eliza tu,huyo kaka aliyekosa mafaili ,yaoo wattsap je?mkurugenzi aliyeookea maelekezo kwa waziri asiyafanyie Kazi je?
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w Күн бұрын
Makonda kaanza kupata mapacha
@jescajohn6619
@jescajohn6619 17 сағат бұрын
Eliza atapangiwa kazi sehemu nyingine ,na maisha yataendelea kama kawaida, hao wapiga kura wajinga acha waendelee kushangilia
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 3 күн бұрын
Safi kabisa mumelea ujinga mda mrefu tusaidieni halmashauri zote ziko hivyo
@masalidorice3402
@masalidorice3402 4 күн бұрын
wanawake jamani wanashabikia mwanamke mwenzao afukuzwe
@bahatielias6443
@bahatielias6443 4 күн бұрын
Ila tujifunze ukipewa nafasi watumikie wananchi,ukipewa maelekezo na mkuu wako tafadhali fuatilia ,hapo unakuta gari ya usafili kapewa lakin mtu anaagiza tu yeye yupo ofsini, ama fungu lapesa linatolewa halafu hizo pesa wanaingiza kwenye biashara zao kwanza mpaka mda unaeenda wee Ndio wanakuja kufanya ,Sasa wananchi inakuwa ni mateso
@petersagilo187
@petersagilo187 Күн бұрын
Mi sijaona kosa la Eliza apo mi nadhani udili na mkurugenzi wako ambaye anafuta maerekezo kutoka kwako na hatelekezi
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty 2 күн бұрын
if huu ugonjwa dawa yake nn
@DandasiKundi
@DandasiKundi 3 күн бұрын
Waziri njoo mkoa wa pwani usikilize vioja vya dawasa eneo la lukuruti, mihande karibi na shule ya skondari wanasema vifaa hamna na hata hivyo wengine wanafungiwa sijaelewa wziri hapo kuna nino happ
@SultanaShaban
@SultanaShaban 3 күн бұрын
Njoo bonyokwaa mkuu
@YusuphMwangobola
@YusuphMwangobola 3 күн бұрын
Wananchi wamesha mchoka hyo dada
@danielelikana2615
@danielelikana2615 2 күн бұрын
Mfumo wa kuajiri unatakiwa kufumuliwa upya kabisa!! Wanaajiriwa watu wasiokuwa na uwezo wa kufanya kazi, wenye uwezo wanaachwa!!
@rahelmponda
@rahelmponda 2 күн бұрын
Kumbe unambadilisha kituo ila kazi yake Bado ipo, ujinga tupu na wanaokushangilia😅😅😅
@venancemwarabu7168
@venancemwarabu7168 2 күн бұрын
Ulitaka afukuzwe kazi? Kosa lake ni lipi? Matatizo ya kimfumo hata ukiwekwa wewe hapo utakutana na huo ukakasi
@thomastemu3332
@thomastemu3332 4 күн бұрын
Mtumbue huyo hawafai
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 3 күн бұрын
Fukuzaaaa
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 3 күн бұрын
Awesu fukuza kazi wazembe hao
@Mumewangu
@Mumewangu 3 күн бұрын
Kama umesikiwa mwananchi anauza bangi. Nipe like zangu
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 3 күн бұрын
Wamesema anauza maji
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 3 күн бұрын
Watu tunahangaika kuzitafuta hizo kazi nyie mazwazwa mnanenepeana tu km mafurushi 😢😢😢
@user-MIO5pu1iv7o
@user-MIO5pu1iv7o 4 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@monicamaganga8681
@monicamaganga8681 4 күн бұрын
😂 7:28
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 3 күн бұрын
Ujinga mtupu
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 3 күн бұрын
Njoo kibiti mh,waziri kuna mengi uku miradi yote imekwama na pesa wamezitafuna
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 3 күн бұрын
kweli uweso ndio mnatakiwa kufanya kazi siokupigiwa makofi wannachi wanaomie
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 23 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
Don’t Bully a Vampire Girl 👿
0:38
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 9 МЛН
Poor beggar, fortunately there have joker to help#joker #shorts
0:57
Untitled Joker
Рет қаралды 10 МЛН
She saved others
0:20
V.A. show / Магика
Рет қаралды 4,6 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
0:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 9 МЛН
Телега - hahalivars
0:55
HAHALIVARS
Рет қаралды 3 МЛН