Neria (Swahili Version)

  Рет қаралды 416,130

Swahiliwood

Swahiliwood

11 жыл бұрын

Kupita jitihada na ushirikiano mkubwa, Neria na mume wake Patrick wanajitengenezea maisha waliokuwa wakiyataka siku zote. Lakini Patrick anapofariki katika ajali ya gari, maisha ya Neria yanagueka ghafla na kuwa mateso. Wakati Neria anaomboleza kifo cha mume wake kijijini, shemeji yake, Phineas, yuko mjini akishughulika kumnyang'anya mali zake zote. Phineas anadai kuwa mila za Kiafrika zinampa haki ya kurithi mali zote za kaka yake marehemu. Neria anashuku lengo halisi la shemeji yake, lakini Phineas anapowateka watoto wake, ndipo Neria anaamua kumpiga vita.
Hii ni filamu ya Kiafrika ambayo imegusa watu wengi barani, na inayoshirikisha nyimbo za mwanamuziki mahiri kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.
Filamu hii imeshinda tuzo 10 za kimataifa, zikiwemo tuzo ya OAU Carthage (Egypt) mwaka 1991 na tuzo za MNET nchini Africa Kusini za Muigizaji Bora wa Kike na Filamu Bora mwaka 1992.
A film from Zimbabwe dubbed in Kiswahili.

Пікірлер: 469
@saidmaganga4444
@saidmaganga4444 5 ай бұрын
Like apa tujuane tunao itazama hii movie 2024
@fedyrunya2130
@fedyrunya2130 4 жыл бұрын
Mwenye kutizama movie hii2020 ache like hapa
@user-mk4zh3xm7q
@user-mk4zh3xm7q 6 ай бұрын
L
@najmaabby5034
@najmaabby5034 5 жыл бұрын
Wanawake kama tungekuwa na umoja kama huu tungekuwa mbali sana wenye kumpenda nelia piga like kubwa sana 2019.
@julianasonga5623
@julianasonga5623 4 жыл бұрын
najma abby
@julianasonga5623
@julianasonga5623 4 жыл бұрын
najma abby hi am also called nelia
@salomenand.1486
@salomenand.1486 4 жыл бұрын
najma abby kwa ss watu kama hao hawapo
@salomenand.1486
@salomenand.1486 4 жыл бұрын
najma abby kweli
@Cook-with-nelly
@Cook-with-nelly 4 ай бұрын
My mommy told me she gaves me name neria becouse of the movie she saw from Tz that neria was so patient woman but I don’t know if is this one 😢
@luckytaruvinga7170
@luckytaruvinga7170 Жыл бұрын
Zimbabweans will forever cherish the good content that Mutukudzi Oliver gave us . Our national heroe .
@shabaningude3850
@shabaningude3850 5 жыл бұрын
daahh inaskitishaa ,jinsi gani neria alivo pambania Mali ,inatufundisha , tunakumbuka tukiwa wadogo tukiitaza ila Leo tunacomet, angusha like twende sawa
@willesigore9178
@willesigore9178 5 жыл бұрын
Najiuliza hivi Baba zangu wadogo Gabriel Sigore, Felix Sigore, Cassian Sigore, Raphael Sigore au mwingine yeyote kati yao amewahi kuona hii move maana walichotufanyia baada ya wazazi wetu kufariki hawana tofauti na huyu. Inauma sana, pole wote mliodhurumiwa baada ya wazazi kufariki dunia 😭😭😭😭
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 жыл бұрын
Wille Sigore pole sana ,kuna watu wanaroho mbaya mnoo
@bernardnyangena9564
@bernardnyangena9564 5 жыл бұрын
Wille Sigore Pole sana ndugu
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 жыл бұрын
Inatokana na tamaa,kukosa utu,roho mbaya na uvivu wa kutafuta *POLE SANA NDUGU*
@saidasao9897
@saidasao9897 2 жыл бұрын
Pole
@gloryraphael3206
@gloryraphael3206 5 жыл бұрын
Who is still watching this movie after the death of Oliver R.I.P Legend
@fredrickmbaga5174
@fredrickmbaga5174 4 жыл бұрын
Glory Raphael hapa nko
@lucymwangamilo2904
@lucymwangamilo2904 3 жыл бұрын
Niko hapaaaa
@evareturn6439
@evareturn6439 5 жыл бұрын
Nani ako hapa after kifo cha oliver 😭RIP legend
@chabycarpoza2998
@chabycarpoza2998 5 жыл бұрын
Am here dear 😭😭😭😭
@olivakilyenyi4890
@olivakilyenyi4890 5 жыл бұрын
r.i.p Oliver
@evareturn6439
@evareturn6439 5 жыл бұрын
Chaby Carpoza just came here to see him more😭
@arthurmwakanyamale7651
@arthurmwakanyamale7651 5 жыл бұрын
tupo p1
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 жыл бұрын
Me
@valentinowarawara5838
@valentinowarawara5838 4 жыл бұрын
2020 nani bado ako akiwatch?
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 жыл бұрын
Mim napenda San mov iyapa
@khalfaniyusuph1811
@khalfaniyusuph1811 3 жыл бұрын
Natokea Tanzania Niko napenda sana movie hii❤️❤️
@arreyphotography822
@arreyphotography822 5 жыл бұрын
Anyone 2019 ??? Nelia #ARREY🔥😄
@madummadum6216
@madummadum6216 5 жыл бұрын
Tupo pamoja
@hassanatjumanne2593
@hassanatjumanne2593 10 ай бұрын
Hakikaa movie inamafunzo na inatufunzaa muda unakwenda kwa kasi sana,ashume hii movie toka imeigizwa ni miaka mingap imepita mpka sasa,hii inatufunza pia kutumia muda wetu vizuri na wakati wetu kwa mema na kusaidia wengne mana tunajiwekea akiba na ni kwa faida yetu sote,..bila ya hivo tutakua ni wenye kula hasara kwa kutumia muda na wakati wetu vibayaa! Mwenyezi mungu awabariki sana i love you all❤❤❤
@gilibertliberati5407
@gilibertliberati5407 Жыл бұрын
kwa mara ya kwanza niliangalia hii filam 2001 na leo ni 2023 r.i.p all regend walio husika kwenye hii filamu bila kumsahau oliver kudtukuz
@duniayamaajabu.8639
@duniayamaajabu.8639 7 жыл бұрын
Asanten sana kwa simulizi na kipindi hiki cha NERIA. Mwenyezi Mungu awalinde na kuwabariki mliokiandaa.
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 4 жыл бұрын
The movie is so beautiful! It's perfect. Well written, shot, directed, scored and edited ...we have fallen so far from the standard it set!
@denismhina5216
@denismhina5216 8 жыл бұрын
Ni historia ya maisha yangu kilicho tokea hapo hakuna tofauti kubwa na kilichotokea kwangu na familia yangu baada ya baba kufariki lakini mahakama ilikuwa ndo msaada kwetu n haki zote tulipata. Ni film ya miaka mingi lakini kila siku ni bado mpya kutokana na uhalisia wa film yenyewe. Naipenda sana.
@swahiliwood
@swahiliwood 8 жыл бұрын
Asante sana na pole
@denismhina5216
@denismhina5216 8 жыл бұрын
Asante ndugu ndio maisha
@ismailbariadi1521
@ismailbariadi1521 7 жыл бұрын
pole sana dada angu
@ismailbariadi1521
@ismailbariadi1521 7 жыл бұрын
pole sana dada angu
@gidionngorogoro3272
@gidionngorogoro3272 7 жыл бұрын
pole sana
@ezenata3390
@ezenata3390 4 жыл бұрын
2020 who is with me here
@allawiahmedi6096
@allawiahmedi6096 4 жыл бұрын
Me
@jameshayne5888
@jameshayne5888 4 жыл бұрын
Me
@MissGiggles72
@MissGiggles72 4 жыл бұрын
What's the name of the original movie and what is the original language of the movie?
@aloyceusunguwanje7528
@aloyceusunguwanje7528 5 жыл бұрын
Like tujuane tunaoitazama Kwa mara ya kwanza hii ngoma
@paulebby1552
@paulebby1552 4 жыл бұрын
Aloyce Usunguwanje hatukua na smartphone
@verified0429
@verified0429 4 жыл бұрын
Muda huu
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 5 жыл бұрын
Kwa movie hii ndo tunaweza kusema kuwa msanii ni kioo cha jamii.Kusema kweli hii ni movie ya Kiafrika inazungumzia jadi zetu kiuhalisia
@zuhurahassan2198
@zuhurahassan2198 6 жыл бұрын
nazipenda sana filam zakuigiza maisha yazamani kuliko filam za kisasa nimejifunza mengi kwakweli Asanteni ote mlio ifasiri filam hii kwakiswahili.
@leahmafwenga4695
@leahmafwenga4695 6 жыл бұрын
aryan season kwa kiswahili
@techtelecoms9308
@techtelecoms9308 5 жыл бұрын
filam hii inanikumbusha mbali sana kipindi Niko mdogo nilikuwa naiangalia kupitia Chanel ya TVT Miaka ya 2001 na nilitotokea kujifunza mengi sana mpaka Leo sija wai kuichoka kwani ni filam bora Africa nzima na ilipendwa na watu wengi zaid miaka hadi miaka, hivi ndivyo inatakiwa wa Africa tutengeneze vitu vyenye ubora mfano movie ya Neria .
@swahiliwood
@swahiliwood 5 жыл бұрын
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
@elizabethvicent3584
@elizabethvicent3584 4 жыл бұрын
Hakika
@datikazumari515
@datikazumari515 4 жыл бұрын
Tvt aikuwepo 2001
@elisawangare3296
@elisawangare3296 5 жыл бұрын
Legends don't die they rest ... We loved u but God loved you more rest in peace daddy
@yussufhassan5179
@yussufhassan5179 4 жыл бұрын
Who is still with me in twenty twenty 👍
@sherrydaniely9402
@sherrydaniely9402 7 жыл бұрын
Haki filamu nzr sana nimejifunza mnooo naipenda sichoki kuiangalia pole sana Neria kwa yote uliyo yapitia kutokana na tamaa ya mali ya shemeji yako
@sabrinaaron4212
@sabrinaaron4212 4 жыл бұрын
Rest in peace Oliver, I'm still watching this and I love it since I was young.
@hadrahassan222
@hadrahassan222 4 жыл бұрын
Nani anaangalia mwaka 2020 tujuane hapa tafadhali
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 жыл бұрын
Mim APA naipend sanaa
@manueljulius3769
@manueljulius3769 3 жыл бұрын
Inanoga san
@webstermupombwa672
@webstermupombwa672 6 жыл бұрын
I love this Zimbabwean film i was in form 1(one) then when this film was made.Asande sana
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 10 жыл бұрын
Excellent movie.Deserves all the credit.Am living in Tanzania so I understand Swahili and I've enjoyed the film so much.Wanawake tunaweza,na wale matapeli kama Phineas Allah atawanyosha InshAllah
@fahamuelmkojera4971
@fahamuelmkojera4971 4 жыл бұрын
Hi
@mayombipaul7258
@mayombipaul7258 3 жыл бұрын
Imenikumbusha mbali Sana hii picha mala yangu yakwanza kuiona ulikua 2002 sofa ziende kwa waandaaji wa hii picha
@davismwakanosya7671
@davismwakanosya7671 6 жыл бұрын
Daah yaani huwa nikingalia iih Movie nakumbuka mbali sana maana inanifariji kipindi mama yangu alivo zurmiwa Mali mpaka sasa tunaishi kwa bibi My Mom shindaa moyoo shindaa
@irenekalinjuma4176
@irenekalinjuma4176 5 жыл бұрын
Pole Sana. Bt mungu ni mwema.as long as mko pamoja na mnaishi kwa furaha. Then that's so good.. Tuwapende mama zetu sanaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@avithamashaka2743
@avithamashaka2743 5 жыл бұрын
pole sana nmekupenda buree chek me plz hctolia ako imeniuma
@gooddeeds162
@gooddeeds162 5 жыл бұрын
Davis Mwakanosya pole Sana , Kila jambo lina mwanzo na mwisho wake hasa likiwa baya na zito. Mungu akubariki Sana wewe na Mama pia , Awape nguvu na kuwafungulia njia njema na mwisho kila mwenye haki atapata haki yake. Mungu awabariki sana wewe , Mama na Bibi .
@mneneijasmin1493
@mneneijasmin1493 5 жыл бұрын
Davis Mwakanosya
@laurentwambura5072
@laurentwambura5072 5 жыл бұрын
Filamu nzuri na bora sana, nakumbuka tulikuwa tunaiangalia kwa jirani mwaka 1994, kwetu hatukuwa na luninga.
@chabycarpoza2998
@chabycarpoza2998 5 жыл бұрын
Mashoga wa hivi walipoteaga vita ya 2 ya dunia wa sasa wanatukumbushaga vijora tuuu walahi siichoki hii movie since utoto
@shemdodoseiph5370
@shemdodoseiph5370 5 жыл бұрын
Heheheheeee
@zainabukolelo7027
@zainabukolelo7027 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤝
@colinehelmas1458
@colinehelmas1458 4 жыл бұрын
Umenichekesha saaana
@asnathsweet9688
@asnathsweet9688 4 жыл бұрын
Kwakweli marafiki sisi ni fire
@paulswai1237
@paulswai1237 7 жыл бұрын
This movie makes me cry because it reminds me of my aunt whom we watched the movie together and now she is dead
@abuyizedon
@abuyizedon 3 жыл бұрын
Mwenyewe kuitizama movie hii 2021 like tafadhali
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 5 жыл бұрын
Ni filamu bora, iliyofichua mifumo dime na unyanyasaji wa wanawake pale wanapofiwa na waume zao
@cutedida439
@cutedida439 4 жыл бұрын
Hii movie napenda kuirudia inafundisha sana.....gonga like kwa tulioirudia 2020
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 9 жыл бұрын
Well yet for another time!!!!Well done Zimbabwe and we are praying for the situation of the country returns to how it was and better.I just love Neria and koni and her friends at work.Bravo
@swahiliwood
@swahiliwood 9 жыл бұрын
Fatma Abri Asante..je unadhani filamu gani zingine umependa ha Swahiliwood..?
@chrispineclement4164
@chrispineclement4164 4 жыл бұрын
2019 Ten years back nimeiona hii, ila utamu ule ule🔥🔥🔥
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 5 жыл бұрын
Sina hakika kama chozi la mwanaume ni ishara ya udhaifu wake. Lakini kitendo cha nelia kuinuka kwa huzuni baada ya kunyimwa hata picha tu kimenitoa chozi.
@veronicacharles4527
@veronicacharles4527 5 жыл бұрын
Moses G. Pendael hahaha hongera ni ishara ya huruma na upendo
@christinamahondomimihapa7162
@christinamahondomimihapa7162 4 жыл бұрын
Nani anaitama 2020?
@pendokilimba1364
@pendokilimba1364 2 жыл бұрын
My childhood movie,rest well legend Oliver
@irenekalinjuma4176
@irenekalinjuma4176 5 жыл бұрын
This movie is always making me cry daah😥😥😔😔😭😭😭😭. It's Deep. Rest in peace legend Oliver mtukudzi 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@sirgomahojoa969
@sirgomahojoa969 9 жыл бұрын
kweli mama zetu huwa wanapata shida sana pale tu mumewake anapofaliki hii ni fundisho tosha tuandae wosia mapema
@swahiliwood
@swahiliwood 9 жыл бұрын
Sirgo Mahojoa Unadhani kuna haja ya kuandika wosia kabla huja aga dunia..?
@sirgomahojoa969
@sirgomahojoa969 9 жыл бұрын
ndiyo wosia lazima ona sasa nelia alivyo pata tabu bila ya ushauli kwa mwanasheria na wenzake angepata shida sana
@dannyericsen5020
@dannyericsen5020 6 жыл бұрын
best movie of all timea neria since my childhood
@babujuve1464
@babujuve1464 8 жыл бұрын
Sasa wasanii wa Tanzania jifunzeni kazi za kisanii kutokana na awa watangulizi wenu kama hawa. Inapendeza sana ata uchoki kuitazama
@habibtyai4512
@habibtyai4512 7 жыл бұрын
Juve Muchunguzi Ni kweli wallahy nimeanza kuitazama tangu Niko mtoto
@matendoa.online803
@matendoa.online803 5 жыл бұрын
I heard about this short movie long back ago 2008 in South Africa 🇿🇦 by my girlfriend...a Zimbabwean, I got time and chance to watch it today August 27 -2018 . Nice story with nice Conclusion. 🇨🇩
@justineamanyisye3348
@justineamanyisye3348 6 жыл бұрын
I can't get tired with this video for it reveals real life situation
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 6 жыл бұрын
Anyone 2018??
@kwilekasheila462
@kwilekasheila462 5 жыл бұрын
Chaz Koillah meeeeeè
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 5 жыл бұрын
@@kwilekasheila462 now 2019 we are together R. I. P Oliver mtukuz 😑 😥 😥 😭 😭 😭
@verified0429
@verified0429 4 жыл бұрын
25/12/2019
@jerrymwakapemba5644
@jerrymwakapemba5644 10 жыл бұрын
It shows some of problems faced with our mothers mostly in African societies, I love this movie..
@rachelmotta2221
@rachelmotta2221 5 жыл бұрын
nimeipenda sheria ya miaka hiyo jamani haki alikuwa hai
@salimmkwawatz3073
@salimmkwawatz3073 3 жыл бұрын
Wakali wa hizi kazi Kama upo Iringa gonga like
@fatmaabri8143
@fatmaabri8143 10 жыл бұрын
Am commenting again!I had to after watchin it for yet another tym!Ni nzuri sana.Alaf inasikitisha vipi watu wengine wanavyo jali mali kuliko undugu.Na ujirani mwema.Marafiki wa zuri na sio wa kona kona
@fbhj443
@fbhj443 6 жыл бұрын
nammiss my mumy alikua akipenda sana kuimba nyimbo ya neria 😢😢😢
@marthahiliyai6480
@marthahiliyai6480 11 жыл бұрын
Ni uhakika mambo haya ni ya kila siku na ndivyo yatupasa kuwa macho Mkanda mzuri mnoo na Neria umeacheza vizuri saaana.God bless all of you
@mwahulimajuniour2691
@mwahulimajuniour2691 5 жыл бұрын
Daaaah ya zamani kweli m nazaliwa ndio movie inatoka
@hortensesafari3862
@hortensesafari3862 Жыл бұрын
My childhood movie...tulikuwa na liya kila siku kama tuna angaliya iyi movie
@veronicaituka8189
@veronicaituka8189 Жыл бұрын
Even me..
@Burton86jm
@Burton86jm 11 жыл бұрын
Asante saana Swahiliwood,Neria ni mfano mkubwa wa kuigwa.
@tausimbalamwezi8265
@tausimbalamwezi8265 5 жыл бұрын
Updates Tv 📡 RIP mpendwa wetu mlicheza mover nzuri utakumbukwa kwa hili
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 3 жыл бұрын
Is there any one watching ...this October 2020??
@salimmkwawatz3073
@salimmkwawatz3073 3 жыл бұрын
Pamoja
@dottobundala4637
@dottobundala4637 Жыл бұрын
A movie that my father brought, and and a movie that foretold his story, a movie my mother cries when she watches it. A lesson
@emmaauma8716
@emmaauma8716 5 жыл бұрын
Nice movie, R.I.P Mtukudzi
@mafioso1_.
@mafioso1_. Жыл бұрын
Best movie I have ever seen its 2022 but still 🔥🔥🔥🔥🔥
@bernardmunuo2137
@bernardmunuo2137 8 жыл бұрын
naipenda sana hii film, niliweza memorize neno kwa neno, yan nimeiangalia toka mtoto mbaka sasa
@musatz7299
@musatz7299 7 жыл бұрын
nelia naipenda sana hii move
@arthurmwakanyamale7651
@arthurmwakanyamale7651 5 жыл бұрын
kameza kadogo mno 2019 nitamuonyesha, nitamkomesha 2019
@jamilasojasafisanakiongozw8227
@jamilasojasafisanakiongozw8227 4 жыл бұрын
Hahaha jamn wa2 Waco na visaa
@janekenan7251
@janekenan7251 6 жыл бұрын
Inamhusu mamaangu kipenz
@felixrumisha5132
@felixrumisha5132 7 ай бұрын
11/12/2023 in still watching with tears, from Tanzania
@chipochiroorwa
@chipochiroorwa 10 жыл бұрын
zimbabwe in the good old days!!! Wonderful
@arreyphotography822
@arreyphotography822 3 жыл бұрын
2021 tena👊🏾
@magotilaban6138
@magotilaban6138 10 жыл бұрын
Wanawake wangelikuwa kama mwanamke Neria tungejivuna SN.
@elizabethmamboleo3190
@elizabethmamboleo3190 5 жыл бұрын
Afadhali leo kuna sheria ya haki za mjane jaman ...leo hatupitii suruba kama aliyopitia Nelia ...tunashukuru selikali kuyaona haya 👏👏
@sinomiles
@sinomiles 3 ай бұрын
hiii move bado naiangalia. 2024
@jaysele7739
@jaysele7739 6 жыл бұрын
kumbuka xn hii filamu na kuipenda
@DeejayJulius254
@DeejayJulius254 5 жыл бұрын
Dah, leo ni maajabu kuu na tena makuu kwani hii sinema niliitazama 1999 na 2002 hadi waleo tena ndo naikuta baada ya kuitafuta kwa muda na kutofanikiwa. Nitahishi itazama tena na tena hadi dunia ikatae kunibeba ila tu kunifukia kama patrick. Sinema zuri sana, hakika hivi leo au waleo sinema za sasa zingelikuwa kana hizi hakika funzo tungelikuwa nalo kuu mno. Asante na mola awe nanyi kokote mliko,
@harriethfredy2668
@harriethfredy2668 5 жыл бұрын
Nani yupo hapa baada ya kifo cha tuku 😭😭😭😭
@yakoboamosi1742
@yakoboamosi1742 4 жыл бұрын
Salf keita
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 5 жыл бұрын
Kumbusha mbali sana aise,Niria alifundisha wamama wengi sana
@amanugabwa11
@amanugabwa11 5 жыл бұрын
Huyu boya fines namchukia
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 5 жыл бұрын
Anyone 2019
@verified0429
@verified0429 4 жыл бұрын
I'm here
@yohanatweve13
@yohanatweve13 2 жыл бұрын
Else still watching in 2021🇹🇿🇿🇲
@sophiasalum6018
@sophiasalum6018 5 жыл бұрын
Inanikumbsha mbali sana mpk nimelia
@leticiamchomvu3623
@leticiamchomvu3623 5 жыл бұрын
Naipenda sana hii movie inagusa maisha yetu halisi !!!!
@richardefrem4043
@richardefrem4043 4 жыл бұрын
Iko vyema sana japo sijawahi kuiona ila nimeipenda sana
@asiaashraph4206
@asiaashraph4206 5 жыл бұрын
Nko nawaza.."ingekua vipi Neria asinge kua na kaka ".. means angekua pekeake na ingekua rahisi sana kukata tamaa..mungu awasaidie sana na kuwaongoza mabint wote walio pekeao na wanao tarajis kuwa mama wakesho inshallwah
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 жыл бұрын
After 22 years nawaza kama ntaweza itazama bila kulia mana saiz nina mume na watoto
@zuberiomari9915
@zuberiomari9915 5 жыл бұрын
wooooow zamani sana nilikuwa mdogo nimeitafuta sana bila mafanikio asante mungu nimeiona tena.
@swahiliwood
@swahiliwood 5 жыл бұрын
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu
@user-zj6sv1id6u
@user-zj6sv1id6u 22 күн бұрын
Dah laiti filam za saivi zingekua Zina content hizi na kuigiza hivii mafundisho mazur sana ila dah za saiv ni za ajab sana sjawah iangalia hii but Leo ndo nimeiangalia wow best one🎉
@fatumahassan5356
@fatumahassan5356 4 жыл бұрын
#neria ooh neriaa 🙊Ma favorite movie
@s.kmnyakuajitv6633
@s.kmnyakuajitv6633 3 жыл бұрын
Mimi naiangalia leo hii 28 DEC 2020
@beatricekibale3675
@beatricekibale3675 2 ай бұрын
Nakumbuka mbali kabx
@st.camillusspecializedclin8775
@st.camillusspecializedclin8775 3 жыл бұрын
2021 but it still my beloved movie...
@shineafrica2318
@shineafrica2318 5 жыл бұрын
enzi hizo tupo kigoma na tv letu la nchi 24,hii ndo ilikua kipenzi cha familia nzima.hapo tumejaa karibia mtaa mzima tunakula shule ya neria.
@angelinalupogo1053
@angelinalupogo1053 4 жыл бұрын
Naipenda sana inanikumbusha mambo mengi sana.
@swahiliwood
@swahiliwood 11 жыл бұрын
Sorry. We only have the rights to upload the Swahili version.
@trezlegeorge647
@trezlegeorge647 5 жыл бұрын
This movie is tryin to show how patriocal system affects our mother# R.I.P our legend Oliver mtukudzi
@gaudensiangozi5483
@gaudensiangozi5483 4 жыл бұрын
Afikiri hii ni mara yangu ya kwanza kuitazama hii filam nikiwa na ufaham, na nimeipenda sana
@gretagonga2966
@gretagonga2966 5 жыл бұрын
Hii ndo kuigiza sasa hata walio igiza sauti wametendea haki
@agustinopaul7488
@agustinopaul7488 4 жыл бұрын
Kweli
@princezatine105
@princezatine105 3 жыл бұрын
Kabisa
@khalfantvmansour8765
@khalfantvmansour8765 5 жыл бұрын
I love this movie more
@brooklynqueen8359
@brooklynqueen8359 5 жыл бұрын
Jamani hii movie imenifunza mengi kabisa
@heben3618
@heben3618 2 жыл бұрын
Sinema nzuri sana, imejaa mafundisho na hoja za msingi sana katika maisha Hongereni sana waandaaji
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 3 жыл бұрын
Kufiwa na mwanaume inauma sana,hii movies naipenda sana inafundisha sana,wanawake jifunzeni kwa hii filamu
@cymonbravo9320
@cymonbravo9320 5 жыл бұрын
R. I. P Oliver 😪 we gonna miss you
@elminasamwel
@elminasamwel 4 ай бұрын
2024 Nimeitazam leo hii
@munajama2757
@munajama2757 6 жыл бұрын
movie inafundisha maisha ya kila cku blees neira
@othumodo3888
@othumodo3888 4 жыл бұрын
Kitambo sana nilikuwa nachungulia kwa jirani yetu, nikapigwa ikabidi mzee cku iliyofata athletes TV aina ya GRANDING
@saidasao9897
@saidasao9897 2 жыл бұрын
😊Umenikimbusha hata mm Nilikua natizama kwa jirani
@swahiliwood
@swahiliwood 11 жыл бұрын
Please see the comment below we posted in response to Chipssy
@jasminemussa
@jasminemussa 3 жыл бұрын
Hii movie nmeona nkiwa mdogo na iliniliza as f najua maisha ❤️ naipenda mno now nmekua nazd elewa
Chumo (Swahili with English Subtitles) - 2011
44:51
Swahiliwood
Рет қаралды 466 М.
MR MONEY_EP 01
20:21
LIKOMA
Рет қаралды 69 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 14 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 142 МЛН
Poa Mambo Bado (More Time Swahili)
1:26:40
Swahiliwood
Рет қаралды 397 М.
The Broken Bond Part 1 - Original Kenyan Movie
51:50
Premium Films
Рет қаралды 12 М.
The Very Best Of Wambilianga 2020  #Churchill show    #subscribe
14:16
KITOKA NYUMBA _Dongo/Kiswabi/Bi Kidecha/Naomba
15:04
Jufe Film Production
Рет қаралды 768 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 227 М.
KABURI LA SOFIA (BONGO MOVIE)
1:38:27
ALL MOVIES
Рет қаралды 361 М.
Neria 21 [Full Movie] HD
1:24:40
Rawsoot Studios
Рет қаралды 145 М.
NYUMBA MOJA # Part 1 / Dongo I Naomba I Kake Simba
19:40
Jufe Film Production
Рет қаралды 90 М.
Mdundiko (with English Subtitles)
2:09:46
Swahiliwood
Рет қаралды 198 М.
ПОХОДУ ОН БУДЕТ СИДЕТЬ ДОМА ДО СТАРОСТИ
0:18
When dad sneezes 😱😵‍💫 LeoNata family #shorts
0:26
LeoNata Family
Рет қаралды 11 МЛН
Сын вернулся с войны и сделал сюрприз 🤯
0:17
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 5 МЛН
红尘为救闺蜜使出了浑身解数
0:39
侠客红尘
Рет қаралды 28 МЛН