“Tunamdanganya nani? tunataka maelezo ziko wapi Trilion 1.5” -Mbunge SUGU

  Рет қаралды 575,273

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dr Philip Mpango kutoa majibu sahihi kwa wananchi kuhusu zilipo Trilion 1.5 ambazo hazieleweki zilipo katika ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)

Пікірлер: 155
@pascarmwatosya6815
@pascarmwatosya6815 3 жыл бұрын
Ila sio sili huyu mbunge mbeya tulimpata,Hongera Sana kaka mkubwa suguuuuuuu
@gidaimataso2064
@gidaimataso2064 3 жыл бұрын
Mr mbeya Asante tukiwa na wabunge wanao tendea haki posho zao Kama wew Tanzania itakua up in the air
@robertmelchior1660
@robertmelchior1660 4 жыл бұрын
nawakubali zitto// sugu// msigwe// mungu awabaliki sana mnavoiweka ichi sawa
@mchizigazza5589
@mchizigazza5589 3 жыл бұрын
Unamsahau na VP na bwege
@guttareuben7844
@guttareuben7844 4 жыл бұрын
kama unataka maendeleo ya nchi utamkubali jamaa ameonge point Safi sana brother
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 3 жыл бұрын
Kwanini Bunge lisiwe huru na NEC iache uchaguzi uwe huru hili Taifa tuna viongozi imara sana.Bravo Sugu
@donytv2393
@donytv2393 6 жыл бұрын
Respect 2 u Mr.Mbeya President...
@daudimabala4700
@daudimabala4700 4 жыл бұрын
I9om
@kastokyando5347
@kastokyando5347 4 жыл бұрын
upo vizuri mbunge wetu sugu utapita bila kupingwa 2020
@mwambietv7614
@mwambietv7614 5 жыл бұрын
Safi Sugu nakubali
@futamathias8135
@futamathias8135 6 жыл бұрын
hahaha we noma sugu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu amina nakupenda
@kulwasamwel9822
@kulwasamwel9822 6 жыл бұрын
very good #sugu
@medkisalazo3890
@medkisalazo3890 5 жыл бұрын
mavazi sio tija makanzu kofia kujivisha Uislamu undani wake yeye ni kafiri haramu
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
Haya maombi ya Watanzania mimi siyaelewi. Akiongea Magufuli mnampongeza, Akiongea Msigwa na Sugu mnawapongeza hivi tuwaeleweje.
@dismasnyasembe404
@dismasnyasembe404 4 жыл бұрын
Sungu hatari
@bethwallace-ly8oo
@bethwallace-ly8oo Жыл бұрын
​@@medkisalazo3890 Kula kitimoto na ukafiri vinahusiano Gani ww
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 4 жыл бұрын
Long life SUGU
@origenlutego6222
@origenlutego6222 5 жыл бұрын
Viva sugu live long utumikie taifa
@rafaelmwanyila6134
@rafaelmwanyila6134 4 жыл бұрын
Ndugai na Sugu mnachangamsha sana bunge
@lovenessmoses1616
@lovenessmoses1616 5 жыл бұрын
Nakukubari Rais wa Mbeya....
@beltodchigwala9759
@beltodchigwala9759 4 жыл бұрын
penda sana mbunge wetu sugu
@solomonitv7808
@solomonitv7808 6 жыл бұрын
Sugu Oyeeeeeeeeeh,Mungu azidi kukubariki
@juliusmapera5235
@juliusmapera5235 4 жыл бұрын
Safi sana sugu
@razorramzan-inc
@razorramzan-inc 3 жыл бұрын
I personally like the how mbilinyi argues
@labianuspeter2448
@labianuspeter2448 3 жыл бұрын
Dah !!! Kwa MTU mwenye uwezo wakufikiria lazma ajue kua tz kwandani ya miaka 5 ijayo tutakua na hasara kubwa sana kitaifa kuwakosa hawa watu
@erickgasto2806
@erickgasto2806 4 жыл бұрын
Wabunge kama nyinyi ndio tunawaitajii katika taif hili
@josephngailo7641
@josephngailo7641 5 жыл бұрын
Mungu akupe miaka mingine 5 yakuwatetea wanyonge
@faustiniagustino8977
@faustiniagustino8977 4 жыл бұрын
Hapo sawaaa mkuuuu
@victormollel2357
@victormollel2357 4 жыл бұрын
Umemchapa kisomi🙏🙏🙏🙏
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 4 жыл бұрын
Mmmmmmh Hadi shekh anakula NGURUWE dunia imeisha
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 6 жыл бұрын
Sugu unajielewa sana Big up
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 6 жыл бұрын
Bunge la sasa lina raha sana kama vile class
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 5 жыл бұрын
Safi sana sugu nakukubali sana.
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
Kitu Moto ana gongaa!!Kibaraka Shea cha bure tuuuu😄😄😄😄 Hapendi ya Mafuta😁😁😁 Message sent...Aibu kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
@TopTenKaliTV
@TopTenKaliTV 6 жыл бұрын
MATUNDA MUHIMU KITIBA: kzbin.info/aero/PLRMIRcpWDhtzWjWKEULSse5negv5AuGl2
@evanslugoya1232
@evanslugoya1232 6 жыл бұрын
Hata watu wangu wa mbeya hivyo ndivyo pia
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Uyu jamaa Ana Akiri nyingi sanaa
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 5 жыл бұрын
Ni nomaaa
@djonetz2730
@djonetz2730 6 жыл бұрын
Noma sana sugu
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 жыл бұрын
But numbers don't......
@ernesthakihuinuataifa641
@ernesthakihuinuataifa641 6 жыл бұрын
Jino kwa jino
@shukulannsemwa3899
@shukulannsemwa3899 5 жыл бұрын
Baba babaa babaaa huyoooo!
@salimsemanaompakabungeniol4084
@salimsemanaompakabungeniol4084 5 жыл бұрын
Maniga sugu unafaa kuwa rais maniga ukiwa rais nchi itakua kama ulaya yani naona itakua zidi ya mzee ruksa sugu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@mitsumilton
@mitsumilton 6 ай бұрын
Kwani kufungo hakifungiki vipi sugu❤❤❤
@emmanuelmwiki1935
@emmanuelmwiki1935 4 жыл бұрын
asant mh sugu
@brysonmakundi413
@brysonmakundi413 2 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️Nyundo hizi nasemaaaa Kuzitowa Ninguvu kubwa awanimajembe kweli
@yohanamsabila4653
@yohanamsabila4653 4 жыл бұрын
Duh
@user-kc4in6zu4v
@user-kc4in6zu4v 5 ай бұрын
Asanten
@dinoboyarnold2389
@dinoboyarnold2389 3 жыл бұрын
Daah nimekuja kuangalia hii mwaka huu2021 yanu sugu bhana eti hapendi ya mafuta😅😅😅😅😅
@edwardsilingo4963
@edwardsilingo4963 4 жыл бұрын
Sugu ndio Mbunge wenye vius kuliko Mbunge yeyote
@fadhilisaidi1099
@fadhilisaidi1099 3 жыл бұрын
Hahahahaha tatizo mbwa ukimjuwa jina hakusumbui ng'o
@teddytarimo6750
@teddytarimo6750 5 жыл бұрын
Mbeya prezdnt
@judithkameta9157
@judithkameta9157 5 жыл бұрын
dah nacheka sana mno,
@sayiisack7091
@sayiisack7091 5 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaa yeye hapendi yamafuta hahahahahaaaaaa
@frabomdemwa8880
@frabomdemwa8880 6 жыл бұрын
Haaaa unashangaa kuitwa mla kitimoto ila ni halali kuwaita wenzie mbwa king hana akili ni bwege tuu
@marwajoseph9496
@marwajoseph9496 3 жыл бұрын
Thank u mr sugu
@marufubaruani3806
@marufubaruani3806 4 жыл бұрын
Nakukubali sana sugu.
@janethnkembo5808
@janethnkembo5808 3 жыл бұрын
Bungeni Raha Sana.
@yusuphmkapa5302
@yusuphmkapa5302 4 жыл бұрын
Freedom
@pemdumi
@pemdumi 6 жыл бұрын
Kuonyesha maturity ni pamoja na kwa namna yetote ile kutunza yale ambayo unayafanya sirini na mndani wako.Hata kama mkitofautiana huwezi kumuanika mwenzio.
@danieljoseph8773
@danieljoseph8773 4 жыл бұрын
Siasa n mchezo mchafu brother
@luganomasebo6606
@luganomasebo6606 2 жыл бұрын
Ndo uwaite wenzio mmbwa
@dzekomadiba8245
@dzekomadiba8245 5 жыл бұрын
kwel kaka
@potypooty38
@potypooty38 5 жыл бұрын
Big up brother
@rozinkinda1607
@rozinkinda1607 3 жыл бұрын
Safi sana
@neybenson7881
@neybenson7881 4 жыл бұрын
Spikaa ni ovyooo ase linafikkkk duh
@shijamandwa1054
@shijamandwa1054 4 жыл бұрын
Upo vizur bongo sio poa nchi wote yetu rakin unafanya Kama sebureni ya famiriya yako
@husseinramadhan3515
@husseinramadhan3515 3 жыл бұрын
Big up sugu moto chini
@petrokambo779
@petrokambo779 3 жыл бұрын
Safi
@eliyatango3624
@eliyatango3624 4 жыл бұрын
Kamanda
@Lumegilemukata
@Lumegilemukata 4 жыл бұрын
minapendelea uwe raisi..mr..sugu
@mcjogopah8513
@mcjogopah8513 4 жыл бұрын
Mungu akuongzee miaka5
@suitstv5889
@suitstv5889 5 жыл бұрын
Suguuuuu hoyeeeeee...!!
@elibarikikivuyo5946
@elibarikikivuyo5946 4 жыл бұрын
Jamani mpaka wivu me sijawai msikia mbunge wangu wa Arumeru magharibi akichangia au kafungiwa kuchangia!??
@samweliuronunelson5623
@samweliuronunelson5623 4 жыл бұрын
Utamuona tuu
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 29 күн бұрын
Sugu ana balaa sana
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 5 жыл бұрын
Hhahhha et hapend ya mafuta
@mosesmoses1429
@mosesmoses1429 6 жыл бұрын
Sugu point tetea tz yetu
@mcjogopah8513
@mcjogopah8513 4 жыл бұрын
Mungu alibadilishe hili bunge wakati bunge la 12
@abrahmaniali5404
@abrahmaniali5404 Жыл бұрын
Zipo kwenye trab na track nchi ya ahad
@mitsumilton
@mitsumilton 6 ай бұрын
Nilidhani Kenya ndo pesa hupotea kumbe huku pia
@magigejoseph255
@magigejoseph255 3 жыл бұрын
Ndo wanasema wamchague tulia du wamwache sugu du tutakua tumepotea
@geofreyanderson9291
@geofreyanderson9291 4 жыл бұрын
duh ety hapendi ya mafuta
@wilfredmmbando689
@wilfredmmbando689 Жыл бұрын
Ok
@dicksonlusinde2830
@dicksonlusinde2830 5 жыл бұрын
Huyu kavaa kaz au dela
@aboubakarkaseko8670
@aboubakarkaseko8670 6 жыл бұрын
hahahaaa....ustadhi ameshikwa pabaya ...hapendi ya mafuta ......
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 5 жыл бұрын
Sugu hatre !!!
@butalaetv2208
@butalaetv2208 2 жыл бұрын
nimemmis sana mwamba
@novesnuhunathan2665
@novesnuhunathan2665 5 жыл бұрын
Enjoy the World
@goodlucknelson4320
@goodlucknelson4320 5 жыл бұрын
real?????????
@allyndambwe4354
@allyndambwe4354 4 жыл бұрын
suguuu nakupendaga sana hhaha
@rachelissacmahenge1348
@rachelissacmahenge1348 4 жыл бұрын
Ustadhi hapendi kitumoto ya mafuta🤣🤣
@hechihechie5558
@hechihechie5558 6 жыл бұрын
Mhhhiiii kitimoto!!!!usrazi mhhh Hio ndio chadema
@djonetz2730
@djonetz2730 6 жыл бұрын
Et hata mi nishangaa
@hechihechie5558
@hechihechie5558 6 жыл бұрын
erasto mujuni eti wananchi wanateseka njaa na magonjwa hakuna dawa mahospitali eti mbunge mzima anaelezea dunia eti yeye na ustazi wamekula kitimoto na bia !!shameonyou!!
@zachariasuleman8788
@zachariasuleman8788 6 жыл бұрын
sugu hatar
@jafaryjuma6765
@jafaryjuma6765 4 жыл бұрын
majibu .....tunayasubiri
@ashleysaid6980
@ashleysaid6980 4 жыл бұрын
Sungu atar endelea kuwa nyoosha
@maulidiathumani5574
@maulidiathumani5574 4 жыл бұрын
hiphop imetumika apo
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaa "Ila yeye hapendi ya Mafuta "
@humphreydaimon7028
@humphreydaimon7028 4 жыл бұрын
Rama Mtetu 😀😀😀😀😀
@kulwaswetu4457
@kulwaswetu4457 5 жыл бұрын
Ww huwa ckushangai mjani kawaida yk
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hata cielew anaongea Nini matako huyu..... Bado kdgo kila mtachokuwa mnaongea bungeni mtaonekana vituko TU.... JPM Yuko fire Sana .... Siku hz JKT wanafanya kazi yao kweli Wala sio jkt jina TU... Wanajenga taifa kweli , Sasa we kilaza ukisikia mil 500 unacaoculate kipinzani unaona NI zaidi.
@lennysabi453
@lennysabi453 5 жыл бұрын
Kusema kweli kama alivo sema uyo shee mbunge,,,kwa maelezo yake sijaona kamuita mtu mbwa kwa kauri iyo alo toa apo.
@e-mzambuli6647
@e-mzambuli6647 2 жыл бұрын
Big sugu
@ramadhanmgaya9798
@ramadhanmgaya9798 4 жыл бұрын
Bangi
@abdulqaadrilaurian3700
@abdulqaadrilaurian3700 Жыл бұрын
Mbilinyi
@farajramadhan2762
@farajramadhan2762 6 жыл бұрын
Shekhe achana na (kiti moto) ni haramu
@jumakibula205
@jumakibula205 6 жыл бұрын
Faraj Ramadha n mnati wake tu sii kweli
@dr.shikaupdates8501
@dr.shikaupdates8501 5 жыл бұрын
Faraj Ramadha n vp
@jonesgeorge3152
@jonesgeorge3152 4 жыл бұрын
Unaudhibitisho wowote kusema ni haramu.
@samsonkurusu5955
@samsonkurusu5955 2 жыл бұрын
Uyu mwamba hatar
@mariammobeto5512
@mariammobeto5512 4 жыл бұрын
Iv ni mbunge gani wa chama pinzani hajafungwaaaa? Hiii ndo Tanzania bn
@humphreydaimon7028
@humphreydaimon7028 4 жыл бұрын
Mariam Mobeto 😀😀😀😀😀 nahisi wamezoa maisha hayo
@abeatech1479
@abeatech1479 3 жыл бұрын
Sungu unawashukuru wana mbeya gani wakati mbeya yenyewe ipo hoi bin taabani , bungeni unapeleka LAWAMA badala ya kutetea jimbo unatetea "chama" badala ya maendeleo ya hiyo mbeya, wanambeya wametuma kuimarisha chama ? Wapizani wenzako majimbo yao huyaoni yalivyo hai ? Tembelea Jirani zako IRINGA, Tembelea Arusha , Tembelea Kigoma n.k je hao siyo wapizani kama wewe Sugu, TATIZO siyo chama tatizo ni mtu
@binyezanch8271
@binyezanch8271 3 жыл бұрын
Mbeya Wana mfaid huyu jamaaa
@hassandeuj2517
@hassandeuj2517 4 жыл бұрын
Huyu Jamaa ni sheedda
@chambasclinton7456
@chambasclinton7456 4 жыл бұрын
Sugu njoo nyamagana nikupe kura yng
@mwimbakima4965
@mwimbakima4965 2 жыл бұрын
B
@immamlowe7151
@immamlowe7151 5 жыл бұрын
Zitto Asia achwe wongo aliogopa kuhusu trios 1.5
@emmanuelmasele8734
@emmanuelmasele8734 5 жыл бұрын
Hongera wapiga kura WA Mbeya Mjini.
@maigathomas2353
@maigathomas2353 3 жыл бұрын
Eti yy apendi ya mafuta
@bahatikengese3603
@bahatikengese3603 3 жыл бұрын
ila sugu et na kula nae kiti moto dar ww sio mtu mzur
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 573 М.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 663 М.
Hotel ya MR. II SUGU (Hotel Desderia) jijini Mbeya, Tanzania
12:50
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 466 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 464 М.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН