Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika

  Рет қаралды 327,866

Charles Kombe

Charles Kombe

Жыл бұрын

#HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
___________________________________________________________________________
MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

Пікірлер: 233
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!
@anithadavid5668
@anithadavid5668 Жыл бұрын
Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny
@henrywambura7753
@henrywambura7753 11 ай бұрын
Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI
@user-qk4lx4hg7g
@user-qk4lx4hg7g 8 күн бұрын
Wee unayesema mwalimu Alikuwa mbaya kwa lipi na wakati kambona Alikuwa na tamaa yakutska kumpindua ili awe raisi yeye siku zote taamaa mbaya Nyerere apewe sifa kututoa utumwani bila kumwaga damu yanmtanzania
@111dudi
@111dudi 21 күн бұрын
Nyerere hakutaka fikra zaidi ya fikra zake. Mpaka anatoka aloiacja Tanzania masikini sana. Mungu amrehem Mwinyi aliyeleta ruksa, nchi ikaanza kuendelea.
@zainabmkwepu5498
@zainabmkwepu5498 16 күн бұрын
Asante kwa history ya kambona aliwahi kuja nyumbani kwetu mwaka 1994 yeye na chipaka mwenyez mungu amrehemu
@user-ki4kh5ub4h
@user-ki4kh5ub4h 8 күн бұрын
Ameni
@isaacmashauri
@isaacmashauri Жыл бұрын
Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu
@user-ki4kh5ub4h
@user-ki4kh5ub4h 8 күн бұрын
ameni ameni ameni
@lessomwinyimkuu1268
@lessomwinyimkuu1268 Жыл бұрын
Never outshine the Master....
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja
@surusuru1994
@surusuru1994 Ай бұрын
Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 Жыл бұрын
Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Shukran sana kwa kufuatilia
@ernoldmligo110
@ernoldmligo110 7 ай бұрын
Asante kwa taarifa. Nyerere alikufa akiwa hana mali yo yote nchini wala nje ya nchi. Hakuwa na tamaa ya utajiri kama Oscar Kambona.
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 ай бұрын
Unauwakika
@RayOmar-vk2nn
@RayOmar-vk2nn 12 күн бұрын
😂😂😂😂
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 8 күн бұрын
Nyerere hakutaka mtu yeyote amzidi akili😂😂
@frankotembo
@frankotembo Жыл бұрын
Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM MUNGU AKUBARIKI SANA
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 9 ай бұрын
Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu
@user-fd7vi4xv5x
@user-fd7vi4xv5x 7 ай бұрын
​@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..
@user-ki4kh5ub4h
@user-ki4kh5ub4h 8 күн бұрын
Ameni
@fulgencekanuti2622
@fulgencekanuti2622 3 ай бұрын
Asante sana Bwana Kombe
@erycah
@erycah Жыл бұрын
Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 21 күн бұрын
Nyerere Alikua Mtu Mwema Sana Alijua Kutujenga Pamoja Kuondoa Ukabila Na Mungu Alipanga Iwe Ivo Hao Wengineo Na Elimu Zao Tz Ingekuwa Kama Mataifa Mengine Ya Changu Ni Changu Na Chako Kitakua Changu Iwe Isiwe Lakini Mungu Alijua Kumfanya Nyerere Kuwa Baba Wa Taifa Kwa Ukombozi Wa Ukabila Kuondoa Uchafu Wa Ukabila Kwaivo Izi Habari Zisiwe Sababu Ya Muona Habari Kutukana Mwili Wa Nyerere Ukiwa Unajua Amani Yako Apo Ulipo Ulipozungukwa Na Makabila Kama Sita Lakini Uko Na Amani Iweje Useme Nyerere Alikua Afai Anajipenda Yeye Hi Sio Sawa Kwako Izi Kumbukumbu Za Kale Ubaya Wake Wewe Ujaujua Zaidi Ya Kusoma Sifa2
@sebastianmoshi7200
@sebastianmoshi7200 17 күн бұрын
Kwani Zambia hawana amani?, Zambia hawana makabila?, Zambia kulikuwa na Nyerere?, Zimbabwe hakuna amani?, Zimbabwe kulikuwa na Nyerere?, Wewe hizo propaganda umekaririshwa ni upuuzi tu, huyo mtu alikuwa mshenzi sana.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 15 күн бұрын
@@sebastianmoshi7200 Siku Zote Usipende Kuusemea Moyo Wa Mtu Ambae Kama Alikua Mwema Mema Uonekana Na Aujifichi Ukiona Anatajwa Nyerere Ujue Alifanya Kazi Kubwa Sio Kupigana Bali Hata Iyo Nchi Unayotajwa Wewe Wamegundua Kama Nyerere Pia Aliona Mbali Apa Niliko Nimezungukwa Na Makabila Kama Sita Tunaishi Kwa Fulaa Unazani Kenya Kinachowatafuna Nini Wanajua Kabila Fulani Likiwa Ndani Basi Viongozi Wengi Watatokea Uko Sasa Viongozi Walioko Ndani Wataona Asala Kukuza Ajenda Mambo Kuwa Moto Wakichunguza Watajua Kama Ukabila Unawatafuna Namsifu Nyerere Amekuza Ujamaa Umoja Angekuwa Mwema Uyo Angelindwa Na Mungu Na Usingepata Tabu Kusaka Habari Zake Jitahidi Kuacha Isitoriya Hata Kwa Familia Yako Mana Hata Ndani Ya Nyumba Baba Kiongozi Pia Ukiwa Mzembe Hata Wosia Wako Unatupwa Kapuni Na Watoto Wako Kwanini Asilimia Bado Kwa Vichwa Vya Watoto
@FrankMyenjwa-ms5fr
@FrankMyenjwa-ms5fr 2 күн бұрын
Mzeee angewachekea tungekua Kama Congo kwa akina mabutu wa zabanga
@farajiissa560
@farajiissa560 Ай бұрын
Nyerere kwa kambona alikua hawez kitu vingine propaganda ila kambona alikua genious sana
@haggairaywer7002
@haggairaywer7002 Жыл бұрын
Shukran kwa kutujulisha yaliyowatofautisha Mwalimu Nyerere na Oscar Kambona
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Asante sana kwa kufuatilia
@user-ys3kp8nn3g
@user-ys3kp8nn3g 9 ай бұрын
Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 Жыл бұрын
Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."
@user-gd3bm5ni1q
@user-gd3bm5ni1q 10 ай бұрын
Mbowe na slaa
@ibrahimasambyasaleh4027
@ibrahimasambyasaleh4027 10 ай бұрын
Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba
@neema_mollel
@neema_mollel Жыл бұрын
Umemchambua vizuri sana
@dbarrik4108
@dbarrik4108 10 күн бұрын
Asante sana. Tuletee Historia ya Field Marshal Joseph Okelo
@stephennditi
@stephennditi Жыл бұрын
Asante bro. Life goes on ila hatujui mwisho wetu.
@augustabisetsa5007
@augustabisetsa5007 Жыл бұрын
Nyerere , , mtu mwenye busara, , na hekima
@denistoyi3926
@denistoyi3926 Жыл бұрын
Habarinyelele
@Kimware-kb1yb
@Kimware-kb1yb 9 күн бұрын
Hakuna na baya na binadamu ila 2 ni wenye wevu ndo wanarudxha nchi nyuma
@mohamedallyrajabu205
@mohamedallyrajabu205 Жыл бұрын
Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.
@ObediMeyan-j8c
@ObediMeyan-j8c 9 күн бұрын
Hongera Sana kwa kutuandalia xtori tamu Kam hii
@charleskombe
@charleskombe 8 күн бұрын
Shukran sana
@erickmuli1030
@erickmuli1030 Жыл бұрын
Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.
@IbrahimMakame-oi7wn
@IbrahimMakame-oi7wn Жыл бұрын
Asante kwa historia nxuri
@ibrahimmaxmillan1430
@ibrahimmaxmillan1430 Жыл бұрын
Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa
@mohammedputta5821
@mohammedputta5821 Жыл бұрын
Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart
@pulltheskymusicgroup4475
@pulltheskymusicgroup4475 Жыл бұрын
Acha uwongo
@abednegoabel7047
@abednegoabel7047 9 ай бұрын
Hata saivi wasomi kaka wanapingwa sana
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 Жыл бұрын
Sema kambona alioa miss Tanganyika kipindi iko
@thabitbatenga1775
@thabitbatenga1775 Жыл бұрын
Inauma sana kwa marafiki kuitilafiana
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 11 ай бұрын
Ndio inavyokua
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 4 ай бұрын
Nyerere alichangia nchi hii kuwa maskini
@farajiissa560
@farajiissa560 Ай бұрын
Kachawi afu tukaaminishwa ndo baba wa taifa na lichama lake la kifisad
@faizahalidi7084
@faizahalidi7084 Жыл бұрын
Interesting thank you
@mohammedjafar7242
@mohammedjafar7242 Жыл бұрын
Nimejifunza hii ichi maraisi wote watu wa visasi
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Ndio fitna zetu Tanzania na Nyerere ndio muanzilishi wa hayo na CCM wa Sasa ndio wanaendeleza tu
@piusundisputed
@piusundisputed Жыл бұрын
Napenda sana makala zako
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 6 ай бұрын
Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.
@abbymkombozi4382
@abbymkombozi4382 Жыл бұрын
Laki 8 kwa mdahuo nisawa na bilion 8 kwasasa
@oduorevans3493
@oduorevans3493 2 ай бұрын
Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana
@kenMakokha-od4tp
@kenMakokha-od4tp Жыл бұрын
Story interestinge
@BekaBiz
@BekaBiz 20 күн бұрын
Ama kweli rafiki wa kweli anaweza badilika akawa adui sababu ya wazfa au maslahi 😢
@jastinkanjost4454
@jastinkanjost4454 Жыл бұрын
Kambona kuwa mhaya huwa inatokana na nn👏👏
@jamesmilanzi3336
@jamesmilanzi3336 2 ай бұрын
Nimejifunza kwamba madaraka yanalevya always
@kashebojassonyrwezaula7402
@kashebojassonyrwezaula7402 11 ай бұрын
kweli urafiki wa kisiasa hauna maana
@bettingmastertz
@bettingmastertz Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Жыл бұрын
Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 Жыл бұрын
Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔
@ireneaurelian907
@ireneaurelian907 Жыл бұрын
@@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 Жыл бұрын
Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun
@seifismail6041
@seifismail6041 Жыл бұрын
@@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule
@joycemosha1898
@joycemosha1898 Жыл бұрын
Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London
@DawnMurcas-pz4uq
@DawnMurcas-pz4uq 4 ай бұрын
Kambona commander
@SimonMagija
@SimonMagija Ай бұрын
Tuwache hao walio tanguli mbele za haki yupo mwe nyewe aliye wapa kipaji hicho atawahukumu mwenyewe na sisi tupambane tuivushe nchi wametuachia, vyama viko vingi tuingie tupambane kama mpina anavyopambana
@Husenimuddi
@Husenimuddi 10 ай бұрын
Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block
@HaleluyaKalalu
@HaleluyaKalalu 9 ай бұрын
Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge
@sauljotam115
@sauljotam115 Жыл бұрын
Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu
@user-mz4ry1sl8l
@user-mz4ry1sl8l 10 ай бұрын
Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta
@farajiissa560
@farajiissa560 Ай бұрын
Nyerere mnafik sana simpend mm
@nyigudondola4081
@nyigudondola4081 Ай бұрын
Mpende baba yako
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 25 күн бұрын
Umpende, usimpende, ni baba wa Taifa. Hakuna mwingine kama yeye.
@mbaroukothman3626
@mbaroukothman3626 Жыл бұрын
wakati nasomewa makala hii (mimi sijui kusoma) kama msomaji hakutia yake nimegundua kuogopwa kwa mfumo wa serikali 3 Tanzania ni kuenzi fikra za baba wa Taifa na pia chuki hazikuwa kwa kambona peke yake kwa wote watakaojulikana wana ukambonakambona
@davidowino3022
@davidowino3022 Жыл бұрын
Very interesting story
@destosolomoni8544
@destosolomoni8544 Жыл бұрын
Me na kambona dam dam yaan hili n jabali kwel 😂😂😂😂
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo 16 күн бұрын
Kiboko ya Nyerereka
@jimmymhina1264
@jimmymhina1264 23 күн бұрын
Nimejifunza tuwena upendo duniani ni mapitio,pamoja machifu yao yote majigambo wote hawapo duniani.Pendo na kusameheana kwa kila jambo nikitu chema hapa duniani.
@suitbertmaro6690
@suitbertmaro6690 Жыл бұрын
Mkuu Leta story ya Dossa Azizi
@Alihamdulil
@Alihamdulil Жыл бұрын
Nyerere julias alikuwa mnafiki sana tena mtuu mmbaya ni iletu watanzania hamjui historia kuhusu uyo Nyerere
@halima1798
@halima1798 Жыл бұрын
Tuletee hy historia y nyerr kuw alkuw mnafk😂😂😳💃
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
@@halima1798 😂😂😂 na mimi nasubiri kuisikiliza
@user-ln9px2vh6r
@user-ln9px2vh6r Жыл бұрын
Kweli
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Жыл бұрын
Kuwa makini nakauli zako
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 10 ай бұрын
Ok
@dededshud7047
@dededshud7047 8 күн бұрын
Historia ya uwongo iyo
@hasankawanje4279
@hasankawanje4279 Жыл бұрын
Saf sana
@NgomaMbago-dk3gp
@NgomaMbago-dk3gp 11 ай бұрын
Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
👊✌👍.
@mansourlikamba6289
@mansourlikamba6289 Жыл бұрын
Laki 8 ya enzi zetu ni kama Bilioni 80 ya sasa hv
@raymonddeodatuskyara
@raymonddeodatuskyara Жыл бұрын
Tumetoka mbali sana.
@georgerichard6706
@georgerichard6706 Жыл бұрын
Kumbe yanayo endelea hata sasa sii mapya
@michaelmkisi6999
@michaelmkisi6999 Жыл бұрын
It's fine hakuna binadamu asiye na adui
@user-gl6iq3oe1c
@user-gl6iq3oe1c 9 ай бұрын
Mnafiki sana nyerere
@KamugishaSperatus-qx5kt
@KamugishaSperatus-qx5kt Жыл бұрын
Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 Жыл бұрын
Wote walikuwa na elimu ya ulaya.
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane
@LazarokisiaNyakamande
@LazarokisiaNyakamande Ай бұрын
sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 29 күн бұрын
TUNDU LISSU alisema Nyerere sio mungu... Nyerere alisema kwamba ccm sio mama yake
@shekhkitambi414
@shekhkitambi414 Жыл бұрын
Kumbe tungekuwa na rais mwamke Toka enzi hizo duh! Na Hawa viongozi wengine waacc kama akina kambona mbona hawana cku Yao ya kukumbukwa ingesaidia watu hata watoto wetu kujua historian hizi
@monicamsile2284
@monicamsile2284 Күн бұрын
Rafiki yako, ndiye adui yako
@MkulaElfrida
@MkulaElfrida 7 ай бұрын
Alikua mkorofi tu mbona wala Nyerere hajashindana nae
@AlphaBarageti-ru5xj
@AlphaBarageti-ru5xj 28 күн бұрын
Si kila rafiki ni rafiki isipokuwa huwazi au huna fikra kinyume na snachofikiria yeye.
@hashimmussa1057
@hashimmussa1057 11 ай бұрын
Kijiji cha kwambe kiko Wilaya ya Nyasa kwasasa, na sio Wilaya ya Mbinga.
@davykisabo875
@davykisabo875 24 күн бұрын
Hata katiba tuliyinayo Nyerere ilimlinda naweza kusema alijitengenezea
@MasumbukoKilunga-mf7sg
@MasumbukoKilunga-mf7sg 13 күн бұрын
Ila Kama kweli eti
@davykisabo875
@davykisabo875 13 күн бұрын
@@MasumbukoKilunga-mf7sg kweli kaka
@user-qz6vn5mo3w
@user-qz6vn5mo3w Ай бұрын
Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.
@user-qz6vn5mo3w
@user-qz6vn5mo3w Ай бұрын
Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako
@omary7517
@omary7517 2 ай бұрын
Kambona alikuwa msaliti mkuu
@FrankMyenjwa-ms5fr
@FrankMyenjwa-ms5fr 2 күн бұрын
Msaliti mwenye tamaa Sana Angela mamiss wote mjinga
@lawrencemapunda3666
@lawrencemapunda3666 Жыл бұрын
Shule ya kati aliyosoma haiitwi Mt. Barnabas bali iliitwa Mt. Paul.
@user-kw4nf5dv1k
@user-kw4nf5dv1k Жыл бұрын
Pal
@robertphilip385
@robertphilip385 18 күн бұрын
Kumbe hitabia ya nyanyasaji nitangu nyerere
@ramrashid7859
@ramrashid7859 21 күн бұрын
Inamaana kuna watanzania waliopo gambia na kalibian islands .... Kizazi chake kitakuwa kipo
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 Ай бұрын
Ilikuaje akawa Balozi London?
@alfredymjema5834
@alfredymjema5834 Жыл бұрын
Kikulacho ki nguoni mwako!!
@osybethmbangule7652
@osybethmbangule7652 Жыл бұрын
Duuuh hawa Wazee walifanya dhambi kubwa sana
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Жыл бұрын
Yamepita mengi sana kaka, mifumo ya Tanzania miguu toka zamani
@festoottosimkwayi5597
@festoottosimkwayi5597 Жыл бұрын
NAAMINI SUALA UFISADI BADO NI HOMA TANZANIA
@kiddyadams
@kiddyadams Жыл бұрын
Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.
@charleskombe
@charleskombe Жыл бұрын
Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo 16 күн бұрын
Nyerere alikimbia nchi kajificha 😂😂 pumbav
@ndilanhasjeremiah
@ndilanhasjeremiah 2 күн бұрын
Mwezi wa nane mvua + Radi wapi na wapi??
@surusuru1994
@surusuru1994 11 ай бұрын
😂😂😂chija jamn mmh now inebaki story
@ZaitunAbdallah-ol1bb
@ZaitunAbdallah-ol1bb Жыл бұрын
Nyerere alikua dikteta asietaka kupingwa au kukosolewa kama makufuli
@farinhafrank-dm4sg
@farinhafrank-dm4sg Жыл бұрын
Hii ndio shida ya waafrika , neno dicteta limeletwa na wakolon ambao mliowafukuza mkidai uhuru sasa sasa mnafikir hao wakolon atawapenda
@user-dh1bz9lj1z
@user-dh1bz9lj1z Жыл бұрын
Faharii wawili hawakai zizi moja
@ABSTemu
@ABSTemu 4 ай бұрын
Wakipigana Ziumiazo Nyasi. Huu mpasuko busara ingewek sawa Taifa lingenufaika zaidi tungekuwa mbali zaidi. It is unfortunate.
@glorykastai3996
@glorykastai3996 Ай бұрын
Viongozi hawataki kupingwa mipango yao ni lazima ipite hata kamati mda mwingine huwa ni za kuzuga wananchi
@user-wx1or7ny6i
@user-wx1or7ny6i Ай бұрын
Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo
@Kresiwabula-mc2dl
@Kresiwabula-mc2dl Жыл бұрын
Hee jaman ndo ilivyo kuwa hongela yake nyerere
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 Жыл бұрын
Hivi nisahihi kusema "SWAHILI au KISWAHILI"?
@user-hy8ku7xp3r
@user-hy8ku7xp3r 8 ай бұрын
Ubaya hauna kwao
@harunmanura7900
@harunmanura7900 Жыл бұрын
Kwa wasiomfatilia nyerere kwenye history wanasema nyerere alikuwa mzarendo na wanaamini kuwa Idiamin ni dictater, kumbe nyerere alikuwa bonge la dictater haku penda kuyasikia mawazo tofauti japo hakuwa msomi wa kiwango kikubwa,
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 9 ай бұрын
😢😢
@kinanaomar
@kinanaomar 11 ай бұрын
Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu
@user-bq6we7gw1m
@user-bq6we7gw1m Жыл бұрын
Ndiyo tz yetu hii
@user-gm5uu3ee8i
@user-gm5uu3ee8i 6 ай бұрын
Unafki wake wengine hatuujui tusome wapi tufahamu
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 16 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 54 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН