PROF. JANABI AWAGEUKIA WANAOKWENDA 'GYM', 'JOGGING', AWATAKA WAPIME MOYO, "WANAMATATIZO YA MOYO"

  Рет қаралды 44,381

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi amewashauri wanamichezo kuwa na desturi ya kupima afya zao hasahasa magonjwa ya moyo ili kuepuka vifo katika michezo.
Prof. Janabi ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Hospitali hiyo na mwelekeo wa Utekelezaji wa mwaka wa fedha 2023/24.
Prof. Janabi ambaye ni Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo amesema kumekuwa na wanamichezo wanapoteza maisha katika mazoezi kutokana na matatizo ya moyo na hii inapelekewa na kutokuwa na utamaduni wa kutopima afya zao mara kwa mara.
“Kuna watu wanasumbuliwa na tatizo la mioyo yao kuwa mikubwa na unaweza ukashangaa mchezaji kaanguka ghafla uwanjani na kuna wengine hata wanapoteza maisha. Ni muhimu sana kupima afya hasa kwa wanaofanya michezo ya kukimbia maarufu kama Jogging au kutumia nguvu kama wanaokwenda gym,” ameshauri Prof. Janabi.
Prof Janabi pia maevishauri vilabu vikubwa hapa nchini kuwa na desturi ya kuwapima wacheza wao wapya kabla ya kuwasajili ili kuepukana na hasara wanazoweza kuingia baada ya kumsajili mchezaji huyo na akashindwa kucheza kutoka na matatizo ya kiafya kama moyo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...

Пікірлер: 27
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 9 ай бұрын
I do respect you Dr Janabi.keep on helping our dear Tanzanians Thanks 🎉alot
@rogersiddy
@rogersiddy 8 ай бұрын
Safi sana Asante kwa elimu Dct.ila Doctor umeshatoa code za wachezaji wanachukuliwa bila vipimo nakumbuka KUN AGUERO ameacha mpila sababu ya anasumbuliwa na moyo uko sahihi kbs
@elibarikimeela2761
@elibarikimeela2761 8 ай бұрын
Kaka Janabi asante Sana kwa kuwajali Sana Watanzania wenzako. Akupae elimu/maarifa,,, amekupa nguvu/uzima. *Simple logic* If it is obligatory inspecting your car tires, brake etc before commencing a safari/voyage,,,,,, why should also be necrssary for the one wishing. to pursue the heavy duty_ work loads like running/jogging,,, gymnastics, footballing etc. in order to assure for the required resources in place before commencing??? *Note* Your heart is the most vital unit needed for mazoezi. Thank you kaka,,, and keep it going,,,, God will pay you back.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Congratulation to my dear professor and classmate.❤
@user-wh9zj7kf7h
@user-wh9zj7kf7h 6 ай бұрын
Asante doctor
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 17 күн бұрын
Mama Yangu Ana Miaka 92 Yaani Miaka 100 Kasoro 8 Na She Live Maisha Bila ya Cult Za Kula hiki Usile Hiki. Mimi Nafikiri Unless Umepimwa Ukakutwa Chakula Fulani Kinakudhuru, au Chakula Fulani eg Sukari (Ikizidishwa) Ni Mbaya Kwa Afya... Mengine ni Cult na Conspiracy theories
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 6 ай бұрын
Upo sawa prof
@HusseinRj
@HusseinRj 6 ай бұрын
Ahsante kwa kutusaidia usichoke
@ayoubpapiy6692
@ayoubpapiy6692 6 ай бұрын
Shidailiyopo mswahili akeshafanya check up ukimpa majibuyake hususan yakiwa mabaya ndiyoanapopata ugonjwa wa moyo kwa hofu, coz anawaza ataanzaje kujitibu wakati pesa ya mkatetu inamshinda.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 ай бұрын
Elimu ni lazima iendane na check-up!
@user-ey7kl6ds8r
@user-ey7kl6ds8r 6 ай бұрын
Ushauri wa Dr uzingatiwe
@judyngowi391
@judyngowi391 6 ай бұрын
Halafu utakuta majinga yanamtukana huyu baba
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 5 ай бұрын
Huyu prof. Ni kichaa kweli. Hivi watu wote walioko vijijini Wana access hiyo ya kupima moto au kwa vile yeye ana access hiyo
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 5 ай бұрын
usimtukane mtu anaekusaidia, anashauri halazimishi, na anaekushauri unamtukana kweli hivi wewe unajielewa ? tena anashauri bure, hebu kua muungwana bwana usitafute kufanya sisi wenye shida ya kupata ushauri wa kiprofesa kuhusu afya, kwa gharama ya bure, tukakosa, Profesa watu wa aina hii wapuuze tu
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 5 ай бұрын
Hivi unajua mpaka umpate pale Muhimbili au mloganzila unakaa kusubiri watu wangapi waingie ndio uingie wewe ? Hebu jiulize mara 3
@lshayo1658
@lshayo1658 4 ай бұрын
We jinga kabisa! Unachukua muda wako na bando lako kumtukana mtu kama huyu amechukua muda wake kukushauri angalia amefanya research ya miaka! We punguani mmoja keyboard worrior huna hata aibu kuthubutu kuandika upuuzi!
@abelmwakipesile9868
@abelmwakipesile9868 3 ай бұрын
Sio moto wew nanga, ni moyo
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 6 ай бұрын
Inanipa shida mtaalamu kuleta mambo ya siasa au kujingiza mambo ya ovyo tuna fahamu tunakaa kimya staafu vizuri
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 5 ай бұрын
Sema nafahamu, siyo tunafahamu... 🚶
@kambamazig02024
@kambamazig02024 6 ай бұрын
Huyu naye naona kafikia mahali ataua watu kwa ushauri wake - everything has to be done in moderation and that is all! Ndiyo Tindwa alikufa kwa mshituko wa moyo. Tatizo ni kwamba siyo tu wanaofanya michezo wafanye screening, inahitajika kila mtanzania apate fursa za kufanya annual check up ambayo pia itahusisha vitu kama hiyo unavyovisema daktari. Let us be realistic, ni wangapi wana access hiyo nchini?
@jdanny497
@jdanny497 6 ай бұрын
Hiyo ni kazi yake katoa advice kama Doctor it's either unaichukia au kuacha you don't have to acuse him as if is misleading people
@MrA24G
@MrA24G 6 ай бұрын
Jogging pia tuwache mmmmh bali na kula mlo mmoja
@ezekielbayyo1635
@ezekielbayyo1635 5 ай бұрын
Kupima moyo ni sh ngapi kwa pesa pesa ya tanzania
@gadafimasoud310
@gadafimasoud310 11 күн бұрын
40000
@thejoeclassicsoldier
@thejoeclassicsoldier 6 ай бұрын
Lakini Professor, si ulikuwa mdogo? Au ulienda kupima kaburi la marehemu.
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 5 ай бұрын
Nimsaidie, Marehemu Husein Tindwa alifariki, Taarifa za habari zikatangaza, Simba ikatangaza, Vipindi vya michezo pia vilitangaza, Maana Marehemu alipimwa na madaktari wa wakati ule wa Muhimbili
@UrassaPaschal
@UrassaPaschal 6 ай бұрын
Wajua wengine wakisoma Sana wanakuwa vichaa
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 51 МЛН
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,9 МЛН
ONYO KUHUSU TATOO/MUHIMBILI YATOA ANGALIZO ULAJI WA HOVYO
13:16
ZamaradiTV
Рет қаралды 10 М.
AfyaKona: Mwarobaini wa magonjwa yasiyoambukiza || Epuka kufanya haya
15:54
DKT. JANABI KAPIGA TENA, WAPENDA SODA WAFIKIWA, AWAONYA !!
4:15
Wasafi Media
Рет қаралды 15 М.