Profesa Rayya Timamy azichambuwa kazi za Bi Zainab Himid

  Рет қаралды 1,333

Gumzo la Ghassani

Gumzo la Ghassani

Ай бұрын

Bi Zainab Himidi alifahamika visiwani Zanzibar kama mwalimu, mwanaharakati wa haki za wanawake na pia mshairi bingwa. Kwenye Kongamano la 36 la Kiswahili lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Bayreuth, kusini mwa Ujerumani (17-19 Mei, 2024), Profesa Rayya Timamy wa Chuo Kikuu cha Nairobi alichambuwa jinsi kazi za ushairi za Bi Zainab zinavyoisaidia jamii ya Waswahili kurudi kwenye utamaduni wao, ambao ndiyo ngao ya kulinda utu wao.

Пікірлер: 3
@georgemorara7250
@georgemorara7250 Ай бұрын
Hongera prof 🎉 professor wangu wa kozi ya fasihi na utamaduni wa waswahili (chuo kikuu cha Nairobi)
@331TV
@331TV Ай бұрын
Hongera Profesa wangu kwa uchambuzi mzuri wa Wasilisho lako.
@saidhamad7504
@saidhamad7504 Ай бұрын
Tunapenda contents zako, ila kwa mda umepotea hewan
Kujikolonisha na Hatari za Wakati Tuliomo
21:57
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 302
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 24 МЛН
NAMNA YA KUFIKA CANADA | KAZI ZA CARE ZINAKUTOA KIMAISHA | CHUNGA MAISHA YAKO YA MTANDAONI
1:22:20
#71 Maakt fruit dik en ziek? | Lobke Faasen Podcast
23:31
Lobke Faasen
Рет қаралды 283
Ukomboaji wa Fikra: Ngugi baina ya Lugha na Tafsiri
32:47
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 505
Bi Mariam Hamdani, kichwa kilichojaaliwa mengi | GUMZO NA WALIMU
1:13:35
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 4,2 М.
NIMEKUJA UJERUMANI KWA KAZI ZA KUJITOLEA | FURSA ZIPO KIKUBWA NI KUPATA TAARIFA SAHIHI
49:15
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 1,6 МЛН
Heavy package 🤭🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 3,6 МЛН
Sigma Girl Past #sigma #funny #comedy
0:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 3,8 МЛН