Haki si siku moja Mungu nione pia kwenye haja za moyo wangu, barikiwa promover kwa shuuda hizi
@AdelaidaNyota-lz5ty7 ай бұрын
😮😮
@langistany68117 ай бұрын
Maarufu sana hapa kwetu huo Nabii wa kike, Na sisi tulikua tuna mwita NABII MARIAMU WA ABELA. Huo mama alitumia na Mungu kwa viwango vikubwa sana.
@dativajoachimwai11947 ай бұрын
kwani alishakufa? au bado anaishi
@EspoirMlondani-w9c7 ай бұрын
Ushuuda ni mazuri promover endeleeni kushuudia pamoja na mzee ana mengi zaidi ya mtumishi wa Mungu amin
@MaryMichaelMaryMichael-i7o6 ай бұрын
Blessed kaka jacktan na Audax na promover tv ❤
@geitandelwa2997 ай бұрын
Safi sana huu ndo unabii wa MUNGU AAA HATA KEO WATU WA HIVO WAPO WANAJULISHWA KILA KITU ILA HUYO ALIKUWA NABII MKUBWA SANA NA KUJUA JINA LA MTU NI KWELI NA KUJULISHWA HABARI BADO WZPO MANABI WA HI ILA NI KAZI SANA LAZIMA UWE MTULIVU SANA AAAA NIMEIPENDA SANA HII NA KWELI MAMBO YA MUNGU WENGI HUTUPENDI TWAIPENDA DUNIA
@Esthermordecai7 ай бұрын
promover mbarikiwe sana ,God can do what no man can do,his ways are far above our ways.🙏❤️
@fitinamarando7 ай бұрын
PROMOVER TV mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa kazi nzuri mnayofanya.
@janethmwihumbo12897 ай бұрын
Mungu alimpa mwili,mfanano na maisha wanaoishi watakatifu Mbinguni ,
@bobnthia7 ай бұрын
Promover, Audax unachukuwa mda mrefu Sana wa kuongea. Ningependa uanzie Habari Moja kwa moja. Ubarikiwe
@EZRA-b1c7 ай бұрын
Amen Watumishi wa Mungu.tuko pamoja
@EmanuelMsengi-g4u7 ай бұрын
Mungu ni Mungu wa yale yasiyowezekana na yasiyofikirika kwa akili za mwanadamu.aliweza kuumba hashindwi na lolote.
@gladstonekombe79463 күн бұрын
Amen❤❤
@fredmariita89307 ай бұрын
Asante Sana promoter munanitia moyo siku sote🙏🙏🙏 MUNGU pia mm naomba siku moja anitokee anieke kua njia saii
@annkim26907 ай бұрын
10 years mpaka wa leo bado amesimama lakini Inchi ya Congo Mungu aliipendelea Sana sijui ni vile ilikua ikutwe na vita
@joshuakimuha45676 ай бұрын
Hiyo vitæ itakwisha maana hata huyo Nabii Mariamu alitabiri juu yake
@EZRA-b1c7 ай бұрын
Glory glory glory hallelujah
@RubenMtuwaMungu-bz8ee7 ай бұрын
Hata Moses Magembe hanyowagi nywele alimwomba Mungu kwa maana aliona zinamsumbua na Mungu akampa sawa na haja ya moyo wake.
@valenakomba76867 ай бұрын
Umeulizwa?.
@marthaumazi21977 ай бұрын
Promover Mungu awabariki sana kwa huduma zenu.
@PromovertvTz7 ай бұрын
Amen
@koperawasona95517 ай бұрын
Iyo ushuuda nikweli kabisa baba yangu aliwahi kunisumulia kabla ajafa alimuona uyo Mariamu walutabula kabela congo karibu na baraka.
@julianawanjala64957 ай бұрын
Mubarikiwe sanaa Promover TV
@PromovertvTz7 ай бұрын
Amen ubarikiwe pia
@jastinewilliam44757 ай бұрын
Amina najifunza
@JohnFisha6 ай бұрын
Amina
@dativajoachimwai11947 ай бұрын
Mungu akili zake si kama zetu. sisi tungesema asimfunge kwenda choo instead angemponya ili aweze kujipeleka haja. lkn mambo yaMungu ndo ivo
@Jemagiftsdigital7 ай бұрын
Baba Askofu Moses Kulola Alimuongeleya uyu Nabii Miriam
@SelestinaHamis-dw1gs7 ай бұрын
Kumbe
@dativajoachimwai11947 ай бұрын
akamsemaje
@linetmusee64317 ай бұрын
Amina!
@Misigaro82466 ай бұрын
Mwendelezo plsss
@ElizabethMuia-ro9yh7 ай бұрын
Huyo mariam nikisikiza ushuda vile mzee anaelesa nikama EZEKIEL WA KENYA 🇰🇪
@carolinederi56907 ай бұрын
Ezekiel alihubir lini mapenz ya Mungu haki uko kusema mipango ya kando ilazwe wodi number 8 ndio pendo la Yesu 🤔
Promover si mtoa shuhuda hivyo atoaye shuhuda ndio unaweza kumuuliza vema upate usahihi. wao promover ni chombo cha Habari cha wote na mtoa shuhuda ndiye anajua yote, si promover
@AnnaNgobola-pm7fz7 ай бұрын
Umenikumbusha kuhusu huyo mariamu nllimsikia tanngu miaka ya 1970 kupitia moses kulola
@esterlwanda7 ай бұрын
Kitabu hicho tunakipataje na sisi
@annehaysanday92147 ай бұрын
Kwa nini muhusika asitoe ushuhuda yeye mwenyewe???
@SelestinaHamis-dw1gs7 ай бұрын
Tuliza akili usikilize kwa makini ili uelewe
@geitandelwa2997 ай бұрын
Yaani hicho kitabu napataje
@Blessedboi80197 ай бұрын
Hata mwezi mmoja tu bila kula, mtu anaaga, iweje mtu akae miaka 24 bila kula na awe hai? Promover mumeanza kujinajisi wenyewe. This is fake testimony
@mobilebeats30867 ай бұрын
Mbona musa alifunga siku arobaini bila kula chochote kwani alikufa sabu yakutokula ndugu usipende kuhukumu Muulize Mungu ndiyo uongee acha maneno Roho wa Mungu yupo Muulize ila sio unachafua channel unazani kwa Comment yako inaweza fanya kazi ya Mungu isiaminike kwenye hii channel kwaiyo acha maneno kama unaona wamekosea promover watafute DM
@nunyabizactually69287 ай бұрын
Nakuonea huruma sana,you're too carnal minded😂
@Jemagiftsdigital7 ай бұрын
It is not fake ni kweli. Uyo Alikuwa amechanguliwa na Mungu. Na Moses kulola alienda Congo kumuona uyu nabii. Kuna hata namwengine mama Zawadi naye Mungu kamufanya mambo kama hayo yeye haiti choo
@janethmwihumbo12897 ай бұрын
Mungu ni Mungu tu akili zake hazina mpaka,na hazichunguziki ,Mungu hufanya atakavyo ndugu,
@myself41287 ай бұрын
wat does a miracle mean to you?do u know the power of God?Have u experienced the presence of God in your life?before u type some nonsense Just reserve some Respect,some people have Encountered the divine so dont just comment prematurely!ur so dumb! There is a man in india he hasnt eaten for 72 years&they brought him to the UK for Research activities&he stayed watched live on cctv for 3 months without food or water,&he was very active